HII NDIO SABABU PEKEE INAYOFANYA MWANAUME AONGEZE MKE
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Lakini ukhty Mashallah umzuri unapendeza sana ivo mbele ya wanaume na hinna hiyo
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah .lkn na wanaume wapeni darsa zao sabb ndoa ni mashirikiano baina ya mke na mume
Maa shaa Allah ❤❤❤❤
إنَّ اللهَ لا يقبضُ العلمَ انتزاعًا ينتزعُهُ منَ النَّاسِ ، ولَكن يقبضُ العلمَ بقبضِ العُلماءِ ، حتَّى إذا لم يترُك عالمًا اتَّخذَ النَّاسُ رؤوسًا جُهَّالًا ، فسُئلوا فأفتوا بغيرِ عِلمٍ فضلُّوا وأضلُّوا
Allah awafanikishe ktk maisha yenu yote.shukran Kwa muongozo wenu
Mashallahhh❤❤❤
Kifua icho na mapambo nakumbusha mashekhe zetu
Shukran kwa nasaha nzuri Allah Akubaarikini
Hubbul halal mashaallah 💯💯
Barakallah fiihu
Dada jistiri unampa shida sheikh dimoso
Maudhui ya hiki kipindi hakikustahili jinsia mbili tofauti
Mi nakuone nyote mupo kwenye makosa, mna uyo mwanamke ana mapambo tena ypo wazi kma piko, 2. uyo anaeitwa sheikh kwann yye hajamkemea? nidhamu zenu ni mbaya.
Hiki kipindi ni kizuri sana ila muda mdogo mliotuwekea
Nanyinyi mashekhe muliokaanae hamuoni hilo?
Manshaallah 😊
Mashaallah
Dada unaelimisha lakini umeharibu kwa kudhihirisha mapamboyako, tunakuangalia wengi na ayomambo wengine tunayapendasana, naomba urekebishe tafadhali.
Apate kichefukichefu aweze kutapika...😂😂😂
Ha ha nimecheka apo Dada atia alipo taja point ya kuwa hata ukiwa kwenye period Unaweza kumkamilishia mume haja zake😂😂😂Alivoirukia poin sasa yaaan ameipenda😂😂🙈Dah Jaman Sina lakusema Mola wangu atusaidie Ndoa yaan wanaume no wagonjwa tu nikama watoto 😁🙈Mwanaume mtakosana kila kitu atakusameh lkn sijambo hilo mhh utajua hujui🙄😜😂
Jee uyo mwanamme ameomba rukhsa kwa mumewe? mm wangu cimruhusu kufanya upumbavu uyo.
Tunaipata
Hubul halali swadakat