Jamn mm naomba nijue mana ya rangi za shangaz na chupi jamni nakos mengi mm jamn nimeolewa cina mda mrefu kwenye ndoa hapa nilipo nimetokea kusafir nipo mbali nchi za nje hapo nataka nijifunze.zaidi ili nikifika niwe watofauti jamaani plz
Kungwi kuna Mila nyengine hawali kombe siku ya ndoa yake kimila wanadai adi Mwanaume afike kwao ndio ale ila siju ya harusi aruhusiw kula chochte nyumba ya Bi harus adi afike kwao na mke wake ndo anakula hii inamaana gani
Mimi nilikuwa naomba advice samahani kama nitakuwa nimeuliza vbya Mimi Nina mpenzi wangu alishanitambulisha kwao ila tuko mbali Mimi na yeye changushangaza sahi amebadilika ywataka tufanye mapenzi kwa video call nimekataa swali ni kuna mapenzi kweli hapo hebu nisaidieni juu amechange nilipokataa,??
Samahani ddaa wacha mmi nikujibu kabla kungwi kkujibu. Mwanaume aliye na mapenzi ya dhati na mtarajiwa wake(mchumba)hawezi kkuongekesha upuzi wa namna hiyo,na ukijaribu ddaa kesho na kesho kutwa itajiona umeanikwa mitandaoni,ni lazima awe na subra kama yupo na nia ya kukuoa
Kaka kwa hii jinsi ilivyo tu ili kava lake ni dhairi kuwa inaonyesha kabisa umeuwaaaaaaa, unyama ni mwingi adi unamwagikaaaa❤!!! Na apa ndio naaamini kuwa kava la vidio linasadifu yaliomo Kwa mantik hiyo; bila shaka h ii video watu wengi watajifunza,watahifurahia na pia wapo watakao-Enjoy!!❤🎉
Bibi unakitu masha allah 🔥🔥🔥🔥 mungu akuweke, kungwi dume mshikilie bibi uyooo
Wakwanza jaman kitu kishathoka wapi team majumuni mahayawani wwnzangu😂😂more love from Qatar ❤njoon uku kungwi awaita😂😂
Njoo saudia 😂😂😂
Ila kumbwi dume mzuri mashaalah❤
Tuponteam strong from Oman
Napata kitu kizuri nashukuru
Wapi team strong wenzangu mpoo😂kungwi dume ndouyo mjifunz mkishuka yote mkonayo
Tupoo twaisubiri
Tupo tupo team majinun😂
Nikirud tumtafute kungwi jamn 😅
Tupooooo
😂😂😂aloooo aki ww umenichekesha walai😂😂😂😂
Jamani mafunzo yafanyiwe kazi hayo
Mimi nakupenda sana ilanakosachakukupa😂🙋🙋🙋👇👇👇🤝🙋🙋🤝🇨🇩😂
Nawapenda sn mungu awaeke muzidi kutupa matamu❤😊
Daaah Asante sana bibi nimejifunza kitu kikumbwa sana 😊😊leo 😊
Nikubali kaka kungwi dume kazi zako
Na sisi wenye hatuendi unyagoni kama kwetu Kenya tutajulia wapi ilo nadhani ingekua vyema bi mkasi ufunguke ili wengine tujue😢😢
Na kama mumekodi room Moja lakini nje Kuna corridor..ni sawa mama vyaa Yani mamake mume kuingia ndani?
Nakupat san kaka kungwi dume tupo pamoja
Naipenda sana mafundisho Yako
tupo my tem strog
Kweli kabisa bibi anatubania jamaniii
Asante Sana nimejifunza kitu🎉🎉❤
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu
Àsante sana kungwi dume na bibi🙏🙏🙏
Jamn mm naomba nijue mana ya rangi za shangaz na chupi jamni nakos mengi mm jamn nimeolewa cina mda mrefu kwenye ndoa hapa nilipo nimetokea kusafir nipo mbali nchi za nje hapo nataka nijifunze.zaidi ili nikifika niwe watofauti jamaani plz
Ninashkuru kwa mafunzo yenu nikiwa saudi
Kweri kabisa mama yangu asante sana
Kungwi dume, napenda unavyo cheza😊
Kungwi dume huyu bibi anakuogopa jamaniiii, mnatubania 😢
Kweli anaogopa twambie wewe kumbwi dume unatufunza meng mwanz mimi nimejifunza saan
Tupo sisi 😊
Jamn nawapend sana
Kungwi dume mbn bibi hafungiki
Jamani naomba namba zahuyo bimkasi
Mashallah bimkasi❤
Bibi anatubania jmn
Tupo saudia Albaha
Kungwi no
❤🎉❤hongereni team strong
Haya ninaingi twende naushauri
bibi funguka utufunze unatubania jmn
Samahani naomba niurize nini mana ya kombè samahani silijuwi
Nipe maana ya Asali Chumbani
Nasubiri
Bibi anaona aibu kufunguka
Ninahuliza swali mwanamume akienda siku yake anaweza chukua mimba kwasikugapi?
Pia massage ya hogo
Tupe muendelezo 28
Bibi.km.mtu.anakuitaji.unapatikana.wapii
❤❤❤❤
Naomba no ya yabimkasi jamani
Mashallah ❤❤❤❤
Kungwi kuna Mila nyengine hawali kombe siku ya ndoa yake kimila wanadai adi Mwanaume afike kwao ndio ale ila siju ya harusi aruhusiw kula chochte nyumba ya Bi harus adi afike kwao na mke wake ndo anakula hii inamaana gani
Mimi nilikuwa naomba advice samahani kama nitakuwa nimeuliza vbya Mimi Nina mpenzi wangu alishanitambulisha kwao ila tuko mbali Mimi na yeye changushangaza sahi amebadilika ywataka tufanye mapenzi kwa video call nimekataa swali ni kuna mapenzi kweli hapo hebu nisaidieni juu amechange nilipokataa,??
Samahani ddaa wacha mmi nikujibu kabla kungwi kkujibu.
Mwanaume aliye na mapenzi ya dhati na mtarajiwa wake(mchumba)hawezi kkuongekesha upuzi wa namna hiyo,na ukijaribu ddaa kesho na kesho kutwa itajiona umeanikwa mitandaoni,ni lazima awe na subra kama yupo na nia ya kukuoa
@@nurumwinyi796 asnte dadangu mimi pia nimeshindwa nimeamuwa heri tuwachane
Kaka kwa hii jinsi ilivyo tu ili kava lake ni dhairi kuwa inaonyesha kabisa umeuwaaaaaaa, unyama ni mwingi adi unamwagikaaaa❤!!!
Na apa ndio naaamini kuwa kava la vidio linasadifu yaliomo
Kwa mantik hiyo; bila shaka h ii video watu wengi watajifunza,watahifurahia na pia wapo watakao-Enjoy!!❤🎉
Je kwa wale waliofundwa then wanaeleza mafundisho kwa wasiofundwa hii inakaaje hapo nyakanga
@@TamaAbdulazizi anae eleza aliyo fundwa kwa wale hawaja olewa huyo ni msungo
Dah! Ni hatar na nusu😮@@Asn7173
Naisubr hii kwa hamu
Tupo ❤❤🎉