KEKI TRIM NA CRUMBS COAT KWA USAHIHI ZAIDI/CAKE TRIM AND CRUMBS COAT

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • ‪@mziwandabakers8297‬ Tumefundisha Kukata,Kutrim Na Kupakaa Butter Cream Yaani Cake Triming Na Crumbs Coat Kwa Utulivu Ili Wanafunzi Wote Wapate Uelewa Na Tuweze Kujua Wapi Shida Imebaki Ili Tuweze Kusaidiana Na Kukamilisha Zaidi Katika Upambaji

КОМЕНТАРІ • 76

  • @MkubwaAbdul
    @MkubwaAbdul Місяць тому

    Masha Allah

  • @hawagomba598
    @hawagomba598 Рік тому +1

    Ahsantee kila siku nazid kukomaa

  • @hindomohammedi-yy4lz
    @hindomohammedi-yy4lz Рік тому

    Unatoa ujuzi mkubwa sana bila kujali nini kinarud kutoka kwaunaowapatia. Pokea Dua njema

  • @rebeccanyalla7347
    @rebeccanyalla7347 Рік тому

    Hongera sana mie nazidi kujifunza

  • @hindomohammedi-yy4lz
    @hindomohammedi-yy4lz Рік тому

    Mungu akubariki sana kwenye kazi zako. Amina

  • @mamydandi7076
    @mamydandi7076 2 роки тому

    Naitaji darasa my

  • @nokanokiofficial2856
    @nokanokiofficial2856 2 роки тому +2

    Hmmm Yuummmy 🤤 Noki Channel here from indonesia 🙏❤️

  • @sarahchalamilah3601
    @sarahchalamilah3601 Рік тому

    Mashallah

  • @upendoramadhan9222
    @upendoramadhan9222 2 роки тому

    Asante kwa darasa nilikua napata tabu cake inanyofoka wakat wa kupamba now I understand Mungu akubariki

  • @juliekinabo6852
    @juliekinabo6852 2 роки тому

    Uko vizuri dada yani mm ni muhanga wa kunyanyuka na kipisi vya keki

  • @HajraAlly-hp4ii
    @HajraAlly-hp4ii Рік тому

    Naomba kujua kupamba keki ya sendof yangazi

  • @sarahchalamilah3601
    @sarahchalamilah3601 Рік тому

    Mwenyez mungu akulipe kila la kheir.

  • @aminadeogratius1385
    @aminadeogratius1385 2 роки тому

    Mm Bado inanisumbuaaa

  • @emmymateni8952
    @emmymateni8952 2 роки тому

    Ubarikiwe dada

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 2 роки тому

    Ni kweli kila kitu chataka kujifunza shukran da

  • @aishakarayu5407
    @aishakarayu5407 2 роки тому

    MashaAllah,,napenda mafundisho yako👌

  • @fortune5075
    @fortune5075 2 роки тому

    Asante dada mziwanda kwa darasa nilikuwa napata shida kwenye vyote ulivyofundisha.Mungu akubariki

  • @yappylunyali8145
    @yappylunyali8145 2 роки тому

    Madam Mungu akubariki sana

  • @chikumohamed5303
    @chikumohamed5303 2 роки тому

    Ahsante kwa darasa zuri😍

  • @annablitopite4303
    @annablitopite4303 2 роки тому

    Asante kwa Somo hii nichangamoto kupata pembe zilizonyoka

  • @wilsonndeva-lp3zh
    @wilsonndeva-lp3zh 11 місяців тому

    Hi ni mgeni naomba nafasi

  • @ifgeniakimaro4171
    @ifgeniakimaro4171 Рік тому

    Mim nikiweka batter katikati huwa aigandi tatizo Nini nikikata ya nje ipo vizuri iyo ya kubebanishia keki aigandagi

  • @happinessmsaki7840
    @happinessmsaki7840 2 роки тому

    Asante sana dada vyote vilikuwa vinanipa shida ubarikiwe mno.

  • @hidayaabdurahman7539
    @hidayaabdurahman7539 2 роки тому

    Shukran Sana,ubarikiwe🙏

  • @astidijakashemeile1918
    @astidijakashemeile1918 2 роки тому

    Mungu akubariki

  • @leahbonifas5050
    @leahbonifas5050 2 роки тому

    Asante sana mziwanda,darasa la leo ni kubwa sana kwangu mm😘

  • @einorthmollel8636
    @einorthmollel8636 2 роки тому

    Your such amazing instructor.. Naomba maelekezo ya kujiunga na madarasa ya bakery..

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому +2

      🙏🙏 this holiday sesson hatuna private class dear,just stay with us tuna madarasa mazuri mpaka January

    • @einorthmollel8636
      @einorthmollel8636 2 роки тому

      @@mziwandabakers8297 asante..

  • @user-hg1lr7bf4q
    @user-hg1lr7bf4q 10 місяців тому

    Nina pata. Shida wakati wa kuweka butter cream I na Toka nakeki

  • @hajiwaseif2825
    @hajiwaseif2825 2 роки тому

    Asnte mtt wake

  • @halimaleila2323
    @halimaleila2323 2 роки тому

    👍👍🙏🇧🇮🇧🇮

  • @salmakisanzo408
    @salmakisanzo408 2 роки тому

    Yani my nakupenda bure uweziamini nimekuta kupamba kupitia wewe

  • @edinamossy4324
    @edinamossy4324 Рік тому

    Kati ya vitu vinavyonitesa nikunyoosha hapo juu butter dah ngoja nifanye mazoezi

  • @rosemarypeter9232
    @rosemarypeter9232 2 роки тому +1

    Yaani umenisaidia pakubwa

  • @happinessmaswi3761
    @happinessmaswi3761 2 роки тому +1

    Ahsante sanaaaa kwa darasa zuri mm naomba kujua nifanyeje ili nikibake cake yangu isipasuke juu iwe flat kama zako unazotoa very flat juu

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому

      Ukifuata recipe na ukiijua oven yako mambo yatakuwa mazuri,,,endelea kukaa nasi na kufuatilia vipindi utakuwa sawa

    • @happinessmaswi3761
      @happinessmaswi3761 2 роки тому

      @@mziwandabakers8297 shukran Sana dada recipe zako nazizingatia sanaaaa nadhan tatizo litakuwa kwenye oven I hope nitafanikiwa naendelea kufuatilia

  • @SalmaYusuph-cn4hl
    @SalmaYusuph-cn4hl Рік тому

    Nimependa na mi najifunza ila nilikua naomba mnionganishe na group len

  • @mariamdenis91
    @mariamdenis91 Рік тому

    Samahani mm keki zangu hazivimbi hivyo na juu zinachanika nakuwa ngumu shida ni nn

  • @Nelly-wq9fc
    @Nelly-wq9fc Рік тому

    Mm hapo kwenye kusawazisha ili ilingane napata shida jamn ila ngoja nifanye mazoez na kuzungusha hiyo sahani yake mmh hatari sana

  • @aisherharoon2613
    @aisherharoon2613 2 роки тому

    Huwezi kuwek fondant Bila kuwe butter cream

  • @paulinasagala9710
    @paulinasagala9710 Рік тому

    Darasa la online naomba

  • @rehemaadam8746
    @rehemaadam8746 2 роки тому +1

    Asante Sana...Mimi cake zangu hazipand juu sijui nakosea wapi ?

  • @faridaabdallakombo8502
    @faridaabdallakombo8502 2 роки тому

    Dada nimjaribu dripping ila kidogo imewahi kuwa nzito before nimalize

  • @fatumabuheri1825
    @fatumabuheri1825 2 роки тому

    Habari Mdm, je huwa mna group la mafunzo ya cake nilikua nahitaji kama lipo

  • @nayfatsalim7828
    @nayfatsalim7828 2 роки тому

    Ety naomb unjb kuchoma keki nilazma ueke moto wa chini pkeake ama juu n chini plss nijbu

  • @neemakusenha2540
    @neemakusenha2540 2 роки тому +1

    Asantee mwl wangu mzuri ,, naomba link ya kutengeneza butter cream Kama hiyo...afu hyo inafaa kuchorea maua ilivo laini ivo??

  • @lucykasiga6928
    @lucykasiga6928 2 роки тому

    Mimi hua na trim na grater

  • @clarashaban6068
    @clarashaban6068 2 роки тому

    Dada mungu akubariki sana,hv cot ya pil pia inatakiwa iwe nyepesi kama hiyo?

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому

      Amiin,ya pili iwe nzito kidogo tu zaidi ya hii

    • @clarashaban6068
      @clarashaban6068 2 роки тому

      Asante dada umenifanya nijue atlist kunyoosha butter kupitia video zako

  • @renathajames2540
    @renathajames2540 2 роки тому

    Naomba namba ya whats up, kwenye kupamba ream yangu huwa inangangania sana kwenye kisu, haishiki kwenye keki, nachukua mda sana tofauti na wewe!

  • @hellenomar2177
    @hellenomar2177 2 роки тому

    Kama keki saizi hiyo unayo remba hapo ni bei gani?

  • @shsmimuiddi3851
    @shsmimuiddi3851 2 роки тому

    Ili keki Iwe soft sponge kitu gani nizingatie.

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  2 роки тому

      1. Upigaji uwe mzuri
      2. Recipe iwe well balanced
      3. Moto pia ni muhimu kuzingatia

    • @tinamoshi7741
      @tinamoshi7741 2 роки тому

      Mbona nikipika keki ikiwa inaiva inapanda juu katikati nakosea nini

    • @nadiasaid9942
      @nadiasaid9942 Рік тому

      Mie nikipika kake ndani haiwi nyeupe sana sijui tatizo ni nini naomba unieleweshe nini nakosea