MWANAMKE MAKINI HUMDAKA MWANAUME HIVI
Вставка
- Опубліковано 21 вер 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Jazakallah kher wote mulioleta hiki kipindi,ila nampenda sana dada mwezangu Allah akubariki na akulinde
Jaman nafatlia sana ahsanten kwa mafunzo ila hapo kwenye nywele imebd nicheke, Na ni kweli jaman
MashaAllah Somo mtoto na Sheikh Rashid muko sawa 🎉🎉🎉❤
Dah namaliza MB kwa hivi vipindi vyenu Masha Allah mko vzr mnoo mwanamke usafiii .
Mashallah SoMo mtoto upo vizur kipindi nakipenda Sana sheh Rashid mw mungu akupe nguvu zaid kipindi kizid kupendeza zaid
Alhamdulillah yarabi nafurahia kipindi asanti natoka kongo mji wa beni
Tunaomba no za huyu dada
Watching from kenya 254
Mashaallh nimejifunza kitu
Maashaallah mungu awape afya muzidi kutuelimisha
Mashaallah uko vzr mama Allah akulipe kila la kheir
SOME MEN ARE DIRTY IN BODY N IN HIS HABITS ALSO😢! NOT ALL THE MEN! BUT MANY OF THEM!😢! N VERY FEW ARE GOOD N CLEAN N FAITHFUL IN HIS MARRIED❤ WITH LOVES N CARES❤
Sio dini tunaishi kimazoweya
Ndoa nzur ila umpate alokua yupo tayar
MashaAllah somo mtoto upo vizur Allah akuzidishie ❤❤❤
WHAT ABOUT THOSE WOMEN HAVE CURLY HAIR!? NEVER GROW BIG!? SO U WILL DEVORCES N MARRIE ANOTHER!? BEC. OF HER HAIR ONLY! N NOTHING ELSE ABOUT HER!??😢 MOST AFRICAN HAVE CURLY HAIR CANT GROW BIG! MAN N LADY THEIR HAIR ARE SHORT N NOT GROW BIG!😢 WHEN U LOVE❤ THE PERSON! LOVE THE WAY SHE IS! OR HE IS! GOD MADE HER N HIM👍💞👌
😂naijua iyo ya devu Tamu sana.
❤❤❤❤❤ kipindi pambee
Somo ni zuri tukifatilia kipindi hiki hakika ndoa zitakaa sawa
Sasa somo ntapataje manukato maudi mbona niko mbali ila huwa nawatu kampala sijui unaweza uka vifikisha hapo nijuje