Rais Magufuli tena kuhusu sakata la dawa za kulevya, agizo jipya kuhusu Watanzania waliofungwa nje
Вставка
- Опубліковано 11 лют 2017
- Rais John Pombe Magufuli alizungumza wakati wa kuapishwa kwa Kamishna mpya wa kupambana na dawa za kulevya pamoja na mkuu mpya wa Uhamiaji Tanzania ambapo moja ya alivyovisema ni kuhusu dawa za kulevya na Watanzania.
Asante my president sheria iliwekwa na ikapitishwa bungeni Hakuna kurudi nyuma Vita lazima itiliwe mkazo Asante Sana tena Mr President
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍👍👍👍hapo sawa rais mungu akuongoze kwa kila njia
"wapo vijana wengi ambao wamepoteza maisha kwa dawa za kulevya"-JPM
msanii mpya Ahh mtaani kwetu walipukutika vijana kwa mpifo kawa 6 ndani ya wiki moja .
Hongera mhe rais Dr Jpm kwa hituba nzuri. ila hekima na ukweli visimame kutomuonea mtu kwa chama au dini, bali kwa matendo dhahiri awajibishwe mtu yeyote, chuki inaweza kuingia ktk hili.. wewe unayohekima na vyombo umsaidie kila atakayeonewa ktk hili... Mungu ibariki Tz na kumtetea kila atakayeonewa. mwovu avune uovu wake, lakini mwenyehaki atetewe hdharani kama anavyotangazwa hadharani..... asanteni kwa upendo kwa Taifa letu.
Big mheshimiwa pambana na hayo majangili mpaka kieleweke. Lakini msiwaone wasiokuwa na hatia. Can't wait for episode 3
Ayusaf Dafu tayar imetoka leo
safi sana makonda safi sana jpm tuwaache wapiga meza dodoma nimetokea kuwachukia sana sana kwer watanzania tumewapa dhamana ya kutuwakilisha lkn mmetuabisha kwa kukumbatia na kutea madawa ya kulevya 2020 sio mtakuja tena mtatukuta,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
a very strong message from the president to his people. very well addressed and really we can now witness the true fight on the drug's war. we've lost many of our people through drugs and therefore we all need to join hands and be one on this war. GOD bless our country, GOD bless our leaders.
nelson abraham absolutely this war is not easy we have to fight for this all of us
you
pongez kwako mh rais maguful
Mungu akusaidie katika kuokoa maisha ya watu..ni kazi nzito
Toeni ajira vijana wapate pesa...naamin hii yote ni sababu ya ugumu wa maisha...nice speech presidaa
safiiiiii muheshimiwa makufuli na makonda ni kwelii kabisaaa mungu akulinde baba vijanaa wanateketea
😂😂😂 mh Raisi umenifurahisha jinsi unavyoongea.
lkn hapa ndo nimekuja kuipata point ya yule mbunge alotaka sanamu la askari posta litolewe awekwe Diamon kwamba ingekua amri yake meza za bungeni zingekua za chuma ili mnapoamua kupitisha baadhi ya sheria kishabiki bc uyafikirie maumivu kbl ya kuipiga meza😃😃😃
Mwanahamisi Hella Hahahah wallah nikweli
Inamana sana kusikia watanzania wamefungwa weng namna hii
kiukweli mzee jpm mungu akulinde na watatanzania tunakuombea MUNGU akufunike kwa damu ya YESU uwezekufanikisha vita hii ngum
Well said,we have to organize ourselves fully...
Nakuombea kheri Mr President.
kabisa mweshimiwa Tanzania yetu vijana wengi wameadhirika kwa madawa mungu akupiganie katika kazi yako
Sawa baba lakini hapo kwa kutojihusisha vyovyote kwa mabalozi, pananipa shida. Mtoto wa nyumbani hata akiwa jambazi ni mwanao. Tuna asilimia walau 4 kati ya walioshikwa ambao ni innocent. Kuna mama mmoja wakati wa kushuka kwenye ndege alimuhurumia mama mwingine wa kutoka nchi fulani ya Afrika ya magharibi aliyebeba mtoto. Yule mama akamwambia 'naomba nisaidie begi hili la nepi za mtoto' yule mtanzania akakubali na alipotoka nje tuu kadakwa pamoja na yule mama mwenye mtoto. Hawa wanapohukumiwa kunyongwa tukisema wanyongeni tuu, itakuwa tofauti gani na Duterte wa Ufilipino? Kwa kuangalia matukio kama haya fungua google halafu andika 'Mary jane Veloso'. Dawa ni mbaya kabisa, acheni kwenda Asia ila wauza madawa, wezi, wavutabangi na vichaa wote ni ndugu zetu. Hata kuwasalimia kabla ya kuuawa inatosha.'Iweni na huruma kama baba yenu wa mbinguni alivyo na huruma'
kweli jambo hili linatakiwa linatakiwa kuangaliwa kwamakini sana Napia Maombi yanahitajika Mungu tu saidie
kikwete gombea tena Jamanii Dah!! we miss you....
Ni kweli umesema kidogo/ msg nzuri na yenye nguvu iliyojaa UPONYAJI wa Taifa LA Tanzania / ulinzi wa Mungu uwe nawe.
asante magu
love lives forever mimi ni mtoto wa kimasikini daima nitakukumbuka sana Rais wangu Rest in piece
#Wamesai sio watu wa mchezo mchezo....wakikamatwa mubashara kitanzi kihusike...we are tired of unga!!!!!
ugumu wa maisha pia ni chanzo cha vijana wegi kujiingiza katika biashara hii haramu ya madawa ya kulevya! angalieni pia na swala a ajira kwa vijana mwaka wa pili huu unaienda hakuna ajira iliyotolewa serikalini.Kama ni kujiajili mtoe firsa za mikopo zenye masharti nafuu!! Tanzania Bila madawa ya kulevya inawezekana
Mshangao wangu upo kwa wabunge tu, wanapiga kelele dawa za kulevya, amejitokeza mtu aliyejitoa mhanga halafu wao wanamkejeli, kati ya hao wanaotajwa mbona hakuna aliye salama. mi sidhani kama mkuu wa mkoa anaenda kukamata au kutaja mtu tu bila kuwa na ushahidi fulani. msimzuie bali RC bali mshaurini njia nzuri ya kuwakamata hao wauaji wa vijana.
wewe una akili kabisa
Linda Mshana umeona eee wanaogopa bado wapo wengine wanajishukuaA wanacho
Linda Mshana
Linda Mshana
That feeling in the 24:12 is REAL!
duuuhh kweli acha kuku ale mchele,jioni tutamla na wali!!
ILA UKILUFA MAPEMA SANA ,ILA one day
Rais Wang nice sana
rais wangu nakupenda sana mungu akuzidishie maisha marefu sijawai pata rais makini kiasi hiki
nime sikiliza hotuba ya mh jpm nime muelewa sanaaa af ivo vipaka vinavojifanya vinajua kazi mbona hawaku thubutu hata sikumojakumtaja muzaji wa madawa leohii wanajitia kulizungumziaaa!!! wanafki wakubwa makonda we endeleaa mh jpm kishasemaaa kwamba walilipitisha wenyewe bungeni kwahiyo ww usiwasikilize paka haooo achana naooo
unayo akili ndugu
Ramla K _drama fans uko sahihi dear
Hassanova junior sheria ilipitishwa kwapamoja bila kujali vyama vyao kwakujua madharayamadawa yakulevya sheria namba 5 ilipitishwa bungeni ikasainiwa 11 / 5 /015 na muheshimiwa jakaya mrisho kikwete alijua madhara yamadawa yakulevya
Ramla K _drama
fans
raisi wangu Mungu akulinde mkuuu
safi magufuri mueshimiwa na makonda kijana muchapa kazi
Kwan unga unatengezewza tanzania .kama hapana .je kwan milango ya nnch s mnasimamia nyinyi .mnafeli wapi . Kiufupi madawa mnaingiza wenyew wakubwa .sio mvutaji .
ana lolote jipya madawa yakulevya yamekuwa kama ukimwi duniani kot dawa ni kutuliza tu. tegenezeni ajira tu ayo mengine munavamia
Good president
Rais Magufuli, tangu ameingia madarakani mengi mabaya yameshatokea, tetemeko la ardhi huko Bukoba, Nchi nzima kuwa na njaa, adimu Sukari, adimu mafuta ya taa na mengi mabaya, hana nyota ya kuendesha nchi. Rais Magufuli hajui kuongea maneno yake ni yaki dikteta na yasio na busara, Kiujumla Watanzania Mhe Rais Magufuli, anatukomoa sisi raia wa hali ya chini.
Fungua macho
hahaha eti mbona awaendi lugalo kuimba mapambio
fungua macho nahisi umelewa harufu ya mavi ya popo maana kuandika tu kunakushinda. wafanyabiashara hawawezi kusikia ushauri wa mtu kama ww kwa kuwa wamekugundua kabisa kuwa umeshabwia miunga.
Edson Sign mbwa kwel wew
linda mshana.umesema kweli kabisa.lakini wabunge washaelewa hao
Yaaah President Its Better To Speech Out Things Bad Which Can Destroy Our Child, Neighbour Dreams ""Endelea Mkuu Pia Hilo La Mtu Kuosha Gari Daaaaaaaaaaaah Mixer Watu Wanaleta Macorcerty Mahakamni
director General mbona kama ameshashndwa hv vita anatia huruma baba wa watu!!
hongera sana ndugu zetu wadogo wamepoteza maisha
good
tusiache pia kurahisisha maisha yasiwe magumu wengine mateja ni university gradutesI hope.
kweli mweshimiwa
Kuna kesi zakubambikiwa hasa nchi za Asia kwa watu weusi kutoka Afrika, Halafu unataka wananchi wako wanyongwe!? kweli!?
ukosefu wa ajira unaweza pelekea vijana wengi kujihusisha na madawa ya kulevya kwasababu anaona ndio alternative iliyo baki baada ya kupoteza muda wake ktk kusoma halaf hakuna ajira. lazima kijana huyu ataathirika kisaikolojia. serikali toeni ajira.
mh apige kazi tu
🙌🙌🙌🙌💪👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
goog
naunga mkono kwa asimulia 100%
tumekusikia... vipi mikopo kwa wanavyuo tunateseka toka ulipoingia madarakani. wakati wa MH. Jakaya kikwete hatukuwahi kukosa mkopo Nini kimetokea kwako?
jpm maxima I gang a male hapakazitu,!!!
JPM lazima ugangamale hapakazitu!
Kwa kweli Mhe Rais Magufuli inaonekana wazi, ana chuki na watu wenye asili ya wahindi na pia rais wetu Magufuli anaonekana ni mtu wa chuki tena sana, hapendi watu maarufu, hapendi wafanya biashara na hapendi maendeleo ya Tanzania, Ni muuaji wa uchumi wa nchi na hana sera ya maendeleo. Tanzania kwa ujumla ina historia ya zulma tangu enzi ya tulipopata uhuru, tuna desturi ya kunwanyangaya mali za watu na kukomoa au kutokomeza maendeleo ya nchi. Kiuchumi Nchi yetu inazidi kurudi nyuma na kudorora, Huyu Rais Magufuli, tangu ameingia madarakani mengi mabaya yameshatokea, tetemeko la ardhi huko Bukoba, Nchi nzima kuwa na njaa, adimu Sukari, adimu mafuta ya taa na mengi mabaya, hana nyota ya kuendesha nchi. Rais Magufuli hajui kuongea maneno yake ni yaki dikteta na yasio na busara, Kiujumla Watanzania Mhe Rais Magufuli, anatukomoa sisi raia wa hali ya chini.
Fungua Macho we punguani sasa tetemeko na magufuli vinahusiana vipi
ndio baba
Mh Rais Dk Magufuli please ninakuomba uikodi administration ya PDF isaidie hii vita ya madawa,. Hii kwakuwa jeshi la Police liko weak kwa mapambano haya. Pia usiisahau Zanzibar kwasababu ndio kitocu cha mihadarati
Maalim mombo hapo sasa hino naloo hujakosea
Yes coz Tanzania PDF wameonesha discipline kubwa kwa taifa lao.Ikiwa kila mtu anajua chanzo cha kushamiri hii biashara. Kwa takriban 27yrs sasa taifa limekuwa legelege kwa vita hii ,na hasa pale msoma mashtaka anapogeuka kuwa wakili wa mtuhumia hapo lazima kuna kuwa na udhaifu katika jeshi la police. Mfano kule Zenj police alimkosoa mkemia mahakamani kwa kusema. Haikuwa coxain ila ni saruji
njaa inauma
mmmh
GUUUUDI SANA PREZDAA YANI KAMA VP WAPITISHE AKO KASHELIA KA CHINA NI KAZURI SANA NA KWA HAO WANAO PINGA WENGI NDO HAO HAO BABA ZAO MA AJENTI SAAAAFIII ILA NA UYOOO UME MCHANA VZR ATA KAMA KACHEKA LAKINI UJUMBE KAUPATA
rudishen michezo mashuleni na iwe n sehem ya vipind
Kaza buti tuokoe vijana wetu
anae haribu hii nchi anajulikana
Emmanuel aggery ndo umtaje sasa
Mohamed Magazi haitosaidia ila wenye akili timamu wanaelewa
Emmanuel aggery mtaje kaka
hata wewe wamjua
dongo la mlinga hilo
umutisha magu
Hiyo unayoiita vita dhidi ya madawa ya kulevya is a JOKE Mr. President. Pale mlipoanza kuwataja wasanii na wabunge wa upinzani kama Mbowe kwamba wanahusika na biashara hii ndipo vita dhidi ya madawa ilivyopoteza umaana wake. Ni watanzania wachache wataamini upuuzi dhidi ya vita vya madawa ya kulevya. Ni ushahidi upi uliotumika kutaja kiholela majina ya watu?
Ken Chani wewe ni mtz ama?
Ken Chani acha siasa si mlita mapapa sasa ndo hao kwaiyo unaonekana una mazur na nch yako
We ni mbwa Malaya. Acha Rais afanye kazi shetwani mahuruni wewe
mm naogopa kukoment
rakin hatuna ajira
hao vijana walikuwa useless kabla hata ya madawa.
Yawezekana Kabisa walikuwa "useless" kama usemavyo lakini madawa ya kulevya yamewaondolea hata ile hali ya u-useful wao waliokuwa nao kabla.
Hodari bwege wew
jifunze, yes walikuwa useless, lakini wangeweza kubadirika, kujituma na kutimiza ndoto zao hivyo kuwa mchango kwa taifa, na sasa hawatapata nafasi hiyo tena
kikwete we miss you a lot. maana
Good president
kweli mweshimiwa