Ccter,ccter,ccter ninavyokukubali Mwenyez Mungu ndie anaejua ndani ya moyo wangu naomba tu utuorodheshee vitu vinavyotengeneza fondant ili nitaenda kuvitafuta ata supermarket jomon
Mashalla najifunza vingi sana kwa account yako sijutii kuijua. Ila naomba msaada mm apo kwenye kufunika nikishafunika nikiwa na sawazisha inakua inakatika inaachia sijui nakosea nini?
Madam...naona huwa nanunua huwa nakuta haziwi ngumu.. muda wote nikifungua huwa laini tu...hapa ipoje naona zingine zikikaa huwa hivyo ka jiwe..hata nikitengeza mm huwa ngumu
Habari, samahani naomba kuuliza Mimi huwa nikifunika huwa hii buttercream ya ndani huwa inakuwa Kama inayayuka unaiona inakuwa Kama inachuruza huku chini mwisho je nakosea wapi? Naomba msaada dada
Asante dada unafundish vizuri sana
Kwa kweli umenifundishs viziuri sana ila Nina ombi Moja utufundishe jinsi ya kutengeneza fondanti na bat cream
Nimependezwa na kazi Yako dada naomba namba tuwasiliane❤
Masha Allah unaaelekeza vzr Allah akubarik hbbty ❤️
Mola akuhifadhi kipenz shukran kwa elim barikiwa mamaa
Oo nimeipenda asante dada
Shukran dear nikipata hizo pasi nitajaribu inshallah
Safi sana na hongera mno
Ahsanteee umenisaidia naanza kujifunza kupamba
Mamu nmefrahi sana kazi yako naomba naomba zako kunakitusjajua
Ma sha Allah...31st birthday ya binti yangu nitampikia nimpambie in sha Allah kama hii😋😋👌👌ma sha Allah nzuri sanaaaaa 😍
🥰
MashaAllah!...shukran habibty...
Afwan habibty
Upo vzr
Thank you.
Asante kwa somo
nzur enjoyed much
Nzur kwel
Much love ❤️ 😍
Shukran kwa somo zuri, Allah akubarik sana
Amiin
Trim
Waoo Leo nimekuwa wakwanza kukoment,nashukuru
😘😘😘😘😘
Mashallah we dada mungu azidi kukubariki
Amiin sote pia
Dada mwenye kisauti chako kizuri Masha Allah... Allah akuzidishie riziki 😘
Amiin Yaa Rabb 😘
@@mziwandabakers8297 Màshaallah, jazakallah asante sn mpenzi
@@mziwandabakers8297 nahitaji kujifunza uko wapi
Utufundishe kutengeneza fondant
Iy bat cream inatengenezwaje??
😍😍
Tufundishe kutengeneza fondant
Asanter sana kupitia wewe kila siku nabadilika najifunza zaidi.
🙏
Asante mamii love you
Thanks
Mungu akubariki dada
Amiin 🙏🙏
Darasa kuja kujifunza bei gan dada
Salamalekhu.nimependa
Hellow samahan una darasa la wanafunz na unalipwajee??
Maa shaa allah jaman naomben namba yenu please
Asante sana naomba kuuliza hicho kikombe ulicho pimia ice sugar ni kipimo kipi katika gram
mashallah mashallah hodari sana... Mungu akutilie barka.
Kaki trim
Naomba niwe mwanafunzi wako napenda Sana hiyo kazi
Mm
Mm fondat ht siijui wallah na sijaw kuiona
ulizia madukani dear
Dada zipo fondant special dukan yan zimeshatngenezwa?
Somo zur
Hiyo fondant inapatikana super market au
Habari dada naomba unifundishe kwa vitendo je unafundisha na ni beigani. Shukran
Samahani dada hiii fondat
Naomba link naitaji darasan
Nakutumiaje picha uone nimejaribu kupamba leo
Habari mpo wapi
Keki triming
Fondant unapatikana wapi?
Naomba mawasiliano nahitaji practical dada
Kwa kilo moja ya foundant unaweza kutumia kwenye keki ngapi na za kilo ngapi?
Nimependa sana mafunzo yako
Karibu sana
Hello mziwanda bakers nataka kujua hizo tools zenye nafaa kua nazo ndo nibake
je mnafundisha uso kwa uso
Ndio karibu ,huwa tunatangaza madarasa Instagram Mziwanda Bakers
Cake treaming
1kg ina cover cake kiasi ngani?
Katika watu ninaowaelewa na naendelea kujifunza ni wewe nipe namba pls
Mash Allah,keki hizo umeziunganisha na nini?
Na Butter cream
Dada sijajua kama nimesha kupata?
I want to learn more
0768859358
Napata wapi namba zako nijue jinsi ya kujiunga na darasa lenu
Dada nimependa kazi yako na Mimi nataka niwe mwanafunzi wako , je unapatikana wap, na ghalama zipoje
Samahani je nikitaka kuja kujifuza ni shingapi adayake na mnapatikana wapi
Foundant isiyotumia butter cream
Ccter,ccter,ccter ninavyokukubali Mwenyez Mungu ndie anaejua ndani ya moyo wangu naomba tu utuorodheshee vitu vinavyotengeneza fondant ili nitaenda kuvitafuta ata supermarket jomon
Shukran dear hii ni Fondant special inauzwa madukani iko hivyo hivyo
For recipe ya Fondant check jinsi ya KUTENGENEZA Fondant Rahisi sana
Foundant inauzwa au unatengeneza mwenyewe?
Unaweza tengeneza ama kununua pia
Mashalla najifunza vingi sana kwa account yako sijutii kuijua. Ila naomba msaada mm apo kwenye kufunika nikishafunika nikiwa na sawazisha inakua inakatika inaachia sijui nakosea nini?
Unachelewa kuikandamiza kwenye keki
Mziwanda Bakers du maana ni mara ya pili inanifanyia ivo
Foundat inauzwa au unatengeneza mwenyewe?
Naomba namba ya group la mambo ya keki
Mnapatikana wapi
Unaelekeza vinzuri napenda kuwa mwanafunzi wako
Nahitaji darasa mpendwa
Dada unapatikana wap
Fondakty ni Nini?
Na hii foundert inapatikana wapi
Beautiful. What's the filling
Butter cream filling
Mashaallah mashaallah hii fondant tenenza au nunuwa
Naomba namba yako
Cake terming
Fondant kg 1 unetengengenezea cake ngap dear?
Za 7 inch keki 5 dear
Madam...naona huwa nanunua huwa nakuta haziwi ngumu.. muda wote nikifungua huwa laini tu...hapa ipoje naona zingine zikikaa huwa hivyo ka jiwe..hata nikitengeza mm huwa ngumu
Unaweza fanya jinsi ya kutengeza black fondant.
Yeah I will
Madam mimi nikifunika cake na fondat mfano ni usiku nikiamka asubuh inakua inamafuta mafuta ile fondat haikauki nakosea wap
Fondant huwa inakuwa kavu ama unyevu kama hali ya mvua ila haitakiwi kuwa ngumu
Eti Dada mziwanda hiyo bodi ya kuwekea keki ipo nyeupe umeivisha nini bodi ikawa nyeupe pee nisamehe kwa maswali lakin ccy napenda nielewe
Maswali ndo nayapenda yenye kukujenga
Hizi bodi zinabandikwa stika za rangi tofauti kadri ya mapendekezo yako
Pia zipo zimeshabandikwa hivyo tunauza
@@mziwandabakers8297 oooh asante sana sana vip Pan zineshafika
Naomba kuuliz jaman kuhusu hiyo fondant je, mda wa kukata keki ukifika inavuliwa au inaliwa hivohivo coz nimeon kama inavutika
Wapo waokula Fondant pia
Minaomba namba zako nataka nije kujifuza
Unapatikana wapi nataka nije nijifunze
Hizo fondati inauzwa wapi uudugu
Kwenye maduka ya vifaa vya keki
Habari, samahani naomba kuuliza Mimi huwa nikifunika huwa hii buttercream ya ndani huwa inakuwa Kama inayayuka unaiona inakuwa Kama inachuruza huku chini mwisho je nakosea wapi? Naomba msaada dada
Karibu,unaweka Butter cream nyingi bila kukauka pia ndo maana inajichuruzisha
@@mziwandabakers8297 ok so kukauka inatakiwa niiche kwa muda gani? At least?
Dadaa Fondant yapatikana wapi
Check mziwanda_tools
Fondant ya kilo unafunika keki ngapi?
Za 7" unafunika 4 mpaka 5 inategemea na utumiaji wako pia
Mpendwa natamani kujua kupika keki, nifanyaje
Karibu darasani Kuna online na live jikoni
Niunge na online live ya jinsi ya kupika na kupamba
Fondant recipe yenye unatumia, yangu inachanika sana
Hii ni readymade nimenunua special
Je?hii special mtu unaweza ipata wapi inakouzwa
Special inauzwa bei gani madam
Nimependa sana na ningependa kua mwanafunzi wako
Samahani naomba niulize unaweza kupamba keki kwa buttercream Pekeake na fondant pekeyake au vyote kwa pamoja?
Vyote kwa pamoja inafaa
BUTTER cream peke ake inafaa
Ila fondant peke ake haiwezekani lazima uanze na butter cream
Naomba mawasiliano yako ya whatsapp
MashaAllah!...shukran habibty...
Karibu dear
Darasa la kupamba unafanya sh ngapi?
Salamalekhu.nimependa