SIKILIZA JINSI MAALIM SEIF ALIVYOKUA AKITUMIA PESA ZA MSHAHARA WAKE
Вставка
- Опубліковано 18 лют 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Mwenyezi Mungu alituachia zawadi tumeikataa ameona aichukue daah Tanza giza.Huko ndyo kuzaliwa kiongozi
Masha Allah Allah amlaze pema peponi mzee wetu Maalim Seif... Amiin
Mashaallah,..Allah amrehemu pamoja na wazee wetu waliotangulia mbele ya hakki
Najitahid niwe mbali nisipate taarifa kuhusu Maalim ili niweze kuyafuga machozi yangu ,nilie kwa ajili ya wengine pia , ila Maaalim anayamaliza machozi yangu 😭😭😭😭, Skua napenda siasa na wala skutaka kushiriki kwa njia moja ama nyengne kuhusu siasa , ila kwasabbu ya Maaalim nilipenda siasa, pengine wengne wanaweza kusema ni mpemba mwenzangu ndo mana nampenda ila mimi sio mpemba, baba angu , mama angu na familia yangu yote kiujumla hakuna haata harufu ya kipemba , ila Siku zoote kiongozi muadilifu hupendwa na watu wengi na wenye mioyo swafi, Nilikupenda sana Baba , shujaa, ila Allah hana makosa katika kazi yake, hiii ni safari ya kila mja , umetangulia na sisi tupo njiani tunakuja, kwa uwezo wa Allah na utkufu wake , akukutanishe na kipenzi chetu , bwana wetu mtume muhammad (s.a.w) wewe pamoja na sisi , Aaamen.
Amin thumma amin
Amiin
Subhanallah!! This is something that every one of us must learn.... kumbuka ukitoa kwa ajili ya Mungu unajiwekea akiba ktk benki isofilisika na ukilimbikiza mali ili kuonekana na kushindana pia na watu mali utaziawacha na kuwaachia watu.
"Those which are with you will come to an end and those with Allah will be forever"
👍 great
*Ametuachia pengo ambalo hakuna ataeziba kwetu cc wazanzibar alikuwa baba, kiongozi, mlezi wetu na mtetezi wa haki ambae hayumbishi kwenye analoliamini.. Allah ampokee amueke pema katika wema ameen*
Pengo litazibika sheikh omar
ua-cam.com/video/EprbhEGwTPE/v-deo.html
Aamiin yaarabb al aalamiin
@@mohamedhaji2200 InshaaAllah kwa nguvu za Allah lkn yeye maalim nyota yake ilingaa mapema tumuombee atokee km yeye biidhnillah
Mwenyezi Mungu amlipe pepo ya daraja la juu Firdaus inshAllah.....
Amiin
Allah amjaalie kaburi lake liwe nyumba ktk nyumba z a peponi...amin
Ameen rabii ameen
Amiin
Ameen
@@nahyialetomia9284 Amin yarab
Allahumma aamiin
Huyu ndio jemedari mtu wa peponi huyu mashaaallah Allah amuongoze inshaàallah kikweli huyu ndie kiongozi tutae mmisi mashaaallah mtetezi wa wanyonge
Inshaallah, Allah amjaalie🤲
Mola amjalie mazuri kheri huko alipo wetu kipenzi maalim sote ni w muumba n kwake ndio marejeo twamuomba mola atujaalie nasi mwisho mwema insha Allah love maaalim 😢💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Dahh!!! Zanzibar pengo la malim sefu halizibiki
Allah ampunguzie adhabu yakaburi naamuweke mahalapema peponi inshallah
Mashaa Allah Allah azid kumpandisha daraja firdaus naalifanye Qabur lake nimiongon mwa maqabur yawaja wema walotangulia mbele khaq 🤲🤲
Amin Amin Amin
Nikweli unayosema kijana na mmoja mamaangu mjane analetewa bahasha ya sadaka mungu amjaalie pepo inshallah
Amin
Mashallah kumbe kweli....... Allah amjaalie pepo ya firdaus
ua-cam.com/video/EprbhEGwTPE/v-deo.html
Hooh! Kweli wingi wa mafua si ukubwa wa pua na usikimbilia kuhukumu kwa kesi usoijua..... Aisee ni wengi tulikua tunamchukulia poa tu mzee kumbe mashallah.... Its a class to attend so that you can get big changes.. May Allah bless him and give him Jannah
Maalim hana nyumba ni kweli.anakaa daraja bovu nyumba yenyewe yazamani imechoka
@@hassammohammed5046 ni kweli maana hakuwa mwizi
@@kiri5807 umeongea point
Allah ampe kauli thabit aameen yarabbi
ALIKUA KIONGOZI WA KWELI. HAKUA MTAWALA NA HUO NDIO UUISILAMU.
MUNGU AMUEKE PEMA PAMOJA NA WEMA WALIOTANGULIA.
AMIN AMIN AMIN
Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin yaarab ampe kauli thabit na ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia
Azina imetutoka angekua rais wanchi tuko mbali sana tunasikitika sana allah atampa ujirawake inshallah
Aamin yaraby
Mtu akiwa hai hasifiwi sana, lkn baada ya kufa,, ,,,,,,,,,
ua-cam.com/video/EprbhEGwTPE/v-deo.html
Mashallah alikuwa mtu wa watu mungu ampe pepo ya rabby 🤲
,duuuu mungu simchezo amuweke mahali pema
Kwa haki kabisa hakuna yyte angeweza gombea na Maalim seif ktk cheo chochote kile Zanzibar na akamshinda....
Allah amlipe yalo mema ampunguzie adhabu ya kabri na awe na nafasi katika nyumba ya peponi inshallah
mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi mpambanaji wa siasa
sadaka yake zuri sana siowakina diamond wakienda kutoa msahada mpaka waandishi wahabari kamela kama wanaenda kushuti YOPE sifa nyingi PUMBAVU mujifunze kwa MAHALIM R.I.P
Kweli kabisaa
Kwelii yaani .Mwisho Zuchu kaenda kumtizama mtu spitali .waandishi wa habari wotee kawaita😁😁🤣🤣❤Wakati Maalim kilaa ijumaa anaemda spitali kuangalia wagonjwa alfaniri na hamna anejua😔😔😔
Kwa kweli hii ni tabia ya kuiga.Mwenyezi Mungu amrehemu.
Sis familia tumepoteza mtu muhimu Sana kwakweli mpaka Sasa machozi yanatutika pia itachukua miaka kumsahau kwakweli
اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله دار خيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار
أمين يا رب العالمين 🤲
Hii yakupeleka pesa kwa marafiki zake walofanya siasa tangu wakiwa vijana ni kweli kabisa mm jamaa angu nnae kila mwezi alikua anapelekewa bahasha ina laki 2 Mwenyezi Mungu amrehemu pengo lake kubwa sana
Allah amlipe kila la kheir #Maalim #Seif
Mashallah Allah amjalie hyo sadaka iwe pepo ya daraja la juu kabisa na Allah alisema toweni kwa ajili yangu nitawapeni na sio wote wenye imani kama maalim
Mashaalah mungu amrehemu maalim seif
Kwanini mnawasifia watu wakishaondoka,mbona mko wa pumbavu sana kwanini hamuwasifii wakiwa hai???
Yaone mijuso yao,haya ndo machawi yenyewe.
Msifieni mtu akiwa mzima ili watu wazidi kumpenda zaidi,na wampe heshima inayostahili.
Wewe ndie mpumbavu usie jua maana, kwasababu imeandikwa tuwasifie maiti wetu kwamazuri, nakutoa kuliko Bora nikwastara sio matangazo, maana hakutoa yeye ili ww ufahamu kwaiyo hata angesifiwa dunia nzima angalia hai waswahili mngeita Kiki. So take care of yourself
Jengine ambalo Maalim alipotembelea Brunei kipind yupo wazir kiongoz alipewa dollars milion 3 kama zawad yake binafs ila cha ajabu aliporud zanzibar aliziweka katika account ya serikal.
Alikua Ni mtu mwema
A man of the people
Alijenga ahera hajaitaka duniaa alijua sisi niwakupita, kazikwenu wazulumajii
Naaaam hakika
Swadakta
Mashallah Allah umupe pepo yake
Nasikia hajui hata kununa tumeondokewa jamani mwenyezi Mungu ampe kaul sabit
Walikua wanamwambia mnafiki sasa mambo kama hayo kiongozi gani anaweza kufanya
Nakwenye ugojwa alikuwa kipaumbele sn alikuwa anawajali wananchi wake mungu amrehemu
Maalim seif well miss you for rever
ua-cam.com/video/EprbhEGwTPE/v-deo.html
Hiyo ndio sifa na ukweli wa Maalim Seif
MUNGU ampumzishe mahali pema peponi na hazina zake zipo mbinguni
Allaahuakbar; Allah amlipe pepo
Yeye alikua hana shida ya mali mana watoto wake alhmdulilalah akitaka haki kwa wote ndio alioakipigania
Maashaallah Allah amsameh makosa yake na amlaze mahala pema poponi aamin
Maashallah
MWENYEZI MUNGU AMRAHAM AMKUBALIE MEMA YAKE NA AMSAMEHE MAKOSA YAKE
Mungu ampe wepes malim. Amuweke panapo sitahir
😢💔الله يرحمه
Halafu ccm wajinga uku mitaani wanasema eti maalim anatamani awe rais ili aibe.maalim ni muadilifu sana
Sasa washaujua ukweli
Wanaona haya sasa hayo ndio malipo yao
Kma ana shida ya hela Maalim Seif angekuwa tu rais mstaafu saiv kupitia CCM asingehama chama kma ni mtu anaeweka maslahi yake mbele lkn Yule Mzee bhana dahhhh!!! Nadhani kutokea tena Kwa Zama hizi za mwisho kiongozi kma Yule itachukuwa muda sana
Ao viongozi wao wa ccm ndo wanaotaka madaraka na kuiba mali tuh
Ishi ulaumiwe kufa usifiwe
Mwe/ mungu mrehemu maalim sefu
Muamal gadafi maalim self ni gadafi wa maisha yah
Masha Allah mzee yetu
Allah amlipe pepo
NI SHAIRI LINALOLIZA LA KUSISIMUA MOYONI KWA KWELI MAALIM ALIKUWA VIFUANI MWETU😭😭😭
👇👇
ua-cam.com/video/RLR-aAqLh6k/v-deo.html
Ukweli utabaki ukweli tu maalim hakua Kama akina haji omr Shari malim alijitambua
Hata Mimi malimu amenisaidi
Ndiomana watu wamelia sanaa kiongozi alieshika dini na mwenye upendo wa dhati
ndio maana wakesema kwenye uchaguzi bao la mkono lilihusika na vurugu juu kutaka haki
Innalillah wainailayhi Rajiun
Mashallah Allah amlipe kw ujira wke
Ila hizi sifa tukufu mbona wengi tunajuwa au kusmbiwa mtu akisha tangulia kwa Mungu wake 😭
Mungu amusamehe makosa yake na amuepushe moto wa jahanam
Malimu sefu ndie kiongozi hora sana
Huyu ndo alikua star wa wazanzibar na hakuna zaidi yake kwa wazanzibar hata aje drake kwa wazanzibar hawana habar nae ila akikatiza huyu ilikua hawa huwacha majumba ili wamuone tu mola msameh madhamb yake aliyotanguliza
Daaa! Kweli nikiogozi huyo
Kwa Kifupi Maalim Seif Hakuwa ni mtu wa CORRUPT ( MLA RUSHWA)
Mtafute mtu mzuri wa kuandika title jamani zipo local sana eti msikilize alivokua anatumia mshahara wake its too normal jamani haishawishi
Nimeonana nae,,, blue bays hotel.. Alinipa tabasam kabisa.. Aliona moyo wng
ua-cam.com/video/EprbhEGwTPE/v-deo.html
Firdausi nyeupee
Mnamtaja Marehem maalim halafu mnatoa ulevi ktk matangazo ya biashara
Mnamsifi baada ya kufa. Hii ndio sifa ya binaadam. Mazuri yanaonekana ukifa. Ukiwa hai Noooo
Wanataja mema ya marehemu na ndivyo Mtume SAW alivyotuambiwa tusitaje mabaya ya maiti wetu.
@@jambo3751 alipokua hai haya mema yalikua hayapo? Sikatai tutaje mema yake ila busara tuanze kabla hajafa. Tutakua wanafik. Allah atulinde
Yeye mwenyewe alificha sadaka yake unafikiri inajuzu kuiweka hadharani? Tujifunze mema kwa kuyasimulia
Yeye mwenyewe alificha sadaka yake unafikiri inajuzu kuiweka hadharani? Tujifunze mema kwa kuyasimulia
🤝🤲🤲❤🌹💯
Mazuri tunatenda matunda yanaonekana lakini (wanashukuru ukishaenda)
Hahaaa umenichekesha kaka angu ni kweli kabisa lkn wanasema tenda wema uende zako malipo utayakuta kwa Mungu
Mh zitto iga mwenendo wa maalim
May his soul rest in peace!!
Mtu Huyu alikuja kuutenda Wema Duniani....
Mungu ampumzishe salama na ndio maana ccm haikutaka kutoa madaraka kuipatia c.u.f serikali ilijua fika sefu ni haki sawa kwa wote.wacha tuendelee na gurudumu letu la hapa kazi tu.
Amiin mdogo wangu asha karibu saudia Arabia
@@kidjhdf7568 ahsante na wewe pia karibu Dubai.
@@ashahamisi5884 mashallah nipe no yako +966537824849
@@kidjhdf7568 nitakutafuta watsap sasa
@@ashahamisi5884 oky inshallah
Ndomana wamelia sanaa naamewaumiza wanzanzibar
Hakuna wa kuliziba pengo la maalim seif
Je wale walo wakisema Marehem ana uchu wa madaraka mme wafikishia hii?
Uchu wa madara ni nini kwani? Nyumba au shamba? Uchu wa madaraka ni kutaka madaraka ww tu kwa hali ns mali hata kuumizz wenzsko
@@mohamedhaji2200 ukipata madaraka then si upate ya Dunia. Je hapo alipofika waweza tuonesha nyumba na vitega uchumi unaolingana na wengi wa viongozi.
Then suala alitaka uongozi kwa ajili gani? Na yeye vipi aliwarai watu wamuunge mkono kwa tumbo lake ?
Ziwapi mali za Maalim, au ziko Uswiz.
Maana kuna ccm mmoja nilimsikia anasema ana mali London.
Labda mtatuonesha?
@@sharifjuma1220 nani aliekwambia kua lengo la madaraka ni Mali tu? Trump alikua Tajir anaetambulika tu kabla kua Rais wa America. Inawezekana unataka Madaraka si kwa mali, ila unayatafuta kwa unalolijua ww. Wengine wanatafuta madaraka kulipiza kisasi tu.
@@mohamedhaji2200 sasa wewe twambie unaonesha unamjuwa Marehemu hajaacha mali, kwa hio alikuwa anataka nini?
@@sharifjuma1220 jawabu unalo nini alikua akitaka, Allah amrehemu
😭
Kwa wale wapenzi wetu wanaopenda ku angalia the Story Book hii ndio account mpya ya the story book basi fanya ku subscribe video tunapost kila ijumaa asanteni ✊🏾
Maalimu Sasa akiishi vp Kama hayo unayosema ni kweli Mbona unapita Mipaka
acha ujinga shekhe mambo mengine ni bora unyamaze tu kimya, nitajie kiongozi mmoja tu duniani ambaye anashinda chaguzi mara tano na anadhulumiwa na stil bado hana kinyongo na hao wanamdhulumu na anashirikiana nao katika kila japo , maalimu alikuwa ni mwenye hekima sana, mtu wa watu, mpenda haki, mpenda amani, mtu anayesamehe , mtu anayemjua mwenyezi mungu ndio maana alikuwa na subra na alikuwa sio mtu wa kukata tamaa ,alikuwa ni mfano bora wa kiongozi . inshaalah mungu amrehemu uko aliko
mipaka ipi, ina maana huamini au unakhusda tu na maalimu, acha choyo na wivu na roho mbaya na weye ishi vizuri na watu na umuombe sana mungu akuongoe, inaonyesha ni mwenye husda sana na choyo na roho mbovu na inshaalla mungu akuondolee nakuombea
ndio maana vilio vikawa vingi.
Ukifa muda mwengin Raha
Chaz Namkubal sana
Mbona hata seif ali idi aliekua makamu wa pili wa rais hana nyumba hata moja anakaa msikitini
Thubutu ananyumba ata mwenyew nyengin hazijui
Mckit wa nan anaokaa yy
.
Sasa hilo ni tatizo, badala ya kuwapa watu pesa, angepaswa kutengeneza miradi kwa fedha hizo hizo ambazo alikuwa akizipatia familia. Lengo ni kwamba miradi iendelee kuzalisha pesa na izquierda kusaidia familia nyingi zaidi. Sasa tuelezane, kwa sasa amefariki, nani ataweka pesa kwenye vibaasha?
Acha ujinga ww
Bahat mbaya alipokuwa anatoa ulikuwa haujui kwasababu alikuwa anatoa kwa sori ukampa mawazo ila sio Shida Diamond natoa sadaka Sana mfikishie. Empty tin sound much.
Shida na athari za miradi unazijua ww na ndo hapo ungesikia Maalim Seif anaiba pesa za Serikali nchi yetu tunaijua wenyewe hii na Yule walipenda kumzushia mengi nadhani Hilo mwenyewe aliliona coz Maalim Seif ni mtu aliejaaliwa uwelewa wa Hali ya juu kiasi lkn kupitia uwelewa huo huo hakufanya hivo alijua athari zake
@@suleimansalym7537 kwahiyo unaogopa kufanya maendeleo na miradi kisa tu wananchi watakutuhumu wewe mwizi na fisadi!? Hemu soma tena ulichoandika kisha urudi hapa. Sikujibu chochote kwa sasa.
Sihaba sadaka zake ndio mradi alojijengea akhera
Allah ampunguzie adhabu yakaburi naamuweke mahalapema peponi inshallah
NI SHAIRI LINALOLIZA LA KUSISIMUA MOYONI KWA KWELI MAALIM ALIKUWA VIFUANI MWETU😭😭😭
👇👇
ua-cam.com/video/RLR-aAqLh6k/v-deo.html
NI SHAIRI LINALOLIZA LA KUSISIMUA MOYONI KWA KWELI MAALIM ALIKUWA VIFUANI MWETU😭😭😭
👇👇
ua-cam.com/video/RLR-aAqLh6k/v-deo.html
Allah amlaze mahali pema peponi aameen
Allah ampe kauli thabit ampe wazungumzaji wema inshallah
@@nahirkassim5574 🙏🙏