Mashaallah kungwi dume mungu akuzidishie kipaji ni Aisha kutoka Kenya kazi safi ndoa yangu ilikua ya msikitini lkn hk mafundzo yko ya linikuza sana nashukuru sana
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu naaam ndugu angu asanteee Sana kwa elimu ilyo bora hasa kwa sisi vijana naomba2 hako kamwimbo kako uwe unakaachia kwa dakika kadhaa maana kamenifurahisha Sana
Kaka nashukur sana mejifunza mengi kupitia vipindi vyako mungu akupe maysha marefu ,lakin pia naomba kujua mwanamke akiolewa Kuna kisahani Cha udongo hua kinakaaga chumbani je kazi ya hicho kisahani ni nn??
Kubania kwa ndani mala kwa mala ni hatali.kwa mwanamke kwasababu mishipa yako italegea na siku ya mwisho unajikuta umepata matatizo makubwa sana siwashauli wanawake kufinyia kwa ndani mala kwa mala ni hatali kwa afya yako
@@ukthysalma9918 kaa apo apo na ujinga wako 😏 fatilia history ya wanawake wengi waliozaa sana wanavyopata maambukizi ya via vya uzazi na kupata kanza ya shingo wa mlango wa kizazi na kupelekea kutolewa kizazi baada ya kuuma na maradhi mengi
Asant sana kaka yetu tunajifunz mengi kutoka kwako nakupend san ni aisha tok Burundi
Mashaallah kungwi dume mungu akuzidishie kipaji ni Aisha kutoka Kenya kazi safi ndoa yangu ilikua ya msikitini lkn hk mafundzo yko ya linikuza sana nashukuru sana
Jamani kaka yangu hongera kwakazi yako nimeipenda naomba niunge
Kaz nzuri kaka niunge kwenye group
Asante sana kungwi dume unafunda mambo mazuri saana
Mimi ningeomba nierekezwe gisi yakutumiya shanga kwasababu unajuwa wanaume Wangi mafunzo kama aya hawayapendi ungetuerekeza nasi tuwaerekeza asant🎉❤
@@اسماعيلالعواد-ذ4ص mi pia natamani
Mashallah ubarikiwee sana kungwi dume kazi nzuri sana umeshinda hata hao kungwi wake jinsi unavyoelezea vizuri ❤from Kenya🙏🙏
Shukran mungu azd kukupa umri mrefu uzdi kutuelimsha Inshaallah
Shukran sana kungwi tnajifunza mengiiiiiiii si utani ❤❤❤❤❤❤❤❤ tunajivunia uwepowako kungwi dume
Jamani kungwi nimeyapenda mafunzo yako ❤❤❤ naomba uniunganishe katika grupu ili niyafahamu mengi zaiidi
Kazi nzuri sana kaka yetu hii ndo walipaswa kujua mabint kabla ya kuoana . Lakin kufunda kwa namna hii ni njema sana asante sana
❣️🔥Asante Sana Kungwi Dume kwa mafunzo yako mazuri.🔥❤️
Jman humu ndan wengi wao bado waari in sha allah mungu awape waume wa halal
Asante sana kungwi najifunza kutoka Kenya thanks so much 😊
Binafsi nakuelewa mno kaka barikiwa kwa kutuelimisha ❤from kenya
Asante kujitorea kuwafunda wanawake kupitia mitandao👏👏🫶🙏
Mashallah kungwi dume nilikuwa sijui kusinga mume wang allah akuzidichie skukinge na mahasd chukrsni
Nakukubali sana kungwi dume uko kufinyia kwa ndan ni balaa mpz wangu popote ulipo naiman unanikumbuka najivunia kuzaliwa tanga tanzania ❤❤
Uko vizuri kungwi dume naomba namba ya watsp
Asante kaka kwa mafundisho yako. Nakufuatilia kutoka Kenya
Yaan mpka raha🤗🤗❤️
Manshaaallah shukrani Sana my brother Naomba plz mimi naitaji kama una maji umkeni unaweza kufanza nini🙏🥰🤗
Ahsante kungwi dume najifunza mengii kaka🤗
MashaAllah kungwi mungu akuweke
Nimekupenda sana kaka unafanya vizuti❤❤❤❤
Asante sana baba mrezi wetu ❤❤🎉🎉ila sijaelewa mno
Asante sana kaka nakufuatilia nipo Burundi bujumbura ❤🎉
Asante San nimejifunz meng mno
Asante sana pia mm n mepata kakitu aki mungu akubariki 🙏❤
Ubalikiwe sana kaka ibra napia nimekumbuka sana ulipo kuja muheza mungu abaliki kipaji chako
Mume wangu anapenda sana kufinyiwa sana mpk analia
Kungwi dume uko vizuri sana mungu mwema elimu hamasa unyotupa ahsante sana
Wapi nduru ya kungwi wake 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Tupe kungwi wetu,tujue kuifinyia ndani wewee❤🎉😂
Nimekuelewa sana kungwi najifuza niliya sahau tena
Kaka nakukubalisana naunatupa ujuzi nasisi wengine mungu akuweke🥰🥰
Kungwi tupee mambo❤❤❤❤🥰🥰
Nakupenda bure Kaka yngu❤kwa mafunzo jmni👌kuna mengine nilikuwa sijui kbsa Asanteni ndgu maisha malefu nakuombea🙏🙏🙏🙏
Sjw kumsinga mume nifundishe
@@SaumuEliasi-qb5ky njoo zanzibar
@@sabihaibrahim143 🤣🤣🤣aje zanzibar daaagh....
@@hanifahkhamiss8485 ehee tumfundishe masingo
@@sabihaibrahim143 kwanini asije mapenzi yaliko zaliwa mpaka aje kufundwa ujeuri zenjibar 😁
Mungu akubariki sana nmejifunza kitu hapa ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kungwi ipo vizur
We need people like you in life.
Napenda sana mafunzo Yako brother ibrah
Asante sana kaka yetu
😂😂eti naona aibu👌👌tupee kaka
Shukran kak ibra njee uke ukiwa na matatizo ya infection upashwi kusafisha
Me naish arush 🎉🎉🎉nmependaaa mafunzo yaakoo
Hongera sana
Mungu akubariki
Wow ,,l love ❤❤❤
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu naaam ndugu angu asanteee Sana kwa elimu ilyo bora hasa kwa sisi vijana naomba2 hako kamwimbo kako uwe unakaachia kwa dakika kadhaa maana kamenifurahisha Sana
Ungwi funguka kila mtu akuelewe vzr
Kazi nzuri broo❤❤❤
mashallah asante kungwi kwa mafundisho yko japo wengin hatujaingia kweny ndoa hap kungwi unapokuw unasafiisha KE kidole hakiumiz??
Asante Kaka ibrah tunajifunza mengi sana
Asante sana kungwi kwa kuelisha nimejifunza mengi
Barikiwa kaka❤
Asante sana nmependaaa mafunzo yaakoo
Lakini naomba uni fundishe mana ya KUIFINYIA KWA NDANI niweze kuelewa vizuri. Asante Kungwi Dume tuna kushukuru sana .❤️🔥❤️
Njoo kwangu
@@wanunegervinho4231 nifundishe kuifinya Kwa ndani
@@wanunegervinho4231😂😂😂😂😂😂😂
Hata mm apo sjaelew vzr
Unabana uume km unavyo bana mkojo
Nakupenda yani natamani ningekuwa nauwezo ukawa mumewangu hadiraha yani sikwakufonza uko
Asante kungwi kwa mafunzo yako
Talaka iz coming
😂😂😂@@kisaagustino3278
Shukuran sn .kungwi dume .sito choka kukufatilia kwenye mafunzo mazuri km haya
Wapi nduru Kwa kungwi❤❤❤🎉
Asnt tunajifunza meng si utani❤🎉
😂😂 nilidhani kuna mbinu mpya ya kufinyilia kumbe ni vile ninavyo elewa asante sana kugwi🎉🎉
Asante kwa kufundisha vizur naomba niunge kweny group la whatsaap
Nani kayapenda matàngazo ya kungwi😂😂😂
😂😂😂😂 Raha sana tunakuelewa
Asante sana kwamafunzo yako mazur🎉
Ahsante sna bro nmekuelewa sna 🎉❤
Kungwi dume ubarikiwe sana nimekuoenda bure tu
Masha Allah ❤️❤
Hongera sana kwa darasa zuri
Asante kungwi eti nielekeze jinsi ya kunyoana
Some love from kenya❤
Asante kungwii dume
Huku Congo 🇨🇩 Tunakupenda sana brother, congratulations my Big bro 💪
Shukrani kakangu kwa kutujuza
Mungu akuzidishiye
Kk Kaz yako nzuri 🎉🎉🎉
Nimefurahi sana kwa somo lako nimejifunzq vyena kutoka saudi lakini mwenyeji 🇰🇪
safi sana kaka
Asante 🙏 sana kungwi wetu tunajifunza mengi sana 🙏
Tunakuelea broo
Asante kwa somo🥰🤗
Kungwi naomba utupe jia yaku ongeza joto ukeni 🙏🙏🙏🙏
Naomba uniunge group lako kwakweli unafunza vizur nimependa
asante sana kungwi najifunza kutoka Kenya
Asante sana kaka.eee yan mambo mengine tunafanya kama mutani kumbe nimakosa.asante sana
Nimejifunza mengi
Nakuwanga nakukubali kakayangu❤❤❤❤
Kaka nashukur sana mejifunza mengi kupitia vipindi vyako mungu akupe maysha marefu ,lakin pia naomba kujua mwanamke akiolewa Kuna kisahani Cha udongo hua kinakaaga chumbani je kazi ya hicho kisahani ni nn??
Kungwi ipo vizur
Honger sana umetukombow
Hongera kungwi umetufundisha kuifinyia kwa ndani
Ahsante Kungwi maneno kuntu kuanzia leo ntakufatilia
Asante kugw dume mm nazidi kupanuk akil ingawa nilifuzwa lakin waniongeza ujuzi kakaa❤mungu akujalie umri mrefu in sha Allh
Mbona huelezei vzr kufinyia kwandani
Ukimaliza shughuli zako za leo,nitafute uje nyumbani nikufundishe zaidi
Kubania kwa ndani mala kwa mala ni hatali.kwa mwanamke kwasababu mishipa yako italegea na siku ya mwisho unajikuta umepata matatizo makubwa sana siwashauli wanawake kufinyia kwa ndani mala kwa mala ni hatali kwa afya yako
Kama kuzaa tu hakulegezi mishipa itakua kuifinyilia ndani acha tuwafinyilie tu😂😂😂😂
@@ukthysalma9918 kaa apo apo na ujinga wako 😏 fatilia history ya wanawake wengi waliozaa sana wanavyopata maambukizi ya via vya uzazi na kupata kanza ya shingo wa mlango wa kizazi na kupelekea kutolewa kizazi baada ya kuuma na maradhi mengi
Htr gan wakati inasaidia kukaza misuli ya uke
@@HusnaMussa-dn9ml acha ujinga ww ww unauke una mboo nani alikuambia inasaidia kukuza misuli ya uke ulisikia wap misuli ya uke inatakiwa ikue
@@ukthysalma9918 😂😂😂😂finya mama
Apo ndo napendaga kungwi kutuelewesha ❤❤
I like it👏
Kungwi asantee...nilikua sijui mengi ..najifunza sana na nazidi kujifunza..ila naomba uniunge kwa grop la WhatsApp kaka
Asante sana kaka Dume ❤
Congratulations keep it up good job ❤🎉
Mashaallah kungwi