"KUNGWI kakupa mzungu huujui maana yake mfate akakwambie maana ili uondokane na usungo, Siku zote mwanamke mazingira jambo la kwanza ni kujipenda na ndio maana ya pambo la nyumba"
Asante kwaelimu Ila apo kweny miski ndio pabaya MIM chukuchuku kidogo wanitowe kizaz jmn wanawake wenzang msitumi chochote kweny k zenu mtakuja kunishikuru
@@aishajuma18 Haitibu chochote wanadanganyana tu Ngoja nikipe dawa chukua karanga mbichi zioshe kisha chemsha kunywa yale maji yake kwa siku 7 kila siku fanya hivyo napendelea sana kutafuna karanga mbichi utakuja kuniambia nipo Uingereza
Nakupata sana Kaka kungwi ongera kwakazi yako nzr il ulikuwa umekawiy mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Team strong mpo 😂 saudia 🇸🇦 am watching
Yeah tupo🇧🇭 mashala.
Tupo mama mashemela tuta waludia stair mpya kutoka kwa kungwi dume
Tupo
tupoo
😂😂😂😂😂au sio
Lkn wanawake wengine akiamungu Mungu anawaona, mtu umeolewa lkn unamuongopea mwanaume wa watu, Subhanallah. Mungu atusamehe kwa kweli
Yaani ananikera mm huyu binti na atakuja kujuta sikufichi
Like zangu kungwi tulikumiss na kukusubir san
Hadi nlkw nimesahau
Afadhal kungwi dime amerudi maua yenu jaman team strong ❤🎉❤🎉
💓
Allah azidi kutupa maisha marefu kungwi dume tunakupenda mno naangalia nikiwa 🇴🇲🇴🇲 na napata mafunzo makubwa kupitia kungwi dume
Team Gulf oyeeeeeeeee🎉
@@SairathAli-zf1vh ooyeee
Jamani siku chache tu naolewa asante Sana ibrah mungu akulinde na ukizidishie zaidi ya apoooo❤❤❤ nashkuru Sana tena sana
Napendaa snaa nijifunz meng ntakwita unifunde
Hamujambo mukuwu napedasana aiseee nimimufariji naishicongo😂❤❤❤🤝🙋🙋🙋🤝
Naina iko imala hii nimeipenda Sana arahan James bright
Mwari bado anaendelea na ugego.wake ama kweli mwali kanishinda tabia 😂😂😂🎉🎉🎉 kazu nzuri.sana mafundishi nayapata nikiwa Mombasa Kenya
Wa inne like zangu kungwi tume ku miss sana karibu tena
Asante kwaelimu Ila apo kweny miski ndio pabaya MIM chukuchuku kidogo wanitowe kizaz jmn wanawake wenzang msitumi chochote kweny k zenu mtakuja kunishikuru
Kwl kbs
Mhh tuelekezeni jaman tunaotaman kutumia unamaana siyo nzuri au inakuwaje
@@Mima-thebosssiyo nzuri usiitumie ina mazala ila mazala yake utayaona baadae
@@princessmakwega2444 sawa mumy Asante kwa ushauri
Mm siwezi weka kitu kwa k yangu kuiosha tu vizuri inabana haitokwi na majimaji
Umetueka sana kungwi dume.binafsi nilimiss mafundisho yako😊
kungwi dume nakupenda kwa mafuz ako be blessed
Hongera sana kungwi wangu, nakukubali mnoo.
Anakera sana huyu mwali yaani mume anampenda anajitia kisrani ehe je akirudi kwa Thabit akute mwenyewe kashaowa au hamtaki tena atafanyaje mpuuzi sana
Nimejifunza ktu asante kungwi
Wapi wale wa kungwi dume🎉🎉🎉🎉🎉😊
Tupo
Tulikusubiri kaka Angu nakupenda Sana ❤❤❤
Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi,wwe mma kijacho utakuja kujuta....umepata mume mwenye mapenzi ya dhati na uruma
Nikweli na nahisi huyu rafiki ataolewa na huyu kijana
@@Farthun bora iwe hivyo,yye asema wa nni,wenzake wasema watampata lini
@@nurumwinyi796 kabsa 👌👌👌👌
@@Farthun
Na mimi ndivo ninavofikiria maana kama anamtoa kwenye reli kama ana choyo na hayo maisha mazuri anayoishi😂😂
Asante sana
Jamani kungwii nafurahi sana kupata mafunzo yako❤❤
Nakufatiriya kutoka Burundi🇧🇮
Nice job
Hauna bay kungwi najifunz mwanz iyo misk nitaipata wpi😅
pa1 sana kaka Ibrah Allah akuhifadhi
Yan hee najifunza mengi nyie😊
Nkupenda kungwi
Brow vce e muito bom eu gosto muito da sua história só de Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mashallah ibra thedon kazi nzur hongera❤❤ much love from kenya
Jamani mimi siwezi kabisa sijui kwanini walai😂
Yaan tumesubri hadi tumesahau 😢❤🎉🎉
Boss wangu anamatenge kama yote hana vitambaa😂😂😂😂😂nimejifunza kitu❤
Masha'Allah hii imekuwa moto sana. Shukran kwa mafunzo yako🇰🇪
Ahsante kungwi dume kwakuniamini😂😂
Nakupend San kungwi unanifuza meng
Muendelezo kungwi
Asante kak man ningekupat kabla cijaolew jamn ningeinjoy samhn hay mafut yanaitwaje na yanapatikan maduk gn
nimekupata san kaka kw som
Mbon mwendelezo haulete jmn
Jamani nakukubali mwalimu wangu
Kungwi dume hongera kwamafuzo yako tusaidie no zako jamani tunahitaji msada wako
Kungwi mafunzo mazuri hongera
Tumekumis sanaa kungwi dume
Unachelewesha sana broo!! Mpk tunasahau tulipo ishia yani
Wanawake 😢😢😢tunayoyafanya sio mnzuri
Mashaallah Asante broo
Asante sana 😂😂😂
Tumekumiss kungwi unachelewesha Sana taa 😢nliuliza swali lng kujanijibu pia dah 😳😢
Asante kungwi kwa mafunzo yako
Sijaelewa hapo kwa hicho kichupa kidogo haya mafuta yanaitwaje kungwi
Nakukubali sana kweli
Kungwi dume uyo
Waoo very Nice advice
Atuchezi mbali sana
Naizubir kwa ham mie🎉
Much love❤❤
Asante kwa mafunzo❤
Naweza pata namba yako kungwi
Leo nimewahi jmn nimekuwa wa 11 nipeni like zangu
❤
Naisubia kwa hamu unakaa kimya sana
Hv kungwi uyo mkeo anaifyonza na kuimungunya au sie tu nd tunafyonza za shabab zetu
Naisubiri kwa hamu
Unatueka sana bwana
❤❤
Mhm
jomn tumekumc Sana maan cio kwa ukmy huo
🔥🔥
Mashallah nimejifuna kitu kaka asante
Tuwekee link ya group lako Ibrahim
🎉🎉🎉🎉
Mash Allah 😂😢
Kugwi tulikumisi ulikua wapi jamani kalibu tena
🎉🎉🎉❤
❤
Jmn wa 6 Leo mapema
Asante kungwi umenifmbua macho man mm nilkuw nawek maj mot ktk jagi la mfuniko ynapoa kwa hrak sas nitawek ktk chupa Asante
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kaka tulimic
Jamani m nataka kujua hayo mafuta aliyosema yanaongeza joto yanaitwaje😀
Miski nyeupe
Ukitia kwenye shimo ya k hiyo utakuja kunitafuta inawaka moto kabla hujatia jipake pajani kutest zari
@@FatimaAli-of4gh 😂😂😂😂lakin si inatibu kweli
@@aishajuma18
Haitibu chochote wanadanganyana tu
Ngoja nikipe dawa chukua karanga mbichi zioshe kisha chemsha kunywa yale maji yake kwa siku 7 kila siku fanya hivyo napendelea sana kutafuna karanga mbichi utakuja kuniambia nipo Uingereza
@@FatimaAli-of4gh Asante sana my🙏
🎉🎉😂
Kungwi mix nyeupe inaitwa ivo ivo? Na yanapatikan maduk ya asil?
Dear usij ukawek hiy mix sehem za siri
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kungwi wiski wengine hatujui
Sasa kaka kama Bado ni bikra kwenye kusafisha ni lazima kuingiza vidolee wakt wa kuosha
Kam ni bikra uchafu kwenye k unaletwa na nin?
Kungwi iyo misk nitaipata wapi
Madurai zipo kipenz ila tuu uwe mkin kuna misk za aina mbili kuna hiyo na kuwekea kweny uke na kuna nyengine haziwekwi huko
Mhm
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mhm
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤