MWANAMKE MAKINI HUMDAKA MWANAUME HIVI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 вер 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

КОМЕНТАРІ • 28

  • @firdausmukhtar5684

    Jazakallah kher wote mulioleta hiki kipindi,ila nampenda sana dada mwezangu Allah akubariki na akulinde

  • @user-xx8jx6tb7d

    Jaman nafatlia sana ahsanten kwa mafunzo ila hapo kwenye nywele imebd nicheke, Na ni kweli jaman

  • @husseynomar9523

    MashaAllah Somo mtoto na Sheikh Rashid muko sawa 🎉🎉🎉❤

  • @zaynaothman6505

    Dah namaliza MB kwa hivi vipindi vyenu Masha Allah mko vzr mnoo mwanamke usafiii .

  • @HamadiMageti-ku2hg

    Mashallah SoMo mtoto upo vizur kipindi nakipenda Sana sheh Rashid mw mungu akupe nguvu zaid kipindi kizid kupendeza zaid

  • @ramlatramadhan1453

    Alhamdulillah yarabi nafurahia kipindi asanti natoka kongo mji wa beni

  • @Dalilahothaman

    Tunaomba no za huyu dada

  • @shariffsuleiman2889

    Watching from kenya 254

  • @bikombosalum665

    Mashaallh nimejifunza kitu

  • @alisaid5745

    Maashaallah mungu awape afya muzidi kutuelimisha

  • @husnamohdmakame6465

    Mashaallah uko vzr mama Allah akulipe kila la kheir

  • @bas2823

    SOME MEN ARE DIRTY IN BODY N IN HIS HABITS ALSO😢! NOT ALL THE MEN! BUT MANY OF THEM!😢! N VERY FEW ARE GOOD N CLEAN N FAITHFUL IN HIS MARRIED❤ WITH LOVES N CARES❤

  • @hailinhelen4675

    Sio dini tunaishi kimazoweya

  • @PanduHaji-er1td

    Ndoa nzur ila umpate alokua yupo tayar

  • @maryamsaid2881

    MashaAllah somo mtoto upo vizur Allah akuzidishie ❤❤❤

  • @bas2823

    WHAT ABOUT THOSE WOMEN HAVE CURLY HAIR!? NEVER GROW BIG!? SO U WILL DEVORCES N MARRIE ANOTHER!? BEC. OF HER HAIR ONLY! N NOTHING ELSE ABOUT HER!??😢 MOST AFRICAN HAVE CURLY HAIR CANT GROW BIG! MAN N LADY THEIR HAIR ARE SHORT N NOT GROW BIG!😢 WHEN U LOVE❤ THE PERSON! LOVE THE WAY SHE IS! OR HE IS! GOD MADE HER N HIM👍💞👌

  • @user-eo4hd8xu6d

    😂naijua iyo ya devu Tamu sana.

  • @emmyyussuf9234

    ❤❤❤❤❤ kipindi pambee

  • @maryammkubwa465

    Somo ni zuri tukifatilia kipindi hiki hakika ndoa zitakaa sawa

  • @ramlatramadhan1453

    Sasa somo ntapataje manukato maudi mbona niko mbali ila huwa nawatu kampala sijui unaweza uka vifikisha hapo nijuje