Inna lilahy wainna ilayhi rajiuun 😭. Ukweli tulikushiba sheikh NYUNDO. 😭😭 Sikumbuki kuku kukuchukia ktk kazi yako ya daawa. Ulikua hufichi kt kila kitu unakikemea kwa uwazi kabisa. Umetupa mafunzo hasa sisi wanawake. Mungu AKULIPE kwa wema wako wooote akupe makaazi mema na akuepushe na moto na adhabu za kabri.
Leo tutalipa sana na dua nyingi tutakuombea Allah akupokee salama akulaze mahali pema Allah atumiminie subra umetoka kwenye kazi ya Iblis ukaingia ghafla ukatukosowa ukatufahamisha japo mengine tukiona unachapa bakora wanawake tu lakini hata na wanaume pia leo kila mja ataijuwa thamani yako Allah akuingizie Nuru na Malaika wema Allah akupangusie makosa yako yote akutanulie qabri lako liwe njia za Peponi awastiri aila yako na mema yako akuzidishie Ammin
Allah amhifadh kipenzi chetu sheikh nyundo, kabri yke iwe ni bustaan miongon mw mabustaan ya peponi na ukumbusho wake(alotuachia) iwe swadaqat jaaria kwake....yaaa Allahummaa rzuqnaa حسن الخاتمة. آمين يا ربي
Assallaam Allaykum Warahmatullahi Wabarakatuh Innalillahi wa Inailaihi ra ninaombi TV zote za Zanzibar ikiwemo nyinyi online tv Nawaomba mtafuteni muendeshaji wa (HABARI MATUKIO ONLINE TV ) Mumwambie afute Videos aliyoichukua wakati mwili wa Sheikh Hussein Hassan Nyundo unalazwa kaburini Ndugu zangu Jambo lile ni lafaragha huku tunakoelekea wapi nduguzangu Wallahi ningelikuwa huko Zanzibar huyu jamaa ningemtafuta mm mwenyewe na ningempata Wallahi kitu ambachoningemfanya ingekuwa fundisho kwa wengine wenye tabiakamahiyo na hatakama amefurahiya kifo Cha Sheikh wetu huyo niyeye Sasa hasijionyeshe dhahiri hivyo mtafuteni huyo (Habari Matukio) online tv mwambieni Afute hiyo Video haraka pale amezuiya tusiweze kucomments Ila tunawapa nyinyi salamu hizi na mfikishieni kwa ajili ya Allah.
Innalillah wainailaih rajiun yarabbi mrehemu kiumbe chako na marehemu wote waliokwisha tangulia mbele yako uwasamehe MADHAMBI yao yote nasi khatima yetu ukitufika utujalie mwisho mwema duniani na Akhera pole sana ndugu wife wafiwa ALLAH awape subra na uvumilivu kwa huu mtihani mkubwa sana kwetu sote na hii ni njia yetu sote .
Anatukana anatukana haya ndo uyo mungu ashamchukua ashafanya wajibu wake ashajiondokea sasa ss jee midomo mirefu kukosoa kila kitu tumefanya nn kikubwa kwa ajili ya allah?
Allah ailaze roho ya marehemu kipenzi chetu mkubwa kwa mdogo wote tulikupenda shekhe nyundo leo umetuacha wapekwe Allah ajalie safari yako iwe ya khery kila ramadhani unakua unatoa mawaidha kwa kina mama ya Allah msamehe Mja wako na sisi utujalie tuongoke 🙏🏻🙏🏻🙏🏻daima utakua nyoyoni mwa watu
Killa nafs itaonja umaut yeye katangulia nasi tupo nyuma yake, mazur yake tuliyaona kwa macho yetu nasi tunatakiwa tufuate harakati alizokuwa akizifanya shekhe wetu nasi tulinganie dini ya Mungu kama alinyolingania shekhe wetu, mungu amlaze mahali pema peponi aamin aamin
Ameen
Amin ya raball Amin
Allahumma ikhfillahu warhamuhuu
Allahummaghfirrahu warhamhu waaskinhu filjannat
😭😭Allah ailaze mahala pema Insha Allah
Lailaha inlaallah
Masha Allah alipata Ummah mkubwa na in sha Allah awe miongoni mwa waja wema akiwa pa1 na Mtume Mohammad (S.A.W)
,غفر الله له وأدخله فسيح جناته
ثبته الله بالقول الثابت
Allah Akbar
Allahumma ij'al qobrohu rodhotan min riyadhil jannah wala taj'alhu hufrotan min hufarin nar 😢
Mashallah sheikh mtu wa watu ni dalili ya mja wa peponi inshallah amjalie pepo ya juu kwa uwezo wa Allah
Mungu akupe kauli dhabiti sheh wet na sisi mungu tujalie mwisho mwema ktk huu ulimwengu
Alha irahmu
sheikh nyundo mwenyezi mungu akujalie kauli Thabit
Laa Ila ha illa llah
MUNGU AMUWEKE MAHALA PEMA PEPONI UBAVUNI MWA BWANA MTUME AMIN
Innalilah
Allah ampe kauli thabiti katika kaburi lake Allahumma amiyn.
Allah amueke mahali pema penye wema peponi ameen
Shekh nyundo tulkupenda sana kaziyamungu haina makosa mungu akupunguzie azabu uendapo
Ya Rabbi mlaz Mahal Pep sheikh hussein umkutanish n MTUME MUHAMMAD (s.a.w)
Innalilahi wainnailahi rajiuun
Machozi yananitoka ,Allah akulaze mahali pema peponi shekhe nyundo
Inalilah waina ilahi rajiun
Allah akulipe pepo ya fridaus
Innah lillah wainnah ilayhi rajiun Allah amjaalie pema peponi.
Innalilah waina Lilah lajiun
inna lillah waina illah lajiiun
Allah amsamehe madhambi yk
Inalilahi wainaileyi rajiun
INNA LILAYHI WANNA ILAYHI RAJUUN
Inalillahi wainailah rajuun twamuomba Allah ampe kauli thabiit
Allh mfungulie njia ya pepon shekh wet
إنا لله وانا الي راجعون
Mungu amlaze peponi sheikh wetu..kweli hapa tumepata pigo
Allah ampe kauli thabiti ishaallah
Inna lilahi wainna illahi rajiuun
Innalilah rajiun mola amsamehe makosa yaje Amin😢
Innalilah Wainnaillah rajuun,Allah amsamehe madhambi yake na alifanye kaburi lake liwe miongoni mwa nyumba za pepon
Hakika sisi wote ni wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea
Allah akupe kauli thabiti sheikh nyundo 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Shehe hata baadhi ya wakristo tulimkubali sana kwa mafundisho yake Mungu ampe heri
Mungu ajaalie pahali pako pema
Safari njema shekhe
RIP shekh nyundo
Inna lilahy wainna ilayhi rajiuun 😭. Ukweli tulikushiba sheikh NYUNDO. 😭😭 Sikumbuki kuku kukuchukia ktk kazi yako ya daawa. Ulikua hufichi kt kila kitu unakikemea kwa uwazi kabisa. Umetupa mafunzo hasa sisi wanawake. Mungu AKULIPE kwa wema wako wooote akupe makaazi mema na akuepushe na moto na adhabu za kabri.
Pumzika kwaamani sheikhe wetu
Hii ni ishara njema
Allahu Akbar yaa Allah msamehe makosa yake kipenz chako
Rip
Bwana alitoa na ametwaa jina lake libarikiwe
Nyundo watu walikuzika yaani adi Raha yaonesha walio kuchukia kidogo kuliko tulio kupenda 😭😭😭😭😭😭
Pumzika kwa amani mwalimu wetu online shekh nyundo mbele yako nyuma yetu
Ya Allah muondolee adhabu za kaburini
Pumzka kwa Amani shekhe wetu nyundo
Innalillahi wainna illahi rajiun mwili wake hatupo nae ila nafsi bado itatukumbusha aliotuachia Allah amtukuze
Tutakukumbuka kwa mazuri yko
innalilah wainailah rajiun sote waja nakwake tuta rejea
INNALILLAHI WAINNA ILAIHI RAJIUUN
Hakika yeye safar yake imekamika tumebaki mimi na wew
Innalillah waina ilayhi rajiun
Inaalillahi wainaailayhi rajiiwun
Inna lillahi wa Inna ilayhi rajiun
Innallillah wainnalilllaj Rajiun. Allah ampe kauli Tabithi.
Innalillahi we innalillahi rajiun
Allah akurehemu sheikh wetu.nyundo
Innallillahi Wainnaillaihi Rajion
Allah ambashirie pepo inshaallah
Innalillahi wainnalillahi rajiuun
Allah akupe kitambu chako kwa mkono wa kilia kipenzi cha watu tulikupenda sana lkn Allah kakupenda zaidi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu ampe kauli thabiti inshaalah
Allah ampe kauli thabit,na sisi atuongoe
Leo tutalipa sana na dua nyingi tutakuombea Allah akupokee salama akulaze mahali pema Allah atumiminie subra umetoka kwenye kazi ya Iblis ukaingia ghafla ukatukosowa ukatufahamisha japo mengine tukiona unachapa bakora wanawake tu lakini hata na wanaume pia leo kila mja ataijuwa thamani yako Allah akuingizie Nuru na Malaika wema Allah akupangusie makosa yako yote akutanulie qabri lako liwe njia za Peponi awastiri aila yako na mema yako akuzidishie Ammin
Alikuwa Katika Kazi Gani
Msiba umetufika wajibu kuhuzunika
Mungu akusamehe shekhe wetu na akurehem
Allah amhifadh kipenzi chetu sheikh nyundo, kabri yke iwe ni bustaan miongon mw mabustaan ya peponi na ukumbusho wake(alotuachia) iwe swadaqat jaaria kwake....yaaa Allahummaa rzuqnaa حسن الخاتمة.
آمين يا ربي
Ameen yarrab 😭😭😭
Ameen
Amiin
Kheir amiin yaa llah
Ameen
Innalillah wainna ilaihi rajiuun
Kwa upendo pia watu wamesahau Kuna coronavirus
Innalillahi wa inna illahim rajiuu'nn
😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🏻
😭😭😭
Assallaam Allaykum Warahmatullahi Wabarakatuh
Innalillahi wa Inailaihi ra ninaombi
TV zote za Zanzibar ikiwemo nyinyi online tv Nawaomba mtafuteni muendeshaji wa (HABARI MATUKIO ONLINE TV ) Mumwambie afute Videos aliyoichukua wakati mwili wa Sheikh Hussein Hassan Nyundo unalazwa kaburini Ndugu zangu Jambo lile ni lafaragha huku tunakoelekea wapi nduguzangu Wallahi ningelikuwa huko Zanzibar huyu jamaa ningemtafuta mm mwenyewe na ningempata Wallahi kitu ambachoningemfanya ingekuwa fundisho kwa wengine wenye tabiakamahiyo na hatakama amefurahiya kifo Cha Sheikh wetu huyo niyeye Sasa hasijionyeshe dhahiri hivyo mtafuteni huyo (Habari Matukio) online tv mwambieni Afute hiyo Video haraka pale amezuiya tusiweze kucomments Ila tunawapa nyinyi salamu hizi na mfikishieni kwa ajili ya Allah.
SubhanaAllah😭 tujiombe duwa nasisi yeye keshayajuwa mm naww hiii ndo safari yetuu sote 😭😭😭😭
😭😭😭
Ndo hatma
ALLAH atupe mwisho mwema
Innaalillah wainnaailayhi raajiuun! Subhanallah! subhanallah! subhanallah! Kwa athari nzuri ulizotuachia Allah akulipe kheri sheikh.
Yaa Rabbi msamehe alipokosea umlimpe kwa alipopatia hakika ukumbusho wako hautosahauliwa Yaa Rabbi apokewe na malaika wema
Amiin
Ameen
Amin
Amiin😭
Salama Khamis la va
Apumzike salama shekhe wetu.Mashaallah mazishi yake yana nuru mashaallah ❤😭😭
Innalillah wainna ilahi rajiuni mbele yke nyuma yetu shekhe wetu wallah nimeumia 😭😭😭😭😭😭
Inna lilahi waina illahi rajiun...lnsha Allah Rest In Peace al marhum sheikh nyundo Ameen yarab
Innallih wainailah rajiun 😭
😭😭😭😭😭😭😭😭
Rip sheikh nyundo tutamis Sana darsa zako mwenyezimungu alijaalie nuru kaburi lako akujaalie firdaus
Ameen
Inna LILLAHI WAINNAA ILAIHI rajiuun
Innalilah wa innalilah raajun
Mungu akupe kauli thabiti mbele yako nyuma yetu
Mungu akupe kauli thabit shekh wetu.....hakika tutakukumbuka daima kwa mawaidha yko mazr kutufanya ss tuwe karibu n Muumba wetu...
Innalilah wainnalilah rajuun
Innalillahi wainnailleihi rajiuun. Mungu amrehemu mja wake inshallah. Amtunuku Jannatul firdowsa kwa matendo yake mema aliyofanya.
Aminii
Innalillah wainailaih rajiun yarabbi mrehemu kiumbe chako na marehemu wote waliokwisha tangulia mbele yako uwasamehe MADHAMBI yao yote nasi khatima yetu ukitufika utujalie mwisho mwema duniani na Akhera pole sana ndugu wife wafiwa ALLAH awape subra na uvumilivu kwa huu mtihani mkubwa sana kwetu sote na hii ni njia yetu sote .
Anatukana anatukana haya ndo uyo mungu ashamchukua ashafanya wajibu wake ashajiondokea sasa ss jee midomo mirefu kukosoa kila kitu tumefanya nn kikubwa kwa ajili ya allah?
Allah ailaze roho ya marehemu kipenzi chetu mkubwa kwa mdogo wote tulikupenda shekhe nyundo leo umetuacha wapekwe Allah ajalie safari yako iwe ya khery kila ramadhani unakua unatoa mawaidha kwa kina mama ya Allah msamehe Mja wako na sisi utujalie tuongoke 🙏🏻🙏🏻🙏🏻daima utakua nyoyoni mwa watu
Killa nafs itaonja umaut yeye katangulia nasi tupo nyuma yake, mazur yake tuliyaona kwa macho yetu nasi tunatakiwa tufuate harakati alizokuwa akizifanya shekhe wetu nasi tulinganie dini ya Mungu kama alinyolingania shekhe wetu, mungu amlaze mahali pema peponi aamin aamin
Ameen