RAIS SAMIA: WAPAMBE WA MAALIM SEIF WALICHUKIA, ALINIAMBIA HUPATI KITU.
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- Taasisi ya Maalim Seif leo November 5 2021 imeandaa Kongamano la kumuenzi aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif ambapo kwenye kongamano hilo Mgeni rasmi alikua ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambapo haya ndio aliyoyazungumza.
Ukisha kufa ndio yatasemwa mazuri yako,alipokuwa hai mbona hamku yasema hayo mulimuona adui yenu mkubwa.
Mashaallah
Haisaidii kitu. Alipokuwa hai Maalim alipata msukosuko kila uchao na dhuluma kwenye haki zake na kuihujumu CUF yake !! Iko haja kutenda haki wakati wote na sio baada ya mtu kuiaga dunia ! Huo ni kujidanganya wenyewe !! Wenye kutunza historia wataielewa ! Kuna nukuu ya Mh. Tundu Lissu ... "hakuwa malaika ..."
Mungu awalinde san
😂😂siasa oyeee
Unadharau Sana mama.
*🇹🇿NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥*
🙄
Amakwel akiwa hai mnataka auwawe yaan
Unakampeni ya shea ushinde
Kila hotuba unasoma toa basi akilini tujue kwel ww kichwa
Ukitak usitak mama kichwa tu...na kusoma hutoub alio inadaaa sio vibya.