CAKE IMPROVER/CAKE GEL/FAIDA ZA KUTUMIA IMPROVER

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • @mziwanda Bakers
    Cake Improver Ni Kiungo Kwenye Mapishi Ya Keki Inayosaidia Kuumua Na Kuongeza Ujazo Katika Mahitaji
    Pia Inapunguza Gharama Za Uzalishaji Wa Keki
    Ni Nzuri Sana Ikitumiwa Vizuri Kwa Vipimo Sahihi Utafurahi Matokeo Yake
    Karibu Mziwanda Bakers
    Tunamadarasa Ya Karibu Zaidi Kwa Kupitia WhatsApp Pia Yakuingia Jikoni Moja Kwa Moja
    mziwanda_bakers instagram:mziwanda_bakers
    0768859358

КОМЕНТАРІ • 227

  • @karesmatemba7908
    @karesmatemba7908 Рік тому +5

    Ubarikiwe upo vizur nimejua kupika keki kupitia wewe nasasa nafanya biashara ya keki shukran

  • @fatmahamoud8343
    @fatmahamoud8343 3 роки тому +5

    Shukran dada vipimo hujatuandikia I ulivyotumia tutashukuru tukijua vipimo

  • @zawadimdemu6246
    @zawadimdemu6246 2 місяці тому +2

    Vipimo tunaomba dada nami nataka niamze biashara ya cup cake

  • @atuganile08
    @atuganile08 10 місяців тому +1

    Amazing 😍

  • @shuuvuoni7427
    @shuuvuoni7427 18 днів тому

    Shukrani dada nimekupenda bure

  • @elizabethedward3749
    @elizabethedward3749 3 роки тому +3

    Asante sana hizi ni tips za muhimu sana, ubarikiwe

  • @salmazuberi-pd2zn
    @salmazuberi-pd2zn Рік тому +1

    Hongera dada kazi ni nzuri sanaaaaana

  • @hellenmteki7714
    @hellenmteki7714 3 роки тому +2

    Asante sana naomba utuoneshe kipimo tafadhari kwa mfano keki ya kg moja natamani sana kujua namna ya kuitumia kivipimo

  • @aminaali3072
    @aminaali3072 Рік тому +4

    Hi Mziwanda bakers, am a new baker and i wanted to know whats cake preservatives you use. Thanks

  • @maryjulius6650
    @maryjulius6650 2 роки тому +1

    kazi nzuri jamani vipimo

  • @kudralyimo7321
    @kudralyimo7321 3 роки тому +2

    Shukran sana,Mimi nilikuwa naweka presteg+sukar+mayai ndo naweka improve.Zilikuwa zina tata kwenye vikopo kila siku ni hasara hadi niliacha kupika ila leo nimejifunza ntapika tena bi inzillah🙏

  • @maureenmbinile1655
    @maureenmbinile1655 3 роки тому +6

    Mi natumiaga tu hata sijuiagi kama napatia au la,asante kwa upendo wako. Tunaomba hata summary ya recipe,maana Mimi napenda kujipikilisha.

  • @HadijaHadijarashidi
    @HadijaHadijarashidi Місяць тому

  • @user-vb2mi5oe7y
    @user-vb2mi5oe7y 10 місяців тому

    Tunaipataje hii improver bei gan dada

  • @user-sv1qy9he8m
    @user-sv1qy9he8m 4 місяці тому

    Mungu akuongezee maarifa kipnz asante

  • @ejecjoycemadeghe3283
    @ejecjoycemadeghe3283 3 роки тому

    Asante kwa someone mimi niliweka improver ila niliona cake ina harufu kidogo tofauti au nilikosea

  • @theresiasafiely1701
    @theresiasafiely1701 3 роки тому +2

    We Dada ninakupenda mno sio mchoyo ,Mungu akuinue kwenye kila ufanyacho ufanikiwe

  • @jackiejunior2273
    @jackiejunior2273 Рік тому

    Hizi improver zinapatikana madukani

  • @mtolomoshi-hl3ho
    @mtolomoshi-hl3ho 5 місяців тому

    Nimependa

  • @syitwamax9961
    @syitwamax9961 2 роки тому +1

    Shukran sana kwa kutuelimisha

  • @winfridavicent-gp1my
    @winfridavicent-gp1my Рік тому

    Asante umeniinua na darasa lako nimepiga hatua kubwa sana

  • @user-ro1lu7oo1s
    @user-ro1lu7oo1s Рік тому

    Mungu azidi kukuinua ubarkiwe sana

  • @SophiaKigombola
    @SophiaKigombola 7 місяців тому

    Asante sna mumy, nabarikiwa sna na mapishi yako, na ukisoma comment za watu ni baraka nyingi unapewa. Nami nakuombea baraka nyingi kwani siyo mchoyo, wengine huficha.

  • @mariammalembo5569
    @mariammalembo5569 2 роки тому

    Inapatikana wapo Improvel

  • @hasinarashid5059
    @hasinarashid5059 3 роки тому

    Heeeeeeee kumbe tenaa🙆🙆 asantee hiyo ndoo ya improvel n sh.ngap

  • @phiahofficialtv7140
    @phiahofficialtv7140 3 роки тому +1

    Yani asante jamani mungu akubariki sanaaa

  • @irenegomanga8654
    @irenegomanga8654 3 роки тому +5

    Kaxi nzuri sana dada ila sijasikia umesema mayai mangapi au sukaru kias gani na improver kiasi gani wala siagi pleas tunaomba vipimo

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 3 роки тому +1

    Mashallah asnte dda nakupenda hutuhini

  • @nigistsheikh7819
    @nigistsheikh7819 2 роки тому

    Shukran kwa darasa nzuri sana
    Ila hujaweka vipimo mama 🙏🏻

  • @nigistsheikh7819
    @nigistsheikh7819 2 роки тому

    Barikiwa

  • @zawadimdemu6246
    @zawadimdemu6246 2 місяці тому

    Asante nimejifunza

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 2 роки тому

    asante my

  • @nestajacob4584
    @nestajacob4584 2 роки тому

    Vipimo my

  • @hidayaothman5936
    @hidayaothman5936 3 роки тому

    👌👌 asante kwa somo can't wait kuona kwa size ya keki kubwa moja

  • @saidakunga2586
    @saidakunga2586 2 роки тому

    allah akuhifadhi ukitumia imrover kwenye kg1 unaweka kiasi ganì na mayai mangapi na sukari kiasi gani

  • @janemisayo2832
    @janemisayo2832 3 роки тому +4

    Mziwanda Ur the best My Dear, God bless u in ur handwork, Tunapata kitu kikubwa chakukuza Biashara zetu

  • @princedino1487
    @princedino1487 3 роки тому

    Ubarikiwe dada kazi nzuri sana. Umetupa idea nzuri sana

  • @rahmaabubakarisaanatu1961
    @rahmaabubakarisaanatu1961 2 роки тому

    Hongera sana. Namba za simu.

  • @ncodemasihombo8062
    @ncodemasihombo8062 2 роки тому

    Najifunza

  • @Celinychetty
    @Celinychetty 4 місяці тому

    Asante kipenzi

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Рік тому

    Una dalasa what up

  • @rihannarihanna6589
    @rihannarihanna6589 2 роки тому

    Wow thanks daling this is absolutely perfect.

  • @winniejacob1784
    @winniejacob1784 3 роки тому

    Asante Sana kwa darasa zuri lakini haujatupa vipimo leo dada

  • @edithanicodemus7759
    @edithanicodemus7759 2 роки тому

    Asante sana unafundisha vzr sana tunaelewa je unaweza tengenezea keki za kawaida!? Nakupenda jmn😍😍😍😍

  • @sharifaalawi1676
    @sharifaalawi1676 3 роки тому

    Samahan maadam wanasema improver kuwa keki haiwi tamu

  • @user-fk3rh1ed5s
    @user-fk3rh1ed5s 8 місяців тому

    Waoo Asante mumy lakin mm nikitumia haipandi hivo

  • @ladymboka8278
    @ladymboka8278 3 роки тому

    Barikiwa mnoo dada

  • @pasyamwakyoma1950
    @pasyamwakyoma1950 Рік тому

    Hi naitaj uwe mwalim wangu jaman

  • @joycetido1896
    @joycetido1896 Рік тому

    Asante Sana naomba recipe ili niweze kufanya zoezi

  • @einothmollel5713
    @einothmollel5713 2 роки тому

    Asante
    Kwa biashara kimoja bei gani

  • @aishasheketo
    @aishasheketo Рік тому

    Inauzwa Bei yake mpenz

  • @anastaziabeno6062
    @anastaziabeno6062 5 місяців тому

    Asante dada tuaomba vipimo jmn😢

  • @hasinarashid5059
    @hasinarashid5059 2 роки тому +2

    Tunaombaa tufanyiee hiyo improval kwenye birthday cake 🙏🙏

  • @mariamtofiki9489
    @mariamtofiki9489 3 роки тому

    Sh ngap cake moja kipenz

  • @asyaabdallah756
    @asyaabdallah756 3 роки тому

    Mashallah!

  • @nemyfredy4091
    @nemyfredy4091 2 роки тому

    Nimefurah Sana jaman kuona hiyo cake gel

  • @joychimpakenedy1848
    @joychimpakenedy1848 4 місяці тому

    Miongoni mwa walimu wangu wanaonipa ujuzi wa bila konakona we ni kiboko yao. Nakuelewa harafu nakuelewa tena

  • @ryamkim7522
    @ryamkim7522 Рік тому

    What do u use to make your cakes stay fresh?

  • @yasintamtui8609
    @yasintamtui8609 3 роки тому

    Thank you so much

  • @brendaprosper8268
    @brendaprosper8268 2 роки тому

    May God bless u ♥️

  • @annachuwa3256
    @annachuwa3256 Рік тому

    Cake zakawaida je

  • @ndarondaki422
    @ndarondaki422 2 роки тому

    Ni nzuri nimeipenda, Lakini naomba kujiunga na darasa lako

  • @christinalukinga6242
    @christinalukinga6242 Рік тому +1

    dada huwezi tumia mashine tofauti, kwa mfano sina mixa hiyo naweza tumia mbadala upi

  • @ifeomacheto8766
    @ifeomacheto8766 Рік тому

    Please, we need a good English translation. It look so good

  • @angelphilipo2945
    @angelphilipo2945 3 роки тому

    Asante dada kwa mafunzo

  • @hawahussein6673
    @hawahussein6673 3 роки тому

    Asante kwa somo mi nnayo lkn sio nyeupe sana IPO km maji

  • @lydiaaspro1740
    @lydiaaspro1740 3 роки тому

    Asanteee sanaa tunaomba recp kamili mpenzi

  • @iblahimforget7270
    @iblahimforget7270 26 днів тому

    Samahani dada tunaomba vipimo jamani na sisi tujaribu kupika kipenzi

  • @verokomanya4050
    @verokomanya4050 3 роки тому

    Asante sana

  • @UmmuFaridy-lb5qi
    @UmmuFaridy-lb5qi Рік тому

    Assalamu Aleykum Khery. Video IPO Vzr Ila Tatizo Vipimo Msaada Plzz

  • @alistidesalistides1071
    @alistidesalistides1071 Рік тому

    Wanauza wap jaman hiyo improve

  • @phidesbrightone3227
    @phidesbrightone3227 Місяць тому

    Jaman mwalimu tunaomba utupe vipimo kwa gram au kilo.

  • @ummbassumy582
    @ummbassumy582 3 роки тому +2

    hi dada napenda mno contents zako
    naomba vipimo kwa hii video ya kutumia cake improver

    • @scholasticamasanja2694
      @scholasticamasanja2694 2 роки тому

      Ahsante sana mwl leo nimeweza kuchanganya vzr cake gel kwa maelekezo yako mpk ukafura mwazoni nilikuwa nakoroga lkn haufurii kumbe nilikuwa situmii muda mrefu

  • @queenqueenshazroon9299
    @queenqueenshazroon9299 Рік тому

    Da mziwanda cup cake kl mbili improve kiasi gn na naomba nijiunge darasa la online kama lipo

  • @hidayaabdurahman7539
    @hidayaabdurahman7539 3 роки тому +7

    Shukran Sana, ila tufanyie na cake za kawaida (za birthday) tuone inatumikaje

  • @upendosimioni689
    @upendosimioni689 2 роки тому

    Asante mpendwa,ila naomba kuuliza hii improve unaweza kutumia kwenye kake ya kawaida kama za happy birthday

  • @DOTOCHARLES-so7rh
    @DOTOCHARLES-so7rh 10 місяців тому

    Niunganishe kwenye group lako

  • @aminasinze534
    @aminasinze534 2 роки тому

    Yn kujifunza tu

  • @winjukansangulo543
    @winjukansangulo543 2 місяці тому

    Tusaidie vpimo

  • @reycakesjikoni9085
    @reycakesjikoni9085 2 роки тому

    Naweza tumia hand mixer mamy wangu kufanya mchanganyiko huu wa improver

  • @halimaleila2323
    @halimaleila2323 Рік тому

    Asant dd ira mm sijaona vipimo😔😔🇧🇮

  • @aminamollel5725
    @aminamollel5725 3 роки тому

    Ahsante sana Mziwanda. Naomba kuuliza ukitumia emprover huweki baking powder? Na kama unaweka je, unaweka kwa kiasi kinachotakiwa kulingana na recip? Na unaweka Margarine wakati gani unapokuwa unatumia emprover?

  • @IbrahimAhmed-ge6nu
    @IbrahimAhmed-ge6nu 2 роки тому

    Aslmkm nilikuwa naomba unionyeshe jinsi yakutengeneza buttercream

  • @theodaycare3303
    @theodaycare3303 Рік тому

    Naomb unisaidie kuingia kwenye dalasa lako dada

  • @user-el8om3bo7f
    @user-el8om3bo7f 6 місяців тому

    Samahani dada angu naomba ukiwa unaweka vitu useme vipimo please

  • @theclamarealle6052
    @theclamarealle6052 2 роки тому

    Naomba kuuliza mpendwa dar una darasa la keki na kama ndiyo darasa ni bei gani kipenzi

  • @saladanford2771
    @saladanford2771 3 роки тому

    Plz msaada nahitaji izo baking za star 🌟 kwaajili ya keki za biashara plz naombeni mnisaidie

  • @esterlucus226
    @esterlucus226 3 роки тому

    Napataje ipuruza na bei yake

  • @neemakusenha2540
    @neemakusenha2540 2 роки тому

    Naomba utuwekee vipimo hasa kwenye cake za biashara kwa kg 1

  • @winjukansangulo543
    @winjukansangulo543 2 місяці тому

    Mziwanda no yangu no yako inapita kwa hapo juu sion vizur

  • @zubedambarak3008
    @zubedambarak3008 3 роки тому

    asante Sana dada mziwanda tunakushukuru sana nimeshajaribu keki zako ni balaa vipimo amazing na cake tamu

  • @anooranuar2675
    @anooranuar2675 3 роки тому

    Habari ni kiasi gani hii cake improver na naipataje

  • @nasramohamed8469
    @nasramohamed8469 2 роки тому

    Shukran sana kwa somo,ila mie nimefanya hizi cupcakes mbona juu ni kavu sana? Nakosea wapi?

  • @happymosha5253
    @happymosha5253 3 роки тому

    Asante love kwa somo
    Ila mimi nina swalí,kwa nini baadhí ya cakes. zinawekwa:b. Soda na nyingine no b.powder

  • @paulkimario9309
    @paulkimario9309 Рік тому

    Hello naomba recipe ya alfu cake unga kilo moja tu

  • @josephinemchome9730
    @josephinemchome9730 2 роки тому

    Tunaomba vipimo ulivyo Tumia mayai mangapi magarinie kiasi gani sukarii plzzzz 🙏

  • @user-mz9qp1ft5k
    @user-mz9qp1ft5k Рік тому

    iyi improver inapatikan wapi dad

  • @fahimahajji3544
    @fahimahajji3544 2 роки тому

    Wafunga cake how many pieces?

  • @waldamussa3609
    @waldamussa3609 2 роки тому

    Kuna improver kopo dogo au nihayo makubwa tu?

  • @husnastivini5727
    @husnastivini5727 2 роки тому

    Unaweka vipimo mamy tuwekee please