Holy Trinity Studio - Wimbo Ulio Bora ( Official

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • WIMBO HUU NI MMOJA KATI YA NYIMBO ZILIZO KATIKA ALBUM YAO IITWAYO "NAJIVUNIA IMANI YANGU"

КОМЕНТАРІ • 547

  • @PeterJohn-yh4vh
    @PeterJohn-yh4vh Рік тому +1

    Safi sana uwepo wa mungu ndio unafanya hivyo mulivyo

  • @gladyscherotich5050
    @gladyscherotich5050 5 років тому +10

    Huu wimbo ndiyo utaochezwa jumamosi siku kubwa kwangu siku ya harusi namshukuru Mungu Sana niombeeni na karibuni Sana

    • @malahimartine4397
      @malahimartine4397 5 років тому

      Hongera Grady na Mungu akuongoze katika ndoa yako

  • @MethewRobert-e5f
    @MethewRobert-e5f 2 місяці тому

    Nmeipenda Dana wimbo huu Big up wanakwaya❤👍

  • @JacobNayakundi
    @JacobNayakundi 8 днів тому

    Wimbo mzuri waimbaji mungu awabariki

  • @JudidhMushi
    @JudidhMushi 19 днів тому

    Nimepata wimbo wakuingilia ukumbini bado mme nashela❤😂

  • @josphine432
    @josphine432 3 місяці тому +3

    Still watching at 2024???

  • @valeriamgani4524
    @valeriamgani4524 Рік тому +1

    Wimbo Mzuri Sana 💐 💐 hongereni

  • @nswanalucheya5737
    @nswanalucheya5737 5 років тому +17

    Wimbo mzuri sana. Nengekuwa sijaoa, nigechagua wimbo huu na kwaya hii.
    Hongereni sana.
    Kutoka Zambia Kafue.

    • @chaulamkingatv4560
      @chaulamkingatv4560 4 роки тому

      Nimeupenda

    • @csato9415
      @csato9415 4 роки тому

      @NSWANA LUCHEYA, hata kama umeoa wewe pendelea kuusikiliza uwe kichocheo ktk kuimarisha ndoa yako, ni maneno kutoka kitabu cha WIMBO ULIO BORA, SURA YA 2 :8, 2:16, 5:9b, 4:1b, 1:15b, 5:11b, 5:II, 5:13b, 7:11, 7:12

  • @victorjidinga9743
    @victorjidinga9743 4 роки тому +8

    Wimbo umenigusa Sana kwa kweli na nitapenda uchezwe siku ya ndoa yangu...

  • @renataraymond8988
    @renataraymond8988 6 років тому +13

    Hongereni naona vionjo vya Kingoni hongera Mr Nyoni Ubarikiwe kwa kazi nzuri.

  • @NorahOctavian-ei5nk
    @NorahOctavian-ei5nk 4 місяці тому +1

    Wimbo mzuri sana

  • @ernestlufuta1665
    @ernestlufuta1665 2 роки тому

    Wimbo bora, waimbaji bomba, video bora. Hongereni sana wanakwaya kwa uimbaji wenu mzuri!

  • @aquelinakanje2178
    @aquelinakanje2178 4 роки тому

    Leo wimbo huu umekuwa wimbo wa wiki kupitia Radio Maria Tanzania
    Hongereni sana

  • @matildajoseph6244
    @matildajoseph6244 5 років тому +7

    Yani sichoki kuutazama wimbo huu,hongera sana waimbaji video imetulia sana, hongera mwanangu Laurian Nyoni kwa utunzi Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu

  • @chanhumbadispensary2828
    @chanhumbadispensary2828 Рік тому

    Dàah nyimbo nzurii sana Mungu awabariki sana

  • @nolaskoaloisi-jv6ov
    @nolaskoaloisi-jv6ov Рік тому

    Congratulations, Mungu azidi kuwatia moyo wa kuinjilisha kwa nyimbo.

  • @pvenboy4542
    @pvenboy4542 5 років тому

    Hongereni sana wanakwaya kwa kuimba wimbo mzuri wenye kuvutia

  • @CharlesKisiri
    @CharlesKisiri Рік тому

    Hongeren sana mungu awabariki kwa kazi nzuri

  • @jarlathbyrne3146
    @jarlathbyrne3146 3 роки тому +1

    Thanks for sharing this beautiful video. Such delightful singers, fantastic young men and women.
    Thanks again.
    Keep well
    Keep singing!
    Jarlath

  • @faustinlyela3531
    @faustinlyela3531 4 роки тому

    Tusali kwa nyimbo ya kwaya nami nilikuwa mwanakwaya wa parokia ya makole miaka ya 85 .from italy now

  • @monicahmutuku7191
    @monicahmutuku7191 5 років тому

    Hongereni sana. Wimbo mtamu sana. Sauti nyororo barikiweni sana. Mungu awazindishie baraka.

  • @ashleykevins9882
    @ashleykevins9882 6 років тому +6

    wimbo ulio na maneno mazuri ya kumfanya binti kukaza ndoa yake, wewe ni mzuri sana mpendwa wangu,

  • @justinakalekana6344
    @justinakalekana6344 4 роки тому

    Mmeimba vizuri wanakwaya mungu awabariki Sanaa

  • @charlesntakarutimana7820
    @charlesntakarutimana7820 4 роки тому +1

    Wimbo mzuri sana lakini tutafakari yaliyomo Mungu awabariki sana

  • @mariagorethshirima4742
    @mariagorethshirima4742 6 років тому +11

    Daa hii ngoma kiboko sana, Nimewapenda wote ghafla kama ujumbe wenu mmnaotoa aise. Mbarikie sana Wana Gaspar kwa kazi iliyotukuka Sana.. Mpendwa wa Nafsi yangu...

  • @lengwasingae3728
    @lengwasingae3728 5 років тому

    Jmn Mungu nijarie mume nfunge nae ndoa kansan tucheze wimbo huu

  • @estermalema7395
    @estermalema7395 4 роки тому

    Mbarikiwe na mungu kwa kazi nzuri

  • @teddymarshal4005
    @teddymarshal4005 2 роки тому +12

    my dad asked the choir to sing this song on the day we paid our last wishes to my dear late mother....

  • @victoriasiay4218
    @victoriasiay4218 4 роки тому

    Wimbo Mzuri Mungu Wabariki sana Hongera na Mtunzi pia

  • @raymondkapwa6966
    @raymondkapwa6966 6 років тому +1

    Hongeren sana Wanakwaya wa kwa wmbo mzuri na kwa video nzr, mmependeza kwa mavazi mazuri na yakuvutia, Mungu azid kuwabariki mdumu katka kumtumikia yeye kwa Nyimbo nzr za kumsifu Yeye ,Amina

  • @graysonjohn1080
    @graysonjohn1080 6 років тому

    Namwona cherestine masemla hongera sana Mungu awabariki maneno yanasikika sana

  • @dushimiyimanajean8979
    @dushimiyimanajean8979 4 роки тому

    Nawapenda sana wajilani wangu .
    Kwaujumbe wa nyimbo zenu

  • @florachuwa301
    @florachuwa301 4 роки тому

    Wooow wimbo uko vizuri sana...kama waimbaji wenyewe...mubarikiwe

  • @yosephandumbaro1425
    @yosephandumbaro1425 4 роки тому +1

    Hongera Sana Kwa utume...
    A beautiful song in deed

  • @erickchikira1397
    @erickchikira1397 6 років тому +1

    very nice song....saut ya kwanza mnanivutia mnoooooooo

  • @janetjuma5203
    @janetjuma5203 6 років тому +4

    Mbarikiwe sana wimbo ni mtamu sauti inavutia na nyi yi wenyewe khaki mnape ndeza sana

  • @okongostephenv5421
    @okongostephenv5421 2 роки тому

    Well composed song. The message is powerful. Mungu azidi kuwabariki na utunzi wa nyimbo zaidi

  • @florahmichael3540
    @florahmichael3540 5 років тому

    Hongereni sanaaaaaaa kazi nzuri... Mungu azidi kuwabariki

  • @timothikibhona
    @timothikibhona Рік тому

    Wimbo huu niki upiga huwaga unani kosha sana❤❤

  • @gaudensiakazindo5420
    @gaudensiakazindo5420 4 роки тому

    Hongereni wanakwaya mmependeza sana

  • @witnessnjovu4249
    @witnessnjovu4249 6 років тому +8

    Asante nyimbo nzuri sana wewe ni mzuri sana mpendwa wangu

  • @stephenerupe8782
    @stephenerupe8782 4 роки тому +4

    i love how you guys look at each other in a romantic manner......wimbo mzuri sana,i would sing to someone in future

  • @kassimourio6879
    @kassimourio6879 4 роки тому +3

    The way this song is marvelous why does not take more than 10mins...
    Those who sung it are really portraying the the words spelt out....meaning handsome and pretty as they are. They did justice for the song..congratulations!!! ...great work

  • @tharcissekayumba3406
    @tharcissekayumba3406 5 років тому

    Na wimbo hii , naenda mbinguni , mungu apewe sifa sana.

  • @josephichechi7251
    @josephichechi7251 4 роки тому +13

    Kazi nzuri Sana Wana HT na wanakwaya, itabidi ntafute mchumba Kati ya hao wanadada kutoka na sifa wanazomsifia mpendwa wao. Pengine atakuwa akiniimbia na Mimi katika nyumba yetu

    • @keihagweteddy8711
      @keihagweteddy8711 4 роки тому

      Thanks for the nice song .

    • @athanasiaanney5839
      @athanasiaanney5839 4 роки тому

      Huu wimbo mzuri yaani nausikiliza mda wote dah.. hongera kwenu

    • @josephichechi7251
      @josephichechi7251 4 роки тому

      @@athanasiaanney5839 yes, unagusa sana. Yani ni wimbo wenye message kuu

    • @athanasiaanney5839
      @athanasiaanney5839 4 роки тому

      Yaani wanaume wenye mpango wakufunga ndoa siku za karibuni huu wimbo unawafaa na kupigwa siku ya harusi zenu

    • @josephichechi7251
      @josephichechi7251 4 роки тому

      @@athanasiaanney5839 wakuolewa waliisha jamani.

  • @jescatumaini9852
    @jescatumaini9852 5 років тому +1

    Kumwimbia Mungu ni raha sana!!! Nimetamani!!!!! Mungu awabariki

  • @jamesgachau2566
    @jamesgachau2566 7 місяців тому +1

    Sauti tamu sana

  • @johnndungu4838
    @johnndungu4838 6 років тому +1

    Na ninyi ni wazuri sana wapendwa wangu na wimbo wenu mtamu sana,
    Sauti yenu nyororo na safi zaidi,
    Sikomi kuwasikiliza hata, na mwendelee kutupatia zaidi mkibarikiwa

  • @josephinemtey7087
    @josephinemtey7087 5 років тому

    Nimeufuraia ni nzuri n.a. mnaimba vzuri

  • @valemuhemuhe4315
    @valemuhemuhe4315 4 роки тому

    Wimbo mtam Sana, nimeipenda na wanakwaya mmependeza

  • @nancykaimuri7981
    @nancykaimuri7981 3 роки тому

    Wewe ni mzurii Sana.... love it walai

  • @dr.johnsonnyamohanga6147
    @dr.johnsonnyamohanga6147 6 років тому

    Hongera sana wanakwaya kwa kazi nzuri ya bwana,mnilioifanya na mnayoendelea kumfanyia bwana!

  • @fredetal652
    @fredetal652 6 років тому +1

    wimbo mtamu kweli. mungu awabariki zaidi

  • @simbajeff9632
    @simbajeff9632 4 роки тому

    Nyimbo zote za HT ni nzuri sana,zinapendeza sana,mwatubariki na tungo safi na midundo

    • @simbajeff9632
      @simbajeff9632 4 роки тому

      @@HOLYTRINITYSTUDIOS Nyimbo zenu zinakosha sana

  • @kitonedenis6830
    @kitonedenis6830 4 роки тому

    Good video and great song

  • @georgembugua6849
    @georgembugua6849 6 років тому

    Wimbo mzuri sana huo...hongera kwa sauti zenu nzuri

  • @matthieubarenga88
    @matthieubarenga88 4 роки тому

    Toutes les chansons religieuses de tous les pays j'ai les adore . je les écoute régulièrement sur you tube.

  • @dativambaga6206
    @dativambaga6206 6 років тому

    Waooooh! Wimbo nzuri xana,mbarikiwe xana

  • @achiengokoth8112
    @achiengokoth8112 5 років тому +23

    This song is a blessing to me I used on my wedding day when entering the the church,

  • @rahimatanzani6509
    @rahimatanzani6509 6 років тому

    Hongereni wanakwaya mungu naomba na mm nipe mpendwa wangu najua kwa mungu linawezekana mume mwema hutoka kwako baba uliye mbinguni

  • @georgendelwa4375
    @georgendelwa4375 5 років тому

    Hongereni kwa kaz nzuri

  • @samuelndungu9610
    @samuelndungu9610 4 роки тому

    Lovely song indeed. Aki mimi ntahama Kenya nkuje Tanzania.

  • @AnnastaziaAnthony-mk8em
    @AnnastaziaAnthony-mk8em Рік тому +1

    Nimebalikiwa

  • @wilhardsambala5491
    @wilhardsambala5491 2 роки тому

    Asante kwa wimbo mzuri

  • @evanskiplagat6135
    @evanskiplagat6135 5 років тому +4

    Tamu sana ....blessed naskisa al the way from Colombia very inspiring

  • @juliuschacha1218
    @juliuschacha1218 6 років тому +1

    kwa kweli mmenibariki sana. Hongera kwa kazi nzuri.

  • @mkamandye4790
    @mkamandye4790 6 років тому +1

    Wimbo mzuri,video nzuri mno Mungu aendelee kuwabariki ktk utume huu

  • @acquelinapissa2968
    @acquelinapissa2968 5 років тому +1

    Wimbo mzuri video nzuri

  • @benjaminamri4329
    @benjaminamri4329 4 роки тому

    Safi sana mmetisha mungu awabariki sana

  • @gladnesssidiu4922
    @gladnesssidiu4922 4 роки тому

    Mungu wa mbinguni awabariki
    Kwa kweli kwa Yesu raha

  • @renisterprosper9653
    @renisterprosper9653 4 роки тому

    Hongera Sana kwa wimbo mzuri

  • @shaibuemmanuel5564
    @shaibuemmanuel5564 6 років тому

    HT...hakika ninyi ni furaha nawapongeza sana wanakwaya kwa kazi hiyo nzuri Nimependa mpka nahisi utukufu na upako

  • @fr.Josephat-SharingGodsLove
    @fr.Josephat-SharingGodsLove 2 роки тому

    Kazi nzuri mbarikiwe nyote

  • @alindadenice375
    @alindadenice375 2 роки тому

    Ongeraaa sanaaa umenibariki

  • @agnesngaiza7424
    @agnesngaiza7424 6 років тому

    Wanakwaya ata mbinguni tunaimba kazi ninzuri sanaaa mbarikiwe

  • @manenomassaka
    @manenomassaka 5 років тому

    Mungu awainue katka kazi zenu nyimbo nzur kweli

  • @joelngingo9335
    @joelngingo9335 6 років тому +1

    Hongera Laurian Nyoni
    Hongereni Gaspar del Buffalo
    Hongereni Holly Trinity studios.
    Amazing video ina utulivu wa kikatoliki.

  • @winifridamikoma862
    @winifridamikoma862 6 років тому

    Wimbo mzuri Sana mungu hawazidishie talanta zenu ktk masomo yenu na maisha yenu

    • @dianaweliam5608
      @dianaweliam5608 6 років тому

      Ubarikiweni sana hata kwamavazi mkovizuri daimamsijisahau nyie nikioo

  • @pmedicalubungo9639
    @pmedicalubungo9639 4 роки тому

    Msg nzuri, hongereni jmn

  • @nagagwanagagwa9591
    @nagagwanagagwa9591 5 років тому

    Mbarikiwe mno mno, nitamwimbia Mungu siku zote maishani mwangu.

  • @dominicsomola402
    @dominicsomola402 6 років тому

    Nimeifurahia huu wimbo mzuri sana sana...nimeupenda...

  • @emmanuelsimeo9669
    @emmanuelsimeo9669 2 роки тому

    kwaya hii naipenda sana hongeleni sana kwa uinjilishaji

  • @williammgohele236
    @williammgohele236 5 років тому

    Wimbo mzuri mungu awabariki mmependeza pia hongereni sana.

  • @darlingtonshantebe1591
    @darlingtonshantebe1591 3 роки тому

    God bless you nice song

  • @josephkaniki344
    @josephkaniki344 6 років тому

    Wimbo mzuri sana asanten sana Mungu azidi kuwainua

  • @amiryluzilo9440
    @amiryluzilo9440 5 років тому

    Duu hongeren jaman mungu awabariki

  • @jacobmalima7314
    @jacobmalima7314 4 роки тому

    Asanten.sana.kwanza.mmependeza.mungu.awabarik.sana

  • @shabijuliana734
    @shabijuliana734 6 років тому

    Hongereni Sana mmeimba vzr nammependeza sana

  • @marryjames1370
    @marryjames1370 5 років тому +8

    Nimeupenda sana wimbo,ongera

  • @simonbukuru1201
    @simonbukuru1201 5 років тому

    Asanten kwa nyimbo nzur mungu awatie baraka daima

  • @ritahotieno402
    @ritahotieno402 3 роки тому +2

    This song reminds me someone who was special to me, whenever we met he played it for me😢

  • @happymaiga4963
    @happymaiga4963 4 роки тому

    Hongereni sana mnaimba kwa hisia kweli. Kweli Mungu wetu mi mziri sana

  • @Jenerthmeru
    @Jenerthmeru Рік тому

    Hongeren sana❤❤

  • @jenithaheneriko4208
    @jenithaheneriko4208 6 років тому

    hongereni sana wapendwa kwa wimbo mzuri barikiwa sana

  • @pracidiaprudence4341
    @pracidiaprudence4341 5 років тому

    Mungu awabarikiiii sana sauti ya pili mmeimba vizuri

  • @fredrichard5192
    @fredrichard5192 5 років тому +1

    Halloow wew ni mzuri sana mpendwa wangu ee Bwana bless me

  • @albertosimplisti1416
    @albertosimplisti1416 6 років тому

    Hongerni Sana wanakwaya mmeimba vizuri saaaaanaaaa, pia mmependeza sana mungu azidi kuwabariki

  • @renaldernathal3827
    @renaldernathal3827 5 років тому +1

    Ww n mzuri sana mpendwa wang i lyk it Mungu awabariki

  • @dominicsomola402
    @dominicsomola402 6 років тому

    Nyimbo zimetungwa ili ziimbwe...hongereni sana...

  • @stellasona9269
    @stellasona9269 6 років тому

    Hongereni Sana kwa kujitoa na kutumia muda wenu kwaajili ya Bwana!! Mbarikiwe Sana