Mara nyingi wafanyakazi wa kazi za ndani huwa wanakumbana na changamoto nyingi sana kutoka kwa mabosi wao wa kike, kupitia video hii nina imani utajifunza mengi na kuyafanyia kazi.
Broo asante San kwa ushauri unaotupa tunajifunza mengi sana barikiwa San sijui nikupe zawad gani kwa elimu unayotupa ila mungu akuzidishie kwa kila kitu
Wanawake wameigaa tabia zawarabu mikono zilisinyaa hata kufua nguo zandani mmeshindwaa hata kusafisha chumba chako..mm huwa nasema hawatukomoi tunaopitia hayaa wengi wetu tunajifunzaa jinsi yakujakutumikia Waume zetu pindi tukiwa na majiko yetu 😄😄😄hapo ndounakuta boss anapita na maid mana ndomtu wamuhimu hapo ndani wewe sim sim na wewe shikamooni waajiri kama hao😂😂😂
I love this one,big up bro from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hogera kaka mungu akupe Kila la kheri🥰🥰🥰🥰
❤❤❤ kwakweli iwafikie wote
Kweli kbx umeongea Ibra jmn mungu akupe maisha marefu 🤲🤲🥰🤗
Ahsante kaka kwa somo zuri
Wambiea tena wasikiea ongeza volume bro may God bless you
Wow nimeipenda😍
Wow wow na hivyo ndio mabwana uchukuliwa na house girl.
waambie bloooo🏋️
God bless 🙏 you brother good job
Message sent kaka Ibrahthedon
then mwisho wanatulaumu wanaume 🕺🕺🕺🕺😂😂😂😂 yaani ibrah Mungu akupe maisha marefu ili tuzidi kukusikiliza
Basi apo mibichwa mikubwa wakati hata mkifanyiwa kila kila bado hamliziki
mashallah asante sana kaka
Wambie hao wamama wa tabia hio wasikie.......ebu musikie nyinyi......
I love this story very true
Broo asante San kwa ushauri unaotupa tunajifunza mengi sana barikiwa San sijui nikupe zawad gani kwa elimu unayotupa ila mungu akuzidishie kwa kila kitu
Kaka naomba hapo ukazie Sana wafanyakazi wa ndani tunaumia Sana yaaniiii daah sisemi mengi
Hahahahaha umetisha baba
Wow nimeipnda
Kaka ni kweli mm nafanya kazi nafanya kazi hizo zote nafua ad boxa natandika kitanda cha bosi kweli kabsa kaka ujakosea
😂😂😂😂Wala hatushangai sisi tunayafanya hayo mpaka chupi zake
Hakika kabisa umeongea maana ndo kawaida Yao hao
Bro sisi house girls uwa tunapitia makubwa...ila kwa kila jambo tunamtanguliza mungu tukijua ipo siku
Duuuh htriiii kwl ypo hyaaa?
Ujumbe uwafikie wamama wote mlio na tabia hii 😎😎
Wooo kaka umesema ukweli 🥰🥰
Mmmmmmm i like it
Duuu hujakosea kaka Kuna watu wamejishindwa balaa mpaka chupi twafua hongereni Sana wajiri
Weuweeee, Nakupenda jeer
Tuchaneeeee
Aiseee Bora umesema kuhusu awo mabos wanaotuma wadada wa kazi Kwa Kila kitu ADI boksa ya mumeo afue DD WA kazi duuu hatariii sana
Hahaha 😅😅😅😅apo unapomchungulia mwishoni
Good message
I like that 🥰🥰🥰🥰
Ujumbe umefk🙏
Nimependa sana hili funza maana ni wengi sana wamewaachia wafanyi kazi kila kitu
😂😂😂😂Jamani
Yaya kamaniweye
Mm MUNGU hata akinipa maisha mazuri vipi swz mruhusi house girl kufanya kila kitu
Hongera kaka funzo kubwa sna
KwHaya ninayopitia mm house girl cwez kuja fanya haya
Kaka ujumbe umefika.
Nakukubali San brother 💞💞💞👍👍
Hongera kaka kwaujumbe
🎉🎉🎉
Baba jiongeze oa hiyo house girl 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣maana hii ni imezidi. Nimejifunza kitu
Mda mwingine wamama tunawakabizi. ss wenyewe wa bb watembee na wdd wakzi
Unaweza Sana kaka
Kwel jmn asiesikia tena nahili naasikie mafundisho yanayochoma moyo asante kaka
Mmmh apo kaka ushaa sema
Nice
Hapo sasa kaka
Unafundish San Kak ibrah
Wanawake wameigaa tabia zawarabu mikono zilisinyaa hata kufua nguo zandani mmeshindwaa hata kusafisha chumba chako..mm huwa nasema hawatukomoi tunaopitia hayaa wengi wetu tunajifunzaa jinsi yakujakutumikia Waume zetu pindi tukiwa na majiko yetu 😄😄😄hapo ndounakuta boss anapita na maid mana ndomtu wamuhimu hapo ndani wewe sim sim na wewe shikamooni waajiri kama hao😂😂😂
Wow good job
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
great work bro keep it up
duuuh mpaka boksa unataka kubebewa mume na house girl
Hili funzo ibra kwa kweli....
Wanawake hajuwe wapendalo.
Nice oney
Nakubsli
Ibrah nisamehe nilipoteza simu Kaka😪🙏🙏
Ibra siku utafanya nipigwe maaana nitamlopokea dada wawatu 🤣🤣🤣🤣
Ebu waskie hii bro
Sema usikike tujirekebishe
Wambie Kaka angu
Motomoto🤣
🔥🔥🔥🔥🔥
Kaka hapo. Nakukubal man SS wanawake tumezd San ila mm sitakua kama hao nitajifunza maneno yako kaka angu
🤣🤣hadi box
Mashallah Asante ubarikiwe Sana kaka
😳😳😂😂😂😂
True
True
Ukweli kabisa
Hhhhhhh 🤣🤣🤣 mwambie kabisa nikweli
Nice