Thank you so much my sis nimepata tabu butter cream zinavimba baada ya kuremba keki nimejaribu yako cake imekauka nimefurahi sana unafundisha kitu halisi haufichi fichi kama wengine. Mwenyezi Mungu akubariki sana sana 🙏❤
Mimi naomba vipimo vya icing butter mfano keki ya robo nitumie vipimo gani na keki ya nusu nitumie vipimo gani vya butter icing ambayo itatosha kupamba keki yang
YAANI MUNGU AKUWEKE AKUZIDISHIE UMRI UZIDI KUTUFUNDISHA MIMI HAPA KUTOKA KENYA MOMBASA NIMEJUA KUPIKA CAKE KWA SABABU YAKO NIMEFATA HATUA BAADA YA HATUA NA NDIO MARA ILIKUA MARA YA KWANZA MWAKA JUZI SAI NATENGEZA CAKE NAUZA NIKIKWAMA NAINGIA KWA YU TUBE ZAKO MOJA BAADA YA INGINE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ MUCH LOVE MY DEAR
Hello madam mm nimekuwa nikkfuatilia sana but changamoto yng kubwa ni kuhusu kupika keki yaan nikipka keki huwa inakuwa na mlima for sure siipend hii hali na time nyng huwa inapsuka na kuvujia kweny ile mipasuko kitu ambacho kinafanya keki ichelewe kuiva hayo maeneo
Mashaallah Aunt navutiwa sana na ninapenda kujua kupika keki pia nahitaji kufundishwa kuazia kupika keki na nk na mie niko mwanza naomba niwe mwanafunzi wako nakupataj?
Mambo dear naomba msada oven yangu ni hizi ndogo kuset moto nimeshindwa keki haziivi. Naomba msaada niset ngapi juu na chini niset moto ngapi na kwa dakika ngapi?
Ahsante kwasomo nilikuwa nauliza kwamba unaweza kupambia keki yote au kwajili ya mauwa tu. Maana nikipaka huwa unagandia kwenye sahani wakati wa kukata keki atanikiweka kwenye friji. Msaada please...🙏🙏
Thank you so much my sis nimepata tabu butter cream zinavimba baada ya kuremba keki nimejaribu yako cake imekauka nimefurahi sana unafundisha kitu halisi haufichi fichi kama wengine. Mwenyezi Mungu akubariki sana sana 🙏❤
hasate sana nimejua kosa langu nini
Yaan huyu dada Mungu amuwwke
iko xwa kabisa
@@angelvalerian2927❤❤
Mungu ambariki sana huyu dada
Mimi naomba vipimo vya icing butter mfano keki ya robo nitumie vipimo gani na keki ya nusu nitumie vipimo gani vya butter icing ambayo itatosha kupamba keki yang
Ulichokifundisha ndio uhalisia dada, nimejaribu imetoka vizuri sana. Asante dada. Mungu akuongozee mambo yako ufanikiwe zaidi. Ameen. Lots of luv 😘
Asante na hongera kwa darasa zuri, Allah akupe umri mrefu na akuvushe na maradhi amiiin
Unajua hadi unakera safi sana mungu akulipe kubwa kuliko ulilofanya sio mchoyo my
😉
Habari nafurahi unavyotufundisha mm napata changamoto kwenye kupamba kwa kutumia butter keki haiwi nzuri
Woooow unajuaa hongeraa.
Naomba kujua hiyo icing Suger zinauzwaje bei yake .
Mana mm nilijuaa sukari za kawaida tu
3000 mpka 4000 inategemea mkoa uliopo
Nakupenda mziwanda bakery Mungu akubariki sana
Ahsante sana tena sanaaaaaaa, ilikiwa inamisumbua sana hii
Iko perfect kabisa
Asanteee dada na jee, kwenye keki robo natumia vipimo gani
Asante Sana dear nimejifunza kitu maana Mimi niliambiwa nitie limao kidogo Ndiyo itakuwa ngumu kumbe si lazima.
Mungu abariki kazi ya mikono yako, najifunza mengi sana kutoka kwako🙏🏼🙏🏼❤❤
Nimeipenda,nitajaribu na nitakupa mrejesho
Yani we ni mwalim mzuri tunakuelewa sana
YAANI MUNGU AKUWEKE AKUZIDISHIE UMRI UZIDI KUTUFUNDISHA MIMI HAPA KUTOKA KENYA MOMBASA NIMEJUA KUPIKA CAKE KWA SABABU YAKO NIMEFATA HATUA BAADA YA HATUA NA NDIO MARA ILIKUA MARA YA KWANZA MWAKA JUZI SAI NATENGEZA CAKE NAUZA NIKIKWAMA NAINGIA KWA YU TUBE ZAKO MOJA BAADA YA INGINE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ MUCH LOVE MY DEAR
Unajua Kupika keki dada yangu mungu akubariki
Good stuff I like it
Asante dd ninakufatiriya nikiwa 🇧🇮 nikijariwa kupata mutaji NITAKUTAFUT iri unijuze zaidi❤️
kitu cha kwanza ulicho weka sijakujua ni nini iko
Najifunza sana , natafuta naanzajw kuwa mtengenezaji mzuri na msabambazaji
Nimekupata vizuri sana
asante sana dada kwa somo,hili.mungu akuinue.kazi yako.
Maji unatumia ya moto au baridi love
Baridi kawaida
Ubarikiwe mpnz wangu nilikua napata shida kweli kumbe n rahis namna hii hailavyuuuuu❤️😘😘
😘😘😘
@@mziwandabakers8297 nice dear
@@mziwandabakers8297 huweki ladha
Hello madam mm nimekuwa nikkfuatilia sana but changamoto yng kubwa ni kuhusu kupika keki yaan nikipka keki huwa inakuwa na mlima for sure siipend hii hali na time nyng huwa inapsuka na kuvujia kweny ile mipasuko kitu ambacho kinafanya keki ichelewe kuiva hayo maeneo
Nmekupenda sanaa
Iko perfect kabisa 8:55 ❤
Mashaallah Aunt navutiwa sana na ninapenda kujua kupika keki pia nahitaji kufundishwa kuazia kupika keki na nk na mie niko mwanza naomba niwe mwanafunzi wako nakupataj?
Nashukuru kwa somo,je naweza funikia hiyo na maua hiyohiyo
Wow❤❤
Waweza kutumia Brenda ya juis
Asantee dada Kwa somo sasa kwenye keki ya robo naweka icing sugar kias gan? Halfu luhusu rangi nawekaje sasa
Ahsanteee umenifunza kitu
Karibu
Asant my nimejifunza
Asant sana
Asante sana mzuwanda mi nilijaribu ikakauka ikawa ngumu kumbe nilikosea sana
Jifunze zaidi ili ufanikishe dear
Naweza kutumia kimbo
Asante sana Kwa mafundisho nitafanya hivi kuremba keki Kisha nikupe matokeo 👍
Asante dear kwa somo,swali langu kama hyo butter nataka kuandikia maua na kufunikia cake naeza igawa?inafaa pia kufunikia?
Naomba vigezo vya kujiunga
MMI bado dada kabisa tatizo vipimo nakosea sujui
Iv Radha unayoweka kwenye keki,unaweza kuweka Radha nyingine kwenye buttercream namaanish mbili tofauti
Yes inawezekan kabisa my dear mfano umetumia ladha ya strawberry kwa keki kwenye buttercream unaweza weka buble gum
Asante dear.
Kwa recipe hii inaweza kukaa mda gani kwa matumizi
Yaani life span yake ni 1 month kwa matumizi inapamba keki mbili
@@mziwandabakers8297 shukrani
Mashallah Dada napenda kumjuwa kupamba keki nitaanza kujifunza Na kufuatilia
Karibu
Mashallah mm nimgeni kwenye chanel yako ila nimependa sana my Shukurani
Ahsante sana ntakupa matokeo
Thank you very much for your tutorials. Which margarine brand are you using, blue band?
Dada mm bado nashindwa kutengeneza kabisa eti
🎉
Asante ntajaribu kutengeneza
Dada asante sana kwa mafunzo sijajaribu bado ila swali langu ni kwamba hata hizi blueband za kupima si naweza kutumia?
Ndio zinafaa
Hongera na ahsante sana
Hii unaiweza kuitunza kwa muda gani?wenye friji au nje ya friji?
Asant dadaangu je naweza kuipaki sehemu na ikakaa ata mwezi bila kuharbika
Salute kwako many, ur de best
❤❤
Mambo dear naomba msada oven yangu ni hizi ndogo kuset moto nimeshindwa keki haziivi. Naomba msaada niset ngapi juu na chini niset moto ngapi na kwa dakika ngapi?
I still have a problem with the cream. Could u please repeat the lecture once more. Thank u.
Nilipata changamoto butter cream haikauki ngojea nikatumie njia yako mungu akutunze
Nasubiri mrejesho wako hapa
Somo zuri napenda kuuliza unaweza kuigawa hii recipe
Asante.niliweka maji mengi nilivyopamba ikayeyuka.je rangi ya unga inafaa kwenye cream butter?
Asante sana
unaweza tumia brenda
Me inanisumbua sana wakati wa kupaka katk keki idont no what's the problem
Keki ya robo au nusu inahitaji icing sugar na blueband kias gani kutengeneza Butter cream
Hii recipe unaweza kupunguza ukayanya nusu yake nimejaribu ya 100g butter na icing sugar 500g imetoka bomba na imekauka kama alivyofundisha dada yetu
Good
Mm huwa nikipamba keki ile icing inabanduka hata kama ni nzito cjui nakosea wap naomba kujua
Assalam alaykum mm yang haijaw vizur
Je naweza tumia kimbo kutengenezea butter?
Unaweza bila shida
Asante sana nimejifunza
Baada ya kutengeneza keki Nini hufuata haswa ya pili
Thank you nikfanya my cakes melt fast if stays out of the fridge is it because I put it on the fridge?
naomba kuuliza nikiweka maj ya chungwa badala ya ljmao nisahihii
Samahani dada naomba ivo vipimo vya icing butter
Asante Sana kwa mashauri yako
Siz Kwan huwa tunaeka maji I thought we mix butter and icing sugar only until ikue white and fluffy
Ukitumia hiyo butter huwa haiwi white naona
asante dear naomba utufundishe royal icing
Asante nimejifunza kitu
Butter cream yang inakua na chenga chenga haiwi soft ivo
Aki thanks sana❤
Hbr mm nauliza hiv unaweza kutengeneza icing sugar kwa sukar ya kawaida na isichuruzike
Nemependa.
Naomba kuwa mwanafunzi mpya kutengeneza icing butter cream na na cake
Unafundisha vizur sana... nakupenda bure ❤️
❤
Asante sana naomba kujifunza keki mbali za biashara kuanzia za kuuza 500 , robo,nusu,kilo,nk asante
Asante sana ,nilikuwa nauliza hii icing sugar ni sukari yenye imesiangwa ama nini?
Ni sukari ya aina hiyo inavitu vingine ndani yake sio sukari ya kusaga
Asante sana ubalikiwe
Madam Latha lazima utumie Moja tu.
Ata mbili tatu ila kwa uchache isizidi
Natena umetumia icing sugar grams ngapi ndani ya iyo margarine 200g? Mara nimeona 500g Tena kwa mwisho ukaandika 1000g sikuelewa kabisa
Jumla ni 1000g yan box mbili za 500g
Niceee👌 Atleast nimejifunza kituu
dada Bado nasumbuka kipimo Cha maji naomba ufafanue zaidi
Au inakuwa hvyo
Nimependa ufundishaji wako napenda nunua noso rose Maya ya na ten gene za and?
Naeza tumia maziwa baada ya maji?
Asante sana mziwanda cakes u made me happy dear
🥰🤝❤
Shukran jazila dada😍 naomba kujua hii buttercream ya leo ni kwa ajili ya maua tuu? Au unaweza itumia kufunikia keki?
Hii ni nzuri kwa maua bila kuongeza maji,ila ukitaka kufunikia keki ongeza maji kiasi cha 1Tbsp tu ili ikauke vizuri
@@mziwandabakers8297 shukran jazila dada 😘😘
Naweza kupata namba zako za simu tafadhari, ili niendelee kujifunza zaidi na zaidi?
Ahsante kwasomo nilikuwa nauliza kwamba unaweza kupambia keki yote au kwajili ya mauwa tu. Maana nikipaka huwa unagandia kwenye sahani wakati wa kukata keki atanikiweka kwenye friji.
Msaada please...🙏🙏
Shukran Sana,ili nauliza which is gd is it butter cream or whipping cream
It depends on the ones need, both are good accordingly
@@mziwandabakers8297 thnkx dear
Mimi nataman kujua namna ya kutengeneza faundant
Pia naona ulifundisha butter icing kwa kutumia whipping cream.kwaio unaeza tumia both icing sugar na whipping kutengeneza butter icing?
Unaweza tumia njia zote mbili ila kila moja inatabia tofauti
Misaada icho kilichochanganywa na ilcing ni nini?
Ni Margarine, maji na ladha
Nataka kujuwa upjshii
Naomb kufahamu hyo machine unayotumia n ipi na machine nzur ya kuchapia ni ipi?