KUNGWI DUME sehemu ya Ishirini na Tatu
Вставка
- Опубліковано 16 бер 2024
- "KUNGWI kakupa mzungu huujui maana yake mfate akakwambie maana ili uondokane na usungo, Siku zote mwanamke mazingira jambo la kwanza ni kujipenda na ndio maana ya pambo la nyumba"
- Розваги
Watatu leo nipeni like zangu kumi tu
Kazi nzuri mashalla wanaume kama Hawa wako kweli ikiwa mnauhakika wako naombeni like vipenz
Nimewahi leo nipeni like zangu
Mpeni Maua yake ibrah the don🎉🎉🎉🎉🎉
Tupo darasani twakusubiria mwalimu wetu ❤
Kungwi dume ni 🔥🔥 , tunahitaji muendelezo plz kaz ni nzur sana , tunajifunza mengi kupitia hii series
Sija chelewa ata mm naomba laki zenu wapenz😊
Leo wakumi na sita musinibanie jamani🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤ thank youuuuuuuuuuu BABA mrezi wetu🎉🎉❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂
Waah ..hili nalo funzo . Shukuran The don
Ndoa zinge kuwa za suluishwa ivi inge kuwa mzuri sana ❤❤
Wangwa Ibrahim the don❤🎉🎉🎉🎉
Yan watu wanafata like tuu na sio kujifunza
Duuuh ndoa zina mengi jmn
Wa 30 duh lakin bd sijachelewa nipeni moyo kwa like
Kaz nzur sana
Mwanaume jasili Mme wa subir ❤
Nimewapenda jamanii
Mashaalaah kazi nzuri Sana ❤
Hongera Kaka unamoyo wakipekee
Ahsante Thedon this time hatukusubiri sana... 🙌🙌🤩
Masha'Allah nimependa hii hata shangazi hakujua kinachoendelea. Kongole sana kwa kazi nzuri
Mashallah kazi mzury hongera Kaka ibrah kwa mafunzo yako kungwi uyoooo kungwi uyoooooooo Ila hiii sehem ya 23 we acha to full huzuni
Kazi nzur jmn hongera zenu
Ma Shaa allaha ❤
Nimependa ugovi wa mume na mke hata shangazi hajajua kilicho tokea ndani hongera Kungwi jike aliye mfundisha mwanamme kafaulu na kungi dume pia aliye mpa MAFUNZO mwanamke pia hongera gemu ni nzuri kikweli ... bye Miss,Pili wa ukweli
Hongera saan kaka ❤❤❤
Asante sana the don kwa kuileta kwa haraka inge kuwa ivi inge kuwa Bora zaidi good job ❤❤❤
Kwan bado haijaj mbn mim sijaon
Namba zke tyr unalipia elf tano mwezi kujifunza zaid
Nakosaje kwa mfano ❤🎉
Kaz mzur
Allah akuzidishie kungwi.
Muendelezo twaungoja kwa hamu mwalimu🎉🎉🎉🎉🎉😊😊😊
Kali sana 😊much love ♥️
Kazi nzuri
Masha Allah mume yupo na hikma kweli
Shukran sana
🎉🎉 WA Mme kama hawo wachache duniani kabisa
Jamani nimechelewaje mimi 😊😊😊
Watuu hawalal nakwambiaa😄😄😄😄😄
Ok pamoja
MashAllah
Nimechelewa lakini nimewahi hongereni sana wadau
Asante sana kaka najifunza vingi san❤❤❤❤🎉
Tunahitaji mwendelezo kaka
Sjo kwel kama wanaume kama Hawa wako Dunia hii ya Leo 😂na kama wako nipen mmoja mie sijaolewa 😂😂
Huyu mwali wa mikope vip sasa
Shukran kungwi
❤❤❤❤❤
Yan kwa kufumaniwa huko unaweza kuri hata mwaka😅😅 alafu mume hajari😢 pore kaka ibra kwa kazi NZuri
🎉🎉🎉
Good job 🔥💯 mwendelezo please 😂😂😂 usichelewe💕
Ibrahim upo just kaka,pambana kuokoa ndoa za waja
Mbn mim haifunguk
❤❤❤
Najua ni movie tu kwa minaadhili ya kufunza ila never forgive a cheating wife never
Maex hawaachani watarudiana tu tulio tulia ndo hatunaga bahati ya mapenzi ya dhati
Nalo neno
Nalo neno
The Don, nipee huyo mtoto mweupe
ukiona watu wanauwana jamani
Wanaume hebu igeni mfano kwa mwenzenu huyo😂😂😂
Dah wanaume wachache sana wa ivyo wengine ni kipigo na talaka juu
Duh ivi awa wanaume kama huyu bado wapo kweli
Yaani mumerauka huku. Wapi likes za late comers 😂
Embu mpeni muda kidogo ndugu ye2 ili atangeneze ki2 bora zaidi😂na sio kutwa mnakeshea kwenye comment na kuandika ujinga,mara leo mm "nimekuwa wa kwanza nipeni like!!,,
Na wangine mnasema kabisa mwendelezo please 😂😂😂 usichelewe!!!
Achani ujinga basi iv ninyi mnadhani uyu ndugu yetu anatumia mashine?
Eti nnajifanya ninyi mnapenda sana iki anachokifanya,sawa ilo siping lakin "na ye akisema afanye araka kama mnavyohitaji mmadhani mutapata mazuri kama haya?
Brother, don't be fooled by these idiots who pretend that they love what you do the most, be careful not to listen to them or they will be the first to crush you what are you doing!.......
I really agree brother with what you are giving us
May Allah accept you very much!!!❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimecheka kijinga 😂😂😂 hapo kwenye mwendelezo please 😂😂sawa tunajuwa nikazi sana kutowa kazi sasa bila mwendelezo please atapata moyo wakutowa kitu kizur 😂😂😂😂😂
@@SakinaHassani-xm7tikumbe na we ni kichwani kabisa,ivi umesikiliza iki ulicho andika? Au na ww ndo unabwabwaja2 apa, ukiona wakubwa wanaongea na we uwelewi ki2 kaa "kimya" we ni mtoto wa kike kaza
Kukaa kimya ni jibu pia.
Maskini mkaka watu ana upendo jmn wanawake story kweli
Muone na makope yake😂
Eeeeh...kuna wanaume wana moyo....
Sanaa tena 😢😢 ingekua mwanaume mwengine angeshamfurusha
Duu mwanaume wa kipekee san unamfuma mkeo af unakua umepoa tuuu
Ana moyo wa ajabu daaaaa😢
Kope nayo😅😅😅😅
❤❤🎉🎉
Jamen sangap inakuja
❤❤❤❤
Kitu kimenoga
Duuh 😢😢😢😢
🎉🎉🎉🎉🎉
Jamn faha ulete ten
Waisilamu wenzangu musisaha daku
Inaanz saa ngap naon kil nikiiangalia sion
Niweh tok jan saa saba nisubir ubiz xikukoment
Nasubir
Mwalimu wetu hajatup majibu kuhus group ili tujifunze zaid 😢
Oh nichek WhatsApp 0652355325
Asnt
Pia mm nko ndani whtsp nijifunze zaidi❤
Kazi mzuri Kaka nishaanza kukufaatilia kutokea Lindi Ruangwa Tanzania.@@ibrahthedon
@@ibrahthedon hasante Kaka ibrah hakika ishii saana n'a mungu azidi kukuinua zaidi
😂😂😂shangaz naww ukomage kwenda Kwa watu bila cm.😅😅😅Ila dah huyu mdada kantia kichefuchefu dah kumuacha mumeweee kwenda Kwa mchepuko
Huyo bwanaa toka.mwanzo alikuwa hamtaki kaolewa kwa tamaa na vishawish tu
Yeani uyu Dada ana nyege mshindo adi anatia hasira laaahh
Sijachelewa. Ila. Munigaie like japo. 5
❤❤
❤❤❤❤❤