UNAMPENDAJE MUMEO BILA KUMPENDA MZAA CHEMA?
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mama your communication skills on top m a
Mashallah, hichi kipindi sio kizuri kwa mada zake tu lkn pia watangazaji wapo vizuri sana, namna wanavyo zungumza zamu kwa zamu, namna wanavyo wasilisha hoja zao, Mwenyezi mungu awaongezee
Wa alaykum ssalaam warahmatullah wabarakatuh Masha Allah mini moja mwahawo sipitwi nipo inchi jiran Rwanda lakin Alhamdulillah kwa kujua swaili na wafatiriya kila kipind pongezi Allah atujaliye kuya fanyia kazi❤
Mm sina mkwe lkn nawaona ma wakwe wa siku hzi walivyo wengi wao watapitapi na wapenda kuingilia mambo ya wtto wao. Kweli huezi kumpenda mumeo bila ya kumpenda mzaa chema lkn na wakwe nao wajitahidi kwassbu huezi kuulazimisha moyo wa mtu unaemfanyia maudhi kukupenda. Inabidi jirekebishe uusaidie moyo wa mke wa mwanao kukupenda❤
Nyumba haikai Nyumba Kipindi kimenitouch Wakwe Allah awaongoze yarabby Unakuta anasema mpaka unasikia kama Mim Simpend fulan Imagine Muhim Subra Kwel Somo mtoto umenena😭😭😭😭Nimecheka ulipoigiza et unkuja naye shetan😂😂😂😂Napenda wanavyoongea watu wakenya😍😂😂😂😂😂
Lakini hawa ni wazanzibar
@ bintsalimalbimany ni wa znz
W’me wajitahidi hata km Allah hajawapa uwezo wa kununua banda japo chumba akodi. Maisha ya siku hzi mahasidi wengi sana na mahasidi wakubwa wa ndoa ni mawifi/wakwe. Allah awape wepesi wenye kupambana na viumbe hvyo, amiin.
Mashallah kwa somo 😘Allah ajaalie mazuri tuyafuate na mabaya tuyaache
ما شاء الله وجزاكم الله خير
Wallah wema hauozi na ubaya hausahauliki tatizo la mda tu
MI NAPONGEZA SANA HICHI KIPINDI MASHLLAH.. ila natoa ushauri tu kuw jitahidini sn kubana maneno icwe mnaeka wazi kimatamshi km ivo
Mimi sijaolewa lakini napata faida nampenda huyu dada
Assalamualaikum alaykum kipindi kizuri sana lakini muda mchache,tujitahidi kuongeza muda inshallah ili tuendelee kustafidi na mafundisho haya
Moyo wenye shukran huongezewa zaid kutoka chini ya dkk 20 kwenda 30 ni jambo la kushkuru 🙏 sio kila siku kukosoa mara moja moja shkuru ili Allah akuongezee 😊 Ahsante kwa kuangalia kipindi endelea kujifunza 🥰
Mashaallah kipind ni kizur hongera kwa somo mtoto👏👏
Wanawake jitahidini mkiwa kwenye media msidhihirishi mapambo ni haram hinna mk up namengineo tujitahidini saana Kwasababu wafwatiliyaji ni wengi 🙏
Somo nimependa Hilo vazi la kanga
Tupeni vituuu👌👌👌👌kungwi jike na kungwi dumeeee
Alie kuwa mwari nivizuri kuskiliza inafaa
Mashaallah 🌹
Mashallah
ﷲﷲ
Ni kweli huwezi kumpenda mume bila ya mamamkwe nae kumpenda
❤
Ni haramu mwanamke kuonesha mapambo kwa mtu anaeweza kumuoa, sheikh rashid ww huzioni hizo hina
Nalo neno 😂👌
Chukueni mauwa yenu, leo kusukimegusa mfupa. Lamsingi mtu akitaka kuoa ajitosheleze habari yakwenda kukaa kwa wakwe ni mtihani. Kapange hata chumba ki 1 tu.
Somo la leo cjui nieleze nn kwakwel maana kama mlikuepo yalipotendeka kwa upande wangu ,Allah atawalipa kwa yote
Pole Allah atakupa nguvu hatuna story za uongo wala hatuzitungi ni uhalisia wa maisha yetu. Endelea kujifunza kipenzi 😊