Mimi nimekuelewa vizuri sana dada pia niishawahi kufanya kazi bakery hii kazi naipenda sana inalipa sana ila nilikuwa sifaham jins ya uchomaji kwenye mkaa ila naona umenifumbua macho vitu vingi sana, ila kitu kimoja tuu sijajua ni kiasi gani cha dawa inayochanganywa kwenye mkate ili usiharibike ukiwa sokoni, mimi nataka nijiajiri kabisa kupitia hii kazi, sasa nakuomba sana ningepata namba ya simu ili inisaidie pale nitakapohitaji ushauri asante.
Mambo dada, hongera sana kwa kazi nzur napenda sana yani na unanisaidia sana, mm natengeneza mikate km ivo lakini mm yakwangu mara nyingi inakuwa milaini sana kiasi kwamba inajikata kata spoch yake haiwi ya kushikamana inakuwa km mfano was cake sasa sijui nn shida nisaidie mpenz.
@@mziwandabakers8297 Ccter kati ya PRESTAGE Na iliyoandikwa blueband kunautofauti gani ama iliyoandikwa blue band si nzuri kwa keki ama iliyoandikwa PRESTAGE Ndo nzuri zaidi
Mimi nimekuelewa vizuri sana dada pia niishawahi kufanya kazi bakery hii kazi naipenda sana inalipa sana ila nilikuwa sifaham jins ya uchomaji kwenye mkaa ila naona umenifumbua macho vitu vingi sana, ila kitu kimoja tuu sijajua ni kiasi gani cha dawa inayochanganywa kwenye mkate ili usiharibike ukiwa sokoni, mimi nataka nijiajiri kabisa kupitia hii kazi, sasa nakuomba sana ningepata namba ya simu ili inisaidie pale nitakapohitaji ushauri asante.
Nahitaji kujuwa vimo vyote KWA gm kilakitu
Mimi nahitaji kujua hii kazi sijui wapi wanafundisha
❤
From Kenya🇰🇪 tunasema upishi wako ni mzuri mno👌
Ahsante darling
Where do I buy the mixer?
Uko vizuri sana
Mungu akubariki dada,siyo jambo la kawaida mtu kujitoa elimu yake hivi hivi.Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi.
Amiin
Asante kwa mapshi mazuri tusiojua tumejifunza
Mungu akuweke wewe dada naona kabisa ndoto yangu inavyoenda kutimia
ubarikiwe sana
Amiin
Thanx kwa video..pls naomba elimu kuhusu bread improver???
Asante kwa ujuzi wa kutengeneza mikate na skonsi
Mungu akubariki sana my dear,nimefurahia sana hili darasa.
Nimeipenda sana recipe yako ya hii mikate. Big up Mziwanda Bakers!!
Thank you
Mashaallah mikate mizuri sana hongera
Moto umeweka ngapi
Uko vizuri ahsante nimejifunza
Best of the best
Mpo vizuri sana kwenye mafunzo
Hongera sana
MashaAllah nzuri, na mm ntajaribu
Waaawow! Ahsante sana kwa darasa zuri, endelea kutufundisha zaidi mpendwa.
Amiin dear
Good job mama i love ur video
Hongera ni nzuri
Hongereni sana mko vizuri sana
Àsante sana kwa somo , nimejifunza kitu
Masha Allah nimependa sana nitajaribu 🥰🥰🥰🥰
My Dada wallah wafanya vzur,,, Allah akufanyie wepesi katika kazi zako akucmamie km unavyotuelimisha love u 😍 !
Dhulfa Abbasi karibu kweny channel yangu ili usipitwe n kila video yangu ya urembo ☺️
@@lamiessaed1092 Asante Dada tuko pamoja ntakuja jifunza mengi ktk channel ako ucjal thanks so much ee
Dhulfa Abbasi aww thank u lovie
Asanten sana mziwanda .nomejifunza niko kwenye mazoezi
Ma shaa Allah nimependa!!💞
Nimejivunza so much kutoka kwako.may God bless you
Amiin
amazing mamy MashaAllah
Wow..., mpka raha inaonekana mitamu sana hongera na asante kwa kutuelimisha dear.
Asante wewe ni mwalimu
❤
Amaizing🥰🥰🥰
Nzuri mashaallah hongera teacher
😋😋😋
Thanks love uko good sana. Asante kwakua sio mchoyo
Ongera mikate mizuli
Asante kwa kutusikiza wapenz wako nakitujali mm dua zangu n nying kwako saanaaa saaanaa yarab takabal duaa
Sada Saleh hi love karibu kweny channel yangu u subscribe ujifunze urembo
Paaambeeee
❤
Asabte sana nimejifunza na ntapractice 👏👏👏Mkate unavutia sana
😋
Santee sana mumy kua nahiyo moyo wakufuza vizuri hivyo ubarikiwe
Mzuri sana mkate hongera
Looks good
Very nice mashallah
Mashallah uko vzr
Very nice 👍
Nakupenda mpendwa wangu napika nami huu mkate kwa kufuata maelekezo yk
Karibu sana ❤
Mubarikiwe sana kabisa asante mama
Good job blessed for sharing
MaashaaAllah ni mzur, nimeupenda
Kazi nzuri dada ❤❤❤
Masha Allah
pishi zuriiii😘
Nimeinjoy sanaa
Waaw mashaaallah ni mizuri inaonekana👍
Mnoo dear
Nitaomba namba zako tuogee badae
Unaelekeza vzur sn .Asante mnooo😍
😘
Congrats 100% perfect
Thank you
Nimependa
Mashallah hongera kwa ujuzi wako
🙏
Wajua kueleza vizuri saana
Safi
Nimependa Sana nitajifunza
ongera sana
Nimeipenda sana na piah natamn nianzishe kaz kama hii sema bado sijajua vifaa vitakavyotumika
Hongera dada kazi safi sana
Waoo NC ❤️❤️😂
Mambo dada, hongera sana kwa kazi nzur napenda sana yani na unanisaidia sana, mm natengeneza mikate km ivo lakini mm yakwangu mara nyingi inakuwa milaini sana kiasi kwamba inajikata kata spoch yake haiwi ya kushikamana inakuwa km mfano was cake sasa sijui nn shida nisaidie mpenz.
Unakanda kwa kutumia machine?
Great tutorial.😋 Thank you for sharing.🙏
Thanks my dear ❤️
Asante sana habibty tufundishe sambusa za unga wa mach el
Asanten mziwanda bakery..👏🏾👏🏾
Karibu 🙏🙏
Asante sana
I will try vry nice
Nitajaribu inshaallah nimependa
Ahsante Sana kwa mapishi Mazuri. Naomba unifahamishe hii Amprove inayosaidia kuhumuka mkate. Inaitwaje Kwa Kiswahili ili nitafute Madukan.
Shukran, hii jina lake ni hivyo hivyo bread improver
Mashallah habibty keep a great work
Amiin
Nimependa sana
Mashaallah Tabarak Rahman
Amiin
Nimeipenda sana nakama ninatrei laovena
Mashllh nzuri sna vile mm napenda ku beak
Mashalah uko Sawa Dada
Mashaallah asante kwa somo
Uko sawa
Haeeee mashalla😍😍😍
Very nice dear
Asante hakika nimejifuza
Kazi nzuri pia naomba kujua mashine yako umenunua shilingi ngapii nijibu tafazali
Nimefulahi Hadi machozi
Mamy hongera unaelekeza vizuuuuri 😋😋😋
Karibu dear
@@mziwandabakers8297 asante kipenzi nikihitaji kuwa mwanafunz wako utaratibu upoje
Naikubali kazi yako dada
Nashukuru kwa mafunzo haya kwa hakika munatusaidia sana
I'm the one leo 😘💕
Waoh😘
@@mziwandabakers8297 Ccter kati ya PRESTAGE Na iliyoandikwa blueband kunautofauti gani ama iliyoandikwa blue band si nzuri kwa keki ama iliyoandikwa PRESTAGE Ndo nzuri zaidi
@@jackyluns8224 zote nzuri
Nataka kujifunza
Wow thanks baby mama
Hongeren sana
Asante nimefurahi kujifunza
Nakupendaga bure mumy uko vizuri mnoooo
🥰🥰
I love it
Good .
Nimeipenda sana
Napenda sana mapishi yako
Karibu ❤
Kazi nzuri dada
Asante sana kwa kutufunza Dada yetu🙏
😘😘
Kazi nzurii 🙏🏻
Mashaallah hiyo bread improve twaweza pata wp?alfu naomba tafadhali utuonyeshe box ya kuifadhu keki swa da
Wow
Mashaallh Mkate mzuri
upishi wako mzuri sanaaaa
🙏
Mashallah best ever
Umetisha naomba no yko dear.