NIPE NIKUPE, RAHA TUPEANE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

КОМЕНТАРІ • 19

  • @ahmedabdulkadir6256
    @ahmedabdulkadir6256 Рік тому

    Dada mazungumzo yk nimazuri naunafaidisha mujtamaa wakibinadamu but wakati mwengine ujitahidi kujihifadhi na kujistiri mwiliwako vizuri mashaallah ww mwenyewe bomba

  • @omanmuscatmus2155
    @omanmuscatmus2155 Рік тому +2

    Mashaallah kipindi kizuri 💖💖

  • @rahmaabdillahi2795
    @rahmaabdillahi2795 Рік тому +1

    Dah mtihani mazungumzo mazuri ila kuongelewe kwa kuchanganyana hvi ni mtihani

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Рік тому +1

    Mie nasemaje wanaume wazanzibary hawaji kupenda hasaaa. Bora mtu akitaka kuoa bora aende school .hawajui kupenda wajeuri hawana maneno ya romantic hawajui .

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Рік тому +3

    Huyu dada anaelezea uzuri sana. Nyie wanaume hata msuguliwe kea za miguuu hawajui love is . Wao wanajuwa kuwa na mke mtumwa .

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Рік тому

    Ahsanteni

  • @othmanhaji1832
    @othmanhaji1832 Рік тому +2

    Shukran kwa taaluma, ila huyu Dada, Somo Mtoto, anatukera kwa kutostiri mikono yake yenye mapambo ya hina. Ama angevaa gloves au asingelipaka hiyo hina

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto Рік тому +2

      Kumridhisha kila mtu ni jambo ambalo halijafanikiwa hata na mitume. Nadhani mngezingatia zaid ujumbe kuliko mtu alivo. Huwez kujua alikw na situation gni hadi apo alipofika kwenye kipindi usipende kuhukumu tu kumbuka hata ww sio mkamilifu hivyo kila siku ni kuendelea kujifunza ukihic unakerwa na huyo somo bas usimuangalie hujalazimishwa. Busara itumike kuliko chuki

    • @aminanahimana8759
      @aminanahimana8759 Рік тому

      @@AttiyaHassan_somomtoto hakika Ukhty umenena vyema🤝🤝🤝❤❤

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 Рік тому

    😂😂😂 hiyo kalii huu huuu

  • @rahmaoman470
    @rahmaoman470 11 місяців тому

    😂😂😂😂huuu huuu

  • @ZayyunSaleh
    @ZayyunSaleh Рік тому

    Ya leo kali😂😂😂😂

  • @ashahemed9843
    @ashahemed9843 Рік тому +3

    Mh mnawajua wanaume wa enzi hizi nyie? Dharau nyingi na utafanya yote hata hajali
    Kwenye wanaume 100 wanaojua ni nani mke ni mmoja tu

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 Рік тому

    Nipe nikupe raha tupeane

  • @ggohf7004
    @ggohf7004 Рік тому

    Km mmeoga pamoja pakeneni loshen ,vishaneni chupi n.k hamna anaeeeza kuchomoa hapo

  • @ZayyunSaleh
    @ZayyunSaleh Рік тому

    😂😂😂😂😂

  • @mwanahamisiatwaa3222
    @mwanahamisiatwaa3222 Рік тому

    Kuna mambo hamuongei uhalisia jamani sheikh Suleiman Rashid mwanamke anajiandaa lakini wanaume wanaporud wanaingiaje ndani?????Nina mengi ya kuchangia hapa naona hapatoshi

  • @husnayussuf1224
    @husnayussuf1224 Рік тому

    Jee huyo alie kaa na hena wazi. Ina faa ? Mana ni mapambo ya ndani Sasa hapo anafundisha nini?