BURIANI MAALIM SEIF: Wanangu Kwaherini

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 119

  • @jumahamad8341
    @jumahamad8341 Рік тому +5

    اللهم اغفر له وارحمه وعافه وعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله. اللهم ادخله الجنة.

  • @hateebjrpresenter001
    @hateebjrpresenter001 Рік тому +4

    Allah azidi kukufanyia kaburi lako kuwa bustani katika mabustani ya peponi Allahuma ameen Maalim Seif Daima tunakumbuka kwa wema wako kwetu wazanzibar

  • @udiabdullah5261
    @udiabdullah5261 Рік тому +1

    Allah akurehem maalim seif

  • @zuwenasuleiman4277
    @zuwenasuleiman4277 3 роки тому +13

    Very emotional this song 😭,YaaAllah tunakuomba umkutunishe na mtume
    wetu Muhammad

  • @hassanyabdy-gl9gv
    @hassanyabdy-gl9gv Рік тому +1

    Kwl shuuja ameumaliza mwendo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 роки тому +7

    Innalillah wainnailaih rajiun Allah akulaze pema marehem maalim Daima hatutokusahau 😭😭😭😭😭 Allah akujaaalie kabri lako liwe niviwanja katika viwanja vyapepon😭😭😭😭😭

  • @zuumasoud5070
    @zuumasoud5070 3 роки тому +10

    Allah awape subra na iman yaumiza kweli na wewe uuliotowa hii kasda mashaallah killa lakheri kutuliza na Sisi Allah atupe khatma njema nazidi kuwapa pole sjawai
    Kutoa chozi langu kwa viongozi wetu kenya lakini huyu buda loh Ameniumiza ila nazidi kuwapa pole nanazidi kumuombea Allah ampe kauli thabit Ampe malazi mema peponi Ameen yarab

  • @mussaseifabdullwahid341
    @mussaseifabdullwahid341 3 роки тому +6

    Maalimu hatutokusahau mtetezi wa Wazanzibar .Mungu akufanyie wepesi kwa kila zito lako Amin

  • @hadiazahor6874
    @hadiazahor6874 3 роки тому +10

    😭😭😭😭😭kila nikimkumbk naumia 😪😪allh tupe weps na umpokee baba etu🤲🤲

  • @chazbatchaa8920
    @chazbatchaa8920 3 роки тому +13

    Mungu amrehem nimelia mpk leo siku ya4 nikimkmbkaa nalia😭

  • @salummkubwa
    @salummkubwa 3 роки тому +17

    Tupoeni na msiba sote , kumuenzi ni kutembea mwendo wa maono yake, tupendane Wazanzibari wote Inna lillahi wainna Ilayhi rajiuuun. Tupoe sote.

  • @salhanassor1077
    @salhanassor1077 3 роки тому +12

    Allah atupe subra wazanzibar..ampe subra mama etu mama awena na familia kwa ujumla..Yarrabby mpokee mja wako mapokezi mema na umueke ktk pepo yako ya juu kabisa kwa mema aliyotufanyia wazanzibar..amiin

  • @ashajoj4211
    @ashajoj4211 3 роки тому +5

    Ooh Mungu tupe subra na mjalie pepo ya firdaus almarehem maalim seif

  • @a.856
    @a.856 3 роки тому +11

    Allah amjaalie msamaha wake amridie na amlaze peponi amjaalie kaburi lake liwe nyumba ktk nyumba za peponi...amin

  • @KhamisMuhammed-ln2gc
    @KhamisMuhammed-ln2gc 2 місяці тому +1

    Inalih wainaih rajiun alla akusameh makosa yako

  • @MohamedAli-ds8uz
    @MohamedAli-ds8uz 3 роки тому +5

    Allah amjAalie firdaus

  • @omyjaku8818
    @omyjaku8818 3 роки тому +3

    Mungu akulaze mahali pema peponi maalim seeifu inshaallah

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 3 роки тому +7

    😭😭 Mtihani mkubwa hii qasida siku zote inanitoa machozi Allah ampe pepo kiongozi wetu Ameen yarabby 🤲

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 роки тому +9

    Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @rayamuhene5246
    @rayamuhene5246 3 роки тому +4

    Tumshukuru allah kwakila jambo

  • @tauhidasheha1118
    @tauhidasheha1118 3 роки тому +18

    Ee Mungu tupe subra waja wako, tunaumia😭😭

  • @fatoomfatomy6981
    @fatoomfatomy6981 2 роки тому +1

    Allahumma Wagh'firahu waskanahu makana fil janna daima utabaki moyoni jemedari wetu😭😭

  • @shemsasaidabdallah2386
    @shemsasaidabdallah2386 3 роки тому +1

    Allah amrehem MAALIM SEIF SHARIF HAMAD amlazepema amiin inshaallah
    🤲🤲🤲🤲

  • @sadakhamis5374
    @sadakhamis5374 3 роки тому +3

    Karibu baba kapumzike salama tutakukunbuka milele tunaumiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @azizamohammedsaid3753
    @azizamohammedsaid3753 3 роки тому +2

    😭😭😭😭💔💔💔kamwe hatuwezi kukusahau 💔😢....baba tunaumiaaa yarabby😭😭😭😭

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany3208 3 роки тому +7

    Laa! Ilaha illa llah Allah Akbar,, Subhaanallah😭😭

  • @jinalangu9348
    @jinalangu9348 3 роки тому +3

    ALLAH amueke mahala pema peponi aamin

  • @binrashidsalim5667
    @binrashidsalim5667 2 роки тому

    Mtihani ulitufikia Allah kwa Rehma zake amjaalie firdausi

  • @w4058
    @w4058 Рік тому

    Subhanallah Allah amsamehe makosa yake amzidishie mema yake ampokee akiwa amemridhia Yaarabiy Aamiin na sie tulobaki atupe mwisho mwemwa ndio lilobakia kuomba Maalim Seif ilipokuwa hai ukitajwa nyoyo zikifurahika leo tukikutaja dua tunakuombea

  • @maryamsimai6263
    @maryamsimai6263 3 роки тому +4

    mwenyezi mungu amsamehe makosa yake

  • @harthasuleiman257
    @harthasuleiman257 3 роки тому +7

    Dahhh innaa lillah wainnaa ilaihi raajiun, Allah ampe kitab chake kwa mkono wakulia

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Рік тому

    Yarabi wasmehe waja wako wote walio tanguliya na sisi tulio nyuma yao tujaaliye mwisho mwema

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Рік тому

    Hii nyimbo haituhusu ss Waislamu hapa tumekosea mambo Ukristo miziki na nyimbo ss Tusbih na zikri zetu Inatosha mitihan mikubuwa

  • @skeneali6125
    @skeneali6125 3 роки тому +4

    Hatusiti kulia 😭😭😭😭

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 роки тому +1

    Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah. 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @abuialmarjibi979
    @abuialmarjibi979 2 роки тому +1

    Cjui kwa nini huyu mzee kaniuma sana yaani kama mzazi wangu kabisa nashindwa kumsahau Allah jaalia kaburi lake na baba yangu yawe ni bustani katika mabustani ya peponi

  • @zubeirsalum128
    @zubeirsalum128 2 роки тому

    Hadi Leo nimetazama haya maombolezo lakini machozi yamenitoka mungu mlaze mahali pema peponi kwa rehma zako ammin

  • @w4058
    @w4058 Рік тому

    Machozi hayatoki tena ila huzuni zimepunguwa ila hatuko sawa twamuomba Allah atusaidie tusiingie kwenye kufuru Allah akulaze pema penye wema

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 роки тому +10

    Rais mwinyi ujumbe huo,umeachiwa jahazi,lisijeenda mrama

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 3 роки тому +4

    Love u Maalim daima

  • @yunairamohammed1805
    @yunairamohammed1805 3 роки тому +2

    Masha Allah mpaka machozi yananitoka

  • @rukiaothman7929
    @rukiaothman7929 3 роки тому +7

    Roho inauma ila kazi ya mungu haina makosa

  • @zuumasoud5070
    @zuumasoud5070 3 роки тому +7

    Maskin Allah amlaze peponi poleni ndugu zetu wazenj na pemba Allah ampe kauli thabit inaliza jamani

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Рік тому

    Inna lilahi wainna ilaiyhi rajiun Allah ampe safari ya kheri tupoweni kwa msiba tuweni pole

  • @khamisngwali6303
    @khamisngwali6303 3 роки тому +5

    inauma sana lkn ni mapenzi yake Allah sw amempenda sana mpe heri zake ewe mola wetu seif sharif hamad!

  • @muhsinali7427
    @muhsinali7427 3 роки тому +7

    YAA ALLAH umpe wepesi katika kabri lake umpokee hali yakua upo radhi nae hakika tulimpenda saana sana zaidi ya sana #Maalim Seif Sharif Hamad tutakukumbka daima

  • @sahidahamad39
    @sahidahamad39 3 роки тому +4

    SubhanAllah

  • @hudaasaalim1333
    @hudaasaalim1333 3 роки тому +3

    Yaa rab ghfirlahu warhamhu wamaskanahu filjannah 🤲🤲🤲

  • @fatimakhams1960
    @fatimakhams1960 3 роки тому +2

    Mashllj mashairi mazuri

  • @mohamedmande3958
    @mohamedmande3958 3 роки тому +3

    رحمه الله

  • @sulechidy8165
    @sulechidy8165 3 роки тому +2

    Allah amsameh makosa yake 😭😭🤲🤲

  • @user-hb3ep2zy3e
    @user-hb3ep2zy3e 3 роки тому +4

    tuzidisheni jitihada kwa dua kumuombea
    hiyo ni hadiyya kwetu anayo hitajia

  • @azizaomar2639
    @azizaomar2639 3 роки тому +1

    Allah amjalie nuru ya milele siwez kujizuia kila nikiona picha zake tuu au vedio najikuta nalia

  • @saidmaulid523
    @saidmaulid523 3 роки тому +1

    Kabisa Allah ampe kauli kaul dhabiti

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 3 роки тому +2

    Nakaribia kulia kwa jinsi hii kasda inavokwenda na ukubwa wa msiba

  • @gustavopoyety7004
    @gustavopoyety7004 Рік тому

    hatar wallah

  • @misscoast3174
    @misscoast3174 3 роки тому +6

    Subhanallah kila siku tunalia😭

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 3 роки тому +5

      Kulia sana dada haifai muombeeni mungu kwa wingi hta sisi watu wa mombasa kifo chake kimetuhuzunisha ni njia isioepukika sote tutakufa

    • @misscoast3174
      @misscoast3174 3 роки тому +1

      @@Khalid-mf3iu Kulia kwetu hakumaanishi hatumuombei... its ok to cry au hujui?

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 3 роки тому +1

      @@misscoast3174 namaanisha musilie sana nijuavyo si uzuri kwa marehemu am sure ataona raha mukikithirisha dua zenu kwake 👍

    • @jumayahya2661
      @jumayahya2661 3 роки тому +2

      @@Khalid-mf3iu umenena mana mwisho -itakua shirk

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 3 роки тому

      @@jumayahya2661 ndo hvo wajua tena wanawake kwa kulia

  • @salmaswaleh8215
    @salmaswaleh8215 3 роки тому +1

    Allah akujalie kauli thabit

  • @historicalzanzibartv
    @historicalzanzibartv 3 роки тому +2

    امين

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 3 роки тому +3

    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @delasdiego6537
    @delasdiego6537 3 роки тому +2

    God blessing you

  • @najatkhamis2848
    @najatkhamis2848 3 роки тому +2

    😭😭🤲

  • @salmamansour3718
    @salmamansour3718 3 роки тому +3

    Gumzo la Ghassani sorry kwa usumbufu naomba unitumie watsp plz plz imenigusa sana hili shairi kiukwel tumeumia sana waznzbr ila ndio khatma ya kila mja muhim ni kumuombea dua kipenz chetu

    • @awenaazizi637
      @awenaazizi637 3 роки тому +1

      Yeye ametangulia na sisi tuko nyuma yake Allah amsamehe makosa yake na sisi atupe mwisho mwisho mwema

  • @jumasubeit9726
    @jumasubeit9726 2 роки тому

    Ni pingo kwa Taifa na DUNIA kwa ujumla Kwan yy alikuwa jicho la siasa

  • @happysharma2510
    @happysharma2510 2 роки тому

    Ni mwaka sasa wallah hatupo tena na ww maalim uku wengine washaanza kukusaliti

  • @raghadiddarous924
    @raghadiddarous924 3 роки тому +3

    😭😭😭

  • @sulechidy8165
    @sulechidy8165 3 роки тому +2

    😭😭😭😭

  • @laylayahya24
    @laylayahya24 3 роки тому +2

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔

  • @hilalal-busaidi4007
    @hilalal-busaidi4007 Рік тому

    Tunamwaga machozi mpaka muda huu

  • @abdillahabdallah33
    @abdillahabdallah33 3 роки тому +1

    Dah

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 3 роки тому +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @salumtakao9828
    @salumtakao9828 3 роки тому

    Forrever in our heart

  • @humoudmohammad3125
    @humoudmohammad3125 3 роки тому +2

    .

  • @mhamedmuhamed7013
    @mhamedmuhamed7013 3 роки тому +2

    hatunyamaza kulia daimaaa😭😭

  • @hajihaji6701
    @hajihaji6701 2 роки тому

    Huzuni kubwa moyoni

  • @maryammmaka5775
    @maryammmaka5775 3 роки тому +1

    Assalam alaykum ustadh na mm nitumie kwenye no 0687574152

  • @a.856
    @a.856 3 роки тому +10

    Allah amjaalie msamaha wake amridie na amlaze peponi amjaalie kaburi lake liwe nyumba ktk nyumba za peponi...amin

  • @rayamuhene5246
    @rayamuhene5246 3 роки тому +2

    😭😭😭

  • @rayurayan543
    @rayurayan543 3 роки тому +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @humoudmohammad3125
    @humoudmohammad3125 3 роки тому +2

    .

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi7756 3 роки тому +2

    😭😭😭

  • @mhamedmuhamed7013
    @mhamedmuhamed7013 3 роки тому +2

    😭😭😭

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 роки тому +2

    😭😭😭