SHUHUDIA DRONE CAMERA ILIVYO NASA MAMBO KWENYE MSIBA WA SHEIKH NYUNDO
Вставка
- Опубліковано 15 бер 2020
- usisahau ku like,comment,share na ku subscribe youtube channal yetu alfatah tv online, kwa maelezo zaidi piga simu +255 777 858490
#ALMARHUMSHEIKHNYUNDO
#ZANZIBAR
Ni miaka mine sasa Tangu Ututangulie ALLAH AKUJALIE KILA JEMA AKHERA ULIKO.
SubhanaAllah. Kifo cha shekhe wetu NYUNDO kila muislam akiona mazishi yk machozi yanamtoka Allah tupe hatma njema wajawako Aamin😭😭😭
Rip sheikh nyudo am a Christian bt really enjoy and follow the teachings of sheikh nyundo
Amiin yarabii amuweke janatul firdos shikh nyundo
Sio znz hata sisi tulio kuwepo Dubai tuna huzuni sana kwa kuondo kewa na Shekh wetu kipenzi cha Waislam Nyundo Allah ampe kauli thabit
Amin amin amin 🙏 🙏 mungu am weekend Mahalia permanently peponi 🙏 🙌 ishaallah 😢😢
Namuomba ALLAH amjaalie sheikh wetu pepo ya firdaws na amuondolee adhabu ya kaburi na atupe pia mwisho mwema sisi sote Amiin
Amiin
Allah mpoee sheikh nyundo kwa wema msamehe dhambi zake na uweke pahali pema peponi uliko waweka maswahaba wema am in a rabbi amin
Inalillah wainaillah rajiuun,,,yaaAllah muepushe mbali na adhabukali ya kaburi aamiyn
Hata tulioko qatar tuna huzuni kompoteza kipenzi chetu shehe wetu Lakin mauti ni mlango kila mtu lazima atauingia yarabi mfanyie wepesi maisha yake ya kibri inshaallah mueke nuru katika kaburini mwake inshaallah wape subra family yake wakati huu wa huzuni inshaallah Pole.sana
Inalilahi wainailaih rajighun alla amlipe janat firdaus allahuma amin.
fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin Ameen
fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin Dua nzuri ila rekebisha hapo ulipo andika kibri badala ya KABURI ili na mimi ni like
Amn
Mie nipo Germany pia ninahuzuni sana innalilah wainna ilaih rajuun
From #Moscow Russia 🇷🇺😭😭
kwaniaba Ya Wazanzibar wote hpa #Moscow tunatoa pole kwa wana family wote,Allah sw amsamehe makosa yake Amiini,daima Tutakukumbuka 😭😭🇷🇺🇹🇿
All the way from Rostov
Ya Allah mwingi wa huruma mpe nuur katika makazi yake mapya nasi utupe mwisho mwema Ammin wallahi tumehuzunika japo tupo mbali nyoyo zinavuja machozi yahuzni
Inna lillaah wa inna ilaihi rajiuun. Allah amghufurie na amjaalie amani na Nuru katika kaburi lke mwisho ampe kitabu chake kw mkono wa kulia. Na sisi atupe mwisho mwema Amiin
Sheikh nyundo allahummaghfirlahu warhamhu waskanhu fil jannah🙏mi mkenya lakini nsuguyenu kwa dini 😭😭😭
ALLAH amrehemu na amuangazie nuru kaburini kwake,awape subra familia na waislam wote duniani na tunamuomba ALLAH atujalie mwisho mwema waislam wote Amiin IN SHA ALLAH
Amin
Ameen
Mungu amlaze pahalipema ameena
Amiin
Amin
Inna Lillah Wa Inna Illayh Raj'uun! Allah Akupe kauli thabit wewe,wazazi wetu na umma wote wa Mtume wetu kipenzi,Muhammad (S.A.W).Amiin!
Hard way,but the only way.😥
Allah amjaalie pepo ya daraja ya juu kabisa na amghufurie madhambi yake amuepushe na adhabu ya kaburi na akubali amali njema zake....Ameen
Allah amrehemu shekh Nyundo ampe kauli thabiti amlaze mahali pema peponi kwa mawaidha yake yalitugusa sana ndani ya mioyo yetu kweli ametuachia darsa kubwa sana Allah amuangazie nuru katika kabri lake Aamiin
Innalillah wainnailayhi raajiuun Allah amsamehe amakosa yake ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia amin nasi atupe mwisho mwema amin.
Ameen Ya Rabby 🙏
Amiin
Aammeen yarrab allahumma ammeen 🤲🤲🤲🤲
Ameeen
amina ishaa llah
Allah amrehemu shekha wetu kipenz ampe qauli thabit atujalie mwisho mwema na SISI ishallah
Allah amjalie pepo na amfutie madhambi yake na pia sisi Allah atusameh na atupe mwisho mwema insha Allah....
ALLAH ailaze roho yko palipoa nawema peponi inalillah wainallileh rajiun 😭😭😭😭
Innalillah Wainnailayhi Rajiun 😭😭😭nyoyo zimejaa huzuni macho yamejaa majonzi Ya Rabb mpokee mjaa wako ya Allah tujaalie n sisi tuliobaki mwisho mwema ya Rabb
Aamin Yaarabb aamin
Ameeen
Mashaallah!!amesema mtume(s.a.w) ukitaka kujua wewe n mtu wa peponi au wa motoni,,tazama watu watasema nini baada ya kifo chako"mashallah sheikh wengi tunakusema kwa mazuri,na tunakudhania ni mwema inshaallah
INNALILAHI WA INNA ILAYHI RAJICUUN SHEEKH NYUNDO FROM SOMALIA
Allah amsamehe madhambi yake inshaallah
Njia ni moja sisi sote tutaipita
Allah amuepushe na Adhabu za kaburi, Allah awazawadiye subrah kubwa jamii yake yote
Wallahi nihuzni kubwa kuondokewa na shekhe wetu...Allah amrahamu...kutoka Kenya
Mlezi wa viumbe U pamoja nawew wema ulio fanya utalipwa aamin aamin,, nakupenda sana shekh wang
Allah amsamehe na amrehemu shkh wetu.
Na ajaalie kaburi lake liwe katika viwanja vya pepo na si katika mashimo ya moto.
Allah ampe kauli thabiti sheikh nyundo
Innalilahi wailehiraju,un Allah amueke mahala pema peponi ameen yarabby
Allah.ampe.makazi
Mazuri.katika.moja
Yabustani.peponi
Amin
Nipo USA 🇺🇸 kiukweli nimeumia sana kwa kuondokewa na Shekh wetu kipenzi nilikuwa nikimfatilia kila anapo fundisha ila kazi ya Allah haina makosa tutamkuta uko inshaallah Pmzika kwa amani baba yetu kipenzi cha watu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mwadawa
Aslm alykm
Allah amrahamu shekh wetu... sio msiba wa zazibar ni waislam wote kwa jumla ameacha mengi kwa mama zetu dada zetu yani sote kwa jumla
Inna liLlahi wa inna ilaihi rajiuun.Allah amsamehe makosa yake sheikh wetu na amueke mahali pema peponi inshaAllah.
Ina lilallahi waina ilayhi raajioub.May Allah subhanahu wata'ala grant him jannah for the work he has done and may allah have mercy on his soul in sha Allah.
"INNA LILLAHY WAINNA ILAYHI RAAJIOUN" Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake Allah hakika tutarejea......waliofikwa na msiba tunawapa pole na Allah awape subra waqti huu wa huzuni,,,,mbele yetu nyuma yake
Hakika waislam tumeondokewa ni mtu muhimu kwetu zaid wazanzibar Allah amsamehe madhambi yake sheikh nyundo aifanye nyepesi safari yake
Amiin
Amiin
Ameen Ya Rabby 🙏
Amini
Amen
Tukiwa ujerumani ni huzuni kumpoteza sheikh, but ni kazi ya Allah haina makosa, Allah amfanyie wepesi huko, ya rab.
Sheikh nilikuwaa nakupenda kwel kwel
Machozi yamenitika, mungu aiweke nuru katika kabri lake. Na sie atujaalie mwisho mwema Ameen ya Allah🙏🏿
@@zillarajab7873 Amiin
Poleni sana familia ya sheikh wetu Nyundo.Mungu awape wepesi kwa huu mda mgumu.
Innalillah wainnalillah rajun twakuomba yarab tupe mwisho uliokua mwema
Yarabi muhifadhi mja wako
Mja mwema huyu mashallah..Mufti kasalisha..
allah amrehem, amfanyie wepec kwa safar yake hii. mungu ampe noor kwny kabri lake, ampe pepo kwa rehma zake, afanye kabri lake liwe ni miongon mwa vyumba vya pepo. AMIIN
Yaarabbih ampokee sheikh wetu al maruuhm nyundo
yaani mwanangu miaka 6 namuuliza unamjua ananambia namjua yule anatoa mawaida kisha anachekesha namuonesha picha ananambia huyu namjua yaani mpk hivi aaubuh hajaamini km kafa mana kaniuliza maswali kuhusu mtu akifa sahv ananambia yule kafa kweli au watu wanasema tu kwahio hatumuoni tena akisema subhana llah mtto hakuamin km huyu mtu hayupo
Wallahi. Sheikh ametusaidia
😭😭😭😭😭 Hakika sio znz tu au tz hata ss tulio. Nnje ya Zanzibar nyoyo zetu zime jawa na simanzi Allah amrithie sheikh nyundo.
Alifanya juhudi kubwa za kheirat.
Aliwafunza wanawake wengi na ss vijana.
Allah amjalie awe kwenye furaha sasahiv Allah atujalie na ss atupe wisho mwema.
Tangulia sheikh nyundo nenda nasi tupo nyuma yako.😭😭😭😭
Bado tulitaman uwepo wako ila Allah ame kuhitaji.
Hakika ni pigo kwa wenye Iman.
Ewe mola wetu tuna kuomba uwalee mayatima alio waacha warahisishie riski zao.
Wajalie wawe warithi wa elim njema.aaammin.
Ewe mola wape subra wajane alio waacha warahisishie riski zao ya Allah.
Amen😭😭😭😭😢😢
Amen Amen Amen🙏 🇱🇺
Allahumma Aamiin,
Aaamin
Amiin Yaarab
Allah msamehe skekhe wetu japo inatuuma San yaa Allah mpe Nuru kweny kaburi lake mpe pepo kwa rehema zako yaa rabbi na sis type mwisho mwema mola wetu tuhurumie😭😭😭😭😭😭
Ameeen
Allah amrehem ampe kauli tabiti 🤲
نسأل الله ان يرحمه و يتقبله في جنات النعيم.
كم أسعد كثير من المسلمين بخطبه القوية و المعبرة . عاش في خدمة الإسلام والمسلمين.
يعظم الله عزائكم و يصبر أهله و ذويه في هذا الفقد الكبير .
تحياتي عبدالله من سلطنة عُمان
Ma sha allah.... Allah amlaze pema sheikh wetu
Innalillah wa innalillah rajiuni 😭 Allah amrehem uko alipo Sheik wetu
Allah amrehemu nasi tuwe na mwisho mwema
Innalilah wa inna ilaih raajiuun
Jamani kafalinitrna
Shekhe wetu nenda salama , Allah sw, Amekupenda zaidi, ila hatuwez kukusahau. Na sc tunakuja huko huko, Allah sw, Akulaze mahali PEMA. Amin.
kgslb
Innalilah wainna ilaihi rajiun 🤲
Allah AILAZE roho yake pahali pema peponi
Allahahumah Amiiiiiin inshaaallah
Dawa mpaka kiamaaaa, Allah amlinde, amsameh na amuepushe na fitna za masihi ddajjaal yeye pamoja nasisi aamin aamin aamin
Hili kubwa has maan dah' sina la kusema kwa kweli .... mwenyez mungu amfungulie milango ya pepo .....sheikh wetu ya rabbi...
Mungu amlaze pema peponi Amin Yaarabi Njia yetu soote yeye katangulia nasi tupo nyuma yake kila mmoja kwa wakati wake Alhamdulillah
kiukweli 😢hatutokuona tn hakuna shekh nilokupenda km ww nyundo mungu akujaalie safari njema ww pa1 na wazee we2 dah ujue niliposkia ckuamini km kwl umeondoka hakika kwl chema hakidumu dah
May Allah grant him Jannatul Firthaws
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki mungu msamehe mazambi yake
twamkumbuka mpaka leo shekh nyundo mungu amuweke mahala pema na wote walotangulia
yarabbi husni lkhatima
Shekhe msema kweli katika mambo ya kijamii Allah akulaze pema palipo na wema tutakukumbuka kwa ukweli wako sababu hakuna mashekhe wa kuyaongelea mambo ya jamii kwa kuona haya.
Inna lillahi wa Inna ileyhi rajoun Poleni sana ndugu zetu Tanzania
Allah amlipe kheir In sha Allah
Hakika kila nafsi itaonja mauti , Allah tujalie khusnul khatma 🤲 naye umpe kauli thabit Yarabbiy 🤲🤲
Ameen Ya Rabby 🙏
Mungu tupe subra
Allah amlaze pema peponi aameen yarabbi
INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAAJIUUN Mwz mungu amlaze mahali pama insha allah. Mie niko Iraq ila hata watu wamehuzinika sana kwa kifo cha shekh wetu
Subhanallah subhanallah wallah nashindwa la kusema
Napenda sn mawaidha yake, Allah ampe kauli thabit
🙆♀️sina lakusema kazi ya mungu haina makosa pamoja tuseme Alhamndulillah
R.I.P , shekhe Nyundo, nikimkubali sana kwa elimu yake ya kidunia
Allah msamehe mjawako na mpke na apokee kitabu chake katika mkono wa kulia.hakika binadam si kitu sijui twarongia nini
Allahuma ghufrlahu warhamahuu filjannah
Allah akusamehe madhambi yako in shaa Allah cc tulikupenda Ila mungu kakupenda zaidi
Allahumma ghufirlahu warhamhu waaskinahu filjannat 🤲
Innalillah wainna ilayh rajighun. Allah amlaze pahala pema . Kiukweli msiba umetugusa waislam wote ila ndio mauti ni haki kwetu sote na mauti yanakuja ghafla. Allah atupe khusnu lkhatima.
Innalillahi wainna ilayhi rajiun Allah amsameh makosa yake na awape subra wafiwa. Kwa kweli tumeondokewa
Apumzike kwa amani. Alikuwa Mwalimu mzuri. Mwanafalsa wa kweli.
الهم إغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس اللهم آمين إن لله وإن إليه راجعون
امين
Aamin
Inalillahi wainna ilaihi rajiuun,hakika Sheikh Nyundo alikuwa haogopi kukaumiwa kwa hali yoyote ili kuwazindua walio kuwa wamepotea na kumuasi ALLAH.Kiufupi mie sikuona uso kwa uso lkn kupitia simu yamkono,nimejifunza mambo kadha wa kadha juu ya dini yetu ya kiisilamu.ALLAH amjalie pazuri insha Allah🤲🤲🇰🇪
Kila nafsi itaonja umauti ila niseme alhamdulilah nineema kubwa mtu kuondoka akataja kwa mema yake tujitahidi tutafute razi za Allah ina lilah wainna ilaihi raajiuun
Innalilah wainailah rajiun, Allah, amrehem shekh nyundo. 🙏
umma ulikupenda na hiyo ndiyo neema ya allah unapo fanya kazi yake nasisi atujalie mwisho mwema
Inalillah wainailllah rajiun.
Tunaomba Allah wetu mtukufu Subhanah wataala amuweke mahala pema peponi Sheikh wetu mpenzi na kipenzi cha Allah, Inshaallah 🙏 kusema kweli hautasahaulika kamwe kwenye nyoy zetu. mawaidah yako yame badilisha wengi ulimwenguni kote. Allah wetu mtukufu Subhanah wataala alifanye kaburi lako kuwa pepo miongoni mwa pepo Inshaallah 🙏
Inna illah Wainna illah Lajjiuun daghhhhhhhhh MOLA akupokee na Atujaalie naSisi tuliobakia MWISHO MWEMA 🙏🙏🙏🙏🙏
innalillah wainna ilayhi rrajiuna
Allah msamehe shekh nyundo na ampe makaazi MEMA peponi Amin
Mungu akueke pema pamoja na wema tunahuzun kubwa maskitiko makubwa tunakupenda sana shekh wetu ila mola wetu amekupenda zaid
Daaa wote tutaelekea njia ni moja imeuma sna
Allahu maghfirlahum warhamhum waskinhu fil jannah..
Hakika kifo/msiba unapaswa kuwa mawaidha tosha kwetu sote. "Innalillahi Wainnailayhi Rrajioun"
Allah amsameh ampe makazi mema amee.na ww shekh allah aibar kazi yko na atupe mwisho mwema ameen
Ya Rabby nfanyie wepesi kwenye makazi yske hayo mapya,ameen
Amina mungu ilaze mahala mema peponi
Inalilah waina ilaih rajiuwwn.
Mungu mpokee Shekh Nyundo kwa mikono yako yenye Kheri
INNA LILLAAH WA INNA ILAYHI RAAJIUUN - LAA ILLAAHA ILLA ALLAH MAHAMMADAN RASUULULLAH - YAA ALLAH MREHEMU YEYE NA WAISLAMU WOTE NA WOTE UTUPE SUBIRA NA AMAANI.
YAA RABB TUSAMEHE NA UTUREHEMU KATIKA HII DHUNIA NA AQEERAH KWELI KIFO NI HAKI KABISA. ALLAH (SUBHAANAHU WATA'AALA) AMREHEMU NA AMPE NUURU KATIKA KABURI LAKE NA WAISLAAMU WOTE
RAMADAAN MUBAARAK
Innalillahi wa Inailaihi ra jiun
Mimi binafsi katika masehe niliotokea kuwakubari na kuwapenda ile ukweli wa kuwapenda kwa Ajili ya Allah number Moja ni marehemu sheikh Hussein Hassan nyundo.
Kiukweli nimehudhunishwa sn na ninaeumia na naendelea kuumia juu ya kifo Cha sheikh Hussein Hassan nyundo Ila Sina budi kukubariana na Allah Alipotuambia kuwa kila nafsi itaonja umauti. Namuomea kwa Allah Amrizie mjawake huyo na Kaburi lake liwe viwanja miongoni mwa viwanja vya Peponi Allahmma Amiin".
Mola karima ailaze roho yake mahali pema Amiin😭🙏
Innalillah Wainnalillahi Rajioooun Allah Ampe Kauli Dhabit
إنا لله وإنا إليه راجعوووووون
اللهم اغفر له وارحمه وعافه وعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله
Amiin
Mungu akupe kauri thabiti Shekh wetu mbeleako nyuma yetu Amin
Allah akulaze pema peponi baba yetu
Inalilah wa inalilah ranjuni allah akupe pepo yake rhustaz wetuu
inallillah lillah wainailayh rajiuun Allah msimamie ktk heri zake alizozifanya ktk dunia na umlipe ktk pepo ya firdaus na ss utujaalia mwisho mwema na wenye kutubia dhambi zetu na utukinge na balaa lililotuingilia la corona ss tupo ktk njia yako ya Allah
Amin inshaallah
Innalillahi wainaillahi rajiun. Good news inshAllah. Jannah tu fardows inshallah
Allah amsamehe makosa yake amin sheikh wetu nyundo tulikupenda sana lakini mungu amekuita ni Nazi yake allha haina makosa
Innalilah wainnailah rajiun. Allah akulaze mahala pema peponi na sisi atupe mwisho mwema inshallah