MWANDISHI MKONGWE ZANZIBAR AIBUA YALIYOSAHAULIKA (SEMA NASI)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

КОМЕНТАРІ • 55

  • @laylayahya24
    @laylayahya24 3 місяці тому

    Shukran sana wallah. Uzuri kuyajua hayo wallah uchungu sana utanaduni wetu unakufa. Shukran saha mzee wetu na alfatah TV kwa kutuletea wazee wetu hawa na kutupa history yetu .

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb 6 місяців тому +2

    Shukraan saana kwa kuendelea kutuelimisha ❤

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 6 місяців тому +2

    Mashallah tabaraqah.
    Elimu pana sana tunapata awe nakipindi chake hapo maalum

  • @NassibMbuguni-n1d
    @NassibMbuguni-n1d 6 місяців тому

    Mimi namkubali mwandishi nguli Salim jinsi anavyoelezea mambo hongera Al Fatah ALLAH awalipe

  • @paulsajik
    @paulsajik 6 місяців тому

    Wallahi MaashaAllah amenikumbusha mbali Sana kwani hakika michezo hiyo tulicheza Enzi zetu tujitahid wazanzibar kuenzi asili zetu na kutunza tamaduni zetu

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 6 місяців тому

    Nilicheza michezo hiyo yote mashaa Allah umenikumbusha mbali mzee

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 6 місяців тому

    Historia nzuri sana

  • @vuaivuai9005
    @vuaivuai9005 6 місяців тому

    Aslama alekum huyo Mzee kwa kweli kanifurahisha sana kwa kuichambua historical ya ZANZIBAR na mitaa yake

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 6 місяців тому

    Shekh Salum ,,ujue kama kwa maisha yetu ya leo uongozi sio dhamana bali wengi tunaamini ,,ni fursa ya kiuchumi,,ukiupata uongozi ,,ndio umepata fursa ya kujikomboa wewe mwenyewe kiuchumi

  • @aishamohamed5033
    @aishamohamed5033 5 місяців тому

    Hm mashallah. Tukicheza maji ya mdimu. Bado tunaukumbuka. Na hiyo pia njuguni rembwe. Kwa kweli. Umetukumbusha mbali

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 6 місяців тому

    Shukran kwa kipindi hichi kinatukumbusha mbali

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 6 місяців тому

    Kumbe mimi nimepata maadili mazuri Alhamdulillah

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa 6 місяців тому

    Aslam alikum apo shekh rashid nakupa mauwa yako wallah

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni 6 місяців тому

    Nimekuelewa mzee

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol 12 днів тому

    Na mimi niliwahi kuucheza majani ya mdimu sio maji ya mdimu babu salim hilal mct oman

  • @abdullkhamis5406
    @abdullkhamis5406 6 місяців тому +1

    “Tuchimbue Hazina Iliyopotea” ❤

    • @jarsjam8894
      @jarsjam8894 6 місяців тому

      Naukumbuka mwembe wa sixfour hapo palikua na nyumba yetu

  • @fatmam1997
    @fatmam1997 6 місяців тому

    Mashaallah❤

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 6 місяців тому +2

    Nage ❤ Mkamasini jamani….michezo minyi sana ilikuwa Zanzibar. Ukumbusho mkubwa Leo.

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 6 місяців тому +2

      @@awatifalghanim1106 katika mchezo nilioufaidi basi nage 😅 mana mwisho tulikua tunashindana sisi wa Mwembetanga na Vikokotoni au michenzani hadi raha honi ikilia ndani laa unaendelea utakuja kushtukia fimbo 😂

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 6 місяців тому

      @@nailamohd-wn6sb Kkkk kweli 😂😂😂🤝

    • @salyali7807
      @salyali7807 6 місяців тому

      ​@@nailamohd-wn6sbyamenikuta hayo nilitumwa nikanunue makaa nikajisahau kwenye nage ... nilishtukia mikwaju tu 😅

  • @fatmam1997
    @fatmam1997 6 місяців тому +1

    Babu kasema kweli wazenji hatuishi kuiga

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 6 місяців тому +3

    KISHADA ARIJOJO
    NA
    ZANZIBAR ARIJOJO

  • @alibulushi-d9j
    @alibulushi-d9j 5 місяців тому

    Al fatah basi mukimualika mtu ekeni maji hapo

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 6 місяців тому

    Zamani watu wanajali sana katika kitika kila nyumba kuna kuana uwanja katikati kwa ajili ya kulea watoto na kucheza michezo mbali mbali na wazee wakituangalia ukifanya kosa unagombwa na mzazi yeyote ilikua raha sana na uwanja ikitokea shughuli yoyote iwe msiba au harusi watu wote hujumuika kwa ushirikiano wote

  • @LovelyBubbleTea-vz4ol
    @LovelyBubbleTea-vz4ol 12 днів тому

    Sk SALUM SAID SALUM NAKUKUMBUKA TOKEA ULIPO SAUTI YA UNGUJA.

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 6 місяців тому +1

    Hii kibibi nipe maji, imenikumbusha mbali sana. Kweli ni kipima imani ya mtoto 😅😅😅😂😂😂

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 6 місяців тому

    Shekh salim said salim,umezungumza mambo mzr,kijuki penya penya,majani ya mdimu saga saga,njugu nilembwe,kweli mambo yameenda arijojo hata hio Zanzibar ipo arijojo,

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 6 місяців тому

    "MTU JINA LAKE HALIJUI." 😢😭

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 6 місяців тому

    Sawaaa😅😅😂😂😂

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha4173 6 місяців тому +1

    Hiyo ni mipango malum iliotengenezwa

  • @abdullkhamis5406
    @abdullkhamis5406 6 місяців тому

    Yaani Maalim Rashid mchezo hii ni safi sana pamoja na maji ya mdimu mdimu.😂.

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 6 місяців тому

    WANYASA WENYEJI NCHI HII. NA NDIO WATAWALA HAPA ZANZIBAR. WAZIRI MKUU WA KWANZA NI MNDENGEREKO. NA RAIS WA KWANZA WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR NI MNYASA ASILIA

  • @ummuhammad7571
    @ummuhammad7571 6 місяців тому

    Inasikitisha kwakweli

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 6 місяців тому

    Kinyuki kipenya ilikua raha sana

  • @kassimjuma6151
    @kassimjuma6151 6 місяців тому

    Tunaomba huyu mzee aletwe tena atuelezee historia ya mapinduzi.

    • @saidhamad7504
      @saidhamad7504 6 місяців тому

      Haijui atatupakia tu

    • @kassimjuma6151
      @kassimjuma6151 6 місяців тому

      @@saidhamad7504 wewe unaeijuwa nipatie namba yako nikufuate ili nijifunze

  • @juhudiyaislamiya2660
    @juhudiyaislamiya2660 6 місяців тому +1

    Vitu hivi vya asili sio rahisi kuvipata mpaka kwa wazee wa busara kama hawa

  • @ummuhammad7571
    @ummuhammad7571 6 місяців тому

    😭

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 6 місяців тому

    AFAFANUE VIZURI ANAPOSEMA WAZANZIBAR SIO WAZANZIBAR HAWA WALIOJIPACHIKA. NANI MZANZIBAR NA NANI ALIYEJIPACHIKA.

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 6 місяців тому

    ZANZIBAR IN HISTORY
    "Zanzibar has too much history in Africa after Egypt but has little geography."

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 6 місяців тому

    Viwanja walokuwa watoto wakicheza Mitaani sasa kila mtu kazidisha nyumba yake kumekuwa hata hakuna hivyo viwanja.

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 6 місяців тому

    Hio michezo sie wa rika la 80s ndio kizazi cha mwisho kuicheza na tmpaka miaka ya early 90s ipo inachezwa imeanza kupotea kuanzia late 90s hivyo kuanzia vizazi vya 2000 kwao wao hayo ni hadithi tu.

  • @MassoudMaghwaly-jo8sh
    @MassoudMaghwaly-jo8sh 6 місяців тому

    Tamaduni za nchi husimamiwa vyema na serekali zao, kilichopo nikwetu ni kutengeza mawizara na vyeo kula pesa walipa kodi , hawaja kazi wanayo ifanya.
    Na jamii nayo imeshindwa kushindikiza serekali yao kwenye hayo..

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 6 місяців тому +1

      Kweli maneno yko

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa 6 місяців тому

      Kabisa mjomba

    • @Yussuf-b3b
      @Yussuf-b3b 6 місяців тому

      KWA SASA ZANZIBAR INAKWENDA ARIJOJO,HAKUNA KITAKACHO BAKI KATIKA UTAMADUNI WA ZANZIBAR,FIKIRIA HICHI KISIWA NI KIDOGO SANA HAKINA UDHIBITI ANAETOKA NA KUINGIA NCHINI WATU KUTOKA BARA WAMESHSKUWA WENGI NA KARIBU WATATUZIDI ,,HII NI HATARI SANA ,VITAMBULISHO VYETU WAZANZIBARI WANAPEWA WAO NA WAZANZIBARI WANAKOSESHWA ,,TAIFA LA ZANZIBAR LINAONDOKA NA WANALICHUKUWA WATANGANYIKA KWA UBWETE NA UTAMADUNI UKO ARIJOJO

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 6 місяців тому

    Ndugu mtangazaji una umri gani hata mchezo wa maji ya mdimu uwe hukuusikia au ulikuja bada ya kumaliza darasa la 7 upande wa pili? Dont take it personal ni maoni tu na kufurahishana.

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb 6 місяців тому +1

    Nyie wandishi wa khabar ndio mjifunze khasaa mana kiswahili chenu pia sio kizuri umesikia hapo katamka shamba nyie mnasema kijiji utasikia nipo hapa kijiji cha Nungwi sie tunasema tuu Shamba Nungwi kwahio jirekebisheni na changamoto iondoweni tena turudi kwenye asli museme matatizo

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 6 місяців тому

      Kijiji na hiyo changamoto vichekesho khassa 😂

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 6 місяців тому

      @@awatifalghanim1106 vichekesho voo kiswahili chetu kizurii kisafii lkn wao wanaiga km alivosema hapo wazanzibar wazur kwa kuiga 😅

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 6 місяців тому

    HANA JIPYA. TUNAMJUA VILIVYO