DOCTA ALIE SHIRIKI OPARATION YA MAIKO AFIKA MSIBANI, AELEZA DK ZA MWISHO ZA MARCO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 404

  • @barakaabel482
    @barakaabel482 2 місяці тому +82

    Dr. Umetoa maelezo vizuri.....ukweli ni kwamba Madaktari mnatibu ila mponyaji ni Mungu....Tunamuombea pumziko la amani mbinguni....

  • @janetkemunto2065
    @janetkemunto2065 2 місяці тому +35

    Well explained Doctor .Thank you for trying your best,and indeed your team tried. Pole kutoka Kenya

  • @MohammedMusa-c2d
    @MohammedMusa-c2d 2 місяці тому +6

    What a wonderful doctor thank you for that information may God bless you.. Rispah from Kenya

  • @esthermbute2154
    @esthermbute2154 2 місяці тому +20

    Asante daktari kwa maelezo mazuri. Mungu aipe familia faraja. Ata baada ya upasuaji bado hangeishi mda mrefu sababu survival rate ni 5 years after elective aortic aneurysm repair. Tuachie mungu sababu inakaa shidaa ameishi nayo kwa mda mrefu bila yeye kufahamu.

  • @mercye.4277
    @mercye.4277 2 місяці тому +31

    Asante saana saana Doctor. Natamani saana sana madactari...wangekuwq wanafunza hivi kila msiba. Asante saaana sana

    • @Baruti-vb7wy
      @Baruti-vb7wy 2 місяці тому +1

      Mnisamehe Madoctori Maana Niliwachamba Sana 🙏🙏

    • @hildakitur7075
      @hildakitur7075 Місяць тому

      Pole Marco, nenda salama

  • @AnnMbithe-i8t
    @AnnMbithe-i8t Місяць тому +4

    Thank you Doc for good explanation.may God comfort the family 😢

  • @AmosSniper
    @AmosSniper 2 місяці тому +11

    Mimi nipo hai leo kw uhodari wa madaktar wa Tasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete... Shukrani zangu za dhat kabusa kwa Daktar Angelo na Nyangasa +dokta Shabani

  • @euginelk_97
    @euginelk_97 Місяць тому +1

    Well explained and articulate points. The Doctor has said it all. Pumzika pema mtumishi wa mungu.

  • @angelinnamkingi2219
    @angelinnamkingi2219 2 місяці тому +7

    Asante sana Dr.kwa ufafanuzi,sio kosa lenu Bali MUNGU amejitwalia Cha kwake.Mbarikiwe sana wauguzi na madaktari wote.

  • @soaringhigh9604
    @soaringhigh9604 Місяць тому +1

    Asante Sana Doctor n Doctors for the great work you all did directed by our greatest God,, ni siku ya Marco ilifika ya kumrudia Mungu wake,,, family members jipeni moyoni, bro Marco rip

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 2 місяці тому +2

    We proud of u dr in our nation for your transparency. That's all patient hakuna mgonjwa anayekufa mtu anamuangalia kwa kweli.hivi ndivyo ilitakiwa mtu wa afya awe anatoa maelezo kwa famila umati kama huu hasa kwa case za emergency na wale wajawazito

  • @Nangaikalumekenge
    @Nangaikalumekenge Місяць тому +1

    Shukrani za dhati daktari kwa ufafanuzi wa kina. Mungu akubariki kwa kupigania uhai wa wengine.

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 2 місяці тому +4

    Dr hongera sana kwa kutuelimisha kwa kwel umetuelimisha na pia mlihangaika na mtanzania mwenzetu polen mnoo mungu awatie nguvu

  • @everylineatieno1408
    @everylineatieno1408 2 місяці тому +3

    Dr. Asante kwa hayo maelezo

  • @peninakundi6843
    @peninakundi6843 2 місяці тому +8

    Asante doctor kwa maelezo hayo ya kimantiki kabisa na tutaendelea kuiamini JKCI hao wapotoshaji kama kina munis wapuuzwe.

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 2 місяці тому

      Yani lile libaba linalaaan ya matakon kwake limeniboa sana 😢

  • @edwinlyimo5611
    @edwinlyimo5611 Місяць тому

    Asa te sana Doctor,Mungu akupe upendo huo zaidi,alilopanga Mungu binadam hawezi kuzuia,Mungu alimtaka Marko,tunazidi kumshukuru Mungu kwa maamuzi yake,Pumzika kwa amani Marko

  • @MelissaOkoth
    @MelissaOkoth 2 місяці тому +3

    You have explained this Doc
    Pole to the family, let God help you on healing journey.

  • @anneferguson1158
    @anneferguson1158 Місяць тому +1

    Acute aneurysm . Thank you, Dr., for clearing the air. We should all learn from that. RIP Marco.

  • @josephsika8704
    @josephsika8704 2 місяці тому +15

    The doctor is very awesome

  • @edithmwasulama7005
    @edithmwasulama7005 2 місяці тому

    Pole Doctor
    We understanding
    Your there to serve
    Na furaha yenu nikuona watu wamepona
    Mungu awatunze kwa namna mnamsaidia Mungu kuponya Afya zetu

  • @bishopfrederickchingwaba5337
    @bishopfrederickchingwaba5337 2 місяці тому +6

    Poleni sana Ndugu zetu. Mungu Awafariji kwa faraja Yake kuu. Tuyapokee Mapenzi ya Mungu. Tunawaombea sana kwa Mungu Awatie nguvu kipindi hiki kigumu kwenu!

  • @lollitahsharon72
    @lollitahsharon72 2 місяці тому +6

    Thats a good thing explaining to everyone and people, thank you Doctor 🙏.You guys tried your best and God did His part🙏🙏

  • @patrickoyaro5982
    @patrickoyaro5982 Місяць тому

    Thank you Doc for the explanation. May the Lord confort the family and friends.

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 2 місяці тому +13

    Dokta, kwa heshima kubwa sana. Ngoja nirudie kusikiliza

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu 2 місяці тому +17

    Pole sana Mungu amuweke Ndugu yetu Marcos pahali pema peponi 😭🇨🇩

  • @rosequenti8431
    @rosequenti8431 2 місяці тому +2

    Kwa kweli nimeshuhudia anayosema kwa sababu ninaye mtoto anayeugua ugonjwa wa moyo tangu 2013 pale Mater Hospital Nairobi. Ni jambo ngumu kupitia hizo operesheni mara tatu, hata huu mwaka 2024.
    Ni mungu tu, anayeweza. Asante madaktari kwa kujaribu Mungu ndiye huponya, awafariji familia na ailaze roho ya Marcos mahali pema🙏

  • @Marjeby
    @Marjeby 2 місяці тому +15

    Ahsante sana Daktari mungu awabariki sana but hizo jitihada zilizofanyika kwa mgonjwa huyo ziwe zinafanyika kwa wagonjwa wote sio kwa yule anayejuana na flani

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 2 місяці тому +3

      Kila sehemu ukiwa na ndugu lazima utofauti wa huduma iwe tofauti na wasio na ndugu eneo hilo,hata ungekuwa niww utafanya hivyo lazima utatumia akili yako mpaka mwisho kumpania nduguyo katika sekta yoyote utayo kuwepo, hilo nikawaida kabisa, R I P Maco

  • @MercyHamis
    @MercyHamis 2 місяці тому +20

    Dàah cku zake ziliisha tu jmn mbna madoct waljitahd kadri wawezavyo Mungu ampokee 😓🙏🙏

  • @BlandinaKahuru-ur5el
    @BlandinaKahuru-ur5el 2 місяці тому +1

    Naelewa daktari Mwenyezi Mungu awatunze. Amina

  • @agnesnyambura8928
    @agnesnyambura8928 2 місяці тому +1

    Thank you doc for very informative information

  • @NgamuLomayani
    @NgamuLomayani 2 місяці тому +18

    Mungu abaki kuwa mungu ulimwimbia na watu wakapona mungu akupe pumziko la milele markos amina

    • @AgnesMloya
      @AgnesMloya 2 місяці тому

      Kazi ya Mungu haina makosa

    • @constntinemabina5067
      @constntinemabina5067 2 місяці тому

      Msiwe na mawazo ya hivo wote tunaimani na mungu but ata binadamu tuliumbwa kwa mfano wake kwa maana ya kuwa na amarifa ya kujikinga na majanga panapowezekqna

    • @constntinemabina5067
      @constntinemabina5067 2 місяці тому

      Kwa mfano hawa watoto wanaotekwa nayo tumwachie mungu????

  • @nimehifadhiwa....1867
    @nimehifadhiwa....1867 2 місяці тому +2

    Pole sana.Thanks Doc for the explanation .May he rest in peace...may the Lord grant the family peace.

  • @LyandeKasilo
    @LyandeKasilo Місяць тому +1

    Mm ni mmoja ambaye nishakutana Dr. Nyangasa kiukweli mungu ambariki sana na madaktari wote wa jakaya kikwete...nilipompeleka bibi yangu jakaya kikwete...kiukweli tumuachie mungu ndomuweza wa yote ...

  • @AdamMohamed-u4p
    @AdamMohamed-u4p 2 місяці тому +3

    Doctor kaongea vzr sawa ila ukweli tz kupasua kifua cha mtu bado sana kiukweli sisi bado wazungu wametuzidi mbali ila yote kwa yote kazi ya mungu

    • @levinamboya-jn5oe
      @levinamboya-jn5oe 2 місяці тому

      Ni kweli lkn hata baba yangu mdogo alipasuliwa jakaya kikwete, na akatoboa, mpaka Sasa yuko safi japo Sasa hawezi safiri safiri, Wala kazi ngumu hawezi ili operation ya huo mishipa mkubwa alifanyiwa hapa

  • @HildaMjema
    @HildaMjema 2 місяці тому +7

    Yaani tusomeshe Mungu tusaidie yaaani huyu Dr. kwa maelezo tuu yaani Dr. bingwa vibarikiwe vizazi vyote na hichi kilichomzaa Dr. huyu yaani ameelezea hata kama ni mwanafunzi anaelewa nini amefundishwa Mungu tunakuomba endelea kuwatunza na kuwabariki Dr wote duniani wenye wanaojitoa kupambania uhai wa mtu mpaka dakika ya mwisho

  • @rosemoventures314
    @rosemoventures314 2 місяці тому +4

    Well explained daktari,fare thee well Marcos

  • @Mrkigoma
    @Mrkigoma 2 місяці тому +7

    Achichichichi😢😢😢 dah aiseeeh mipango ya mungu

  • @jacklineloyani2688
    @jacklineloyani2688 2 місяці тому +1

    Doctor Mungu akubariki Kwa muda wako na kwenda kuungana na familia ya marehemu

  • @masyaganyerere4493
    @masyaganyerere4493 2 місяці тому

    Prof. Nyagoryo
    Cardiologist kwenye ubora wako. Ubarikiwe sana kwa maelezo mazuri

  • @LucyMpangala-s4e
    @LucyMpangala-s4e 2 місяці тому +20

    Hongereni sana madaktari kazi kubwa mmeifanya ya kumpigania kifo ni mipango ya Mungu

    • @Tracey.
      @Tracey. 2 місяці тому +1

      Pardon my long comment!!!
      After watching this reassuring and quite organized funeral service. Naomba tu niulize if those politicians who tend to capitalize funerals or final send off meetings as a platform to big up themselves and to propel their political agendas ultimately diluting the focus and respect for the deceased and their hurting family/loved ones kama wana utu? Especially 🇰🇪 wale wote wenye hii tabia mbaya. Please borrow a page from ndugu zetu wa 🇹🇿 on humility and humanity(utu wapendwa, nawasii utu jamani).
      Firstly, take notes from this exemplary and well thought out funeral service program. Hebu jamani tuwape HONGERA 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾to the planning committee and all the participants for consistently displaying utaratibu with profound orderly attitude of respect, compassion and encouragement.
      Secondly, it’s quite impressive how Dr. Harun Elmada Nyagori (Consultant Physician-Cardiologist and professor) humbly utilized a somber day and painful experience positively as an opportunity to provide comfort and public health promotion. Not only did this physician leader use his “airtime” to clear some negative allegations surfacing all over and particularly in social media surrounding the demise of Marco Joseph Bukulu’s but also, Dr. Nyagori provided a wonderful overview and teaching moment on an integral health issue of concern. Cardiac issues specifically high blood pressure AKA “the silent killer” has claimed many black lives over the years. This can mostly be attributed lack of or inadequate routine exercise and knowledge gap in maintenance of our optimum health and well being. We need more of this pertinent information and discussions in our social circles. May God continue to provide strength and fortitude to the family and friends perpetually as we all cling to the blessed hope of resurrection morning. Blessings🙏🏾

    • @AdamMohamed-u4p
      @AdamMohamed-u4p 2 місяці тому +1

      Kifo sio mipango ya mungu Bali ni nature ya kiumbe chochote

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 2 місяці тому

      ​@@AdamMohamed-u4pImani Yako inaonekana ni ndogo sana

    • @edithmwasulama7005
      @edithmwasulama7005 2 місяці тому

      Kwako wewe
      Cc wengine ni Mungu
      Maana ni agadir
      Hakika ahadi

    • @Florence-q7r
      @Florence-q7r 2 місяці тому

      @@AdamMohamed-u4p😂😂 kwani wewe unakaa ulimwengu gani??

  • @naomimwahosi8177
    @naomimwahosi8177 2 місяці тому

    Asante kwa elimu dr 🙏🏻

  • @LucyCornery
    @LucyCornery 2 місяці тому +2

    Kiukweli madaktari mlipigania sana uhai wa Marco ...hakika siku ya mwanadam ikifika ata daktari hawezi kupinga .. ni Mungu tu apewe sifa😭🙌 na roho ya marehem ilale mahala pema peponi ......Amen and Amen🙏🙏🙏

  • @emmaculatemuduya-zp3qv
    @emmaculatemuduya-zp3qv 2 місяці тому +1

    Ohhhhh rip marco ata madaktari walijaribu lakini kweli mungu alikupenda.pumuzika kwa amani

  • @dorissmrosso7420
    @dorissmrosso7420 2 місяці тому +2

    Kikubwa alimkumbuka mungu dk za mwisho akaomba. Ni neema ya pekee . Atuna budi kumshukuru mungu.

  • @dorismoraa9456
    @dorismoraa9456 2 місяці тому

    Asante sana daktari Mungu awabariki sana

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 2 місяці тому

    Asante Sana Dr

  • @asheryzoya8736
    @asheryzoya8736 2 місяці тому +1

    Mungu ampokee vyema mtumishi wamungu Marco mahala pema amen

  • @josephchimbunga4886
    @josephchimbunga4886 2 місяці тому +7

    Ukimsikiliza dokta vizuri, nahisi waliona hawamuwezì ndo maana walitaka wampeleke India.

  • @amazing_grace5392
    @amazing_grace5392 2 місяці тому +6

    Mungu awabariki madaktari wote, kazi yenu ni kubwa

  • @ConsolataAnyango-h9w
    @ConsolataAnyango-h9w 2 місяці тому

    Be blessed doctor you did your part you tried your best but above all everything was planned 🙏 my condolences to the entire family.

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 2 місяці тому +1

    Hongera profu.ikiwa hivi ufafanuzi kwa viongozi wakubwa ingependeza ufafanunuzi huu isingekuwa kuhoji sana

    • @rahellusesa3631
      @rahellusesa3631 2 місяці тому

      Kaz yenu mliifanya vyema madaktar wetu, ilibaki nafas ya MUNGU hapo

  • @KopiscoIsaya
    @KopiscoIsaya 2 місяці тому

    Doctor congratulations your explanation it's very clear,Mungu akubariki na tunakupa pole Kwa waliyo toa MANENO mabaya kwako,upo Makini sana,tumeridhika na maelezo Yako.

  • @deborahmollel3170
    @deborahmollel3170 Місяць тому

    Doctor we mwalimu mzuri sana tumeelewa kuliko masomo mengine

  • @godfreyseverin8917
    @godfreyseverin8917 2 місяці тому +2

    Maelezo ni mazuri sana doctor.. asanteni kwa mapambano

  • @EmmanuelOdero-g4w
    @EmmanuelOdero-g4w Місяць тому

    Poleni sana familia wote ya markos

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 2 місяці тому

    Apumzike kwa amani marko kazi ameifanya na Neema ya Mungu haijampungukia hata amepatana na Kristo pamoja ametutangulia tunaowivu juu yake kazi ya Mungukafanya na njiayake nyeupe

  • @IddaItuga-o9d
    @IddaItuga-o9d 2 місяці тому

    Asante sana dokta Kwa maelezo mazuri

  • @JOSEPHPETERMACHOTA
    @JOSEPHPETERMACHOTA 2 місяці тому +8

    Safi sana doctor

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 2 місяці тому +3

    Umeeleweka sana Dr

  • @RamadhanJulius-cb4mi
    @RamadhanJulius-cb4mi 2 місяці тому +3

    Mtu anatatuzo lamoyo kama mliona kupelea India shida itakua presha kwenye ndege na kunahatar yakutokufika na anaweza kufa kwa presha wakati ndege inapopaa au kutua .swali langu sasa hivi kunakitu kinatia na kuongeza presha zaidi kama kitendo chakumwambia tunakupasua lakini uwezekano wakupona ni 13%tu hata iweje ilikua nilazima afe

  • @ruthCharles-sk9if
    @ruthCharles-sk9if 2 місяці тому

    You did your part as doctors but Mungu ndie muamuzi wa maisha yetu

  • @shadrackopondo2314
    @shadrackopondo2314 2 місяці тому +2

    Mungu ndie huponya, daktari ni kutibu asanteni sana. Kwa ufupi siku ilikuwa imefika

  • @IddaItuga-o9d
    @IddaItuga-o9d 2 місяці тому

    Mungu awabariki Kwa kazi nzito na ya lawama mungu ndo kila kitu

  • @LeonardGeorge-kz9cs
    @LeonardGeorge-kz9cs Місяць тому

    tuifarij family hiyo mungu awalinde❤

  • @Emmyayo-z9s
    @Emmyayo-z9s 2 місяці тому +8

    Jaman poleni cn familiar Mungu awape furaha na uvumilivu

  • @SalapionMujungu
    @SalapionMujungu Місяць тому

    Mungu amlaze Mahalia pema

  • @fraviusfulgence7346
    @fraviusfulgence7346 Місяць тому

    Dactar anatibu Mungu anaponya

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 2 місяці тому +1

    Siku zake ziliisha Mwenyezi Mungu amrehemu

  • @MagdalenaNnko
    @MagdalenaNnko 2 місяці тому

    Madaktari mlipambana Mungu amlaze maharishi pema.Maelezo yapo vizuri sana na udaktari wako upo vemaz.Mungu awabariki

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 2 місяці тому +7

    Aiseee dada enjoy pole mmeo kapitia hali ngumu sana jmn hzo damu hyo operation masaa 8 yakafanyika 16 daah😢😢Marco😭😭R.I.P

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj 2 місяці тому +15

    Upo sahihi,sio munish tapeli.uchonganish na serikali

    • @CarolineLyimo
      @CarolineLyimo 2 місяці тому

      Munisi fala sana badala amuombee anachunguza madaktari

  • @ViolethiMbwilo
    @ViolethiMbwilo Місяць тому

    Mmmh Mungu ampokee

  • @rhodalameck5722
    @rhodalameck5722 2 місяці тому

    Ni mipango ya Mungu ,Mungu awabariki madaktari

  • @MariamuKashonele
    @MariamuKashonele 2 місяці тому +1

    Hongeren kwakumupingsnia kijana wetu irakwampango wamungu hamna nana mungu ampuzise kwaamani sana

  • @SarahNamegabe
    @SarahNamegabe Місяць тому

    pole sana wandugu zabron single Mungu awatiye nguvu jamani

  • @JumaSadiki-x2d
    @JumaSadiki-x2d 2 місяці тому

    Mungu akutangulie kaka mbele ya nyuma yetu pole shemeji yangu mungu atakutia nguvu

  • @DaudLeonard-o6u
    @DaudLeonard-o6u 2 місяці тому

    Daaaah kweli tumeumia Sana'a lakini MUNGU afanyike kuwa faraja kwenu amina

  • @RamadhanJulius-cb4mi
    @RamadhanJulius-cb4mi 2 місяці тому +1

    Mimi naona tatizo hapo lilianzia pale mlipomwambia kua hata mkimfanyia operation uwezekano wakupona ni 13%

  • @mariaikombe7839
    @mariaikombe7839 2 місяці тому +3

    Mmmm, daktari kama daktari yote kwa yote Mungu kampenda zaidi

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 2 місяці тому +1

    Ngoja niwaambie kitu.duniani kote mgonjwa akishaondoka kwenye ot oparation table salaama madactari hapo wamefanya kazi kuwa inaitwa op was success akifa hata masaa 4 baadaye hiyo sio tena op problem inageuka kuwa post op complications.Mungu atusaidie kupima afya zetu japo mimi mwenyewe naogopa

  • @chumamasaka
    @chumamasaka 2 місяці тому +1

    Umeeleza vizuri sana ubarikiwe

  • @LuckySteven-y1y
    @LuckySteven-y1y 2 місяці тому

    Hakika hii inatoa faraja kubwa sana kwa wafiwa kweli dactari mkuu ni Yesu tu 😢😢😢 Hongera sana Dr. Kwakweli msiba yote dactari hata mmoja ajitokeze tu kufafanua hivi jmn

  • @emmyphilibert1906
    @emmyphilibert1906 2 місяці тому +4

    Hata operation za kawaida watu wengine hawaamki . Siku za mwanadamu zikifika Mungu akiruhusu hakuna anayeweza kubadili

  • @jacklynechesang5267
    @jacklynechesang5267 2 місяці тому

    Good explanation

  • @AdolphShirima-z1v
    @AdolphShirima-z1v 2 місяці тому

    No comment,apumzike kwa amani

  • @LambertNandi-kf3ww
    @LambertNandi-kf3ww 2 місяці тому

    Mungu alikuwa amemhitaji zaidi. Mapenzi yake yatimizwe

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 2 місяці тому +2

    Well spoken dr

  • @MarthaKapufi
    @MarthaKapufi Місяць тому

    Polen sana mungu atawatia nguvu katika kipindi hiki kigumu

  • @NemuelOmbokaOmwenga
    @NemuelOmbokaOmwenga 2 місяці тому

    Poleni wanafamilia wote na Mungu awape nguvu, kutoka kitabu cha psalm 150 :6 Mungu anasema tushkuru tulio hai

  • @BarakaWicklifu
    @BarakaWicklifu 2 місяці тому

    Mungu akutunze doctor

  • @JOSEPHPETERMACHOTA
    @JOSEPHPETERMACHOTA 2 місяці тому +3

    Kweli mimi siwamini hawa Madactari

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 місяці тому +1

    Jamani,Madaktari wanatibu.mponyaji ni Mungu.Pia tuamini Mungu ana uwezo wa kuzuia au kuruhusu.Tukubali mapenzi ya Mungu.Pengine kanyakuliwa.na wakosaji tumebaki? Mungu tufundishe kuhesabu siku zetu.

  • @FaithMwende-lg2qk
    @FaithMwende-lg2qk 2 місяці тому

    Doctor umeeleza tukaelewa,mungu amuweke mahali pema

  • @CarolineLyimo
    @CarolineLyimo 2 місяці тому +1

    Dah bsi bwana tumuachie Mungu ngachoka jaman

  • @KuchumaAlfredMakesi
    @KuchumaAlfredMakesi 2 місяці тому

    Ubarikiwe dr kwa kupambania uhai wa Marco vile vile kushiriki mazishi ya mpendwa wetu

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 2 місяці тому +5

    Kuna madaktari wanatibu na kuna Mungu aponyaye... hongereni sana madaktari

  • @modestamashoke9038
    @modestamashoke9038 2 місяці тому +1

    Asante sana kwa elimu hii

  • @veronicabwamukuru1265
    @veronicabwamukuru1265 2 місяці тому

    Hongera sana doctor yaani mmefanya palipo penu ila huduma hii iendelee na kwa wengine pia

  • @UpendoEzekiel
    @UpendoEzekiel Місяць тому

    Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @BahatAri
    @BahatAri 2 місяці тому +4

    Duuh e mwenezi mungu tusaidie 🙏