Hongereni sana sitosheki kuskiza huu wimbo hakika ujumbe umefika salama kwa hadhira haswa vijana wetu, Upande wa mavazi mmeweza zaidi ya kuweza proud of you keep it up
Mt Daud mmefikisha ujumbe kwa wimbo mzuri maana dunia sio mbaya wanadam ndo wabaya ukikubal kukosana shetan anakutumia ,Holy Trinity hongera kwa kazi nzur video iko clear hongera kwenu kwa wanakwaya kwa uinjilishaj 🙏
Wosia-Ni wimbo mtamu sana,ni raha yangu nikiwa studioni niicheze wimbo huu wasikilizaji na mwashabiki wangu wafurahishwe na pia waelimishwe #TeamHolyTrinity #TeamKenyaTz
Wimbo mtamu Sana, wenye mawaidha mazuri. Hongereni wanakwaya wa Mt. Daudi. Holy trinity you've done it again, good job and Mungu awazidishie baraka zake. Nawapenda tu Sana.
I really love this nice song. And iam broud to be Catholic.. It's amazing and fatastic. God bless u.. Bikira Maria atuongoze mwa manae.. Watching from Saudia
Wow, just WOW This is mind blowing, uimbaji wenu , mpangilio wa sauti , mavazi, ujumbe. ...... vyote vyamtukuza Mungu Mmenikumbusha choir flani ya arusha sikuimbuki wanaitwaje waliwahi imba a wimbo entitled** NANI KAMA ZAKAYO*
Asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa jalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Kweli wimbo huu naupenda sana,, hongereni sana mliimba vizuriii na UJUMBE ni mzuri mnoo watoto wetu wakifuata watafika WATAKAPO kimaendeleo kwa kumshirikisha Mungu.
Well said! I’m publishing a weekly UA-cam video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you.
Nmebarikiwa sana na huu wimbo.Kama vile mt augustino alivyosema kuimba nikusali Mara mbili,hakika nimesali na nmeupata usia huu mtamu.....hongereni mno kwa uimbaji
Naomba like yako kama bado unausikiliza wimbo huu
Wimbo mzur
2024
Nyimbo zenu tamu kweli 1:21
Hongeleni mbarikiwe sana
😊😊😊😊😊😊😊😂😊
Tusiishie kusikiliza,tuufikishe ujumbe huu katka familia zetu,hasa kwa watoto wakike.
Ubarikiwe mtunzi
Ubarikiwe pianist
Mbarikiwe waimbaji
Nimeipenda sana hii
Imenifanya nione fahari juu ya kanisa takatifu katoliki la mitume.
Mwenyeher Emmanuel dalzon
na abarikiwe sana daktari kwenye kinanda!
Asante
Nyimbo tamu tamu sana Wanakwaya wenzangu but Tanzania mko juu sana, Mwenyezi Mungu na awabariki sana pia padre wenu. Kenya twawatapua sana
Ujumbe mzuri kuna jirani kanikwaza nimrjikuta nafarijika mno. Kujua kusehe
Jamaaaaaani dada Nestaaa, dunia inapita...msamehe bure ila mshauri pia
Fahari ya Mtukula ...Wimbo Umetulia na Umefikisha Ujumbe Uliokusudiwa...Ahsanteni Sana
And the world we shall pass try to live everyone with peace❤❤❤ (waebrania 12:14)
Wimbo wenye wosia kamili ,,,napendezwa na huo wimbo sana ,,hapa Kenya mwapendwa sana ,,,proud to be a Catholic
Hongereni kwa wimbo mzuri na mavazi mazuri mungu awabariki.
Hongereni sana wana kwaya kwa wimbo mliyo imba mungu awabariki maana imenigusa sana 😃😆
Dunia inapita achana na mambo yake...mbarikiwe sana waimbaji kwa kuinjilisha❤❤
❤❤❤
Nazidi kujivunia kua mkatoliki kupitia huu wimbo ,nimebarikiwa sana,Mungu azidi kuwainua jamani🙏🙏🙏😘😘😘
Nyimbo zuri sana
@@venasiavicent5236 àà
Nazidi kujivunia kua mkatoliki kupitia huu wimbo🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️
Namimi pia 🙏🏾
@@venasiavicent5236m
I love this one million times
I can listen to it a whole day 😉 Tanzania mmbarikiwa lot of love from Kenyans
Soo touching indeed..be blessed Tanzania...nice message indeed..sooo wooow(◍•ᴗ•◍)❤
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri sana hakika nimeinjoy
Najivunia kuwa mkatoriki
Nawapongeza mmefanya utumishi. Endeleeni na mausia kwa jamii. Mungu awabariki🙏
Hongera Sana mandugu jirani wa Tanzania kwa choir nzuri keep up mbarikiwe sana
Asant mungu you up Fuji l9guys 44ttttfgtpoo6yghuulllllkoly guy Byrd
Usikubali kukosana na mtu!!!!🙌🙌🙌🙌🙌 Mungu awatie nguvu muendelee kuinjilisha
Good song, good message. I hope akina Nyamwi wamesikia. Nanyi Holly Trinity mmh...Yaani hata hamkosei!! Nitawatafuta brothers.
@@HOLYTRINITYSTUDIOS Amina. Nanyi mzidi kubarikiwa sana
Wondeful
Hongereni sana sitosheki kuskiza huu wimbo hakika ujumbe umefika salama kwa hadhira haswa vijana wetu,
Upande wa mavazi mmeweza zaidi ya kuweza proud of you keep it up
Sauti safi
Mavazi safi
Utunzi safi,
Kinanda safi
Ujumbe safi
Mbarikiwe sana, mwakola muno
Ukweli 😊
Wimbo mzuri sana nimepata faraja moyoni mwangu nimejifunza vingi kupitia wimbo huuuu
Maombi ya bamoja usaidia wemwenyewe unaeza kosa kujua shida yako kupitia kwamwingine unabona imani ya bamoja usaidia amen jion njema
Ni wmbo mzuri sana inatufundisha tuwe watu wa kusamehe,hongera mtunzi
Mwakola mno, nmewaona watu wa nyumban wote nawafahamu, ila hii nyimbo ni nzuri sana, jitahidi kuitangaza itawatoa kwa kufahamika zaida
Can't get enough of this song, very educative song. May God bless with greater minds for more ones. Mary ngina from machakos Kenya
Nimefurai kwakusikiliza wimbo uhu ninzuri sana n'a niosia mzuri kwawatoto wetu naMungu awabariki sana walioimba wimbo uhu.
Mungu awabariki sana kua fundisho hio ! From Burundi 🇧🇮🇧🇮
I found my namesake. Thank you Lord 🙏
gongera cna burundi
Wow. Mbarikiwe xna very nice song 🔥🔥♥️♥️
Pongezi zangu pikea
Kaka mutongore Ni Moto mwingine huu baada ya birthday yako kupita mwaka mwingine wa mafanikio hongera sana
Asante sana Elton.. Ubarikiwe saana
@@kaigamutongore8791 kaka hongereni sana.
Naomba nota za huu wimbo
@@kaigamutongore8791 tuko pamoja kaka
HONGERENI SANA FROM MWL. JOSHUA S SARUTWE(MTAMBO MAN)
OGANIST NI NANIIII HAPOOO( DVD TUNAOMBA NA OGANIST AONEKANEEE HAPOOO)
Hongereni wimbo mzuri sana
Wameimba vizuri, pia kuna Ubunifu safi kabisa 👏👏👏
Kazi nzur
Kabisaaa nmebarikiwa vyakutosha
Hongereni sana Vijana wa Mutukula, wimbo mzuri sana 👏👏👏👏💕💕💕🔥🔥🔥
Wimbo huu una maudhui mazito sana,hongera sana mtunzi na wanakwayawote
Naupenda sana huu wimbo mbarikiwe Kwaya yetu ya MT. Daudi Parokia ya MT. Yuda Thadei-Mutukula 🔥🔥🔥
Wimbo mziri sana mara nyingi nausikiliza
Najivunia ukatoliki
😵😵😵😵😵😵😵😵🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😒😒😒😒😒😒😒🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢
Hongera kwa wimbo mtamu na wenye mawaidha mazuri mno kwa watoto wangu..nimeucheza mchana wote Hadi nikatamani kufika nyumbani Kenya na Tanzania
Judith from Kenya nimafurahi sana kwa wimbo huh thank you God bless you abandentley,
Mt Daud mmefikisha ujumbe kwa wimbo mzuri maana dunia sio mbaya wanadam ndo wabaya ukikubal kukosana shetan anakutumia ,Holy Trinity hongera kwa kazi nzur video iko clear hongera kwenu kwa wanakwaya kwa uinjilishaj 🙏
Nimekua machozi ya furaha kwa ajili ya huu wimbo
@@HOLYTRINITYSTUDIOS nimelia machozi ya furaha kwa huu wimbo mbarikiwe sana
I cant get enough of this song!!! Haki listening 👂 all the way from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Nice Song be blessed
I heard a colleague listening to this song I went searched for it. I thank God for this voices. Mother Mary pray us
2024 Nmerudi kusikiza wosia❤❤❤
Wosia ulio na mafunzo kweli. Mbarikiwe wana kwaya wa Mtakatifu Kizito Makubuli.
Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Wimbo mzuri sana asanteni
Wow! Wosia mzuri kweli...Mungu Mwenyezi akawanehemeshe zaidi waimbaji wa MT. DAUDI
God is in you all, be blessed forever guys.
fantastic Catholic song nimebarikiwa sana
Wosia-Ni wimbo mtamu sana,ni raha yangu nikiwa studioni niicheze wimbo huu wasikilizaji na mwashabiki wangu wafurahishwe na pia waelimishwe #TeamHolyTrinity #TeamKenyaTz
Mwenye copy anitumie wadau nimeguswa sana
@@damianimasakila8872 Naomba Nota
Wimbo safi kabisa...
Sauti safi kabisa..
Wimbo mtamu kwa maudhui na sauti zilizolainishwa.Vyombo vilivyo lainishwa na visivyo na kelele💙💙💙👍👍
Eeeehhh,Nimesikia wimbo wenye Maneno Makubwa kweli kweli, Mungu Azidi kuwasaidia kweli,Mubarikiwe Sana,
Holy trinity you are always the best. Yaan wimbo umenikosha Sana
Kazi nzuri sana,Hii fundisho kubwa,Nimewapenda sana,Mama Bikira awaombee kwa Mwanae hekima na busara za nyimbo hizi zitufundishe
My home parish proud of you. Always in my heart keep up the faith and let our parish shine. Kuiina ni kohanya keri
Wimbo mtamu Sana, wenye mawaidha mazuri. Hongereni wanakwaya wa Mt. Daudi. Holy trinity you've done it again, good job and Mungu awazidishie baraka zake. Nawapenda tu Sana.
Nimepeunda sana huu wimbo
My mom words when i joined campus🙏🙏
Wimbo mtamu kweli. Nimebarikiwa sana nikiwa hapa Kenya
I really love this nice song. And iam broud to be Catholic.. It's amazing and fatastic. God bless u.. Bikira Maria atuongoze mwa manae.. Watching from Saudia
Mungu awazidi kuwabariki na kuwalinnda nawatakie
utumie mwema
Wow, just WOW
This is mind blowing, uimbaji wenu , mpangilio wa sauti , mavazi, ujumbe. ...... vyote vyamtukuza Mungu
Mmenikumbusha choir flani ya arusha sikuimbuki wanaitwaje waliwahi imba a wimbo entitled** NANI KAMA ZAKAYO*
Hakika kupitia huu wimbo nipo shule ninakiri kuupokea wosia huu nitauishi nakuufanya kuwa taa na Nuru katika maisha yangu yote
Hongereni sana kwa kazi nzuri. Mzidi kubarikiwa.
Asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa jalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Hongereni kwa uinjilishaji huu mzuri, ninaomba nota za wimbo huo wa WOSIA.
mbarikiwe
Amina Amina, amani ya Mungu iwe juu yenu Roho Mtakatifu awaongoze tena zaidi ya hii na mbarikiwe nyote
Jamani huu wimbo nausikiliza mpaka basi. Naupenda sana sana siuchoki kuusikiliza. Ni mzuri mno. Catholic raha sana
One of the biggest and sweetest sound to listen, I'm so grateful to roman Catholic
Wimbo mzuri sana huo,,,Mungu awabariki zaidi na Zaidi Amina
I proud to be catholic, Mubarikiwe kuelimisha jamii. Mungu wa Mbinguni Awabariki Sana!
Mbarikiwe nyimbo nzuri watching from saudia.i real miss my church
Wimbo mzuri sana na saut tamu na ujumbe maridhawa mbarikiwe wanakwaya wa Mt Daud
Hongeren sana wanakway natutayafanyia kaz mafundisho mliyotupa kweny hu wimbo ❤❤
Hongereni sana wanakwaya wa Mt Daud patokia ya Mt Yuda Thadei Mtukula Mungu awabariki sana kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji.
This song is really good,,,be blessed
Mbarikiwe wanakwaya kwa kazi kubwa ya uinjilishaji mnayoifanya mungu azidi kuwapa aftanjema ili muiendeleze kaziyake 👍🌹💯
Kweli wimbo huu naupenda sana,, hongereni sana mliimba vizuriii na UJUMBE ni mzuri mnoo watoto wetu wakifuata watafika WATAKAPO kimaendeleo kwa kumshirikisha Mungu.
Mungu azidi kuwabariki sana Alex kapirimposh 🇿🇲🇿🇲🇿🇲💓💓🌼
Achana na urafiki. Urafiki mubaya . usije ukapotea dunia yenye giza 🥰🥰 asante sana 2mebalikiwa sana 🙏🙏🙏🙏 from tz 🇹🇿
Wonderful song,
wonderful VIDEO .... 4K MMEFIKA WOW
God bless you.
From Kenya
Asante kwa sala zenu
Well said! I’m publishing a weekly UA-cam video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you.
Mungu wa kwel anayeishi juu mbinguni awe nanyi mzidi kutuinjilisha🙏 niko na furaha sana 😊
Encouraging song mtumishi Anastasia..kongole naye Mungu akujalie miaka nyingi ya utumishi 🙏🙏
Hongereni kwa kazi nzuri mungu awabariki sana nimeupenda wimbo jamani
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤good song.i proud to be a catholic
Nafarijikaa sanaa kuskiaaa wimboooo huuuu❤❤❤
Kwa kweli naupenda wosia ulioko katika wimbo huu
Love love this song 😭❤️❤️🇰🇪
Ongeleni sana mungu azidi kuwabariki na awapemaisha mema namarefu amen 🇿🇲🇿🇲😆💓
Nasema Asante mungu wangu kwa ulinzi wako mkuu kupita wimbo huu najivunia sanaa
❤❤❤ I'm proud to be a catholic,i can't get tired of listening to this song the whole day,hongereni sana,Mungu awabariki nyote
namimi pia
Wooow!! Hongereni Holy Trinity kwa kazi nzuriiii👍👍
Nmebarikiwa sana na huu wimbo.Kama vile mt augustino alivyosema kuimba nikusali Mara mbili,hakika nimesali na nmeupata usia huu mtamu.....hongereni mno kwa uimbaji
Naupenda Sanaa huu wimboo Amina mung niongozee katik maisha angg
Very nice song ..all the way from🇰🇪🇰🇪
Waooooo ameeen mimi nimejifunza vyema 🙌 kweny huu mwimbo be blessed
Nyimbo nzuri wosia
Wimbo mzuri sautinzur sana hongereni sana 🙏 🙏
Mungu awabariki kwa wimbo mzuri
👏👏Mbarikiwe
A very educative song. You have done marvellous. listening from kenya
Kiukweli nabarikiwa mno ninapousiliza wimbo huu mbarikiwe sana nyote.
❤❤watching from Kenya
Mbarikiwe nyote washiliki mulioweza kukamilisha kazi hii Mungu yupo pamoja nanyi 🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana mwendelee kusimama Imala Kwa kuinjilisha neno la mungu wimbo huu unanibariki sana
Wimbo mtamuu...enyewe sameha mara sabini...sio vyema kuwa na kinyongo na MTU..mbarikiwe milele..nawapenda