KUNGWI DUME sehemu ya 26

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • "KUNGWI kakupa mzungu huujui maana yake mfate akakwambie maana ili uondokane na usungo, Siku zote mwanamke mazingira jambo la kwanza ni kujipenda na ndio maana ya pambo la nyumba"

КОМЕНТАРІ • 123

  • @MuhuzaAlexis
    @MuhuzaAlexis 3 місяці тому +13

    Nakupata sana Kaka kungwi ongera kwakazi yako nzr il ulikuwa umekawiy mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @marywairimu5682
    @marywairimu5682 3 місяці тому +22

    Team strong mpo 😂 saudia 🇸🇦 am watching

  • @MwanakomboChakwe
    @MwanakomboChakwe 2 місяці тому +6

    Lkn wanawake wengine akiamungu Mungu anawaona, mtu umeolewa lkn unamuongopea mwanaume wa watu, Subhanallah. Mungu atusamehe kwa kweli

    • @munamamaj9622
      @munamamaj9622 2 місяці тому

      Yaani ananikera mm huyu binti na atakuja kujuta sikufichi

  • @KhadijaNassor-g1q
    @KhadijaNassor-g1q 3 місяці тому +18

    Like zangu kungwi tulikumiss na kukusubir san

  • @ZulekhaRamadhan-k4o
    @ZulekhaRamadhan-k4o 2 місяці тому +6

    Allah azidi kutupa maisha marefu kungwi dume tunakupenda mno naangalia nikiwa 🇴🇲🇴🇲 na napata mafunzo makubwa kupitia kungwi dume

  • @firdaousally
    @firdaousally 2 місяці тому +2

    Jamani siku chache tu naolewa asante Sana ibrah mungu akulinde na ukizidishie zaidi ya apoooo❤❤❤ nashkuru Sana tena sana

  • @Ummy-cr9nf
    @Ummy-cr9nf 3 місяці тому +7

    Napendaa snaa nijifunz meng ntakwita unifunde

  • @MufarijinamugunguMungura
    @MufarijinamugunguMungura 2 місяці тому +2

    Hamujambo mukuwu napedasana aiseee nimimufariji naishicongo😂❤❤❤🤝🙋🙋🙋🤝

  • @JamesNyandwi
    @JamesNyandwi 2 місяці тому +2

    Naina iko imala hii nimeipenda Sana arahan James bright

  • @فطومفاطمه-ش2و
    @فطومفاطمه-ش2و 2 місяці тому +3

    Mwari bado anaendelea na ugego.wake ama kweli mwali kanishinda tabia 😂😂😂🎉🎉🎉 kazu nzuri.sana mafundishi nayapata nikiwa Mombasa Kenya

  • @ShamsaZamda
    @ShamsaZamda 3 місяці тому +4

    Wa inne like zangu kungwi tume ku miss sana karibu tena

  • @MwashaMwash
    @MwashaMwash 2 місяці тому +6

    Asante kwaelimu Ila apo kweny miski ndio pabaya MIM chukuchuku kidogo wanitowe kizaz jmn wanawake wenzang msitumi chochote kweny k zenu mtakuja kunishikuru

    • @MozaFoum-yg9he
      @MozaFoum-yg9he 2 місяці тому

      Kwl kbs

    • @Mima-theboss
      @Mima-theboss 2 місяці тому

      Mhh tuelekezeni jaman tunaotaman kutumia unamaana siyo nzuri au inakuwaje

    • @princessmakwega2444
      @princessmakwega2444 2 місяці тому

      ​@@Mima-thebosssiyo nzuri usiitumie ina mazala ila mazala yake utayaona baadae

    • @Mima-theboss
      @Mima-theboss 2 місяці тому

      @@princessmakwega2444 sawa mumy Asante kwa ushauri

    • @munamamaj9622
      @munamamaj9622 2 місяці тому

      Mm siwezi weka kitu kwa k yangu kuiosha tu vizuri inabana haitokwi na majimaji

  • @mwanajumamapambo2017
    @mwanajumamapambo2017 2 місяці тому +2

    Umetueka sana kungwi dume.binafsi nilimiss mafundisho yako😊

  • @Christineedelase-vl8bi
    @Christineedelase-vl8bi 3 місяці тому +2

    kungwi dume nakupenda kwa mafuz ako be blessed

  • @FurahaElikana
    @FurahaElikana 3 місяці тому +2

    Hongera sana kungwi wangu, nakukubali mnoo.

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 2 місяці тому +1

    Anakera sana huyu mwali yaani mume anampenda anajitia kisrani ehe je akirudi kwa Thabit akute mwenyewe kashaowa au hamtaki tena atafanyaje mpuuzi sana

  • @bibiruthmasanja
    @bibiruthmasanja 3 місяці тому +2

    Nimejifunza ktu asante kungwi

  • @FatimahAl-f1d
    @FatimahAl-f1d 2 місяці тому +3

    Wapi wale wa kungwi dume🎉🎉🎉🎉🎉😊

  • @SaidaSaida-ub4ez
    @SaidaSaida-ub4ez 3 місяці тому +1

    Tulikusubiri kaka Angu nakupenda Sana ❤❤❤

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 2 місяці тому +4

    Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi,wwe mma kijacho utakuja kujuta....umepata mume mwenye mapenzi ya dhati na uruma

    • @Farthun
      @Farthun 2 місяці тому

      Nikweli na nahisi huyu rafiki ataolewa na huyu kijana

    • @nurumwinyi796
      @nurumwinyi796 2 місяці тому

      @@Farthun bora iwe hivyo,yye asema wa nni,wenzake wasema watampata lini

    • @Farthun
      @Farthun 2 місяці тому

      @@nurumwinyi796 kabsa 👌👌👌👌

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 2 місяці тому

      ​@@Farthun
      Na mimi ndivo ninavofikiria maana kama anamtoa kwenye reli kama ana choyo na hayo maisha mazuri anayoishi😂😂

    • @nurumwinyi796
      @nurumwinyi796 2 місяці тому

      Asante sana

  • @NtirampebaNoella-rp1vm
    @NtirampebaNoella-rp1vm 2 місяці тому

    Jamani kungwii nafurahi sana kupata mafunzo yako❤❤
    Nakufatiriya kutoka Burundi🇧🇮

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 24 дні тому

    Nice job

  • @PuritySalama-yv6to
    @PuritySalama-yv6to 2 місяці тому +2

    Hauna bay kungwi najifunz mwanz iyo misk nitaipata wpi😅

  • @husnajuma-x6r
    @husnajuma-x6r 2 місяці тому

    pa1 sana kaka Ibrah Allah akuhifadhi

  • @BimkubwaThabit
    @BimkubwaThabit Місяць тому

    Yan hee najifunza mengi nyie😊
    Nkupenda kungwi

  • @SalimoNassoro-il3gb
    @SalimoNassoro-il3gb 2 місяці тому

    Brow vce e muito bom eu gosto muito da sua história só de Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @bashirhalima-v4q
    @bashirhalima-v4q 2 місяці тому

    Mashallah ibra thedon kazi nzur hongera❤❤ much love from kenya

  • @halimaali3719
    @halimaali3719 2 місяці тому +1

    Jamani mimi siwezi kabisa sijui kwanini walai😂

  • @zawadismaili144
    @zawadismaili144 3 місяці тому +2

    Yaan tumesubri hadi tumesahau 😢❤🎉🎉

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 2 місяці тому

    Boss wangu anamatenge kama yote hana vitambaa😂😂😂😂😂nimejifunza kitu❤

  • @zuhurahussein4738
    @zuhurahussein4738 3 місяці тому

    Masha'Allah hii imekuwa moto sana. Shukran kwa mafunzo yako🇰🇪

  • @MinahShaban-jj9rd
    @MinahShaban-jj9rd 3 місяці тому +2

    Ahsante kungwi dume kwakuniamini😂😂

  • @OmbeniMwasile-n7j
    @OmbeniMwasile-n7j Місяць тому

    Nakupend San kungwi unanifuza meng

  • @aminasuleiman8120
    @aminasuleiman8120 Місяць тому

    Muendelezo kungwi

  • @Asmini-xp5ld
    @Asmini-xp5ld 2 місяці тому

    Asante kak man ningekupat kabla cijaolew jamn ningeinjoy samhn hay mafut yanaitwaje na yanapatikan maduk gn

  • @MamyPeter-dg6wz
    @MamyPeter-dg6wz Місяць тому

    nimekupata san kaka kw som

  • @MariaNickodem
    @MariaNickodem 5 днів тому

    Mbon mwendelezo haulete jmn

  • @MoniqueIrakose
    @MoniqueIrakose 2 місяці тому

    Jamani nakukubali mwalimu wangu

  • @MwajumaMkojera
    @MwajumaMkojera 3 місяці тому

    Kungwi dume hongera kwamafuzo yako tusaidie no zako jamani tunahitaji msada wako

  • @LeylaMgaya-og5mm
    @LeylaMgaya-og5mm 3 місяці тому

    Kungwi mafunzo mazuri hongera

  • @HalimaSalim-h5f
    @HalimaSalim-h5f 3 місяці тому

    Tumekumis sanaa kungwi dume

  • @CharlesPhilipo-f5k
    @CharlesPhilipo-f5k 3 місяці тому

    Unachelewesha sana broo!! Mpk tunasahau tulipo ishia yani

  • @Frola-r9z
    @Frola-r9z 2 місяці тому

    Wanawake 😢😢😢tunayoyafanya sio mnzuri

  • @Datwo-l1d
    @Datwo-l1d 2 місяці тому

    Mashaallah Asante broo

  • @kwekwetsuma3524
    @kwekwetsuma3524 Місяць тому

    Asante sana 😂😂😂

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 3 місяці тому

    Tumekumiss kungwi unachelewesha Sana taa 😢nliuliza swali lng kujanijibu pia dah 😳😢

  • @rizikaCharo-kn7se
    @rizikaCharo-kn7se 3 місяці тому

    Asante kungwi kwa mafunzo yako

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 2 місяці тому

    Sijaelewa hapo kwa hicho kichupa kidogo haya mafuta yanaitwaje kungwi

  • @SifaWangyaShabani-nt5ww
    @SifaWangyaShabani-nt5ww 2 місяці тому

    Nakukubali sana kweli

  • @PapyKakonge
    @PapyKakonge 2 місяці тому

    Kungwi dume uyo

  • @blueskytz9960
    @blueskytz9960 3 місяці тому

    Waoo very Nice advice

  • @VicentYohana-ye5ln
    @VicentYohana-ye5ln 3 місяці тому

    Atuchezi mbali sana

  • @KhadijaNassor-g1q
    @KhadijaNassor-g1q 3 місяці тому

    Naizubir kwa ham mie🎉

  • @FatmaAlly-d5v
    @FatmaAlly-d5v 3 місяці тому

    Much love❤❤

  • @FaridaMousa-xy2rk
    @FaridaMousa-xy2rk 2 місяці тому

    Asante kwa mafunzo❤

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Місяць тому

    Naweza pata namba yako kungwi

  • @MamaNino-q5c
    @MamaNino-q5c 3 місяці тому

    Leo nimewahi jmn nimekuwa wa 11 nipeni like zangu

  • @hawaa341
    @hawaa341 3 місяці тому

    Naisubia kwa hamu unakaa kimya sana

  • @MariamChande-s7t
    @MariamChande-s7t 2 місяці тому

    Hv kungwi uyo mkeo anaifyonza na kuimungunya au sie tu nd tunafyonza za shabab zetu

  • @NuruheartAmani
    @NuruheartAmani 3 місяці тому

    Naisubiri kwa hamu

  • @AishaAli-d7t
    @AishaAli-d7t 2 місяці тому

    Unatueka sana bwana

  • @RabiaJuma-tf3im
    @RabiaJuma-tf3im 3 місяці тому +1

    ❤❤

  • @AminaShaibu-n9i
    @AminaShaibu-n9i 29 днів тому

    Mhm

  • @SwaiberMasoudy
    @SwaiberMasoudy 3 місяці тому

    jomn tumekumc Sana maan cio kwa ukmy huo

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti 3 місяці тому

    🔥🔥

  • @AzminaMuhaji
    @AzminaMuhaji 2 місяці тому

    Mashallah nimejifuna kitu kaka asante

  • @ايتيتووينويو
    @ايتيتووينويو 2 місяці тому

    Tuwekee link ya group lako Ibrahim

  • @mwajumasaid7306
    @mwajumasaid7306 2 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉

  • @rehemachedi6615
    @rehemachedi6615 3 місяці тому

    Mash Allah 😂😢

  • @princessmakwega2444
    @princessmakwega2444 3 місяці тому

    Kugwi tulikumisi ulikua wapi jamani kalibu tena

  • @FatmaBakar-up7jv
    @FatmaBakar-up7jv 3 місяці тому

    🎉🎉🎉❤

  • @SAFARIWTB
    @SAFARIWTB 2 місяці тому

  • @QueenEriste-w6n
    @QueenEriste-w6n 3 місяці тому

    Jmn wa 6 Leo mapema

  • @SalmaSaid-jb5zq
    @SalmaSaid-jb5zq 3 місяці тому +1

    Asante kungwi umenifmbua macho man mm nilkuw nawek maj mot ktk jagi la mfuniko ynapoa kwa hrak sas nitawek ktk chupa Asante

  • @NaomiNaomi-z5v
    @NaomiNaomi-z5v 2 місяці тому

    ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @ramadhanmnembuka1408
    @ramadhanmnembuka1408 2 місяці тому

    Kaka tulimic

  • @PendoLeonardi
    @PendoLeonardi 2 місяці тому

    Jamani m nataka kujua hayo mafuta aliyosema yanaongeza joto yanaitwaje😀

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 2 місяці тому

      Miski nyeupe

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 2 місяці тому

      Ukitia kwenye shimo ya k hiyo utakuja kunitafuta inawaka moto kabla hujatia jipake pajani kutest zari

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 2 місяці тому

      @@FatimaAli-of4gh 😂😂😂😂lakin si inatibu kweli

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 2 місяці тому

      @@aishajuma18
      Haitibu chochote wanadanganyana tu
      Ngoja nikipe dawa chukua karanga mbichi zioshe kisha chemsha kunywa yale maji yake kwa siku 7 kila siku fanya hivyo napendelea sana kutafuna karanga mbichi utakuja kuniambia nipo Uingereza

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 2 місяці тому

      @@FatimaAli-of4gh Asante sana my🙏

  • @sinangoarashid504
    @sinangoarashid504 2 місяці тому

    🎉🎉😂

  • @ZainabuYahya-fu1zc
    @ZainabuYahya-fu1zc 2 місяці тому

    Kungwi mix nyeupe inaitwa ivo ivo? Na yanapatikan maduk ya asil?

    • @Missah
      @Missah 2 місяці тому +1

      Dear usij ukawek hiy mix sehem za siri

  • @zainabusabas7421
    @zainabusabas7421 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ZuberiJuma-v5n
    @ZuberiJuma-v5n 2 місяці тому

    Kungwi wiski wengine hatujui

  • @SleepyHoneyBadger-ec8vu
    @SleepyHoneyBadger-ec8vu 2 місяці тому

    Sasa kaka kama Bado ni bikra kwenye kusafisha ni lazima kuingiza vidolee wakt wa kuosha

  • @ElizeSindano-g4k
    @ElizeSindano-g4k 3 місяці тому

    Kungwi iyo misk nitaipata wapi

    • @rahmaoman470
      @rahmaoman470 3 місяці тому

      Madurai zipo kipenz ila tuu uwe mkin kuna misk za aina mbili kuna hiyo na kuwekea kweny uke na kuna nyengine haziwekwi huko

  • @AminaShaibu-n9i
    @AminaShaibu-n9i 29 днів тому

    Mhm

  • @MwanamisiMwamakalo
    @MwanamisiMwamakalo 3 місяці тому +1

    ❤❤❤❤

  • @ZenaMustapha-tj8yn
    @ZenaMustapha-tj8yn 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @AminaShaibu-n9i
    @AminaShaibu-n9i 29 днів тому

    Mhm

  • @SaidaSaida-ub4ez
    @SaidaSaida-ub4ez 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤

  • @dhahabukatana3996
    @dhahabukatana3996 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤