HII NDIYO TOFAUTI KATI YA NDOA NA HARUSI
Вставка
- Опубліковано 4 вер 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Asanteni kwa masomo ila shekh nakuomba umubie mwalm astir vizur mapambo yake soory
Shukraaaan sanaaa somo mtoto nahitaj no yko
Somo mtoto: angalia mwenyezi mungu anasemaje kuhusu mapambo ndani ya qur'un.sitiri mapambo yako mbele ya wanaume.
Hahahaaa hapa imenibd tu nicheke duuu
Kipindi kizuri💖💖
Kipindi kizuri mashallah
Shukrani
Shekh shukran kipindi kizuri .❤ Inaelimisha
Lakini mbona kama tunazalilishwa sie wanawake maana kwa kufanya hivi tunaonekana ndio hatujui kitu somo mtoto tunashkuru anatuuzia bidhaa zake na masomo pia ila mie huwa napenda kusoma sehemu tofauti . Lakini mie mbona naona haya mambo ni vizuri akapata mwanamke mwenziwe ni bora zaid. Soory nimetoa fikra yangu tu❤
Kwambaali haujaona kitu?
waz zur lkn huend ni mdg wak wa dam
@@fayeezabdallah2217 mtazamo wangu kama ni mkewake kama nimekosea Allag anisamehe pamoja na wao
Daaaa nlikuwa wapi maneno kuntu
Dada tunaomba no zakoo tweze kujiung
Asnten sn lkn munato mafunzo muda mdogo
Mwambie atafute duka lolote anywe mirinda nyeusi nakuja kulipa mm
Kungwi heshim mapambo yako nikharaam kuona kila mwanaume jee wanakuona wanaume wangapii tafuta elimu ikufunze
Oya ww tumia luhga nzur umeskia
Mm nahs baadh ya watu hamjaelewa hichi kipindi huyu somo mtoto hajaja kujiuza kweny camera vo, huyu kaja kuelimisha jamii mambo ya ndoa Kwa upande woote Kwa wanawake na wanaume na ndio maana wakaeka jinsia zoye mbili hapa, lkn sjui mna nn nyinyi waja, baada kuskiliza maneno yanayozungumzwa mnaangalia mapambo aaaka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@nahlahassan-fd6lendio lengo kuelimisha lakini Allah sw amewataka wanawake wasidhihirishe mapambo yao, aya ipo katika Quran.
@@mohdkhatib223 nikweli lkn hakuna alotumia kuanzia utosini mpak mwisho wa vidole, kla mmoj Dunia hii anakasoro zake.
Na wewe mumeo ataulizwa kwa Nini unatembea mahina wazi na unayaonyosha kwenye mtandao.
Oya tumia luhga nzuri umeskia