Asanteni jamani kwa huu wimbo mzuri. Halafu, mmejiremba kimila na pia mmetumia vyombo vya muziki wa kimila, ishara kwamba injili imeingia vizuri katika mila. Hongereni.
yaani wamenikamata nkajua mimi tu kumbe hata wewe duh hakika huu ni wito wao Mtakatifu Tuiombee miito mitakatifu. Ekaristi Takatifu Chemchemi ya uzima wetu
Swahili? Well said! I’m publishing a weekly UA-cam video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you..
Great song. Congratulations Mt. Yuda Thedei, kweli nayakabidhi maisha yangu yako mikononi mwake. Holy Trinity thank you so much, huu wimbo it's on point. Yaani mmejua kuleta wimbo wa kututia motisha hasa wakati huu tunapopitia majaribu ya ugonjwa wa Covid-19. Mungu na azidi kuwabariki Sana, and be safe.
This song touches a special part of my heart that lights up my catholic faith BE BLESSED.Did I mention that you Tanzanias sing very well .LOVE FROM Kenya
Mwenyezi Mungu awabariki sana wote mlioshiriki kufanikisha wimbo huu mzuri 'Hakika yatupasa kushukuru kwake yeye alietuumba na kutufanya hivi tulivo...Amen.
Mungu awabariki kwa wimbo mzuriiiii unailiwaza npo Congo lakini kama npo Tanzania barikiwa sana mama kweli nayakabidhi maisha yangu yawe mikononi mwake
Hongera sana kwa wimbo mzuri nimeurudia mara nyingi sana bila kuchoka una siku lakini mmeutoa kwa umakini zaidi barikiwa sana kwa kuntukuza Mungu kwa kuimba
Nice song. Congratulations, It has becoming my favourites song I can't stay without listening it every time. Well organized ñ sweet voices....keep it up
Well said! I’m publishing a weekly UA-cam video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you..
Asanteni jamani kwa huu wimbo mzuri. Halafu, mmejiremba kimila na pia mmetumia vyombo vya muziki wa kimila, ishara kwamba injili imeingia vizuri katika mila. Hongereni.
Kweli tushukuru mungu # Mnagusa sana likes zangu pokeeni# Viva viva wakristo wenzangu
Ipo raha kubwa sana katika uimbaji mbarikiwe sana,kwa wimbo huu umenifanya nikumbuke kwaya yangu ya mt.Augustino k/ ndege Dodoma
Nayakabidhi na maisha yangu yawe mikononi mwake
Najivunia kuwa mkatoliki
Kweli yatupasa kumshukuru mungu kila wakati....Amina. Sauti nzuri. Barikiweni
Ongereni kwa kazi nzuri ya uinjirishaj kuimba ni kusali mara mbili
Jamani wana Yuda Thadei hongereni...wimbo mtamu sana,lo!Sina hata la kuongeza,sichoki kuusikiza wimbo huu..wooooh,B Blessed Guys..frm Dubai,UAE.
yaani wamenikamata nkajua mimi tu kumbe hata wewe duh hakika huu ni wito wao Mtakatifu Tuiombee miito mitakatifu. Ekaristi Takatifu Chemchemi ya uzima wetu
ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html Karibu kusikiliza Mziki Mtakatifu. Ukipendezwa tafadhari Subscribe🙏🏽
Mimi kama mwimbaji namshukuru Mungu kwa sauti nzuri aliyonipa. Nitamsifu milele. Je wewe?
Swahili? Well said! I’m publishing a weekly UA-cam video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you..
Safi safi waimbaji,mambo si ndio haya bhn,ubunifu tu,hongeren,Mungu asiwaangushe hata kidogo katika masomo yenu
aliyecheza kinanda apewe likes jameni!! tamu sanaah
Mi enyew nimekielewa
Kabisaa
Yaani utamaduni umeimarishwa katika huu wimbo. Am happy to be an African women where culture is practically done. Hugs from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu asimame nanyi siku zote
Amen, bwana awabarik nyimbo nzuri,,
ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html Karibu kusikiliza Mziki Mtakatifu. Ukipendezwa tafadhari Subscribe🙏🏽
Always proud to a Catholic amen n amen
Safi sana
Mi too since sunday school era up to now.
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo❤amen 🙏 🎉🎉🎉
asante saana jaman kweli yatupasa sana kumshuru mungu
Uliye tunga wimbo uu ubarikiwe kwakipaji chako nauzidi kutufuraisha. Kila wakati mubarikiwe wapedwa
Kazi ni nzuri na Juhudi ilikuwa kubwa sana. Hakika kila ukiona vyaelea vimeundwa.
Wimbo mzuri mnoo❤
Nyimbo nzuri sana
mungu ni mwema siku zote milele🙏🙏🙏🙏
My favorite song
Nimempenda mpiga marimba....yupo vizur amefanya vyema
YEZU AHIMBAZWE. MURAKENUYE N AKA KARIRIMBO
MERCI BEAUCOUP , COURAGE
Great song. Congratulations Mt. Yuda Thedei, kweli nayakabidhi maisha yangu yako mikononi mwake. Holy Trinity thank you so much, huu wimbo it's on point. Yaani mmejua kuleta wimbo wa kututia motisha hasa wakati huu tunapopitia majaribu ya ugonjwa wa Covid-19. Mungu na azidi kuwabariki Sana, and be safe.
Nzuri sana
This song touches a special part of my heart that lights up my catholic faith BE BLESSED.Did I mention that you Tanzanias sing very well .LOVE FROM Kenya
ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html Karibu kusikiliza Mziki Mtakatifu. Ukipendezwa tafadhari Subscribe🙏🏽
Nimeupenda mzuri sana
Mwenyezi Mungu awabariki sana wote mlioshiriki kufanikisha wimbo huu mzuri 'Hakika yatupasa kushukuru kwake yeye alietuumba na kutufanya hivi tulivo...Amen.
Very touching song.i love en enjoy the it.God bless you all.
Naupenda Sana huu wimbo Mungu awabariki zaidi katika Utume wenu Watumishi Wake.
Am from Uganda and am catholic. I listen to this song at least 4 times a day though I don't swahili. I love the true African this song displays
It's a thanksgiving song to God for all the gifts of life in pain and happiness in all situations thanks and praise to God
Wimbo mzuri sana . Hongeni sana kwa kuimba vzr. Nimebarikiwa kwanwimbo huu. Mungu awabariki muendeleze kipaji chenu
kweli ni lazima nimsifu Mungu,wimbo,dansi na mavazi yanapendeza,Mungu amefurahia sana,nice song indeed #fromnarokkenya
Magnificent, divine and adorable. Kweli Mungu kanifanya jinsi nilivyo... Hallelujah lazima nimshukuru yeye
Yatupasa kumshukuru mungu kila wakati mbarikiwe sana
Safi sana kwa huduma nzuri. One of the best catholic choir songs.
Kazi nzuri mno🔥🔥🔥 #Bravo HT hadi waimbaji🤝
Mnanibariki sana..hongereni kwa kumtumikia Mungu kwa ujana wenu..mbarikiwe sana.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
AMEN yanipasa kweli kumshukuru MUNGU .
Waoooooo mziki mtamu sana, umenibariki sanaaa hongereni, MAKUBURI WAJAO
Hakika yatupasa kumshukuru Mungu kwa kila jambo..... Ni mwema mnoooo
This is what i love i am going to Tanzania and live in the village for 1 month
Kweli Tumshukuru..hongereni ,nawapenda sana
Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya uinjilishaji
Hakika yanipasa kumshukuru Mungu wangu kila wakati maana amenifanyia mambo mengi maisha I mwangu, 🙏
Amazing.. amazing... amazing... ntakuja Tanzania niwaone live..hahahaa,cute guys..sweeeet voices, B Blessed,Dubai, UAE.
Asante.
Mungu awabariki kwa wimbo mzuriiiii unailiwaza npo Congo lakini kama npo Tanzania barikiwa sana mama kweli nayakabidhi maisha yangu yawe mikononi mwake
Barikiwa vijana.. mkumbuke Mungu siku za ujana wako..
Karibu kutazama wimbo mwingine mzuri kutoka Kwaya Ya Alois Gonzaga-Kigamboni; usisahau kusubscribe ua-cam.com/video/UWbuppK_p78/v-deo.html
Ila nashauri kwaya inaporudia wimbo ihtahd kufanya vzr zaid ya walio rekod mwanzo
Kazi nzuri Sana , kila sauti inasikika kwa nafasi yake
Wimbo huu ni mzuri sana
Tumebarikiwa kuusikiliza,,wow..
Nazo sauti ni nyororo,,, iya!!!
Wapi wale saut ya pili,hongereni wana kwaya
Kazi safi twaipokeaa kutoka marekani
Mbalikiwe wapendwa
Congrants guys good work
True I shall praise him until my last breathe
Hongereni sana.ni wimbo mzuri sanaaaa
Love you all ... Proudly Catholic... pls interprete the song for me..
Thanks.....
Mbarikiwe sana wapendwa. Mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu.
Mungu azijaalie sauti zenu zinanigo
Nayakabithi na maisha yangu, yawe mikononi mwake. #shaka
Rp]
Hongereni sana MUNGU Baba awalinde katika huduma hii
Wimbo wenu umenibariki sana,barikiweni
Hakika nayakabidhi maisha yangu mikononi mwake ni wimbo uliojaa baraka tele asanteni sana vijana wetu
Lazima nimsifu yeye katk roho na kwelii
The instrumentals and the culture for me...receive love all the way from Kenya
Nibaeikiwe kupitia huu wimbo .Mungu Ni mwema Sana cna budi kumshukuru
Waoooooo nzuri sana nikitaka cd au DVD nimeupenda sana sauti zote zipo vizr sauti ya pili waooooo
Hongera sana kwa wimbo mzuri nimeurudia mara nyingi sana bila kuchoka una siku lakini mmeutoa kwa umakini zaidi barikiwa sana kwa kuntukuza Mungu kwa kuimba
Ka nipa uhai na nguvu ,amina
It's a very nice and encouraging song. Mungu awazidishie neema
Safi mungu awabariki sana
Hakika wimbo huu unanibariki vyema!
Respect Yuda Thadei & HT
Nice song. Congratulations, It has becoming my favourites song I can't stay without listening it every time. Well organized ñ sweet voices....keep it up
Naupenda huu wimbo...mbarikiwe sanaaa
anyway l live in USA but l like my Africa god bless Africa more and more yesssssss
that is good my brothers an sisters from east African keep it up
Well said! I’m publishing a weekly UA-cam video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you..
Waoo .good song keep it up all the time. Stay blessed
Hongera sana kwa wahasibu wenzangu mmefanya vizuri.... karibuni MWECAU KWETU
Nimebarikiwa sana na huu wimbo 2022.
Hongereni sana kwa utumishi wenu mbarikiwe
Wimbo mtamu kweli napenda sana
Hongereni sana Mungu baba awatunze
Nice song...blesses my soul
Beautiful.
I super love. Hongereni
Beautiful voices.... The maasai culture display is awesome
iyo kwawa nayipenda sana
Wonderful, angelic voices
Mungu awabariki kwa kuimba vizuri
Nice song,utunzi mwema.
Nimebarikiwa sana
Wow!!! This is very very beautiful song, Mungu hawabariki na muendelee hivyo hivyo 👍👍
Hiv hapa ndo mbinguni rahaaaaa saaaaaanaaaa
hu
Mungu awabariki sanaa kwa utume mzuri 🙏🙏🙏
Nice song ,Barikiwa sana
Yeah itz true to praise God coz He gives us Da precious life
Kazi nzuri🙏🙏
Jaman mungu ni mwema mmependeza
Waimbaji wazuri wimbo mtamu saaaaaaaana
Niko na ombi kwenu
Sauti hizi jaman 😊daah🙌🙌 waimbaji wote mbarikiwe na mjikaze mfike mbinguni
Hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu.
Safi sana
Best of the best song, sichoki kuusikiliza
This reminds me a lot. May God bless this team.