Asalam alaikum kungwi dume naomba kujua huo mchanganyiko wa mafuta ya karafuu na roze water je naeza kumfanyia masaji pia kwenye kichwa mana umetaja maeneo yote ya mwili ukianza na shingo ila hukutaja kichwani na ndio mana nataka kujua asante❤🇰🇪
Hakika ww unafaa huku mkoan kwetu naiman kwaelim yako hatuta kua na kungwi mwanamke ww nihatari Asante nimejifunza mengi nataman watu wote waitazame kungwi dume
Nakupenda najifinza vingi ingawa sijaolewa😊😊😊 ila najifunz
Mashaallah walai miye sina swali nafurahi kujifunzq nisiyo yajuwa shukran
Shukuran sn kungwi dume wanifinza megi sn mungu akuzidishie umri uzidi kutufunza nakupenda sn ❤❤❤
Ebu tujuwane walio rudiya iyi video zaidi ya mara mbili ❤❤❤❤
Tupo wengi🥰😍
Mim mwenyew mmoja wapo
X 6🤣🤣😍😘
Tupo sana
Kungwi dume ongela sana maaana mafunzo yako mazuli nimejifunza mengi gutoka kwako nashukulu ❤ ❤
mashaallah mungu akupe umri mrefu kungwi uzidi kutuelimisha zaidi inshaallah
Asante sn kk lbra maarufu kungwi dime Kwa kz zako nzr zenye mafunzo mzr amakweli tunajifunza mengi kupitia kz vipindi vyako love u💕❣️💕🙏😘😘
Asalam alaikum kungwi dume naomba kujua huo mchanganyiko wa mafuta ya karafuu na roze water je naeza kumfanyia masaji pia kwenye kichwa mana umetaja maeneo yote ya mwili ukianza na shingo ila hukutaja kichwani na ndio mana nataka kujua asante❤🇰🇪
Wow napenda najikuta najifuzamengi
Ety usikauswe koo 😂😂 kungwi dume nakupenda vile we huongea uwazi❤❤
mashallah njoo kenya uwape elimu mabint zetu
mashahallha Mungu akupe huri uzidi kutufunz naakupe afya njema apa duniani nakesho haera anin
Daah upo vinzur kungwi Asante kwa somo lako❤
Asante sana kka ibra nimejifunza mengi kutoka kwako namuomba mungu akupe maisha malef Ili uendele kutuelimisha
Shukrani kwa somo zuri Allah akuwezeshe uzidi kutuletea vitu vzr hakika nimejifunza kitu sikuwa nikijua🙏🙏🙏
MASHA ALLAH hakika mafunzo mazury Ahasante sana
Wwweee💃💃💃imetulia. Iyooo asiejua maana ambiwi maana akijua maana atakutukana
,Asante Sana kwa somo la leo.big up Ibrah
Kungwi dume ubarikiwe 👏👏tunashukur saan kwa somo lako
Nayapenda sana mafundisho yako
Nakuftilia sana na najifunza mengi kungwi wng❤
Mashallah shukran jazakumullahu kher ,
Laa kwakwel kaka ngu Allah akubarik Sanaa Asante kwamafuzo yako
Maashaallah,tunasubir massage ya hogo,asante sana kwa mafunzo
MASHA ALLAH ALLAH AZINDI KUKUHIFADHI KWA ELIMU 🙏🙏❤❤❤❤
Amiin🤲🏻❤
Nakupenda ga sana❤❤❤ uko inaonekana mkeo ana faidi sana mashaallah
Mwenyezi Mungu akulinde uendelee kutufunza❤❤❤❤
Mashallah kungwi dume mungu akuzidishie ❤❤
Assalam alaikum wa rahmatullah nipo Kenya nafatikia mafunzo in Shaa Allah nitapata kitu kwajili ya mtarajiwa wangu in Shaa Allah ❤❤❤❤
Maa shaa Allah ubarikiwe kaka una mafunzo mazuri sana❤
A, allykum hongera San kungwi dume mm naitaj ushauri. Mkubwa kutoka kwako
Shukran sana Nimefurahia somo ndugu yng
Shukran kaka jamani wengine tulipelekwa kwa makungwi na hayo hatuyajui inshaallah mungu akuzidishie umri ili uzidi kutufunza
Makungwi wengine Wana Kula pesa hawana wajualo
Kwa kweli una mafunzo mazuri Mungu akubariki❤🎉
Kungwi dume htriiiii tusiyoyafahm tumeyafahm jmn somo zur
Mko vizuri sana!!! Sijui nisemeje nice movie!!
Que Dieu fait de miracle dans cette semaine pour toi kk💥
Kaka asant sana allah akujalie sana sanaa jaman daa nimeipenda iyo mashallaah
Aiseee balaaaa nimejifunza kwakweli hongera kwa kazi nzuri kaka
Shukran sana kungwi dume sana nimefaidikq kwa funzo zako
Kaka uko vzr sana,NAHITAJI ushauri wako,naomba ushauri wako
Maaxhaallah allah akupe maixh maref ili utufunze zaidi
Asant kungwi dume tufundee na menginee tupate kujua😘😘
Ibra kweli umefunzwa ndugu yangu hongera sana tanga tunajua maana kusingana
Weeeehh mungu atakubariki tn sn pia maisha marefu tn sn
Hongereni sana kwa kaz nzur 💥💥💥❤️
Mashaallah, kaka, endelea ku2pa darasa, 2zidi kujifunza...
Mashallah mafunzo poa
Yaaan nimejifunza meng mnoo yaan mungu akuzdishie
Mashallah ibrah mungu akuzidishie
Basi hapa mwanaume kichwa kimevimba balaaa. Congratulation bro
Kuntuh 👌, nilichezwa ila nalikubal darasa 💯
Allah akujalie umri mrefu amiiin....
Maa shaa Allaah shukran
Hongeraa kwa kazi nzuri bro nimeyapenda mafunzo yako hope yataleta manufaa chanya
Asante sana ibrah Kwa somo
😂😂👌❤️ Nimekupenda bure
Asante kwa mafunzo nimekusikiliza kwa Malini sana
Asww vp hali asante sana kumafuzo yako sasa nikarafu tu utatumia
Kungwi kungwi kungwi ishi sana huna baya nomekuelewaaaaaa sana 🎉🎉🎉huna
Axnte sana kungwi dume kunakitu nimejifunza so
No la leo
Ahsante sna kungwi dume kw mafunzo
Nashukuru kwamafundisho mazuri nimejifunja mengi
Asante kaka ibra nimekupata vizuri
Asnt sana kungwi dume nili kuwa na omba utufunze gisi shanga zinavyo shezeshwa
Dah umetisha 🤝 cjui hata umesomea wap
MashaaAllah umesema bro🤝
Aksante Sana nimeipata Allah akulipe
Kazi njema 👏👏👏
Yaaaan Asante sna kaka ibra sna kwa mafunzo
jaman mungu akutunze jmn unamafunzo mazuli sana
Asante kaka ibu ❤️❤️❤️❤️❤️
Shukran sana kwa kazi nzur
Wow asante sana brother 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu azidi kukupa ekima
❤❤❤❤
Tungeomba utengeneze group whatssap jmn🥰
Mi pia ningekuwa mojawenu
Asante tunakuelewa sana
Asante sana dada yetu
elimu adimu ahsante kaka IBRAH
Safii saana hakika ADI rahaaaa
Huyo ndokungwi dume❤❤❤❤❤❤❤
Nmeipenda sana😘😘
napenda sana kusikiza movie zako kwa kweli zina mafunzo sana lkni mbna sikuelwa ilivyo malizika dumu kungwe ilimaliaika vipi sielewi kweli ibrah
Kungwiiii kimfanooo nimekosa maji ya uwaridiii ciwezi kumsinga na mafuta ya naziiii tuuu
Unaweza kumsinga bila ya rose water
Yaani napenda sana kufatilia video zako
Masha'Allah nmejifunza nilikuwa sijui. Jazakallah kheri kaka
Ni sawa kwa mwanaume kunyolewa sehemu zake za nyuma na mkewe
Asante sana barikiwa
Wanitamanish sana kaka ❤❤
Nakupenda tu sina lingine❤️❤️🙏
Hakika ww unafaa huku mkoan kwetu naiman kwaelim yako hatuta kua na kungwi mwanamke ww nihatari Asante nimejifunza mengi nataman watu wote waitazame kungwi dume
Weeh jmani mungu akupe maisha marefu mpnz
Asnt sana kakaangu ....lakini je kma mume ni waichi nyengine hunaweza mfanyia hivyo ?
Mashallah.asante.nasa
Ubarikiwe sana kaka
We are waiting 🔥🔥🔥🔥
Samhn the don vp kuhus ulizo sem jisi yakupangilia kuvaa rangi za chupi
Asante kaka nimejifuza kwako
mashaallah najifunz ving
Asantee sna kungwiii dumeeee unajuaa kutufunzaa wadada hakikaaa ww ni mwanaumeeee lakn kuna kitui sijaelewa hv karafuu za madongee ni zipiii
mbegu za karafuu
Asant sana najifunza vitu vingi
Waaaooh hongeta