MAALIM SEIF: JABALI la SIASA ALIYETEMWA CCM, Akafungwa MIAKA 3, AMEPIGANIA MAISHA Kwa SIKU 19..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • MAALIM SEIF: JABALI la SIASA ALIYETEMWA CCM, Akafungwa MIAKA 3, AMEPIGANIA MAISHA Kwa SIKU 19..
    GLOBAL Publishers tumekuandalia makala ya maisha na enzi ya Hayati Maalim Seif Sharif toka alipozaliwa, maisha ya kisiasa mpaka alipokutwa na umauti..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 95

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 3 роки тому +29

    My tears can not stop forever...Maalim Seif...I have nothing to say now cs mdomo wangu umeishiwa na la kusema...Yaaa Rabbi tunakuomba umswamehe dhambi zake na umlaze mahali pema peponi Aamin

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 роки тому +16

    Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @mpendaamaninahaki165
    @mpendaamaninahaki165 3 роки тому +8

    Munayataja mambo ya siasa tu. Lakini hamuyataji alikuwa mtu wa aina gani. Naona mumesahau hikma zake, misaada yake na uaminifu wake. Wana siasa karibuni wote wanamajumba ya horofa na utajiri mwingi kwa kuiba mali ya uma. Yeye alikuwa anaishi maisha ya kawaida hakuwa na ubinafsi.

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 3 роки тому +2

    Namkubali sana Maalim Seif pia na huyu Mtangazaji Historia

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 3 роки тому +5

    Hata ww mwenyew hujaifahamu vzr historia ya Maalim Seif
    Global TV mngeenda kuisoma vzr kwnz halaf ndo mkaileta hapa

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 3 роки тому +3

    اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله دار خيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 5 днів тому

    Sijaona kiongozi mwenye moyo mzr kwa sasa baada kufa kwake.
    Allah amrehemu

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 роки тому +2

    Si wame mdhulumu haki yake mbona tuna ona wazanzibari wanavyo mlilia maallim Seif. Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, allahumma ameen yaarab

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 роки тому +1

    Pumzika kwa aman baba yetu mpendwa tulikupenda sana😭 ila mola wetu amekupenda sana😭😭🙏

  • @kiliboykilimanjaro377
    @kiliboykilimanjaro377 3 роки тому +8

    Yani ipo ivi maalm alishinda karibia chaguzi zote na hii story bado embu wananchi tuungane kwawingi ili watuwekee story yote yaseif hapa🙏🙏

    • @fatumajuma1157
      @fatumajuma1157 3 роки тому +1

      Nikweli hajawai shndwa uchaguz

    • @abcdabcd1605
      @abcdabcd1605 3 роки тому +2

      Ni kweli hakushindwa lakini haya yote ya nini na kuna haja gani ya kuyaeleza??!! tuyaache tu yabaki ktk nyoyo zetu lkn hakuna haja ya kuyaeleza mbele ya mitandao hayataleta faida zaidi ya kutuchafulia amani, ikiwa sisi tunampenda maalim bas tumuenzi kwa kuwa pamoja bila kubaguana na kuheshimu kifo chake kwa kutenda mema aliyotuachia tuyatekeleze sio tuanze tena maneno yasiyo na maana yaliyopita yamepita tuangalieni haya tuliyonayo sasa 😭😭😭

    • @fatumajuma1157
      @fatumajuma1157 3 роки тому

      @@abcdabcd1605 nikwl

  • @zuleikhaseifu3952
    @zuleikhaseifu3952 3 роки тому +10

    Pumzika baba kw salama tulikupenda ila Allah kakupenda zaid

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm Місяць тому

    Nikimuona maalem machozi yananitoka allah akurehemu maalem

  • @ibnismail8831
    @ibnismail8831 3 роки тому +2

    Hii historia bdo kbsaa yaan bdoo hswaa ifuatilie tn historia yke vzri maan umepndisha pindishaa

  • @khatibuhijja459
    @khatibuhijja459 3 роки тому +20

    Dah hamjaitendea haki historia yake kuna mengi mmeyaacha, fatilieni tena historia yake mje mtuwekee hapa

    • @familylove5417
      @familylove5417 3 роки тому

      Thank you

    • @pilabiliani9394
      @pilabiliani9394 3 роки тому +1

      Tuwekee wewe unayeijua vizur

    • @khatibuhijja459
      @khatibuhijja459 3 роки тому +3

      @@pilabiliani9394 mie ntaiweka kwenye nn na sina channel, nimetoa tu ushauri kwasabab kuna mengi yameachwa pengine wanaogopa kusema lkn kapitia mengi sana yule Mwamba.

    • @Leo-kg2lt
      @Leo-kg2lt 3 роки тому

      @@khatibuhijja459 asa huna channel umekoment vip huku ndanii mkuu

    • @khatibuhijja459
      @khatibuhijja459 3 роки тому

      @@Leo-kg2lt sina maana sina sehem ya kupost na kila sehem ina utaratib wake

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 роки тому +1

    Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @suleimanrahim5273
    @suleimanrahim5273 3 роки тому +1

    innalillahi wa inna ilayhi raajiun , Allah akupe nuru katika kaburi yako, ajaalie Ramadhani hiyi iwe ni neema katika kaburi yako , Allah aitukuze nyumba yako ya milele , Allah akupe marafiki wema malaika wake , pumzika kwa amani inshaallah tutaonana , kila nafsi itaonja umauti

  • @MohdIkra-d7s
    @MohdIkra-d7s 8 місяців тому

    Allah akupe nurru kwenye kaburi lako maana hukupumzika, hukupumzika, hukupumzika kudai Haki za wazanzibari hadi ukaingia kaburini😢

  • @rajaburamadhanisheburudha3398
    @rajaburamadhanisheburudha3398 3 роки тому +1

    Allah akufanyie wepesi

  • @jamilaalfarsi7712
    @jamilaalfarsi7712 3 роки тому +3

    Maalim hakuna uchaguzi hata mmoja aioshindwa ispokua wizitu uliokua ukifanyika na dhulma wamesahau kua cheo kinamdawake uyo salmini nawengineo walomdhulumu saivi wakowapi siwalitumikia namdawao ukaisha mbona hawakubakia hadileo wakazidi kutamba ikulu na majukwaani mwisho yy kawakipofu atakula km hajashikwa mkono bc analalanayo wamebakia nahao wengine ss nao mungu anawaona

  • @salmaabdulla5214
    @salmaabdulla5214 3 роки тому +8

    Innalillah wainah Rajiun 😭😭😭😭😭

  • @haroubmbarouk7831
    @haroubmbarouk7831 3 роки тому

    Muko sawa mumeniliza kwakunikumbusha kifo Cha raisi wangu maalim seifu nitamkumbuka sana

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 роки тому

    Mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu za kaburi insha Allah.

  • @alimshindobakar4358
    @alimshindobakar4358 3 роки тому +2

    Allahakunawirishie kaburi lako Mwalim Seif

  • @swahifaabdijuma2782
    @swahifaabdijuma2782 2 роки тому

    Nimezaliwa 20o1 lakini nampenda Mwalim sef kma nimezaliwa mwaka mmoja na yy😥ckuona ujana wake.ila uzee wake nimeujua utu wakee .Kila nikiangalia na nikikumbuka kifo chake machozi yananitoka .Allah amsamehe na ampe pepo ametutetea na ametetea wazazi wetu wa Zanzibar

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 3 роки тому +2

    Innallillahi wainnaillaihi rajiun 😭

  • @drhalimalmaskari
    @drhalimalmaskari 3 роки тому +2

    Sote tunajua mara zote alishinda
    Rest in peace our teacher our icon of democracy n peace

    • @alawiali3475
      @alawiali3475 3 роки тому +1

      Kukosekana kwa tume huru ya uchaguzi ktk chaguzi zote hizo ndio sababu ya kupindua matokeo zanzibar mwenye kushinda anapangwa kushindwa na mwenye kushindwa anapangwa kushinda coz hata ukiangalia mpishano wa asilimia za ushindi ktk chaguzi zote 5 unaona kabisa ni matokeo ya kupangwa(ubabaishaji)

    • @swahifaabdijuma2782
      @swahifaabdijuma2782 2 роки тому

      Amoin

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 5 днів тому

    Allah amrehemu
    Amiin

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 3 роки тому +2

    Umeyandaa histolia kwakulupka kutaim wenye fani hiyo

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid7910 3 роки тому +1

    Allah atamlipia dhulma aliyofanyiwa yeye na Wazanzibari.
    Sera inatolewa ni ya kuogopa serikali.
    Poleni .Mutafaulu siku za Usoni.
    Muwe na subira.
    Subira huvuta kheri

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 3 роки тому +3

    Forever

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 3 роки тому +1

    Maalim seif tutamkumbuka daima

  • @zamzamrashid9534
    @zamzamrashid9534 3 роки тому +4

    Yaani mumejititumuwaweeee kwanin musingefanya utafiti wa wahistoriya yake hivi hamuoni hamumtendei haki yaani ktk storiyke nyinyi global. nisawa nakudondosha chozi ktk bahari kwenye stori yake yaaani storiyayake nikubwa mnoo mnoo mnoo atahamjawaza ila mupewe pongezi alau kidogo

    • @zamzamrashid9534
      @zamzamrashid9534 3 роки тому

      @Adrash Abdallah umesoma vizuri? nakubali binaadamu hatunashukrani ila rudi usometena ujumbe wangu nafkiri haujaufaham huenda ukaufaham angalizo usikurupukie kitu usichokifaham

  • @subiramohd1895
    @subiramohd1895 3 роки тому +8

    Ukisema bila mafanikio muongo hakuna uchaguzi alioshindwa walimuibia tu na watakwenda kumlipa haki yake huko mbele anawasubiri yeye keshatangulia na wao wajipange kumfata kwenda kumpa haki yake

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 3 роки тому

      Watampaje haki?

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 3 роки тому

      Akili mavi

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      @@depaolo3461 kama yako au ndo yenye harufu mbovu mm yangu yananukia udi na asumini

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb 3 роки тому

      Hahaha... aiseee, who told u kuna maisha mengine?

    • @omanomy1757
      @omanomy1757 3 роки тому

      Kabisa watamlipa allah hasinzi wala halali namungu niwetu sote

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 3 роки тому +3

    Tunakupenda baba yetu, tutaendalea kukumiss😭😭😭

  • @yasminjuma663
    @yasminjuma663 3 роки тому +4

    Wamemtesa Sana.

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 3 роки тому +1

      Wanajua ila kwenye wasifu hawajasema

    • @mundhiraliy1307
      @mundhiraliy1307 3 роки тому +1

      Hawaachi kujuta haoo walio mdhulumu Allah alitie Nuru Kaburi lako Sef wetu🙏 Tutakukumbuka daima baba yetu Wazanzibar 😭😭😭😭

  • @makamealimussa2528
    @makamealimussa2528 3 роки тому

    Nyie GB Tv Kwanza kaisomeni tena historia ya Maalim seiff.

  • @dotomohammed6662
    @dotomohammed6662 3 роки тому

    Makubwa tusio yajua huruma pole Sana maalim

  • @marryjonathan7735
    @marryjonathan7735 3 роки тому +1

    Huyu mzee wazanzibar walimpenda kwa takwimu hizo zinaonesha alikua mahindi sema duniani Kuna mambo

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 роки тому

    Mengine sio kweli

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 роки тому +1

    Matokeo yote ni fake, ni matokeo ̂ya kubadilkshwa, 2020 Maalim Seif ameshi nda lakini ZEC na Usalama wa Tanganyika wàkamapa Ushindi Hussein.

  • @abuunuswaibahahmadi8288
    @abuunuswaibahahmadi8288 3 роки тому +2

    bado hujaijuwa histriya ya malim wwe unazugatuu

  • @abdulkibamba679
    @abdulkibamba679 3 роки тому

    Msimulizi umefili uyu mzee alishaongoza Zanzibar kama makamu wa kwanza wa raisi selekali ya sheni 2010 hadi 2015

  • @stevenmajoge4644
    @stevenmajoge4644 3 роки тому +1

    We umekurupuka naona huijui historia yake vizuri.

    • @jisamjoseph4558
      @jisamjoseph4558 3 роки тому

      Yan huyu alikua anataka awe wa kwanza kutoa historia yake lakini wala hajui mengi

  • @amanmohd9435
    @amanmohd9435 3 роки тому +1

    Mwenyekiti yupi na Lipumba alikwisha jiuulu...MAALIM HAKUA NA MGOGORO NA LIPUMBA MANA LIPUMBA ALIKUA KESHAJITOA..KILICHOTOKEA NIUHUNI TU ULIOTENGENEZWA NA WATAWALA

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 3 роки тому +2

    🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 3 роки тому +2

    Wala husemi alivo pata mateso

  • @khalfanalrawahi3082
    @khalfanalrawahi3082 3 роки тому

    Kila mmoja wetu
    Ataulizwa kuhusu umri wake siku ya kiama.

  • @ashirafali1117
    @ashirafali1117 3 роки тому

    Historia bado

  • @salimrizikijaji1281
    @salimrizikijaji1281 3 роки тому +4

    Hahika Huyu mkombozi wetu

  • @lidiaashu828
    @lidiaashu828 3 роки тому +1

    😕😕😕😕

  • @hafidhmohammed4653
    @hafidhmohammed4653 3 роки тому

    Jecha ypo,wp,naon,hatumsikiy tn

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 3 роки тому +1

    Wanafika watu WA TV hizi.
    Mtu akiwa Hai hata kutaka Jina lake tuu wa naogopa. Akifa ndio wanamwaga sifaaa

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 3 роки тому +1

    Historia gani io nayo ovyoo usituzingue

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 3 роки тому +5

    Kwenye stori hujazungumzia nafasi yake ya umakamu wa Rais wakati wa Dk Shein.

  • @omarmhmammed216
    @omarmhmammed216 3 роки тому +2

    HAKUNA HIYO HISTORIA YA KURA NI UONGO HAWAJAWAHI KUMSHINDA MAALIM SEIF KWENYE CHAGUZI ZOOOOTE ....NA UKWELI WANAUJUA

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 3 роки тому +1

    CUF ya JAMES Mapalala ni ipi na CUF hii ni ipi ,lkn Bora mtuma post hii umejitahidi kueleza vizuri maana wengine hawasemi Kama aliwai japo kukamatwa

  • @masoudmaulid7514
    @masoudmaulid7514 3 роки тому +1

    Fanyeni utafiti hamkuipata historiaya yake

  • @mpendaamaninahaki165
    @mpendaamaninahaki165 3 роки тому

    Nendeni mukafuatiliye historia ya mwalimu ya haki baadaye mutoe part 2

    • @Madam.s.
      @Madam.s. 3 роки тому

      Weziwakubwe mmenyanyasa sana maalim

  • @suleimanmohamed4367
    @suleimanmohamed4367 3 роки тому +1

    😭

  • @rsa9817
    @rsa9817 3 роки тому

    Bado history yako hamjatendea haki fatilieni tena

  • @riyadahmad8300
    @riyadahmad8300 3 роки тому

    K

  • @mubaboyonline5879
    @mubaboyonline5879 3 роки тому +1

    Mueka fup

  • @badrumohd5066
    @badrumohd5066 3 роки тому

    Bado hmjapata historian yake