MWANDISHI MKONGWE ZANZIBAR AIBUA YALIYOSAHAULIKA (SEMA NASI)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 52

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 2 місяці тому +2

    Mashallah tabaraqah.
    Elimu pana sana tunapata awe nakipindi chake hapo maalum

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb 2 місяці тому +2

    Shukraan saana kwa kuendelea kutuelimisha ❤

  • @paulsajik
    @paulsajik 2 місяці тому

    Wallahi MaashaAllah amenikumbusha mbali Sana kwani hakika michezo hiyo tulicheza Enzi zetu tujitahid wazanzibar kuenzi asili zetu na kutunza tamaduni zetu

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 2 місяці тому

    Shekh Salum ,,ujue kama kwa maisha yetu ya leo uongozi sio dhamana bali wengi tunaamini ,,ni fursa ya kiuchumi,,ukiupata uongozi ,,ndio umepata fursa ya kujikomboa wewe mwenyewe kiuchumi

  • @NassibMbuguni-n1d
    @NassibMbuguni-n1d 2 місяці тому

    Mimi namkubali mwandishi nguli Salim jinsi anavyoelezea mambo hongera Al Fatah ALLAH awalipe

  • @aishamohamed5033
    @aishamohamed5033 2 місяці тому

    Hm mashallah. Tukicheza maji ya mdimu. Bado tunaukumbuka. Na hiyo pia njuguni rembwe. Kwa kweli. Umetukumbusha mbali

  • @vuaivuai9005
    @vuaivuai9005 2 місяці тому

    Aslama alekum huyo Mzee kwa kweli kanifurahisha sana kwa kuichambua historical ya ZANZIBAR na mitaa yake

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 2 місяці тому

    Nilicheza michezo hiyo yote mashaa Allah umenikumbusha mbali mzee

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 2 місяці тому

    Shukran kwa kipindi hichi kinatukumbusha mbali

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa 2 місяці тому

    Aslam alikum apo shekh rashid nakupa mauwa yako wallah

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 місяці тому +2

    Nage ❤ Mkamasini jamani….michezo minyi sana ilikuwa Zanzibar. Ukumbusho mkubwa Leo.

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 2 місяці тому +2

      @@awatifalghanim1106 katika mchezo nilioufaidi basi nage 😅 mana mwisho tulikua tunashindana sisi wa Mwembetanga na Vikokotoni au michenzani hadi raha honi ikilia ndani laa unaendelea utakuja kushtukia fimbo 😂

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 місяці тому

      @@nailamohd-wn6sb Kkkk kweli 😂😂😂🤝

    • @salyali7807
      @salyali7807 2 місяці тому

      ​@@nailamohd-wn6sbyamenikuta hayo nilitumwa nikanunue makaa nikajisahau kwenye nage ... nilishtukia mikwaju tu 😅

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 2 місяці тому

    Historia nzuri sana

  • @abdullkhamis5406
    @abdullkhamis5406 2 місяці тому +1

    “Tuchimbue Hazina Iliyopotea” ❤

    • @jarsjam8894
      @jarsjam8894 2 місяці тому

      Naukumbuka mwembe wa sixfour hapo palikua na nyumba yetu

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 2 місяці тому

    Kumbe mimi nimepata maadili mazuri Alhamdulillah

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 2 місяці тому +3

    KISHADA ARIJOJO
    NA
    ZANZIBAR ARIJOJO

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni 2 місяці тому

    Nimekuelewa mzee

  • @alibulushi-d9j
    @alibulushi-d9j Місяць тому

    Al fatah basi mukimualika mtu ekeni maji hapo

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 2 місяці тому

    Shekh salim said salim,umezungumza mambo mzr,kijuki penya penya,majani ya mdimu saga saga,njugu nilembwe,kweli mambo yameenda arijojo hata hio Zanzibar ipo arijojo,

  • @fatmam1997
    @fatmam1997 2 місяці тому

    Mashaallah❤

  • @fatmam1997
    @fatmam1997 2 місяці тому +1

    Babu kasema kweli wazenji hatuishi kuiga

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 2 місяці тому +1

    Hii kibibi nipe maji, imenikumbusha mbali sana. Kweli ni kipima imani ya mtoto 😅😅😅😂😂😂

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 2 місяці тому

    Zamani watu wanajali sana katika kitika kila nyumba kuna kuana uwanja katikati kwa ajili ya kulea watoto na kucheza michezo mbali mbali na wazee wakituangalia ukifanya kosa unagombwa na mzazi yeyote ilikua raha sana na uwanja ikitokea shughuli yoyote iwe msiba au harusi watu wote hujumuika kwa ushirikiano wote

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha4173 2 місяці тому +1

    Hiyo ni mipango malum iliotengenezwa

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 2 місяці тому

    ZANZIBAR IN HISTORY
    "Zanzibar has too much history in Africa after Egypt but has little geography."

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 2 місяці тому

    WANYASA WENYEJI NCHI HII. NA NDIO WATAWALA HAPA ZANZIBAR. WAZIRI MKUU WA KWANZA NI MNDENGEREKO. NA RAIS WA KWANZA WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR NI MNYASA ASILIA

  • @abdullkhamis5406
    @abdullkhamis5406 2 місяці тому

    Yaani Maalim Rashid mchezo hii ni safi sana pamoja na maji ya mdimu mdimu.😂.

  • @juhudiyaislamiya2660
    @juhudiyaislamiya2660 2 місяці тому +1

    Vitu hivi vya asili sio rahisi kuvipata mpaka kwa wazee wa busara kama hawa

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 2 місяці тому

    "MTU JINA LAKE HALIJUI." 😢😭

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 2 місяці тому

    Hio michezo sie wa rika la 80s ndio kizazi cha mwisho kuicheza na tmpaka miaka ya early 90s ipo inachezwa imeanza kupotea kuanzia late 90s hivyo kuanzia vizazi vya 2000 kwao wao hayo ni hadithi tu.

  • @ummuhammad7571
    @ummuhammad7571 2 місяці тому

    Inasikitisha kwakweli

  • @SwahiliSister-o5v
    @SwahiliSister-o5v 2 місяці тому

    Kinyuki kipenya ilikua raha sana

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 2 місяці тому

    Sawaaa😅😅😂😂😂

  • @kassimjuma6151
    @kassimjuma6151 2 місяці тому

    Tunaomba huyu mzee aletwe tena atuelezee historia ya mapinduzi.

    • @saidhamad7504
      @saidhamad7504 2 місяці тому

      Haijui atatupakia tu

    • @kassimjuma6151
      @kassimjuma6151 2 місяці тому

      @@saidhamad7504 wewe unaeijuwa nipatie namba yako nikufuate ili nijifunze

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 2 місяці тому

    AFAFANUE VIZURI ANAPOSEMA WAZANZIBAR SIO WAZANZIBAR HAWA WALIOJIPACHIKA. NANI MZANZIBAR NA NANI ALIYEJIPACHIKA.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 місяці тому

    Viwanja walokuwa watoto wakicheza Mitaani sasa kila mtu kazidisha nyumba yake kumekuwa hata hakuna hivyo viwanja.

  • @ummuhammad7571
    @ummuhammad7571 2 місяці тому

    😭

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 2 місяці тому

    Ndugu mtangazaji una umri gani hata mchezo wa maji ya mdimu uwe hukuusikia au ulikuja bada ya kumaliza darasa la 7 upande wa pili? Dont take it personal ni maoni tu na kufurahishana.

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 2 місяці тому

    HANA JIPYA. TUNAMJUA VILIVYO

  • @MassoudMaghwaly-jo8sh
    @MassoudMaghwaly-jo8sh 2 місяці тому

    Tamaduni za nchi husimamiwa vyema na serekali zao, kilichopo nikwetu ni kutengeza mawizara na vyeo kula pesa walipa kodi , hawaja kazi wanayo ifanya.
    Na jamii nayo imeshindwa kushindikiza serekali yao kwenye hayo..

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 2 місяці тому +1

      Kweli maneno yko

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa 2 місяці тому

      Kabisa mjomba

    • @Yussuf-b3b
      @Yussuf-b3b 2 місяці тому

      KWA SASA ZANZIBAR INAKWENDA ARIJOJO,HAKUNA KITAKACHO BAKI KATIKA UTAMADUNI WA ZANZIBAR,FIKIRIA HICHI KISIWA NI KIDOGO SANA HAKINA UDHIBITI ANAETOKA NA KUINGIA NCHINI WATU KUTOKA BARA WAMESHSKUWA WENGI NA KARIBU WATATUZIDI ,,HII NI HATARI SANA ,VITAMBULISHO VYETU WAZANZIBARI WANAPEWA WAO NA WAZANZIBARI WANAKOSESHWA ,,TAIFA LA ZANZIBAR LINAONDOKA NA WANALICHUKUWA WATANGANYIKA KWA UBWETE NA UTAMADUNI UKO ARIJOJO

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb 2 місяці тому +1

    Nyie wandishi wa khabar ndio mjifunze khasaa mana kiswahili chenu pia sio kizuri umesikia hapo katamka shamba nyie mnasema kijiji utasikia nipo hapa kijiji cha Nungwi sie tunasema tuu Shamba Nungwi kwahio jirekebisheni na changamoto iondoweni tena turudi kwenye asli museme matatizo

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 місяці тому

      Kijiji na hiyo changamoto vichekesho khassa 😂

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 2 місяці тому

      @@awatifalghanim1106 vichekesho voo kiswahili chetu kizurii kisafii lkn wao wanaiga km alivosema hapo wazanzibar wazur kwa kuiga 😅