Innalillah wainnailaih rajiun Allah akulaze pema marehem maalim Daima hatutokusahau 😭😭😭😭😭 Allah akujaaalie kabri lako liwe niviwanja katika viwanja vyapepon😭😭😭😭😭
Allah awape subra na iman yaumiza kweli na wewe uuliotowa hii kasda mashaallah killa lakheri kutuliza na Sisi Allah atupe khatma njema nazidi kuwapa pole sjawai Kutoa chozi langu kwa viongozi wetu kenya lakini huyu buda loh Ameniumiza ila nazidi kuwapa pole nanazidi kumuombea Allah ampe kauli thabit Ampe malazi mema peponi Ameen yarab
Allah atupe subra wazanzibar..ampe subra mama etu mama awena na familia kwa ujumla..Yarrabby mpokee mja wako mapokezi mema na umueke ktk pepo yako ya juu kabisa kwa mema aliyotufanyia wazanzibar..amiin
Subhanallah Allah amsamehe makosa yake amzidishie mema yake ampokee akiwa amemridhia Yaarabiy Aamiin na sie tulobaki atupe mwisho mwemwa ndio lilobakia kuomba Maalim Seif ilipokuwa hai ukitajwa nyoyo zikifurahika leo tukikutaja dua tunakuombea
Cjui kwa nini huyu mzee kaniuma sana yaani kama mzazi wangu kabisa nashindwa kumsahau Allah jaalia kaburi lake na baba yangu yawe ni bustani katika mabustani ya peponi
YAA ALLAH umpe wepesi katika kabri lake umpokee hali yakua upo radhi nae hakika tulimpenda saana sana zaidi ya sana #Maalim Seif Sharif Hamad tutakukumbka daima
Gumzo la Ghassani sorry kwa usumbufu naomba unitumie watsp plz plz imenigusa sana hili shairi kiukwel tumeumia sana waznzbr ila ndio khatma ya kila mja muhim ni kumuombea dua kipenz chetu
اللهم اغفر له وارحمه وعافه وعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله. اللهم ادخله الجنة.
Allah azidi kukufanyia kaburi lako kuwa bustani katika mabustani ya peponi Allahuma ameen Maalim Seif Daima tunakumbuka kwa wema wako kwetu wazanzibar
Allah akurehem maalim seif
Very emotional this song 😭,YaaAllah tunakuomba umkutunishe na mtume
wetu Muhammad
Kwl shuuja ameumaliza mwendo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Innalillah wainnailaih rajiun Allah akulaze pema marehem maalim Daima hatutokusahau 😭😭😭😭😭 Allah akujaaalie kabri lako liwe niviwanja katika viwanja vyapepon😭😭😭😭😭
Allah awape subra na iman yaumiza kweli na wewe uuliotowa hii kasda mashaallah killa lakheri kutuliza na Sisi Allah atupe khatma njema nazidi kuwapa pole sjawai
Kutoa chozi langu kwa viongozi wetu kenya lakini huyu buda loh Ameniumiza ila nazidi kuwapa pole nanazidi kumuombea Allah ampe kauli thabit Ampe malazi mema peponi Ameen yarab
Maalimu hatutokusahau mtetezi wa Wazanzibar .Mungu akufanyie wepesi kwa kila zito lako Amin
😭😭😭😭😭kila nikimkumbk naumia 😪😪allh tupe weps na umpokee baba etu🤲🤲
Mungu amrehem nimelia mpk leo siku ya4 nikimkmbkaa nalia😭
Tupoeni na msiba sote , kumuenzi ni kutembea mwendo wa maono yake, tupendane Wazanzibari wote Inna lillahi wainna Ilayhi rajiuuun. Tupoe sote.
Allah atupe subra wazanzibar..ampe subra mama etu mama awena na familia kwa ujumla..Yarrabby mpokee mja wako mapokezi mema na umueke ktk pepo yako ya juu kabisa kwa mema aliyotufanyia wazanzibar..amiin
amina rabil.alamina
Salha Nassor allahum amiin
Ooh Mungu tupe subra na mjalie pepo ya firdaus almarehem maalim seif
Allah amjaalie msamaha wake amridie na amlaze peponi amjaalie kaburi lake liwe nyumba ktk nyumba za peponi...amin
Amin Amin Amin Amin Amim
Inalih wainaih rajiun alla akusameh makosa yako
Allah amjAalie firdaus
Mungu akulaze mahali pema peponi maalim seeifu inshaallah
😭😭 Mtihani mkubwa hii qasida siku zote inanitoa machozi Allah ampe pepo kiongozi wetu Ameen yarabby 🤲
Kweli hii kasida inatia huzuni sana
Ya Rabbi Mkubali Maalim Seif
mie.kila.siku naisikiliza hii kasida halaf nalia
@@bikomboali7342 tupoe sote 😭😭
Ametutea sana tupate maisha bora
Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
aaamiin
Tumshukuru allah kwakila jambo
Ee Mungu tupe subra waja wako, tunaumia😭😭
ameen😭
Yaani mtihani nalia kila cku 😭😭
Allahumma Wagh'firahu waskanahu makana fil janna daima utabaki moyoni jemedari wetu😭😭
Allah amrehem MAALIM SEIF SHARIF HAMAD amlazepema amiin inshaallah
🤲🤲🤲🤲
Karibu baba kapumzike salama tutakukunbuka milele tunaumiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
😭😭😭😭💔💔💔kamwe hatuwezi kukusahau 💔😢....baba tunaumiaaa yarabby😭😭😭😭
Laa! Ilaha illa llah Allah Akbar,, Subhaanallah😭😭
ALLAH amueke mahala pema peponi aamin
Mtihani ulitufikia Allah kwa Rehma zake amjaalie firdausi
Subhanallah Allah amsamehe makosa yake amzidishie mema yake ampokee akiwa amemridhia Yaarabiy Aamiin na sie tulobaki atupe mwisho mwemwa ndio lilobakia kuomba Maalim Seif ilipokuwa hai ukitajwa nyoyo zikifurahika leo tukikutaja dua tunakuombea
mwenyezi mungu amsamehe makosa yake
Dahhh innaa lillah wainnaa ilaihi raajiun, Allah ampe kitab chake kwa mkono wakulia
Ameen inshAllah
Yarabi wasmehe waja wako wote walio tanguliya na sisi tulio nyuma yao tujaaliye mwisho mwema
Hii nyimbo haituhusu ss Waislamu hapa tumekosea mambo Ukristo miziki na nyimbo ss Tusbih na zikri zetu Inatosha mitihan mikubuwa
Hatusiti kulia 😭😭😭😭
Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah. 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Cjui kwa nini huyu mzee kaniuma sana yaani kama mzazi wangu kabisa nashindwa kumsahau Allah jaalia kaburi lake na baba yangu yawe ni bustani katika mabustani ya peponi
amiiin
Hadi Leo nimetazama haya maombolezo lakini machozi yamenitoka mungu mlaze mahali pema peponi kwa rehma zako ammin
Machozi hayatoki tena ila huzuni zimepunguwa ila hatuko sawa twamuomba Allah atusaidie tusiingie kwenye kufuru Allah akulaze pema penye wema
Rais mwinyi ujumbe huo,umeachiwa jahazi,lisijeenda mrama
Love u Maalim daima
Masha Allah mpaka machozi yananitoka
Roho inauma ila kazi ya mungu haina makosa
Maskin Allah amlaze peponi poleni ndugu zetu wazenj na pemba Allah ampe kauli thabit inaliza jamani
Inna lilahi wainna ilaiyhi rajiun Allah ampe safari ya kheri tupoweni kwa msiba tuweni pole
inauma sana lkn ni mapenzi yake Allah sw amempenda sana mpe heri zake ewe mola wetu seif sharif hamad!
YAA ALLAH umpe wepesi katika kabri lake umpokee hali yakua upo radhi nae hakika tulimpenda saana sana zaidi ya sana #Maalim Seif Sharif Hamad tutakukumbka daima
Allahuma Amiin yarrab
Amiin
@@zuwenasuleiman4277 😗😗😗
Samahani naomba hi kasda nimeipenda nitumie what please imeniingia moyoni Hadi huzuni naomba plese
_😭😭😭😭
SubhanAllah
Yaa rab ghfirlahu warhamhu wamaskanahu filjannah 🤲🤲🤲
Amiin
Mashllj mashairi mazuri
رحمه الله
Allah amsameh makosa yake 😭😭🤲🤲
tuzidisheni jitihada kwa dua kumuombea
hiyo ni hadiyya kwetu anayo hitajia
Naam kabisa
Allah amjalie nuru ya milele siwez kujizuia kila nikiona picha zake tuu au vedio najikuta nalia
Kabisa Allah ampe kauli kaul dhabiti
Nakaribia kulia kwa jinsi hii kasda inavokwenda na ukubwa wa msiba
hatar wallah
Subhanallah kila siku tunalia😭
Kulia sana dada haifai muombeeni mungu kwa wingi hta sisi watu wa mombasa kifo chake kimetuhuzunisha ni njia isioepukika sote tutakufa
@@Khalid-mf3iu Kulia kwetu hakumaanishi hatumuombei... its ok to cry au hujui?
@@misscoast3174 namaanisha musilie sana nijuavyo si uzuri kwa marehemu am sure ataona raha mukikithirisha dua zenu kwake 👍
@@Khalid-mf3iu umenena mana mwisho -itakua shirk
@@jumayahya2661 ndo hvo wajua tena wanawake kwa kulia
Allah akujalie kauli thabit
امين
😭😭😭😭😭😭😭😭
God blessing you
😭😭🤲
Gumzo la Ghassani sorry kwa usumbufu naomba unitumie watsp plz plz imenigusa sana hili shairi kiukwel tumeumia sana waznzbr ila ndio khatma ya kila mja muhim ni kumuombea dua kipenz chetu
Yeye ametangulia na sisi tuko nyuma yake Allah amsamehe makosa yake na sisi atupe mwisho mwisho mwema
Ni pingo kwa Taifa na DUNIA kwa ujumla Kwan yy alikuwa jicho la siasa
Ni mwaka sasa wallah hatupo tena na ww maalim uku wengine washaanza kukusaliti
😭😭😭
😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔
Tunamwaga machozi mpaka muda huu
Dah
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Forrever in our heart
.
hatunyamaza kulia daimaaa😭😭
😭😭
Huzuni kubwa moyoni
Assalam alaykum ustadh na mm nitumie kwenye no 0687574152
Ngoja nikutumie ninayo
Allah amjaalie msamaha wake amridie na amlaze peponi amjaalie kaburi lake liwe nyumba ktk nyumba za peponi...amin
AMIIN
Amiin
Amin
Amiiin
😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😫
.
Mungu mlaze pahali pema
😭😭😭😭😭😭
😭😭😭
😭😭😭
😭😭😭