HUYU NDIYE MAMA ALYEFIKWA NA MTIHANI MZITO PEMBA
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Allah Mkubwa. Vuta subira ndugu yangu. Baada ya dhiki faraja. Mtihani huu ulonao ni njia ya kwendea peponi pindi ukiukubali.
Tupo pamoja. Tunamuomba Allah
ampe shifaa kitoto chetu. Na Allah amlaze pahali pema peponi baba yake. Amiin
Imenigusa sana. Tupo pamoja.
YA ALLAH..mjaalie mja wako apate wahisani ili apelekwe hossy,na umpe shifaa ya haraka ln sha Allah
Mungu atakufanyia wepesi inshallah kwa uwezo wake Allah na mtoto atapata matibabu atapona kwakweli mm pia nimetowa😭😭😭yarabih msahalishie mitihani huu🙏🙏🙏
😢😢😢 subhanallah Allah amfanyie wepes na amponeshe uyu mtoto aamin
Imenigusa sana inauma imeniliza sana😢mama zetu, wazazi wetu wanapitia magumu wallah 😢
Pole sana mama.mungu akupe subra kwan ni mitihani ya dunia tu.hilo litapita tu.tuzidi kumuombea.
Dahhh Wallah inasikitisha sana Allah Amponeshe 😭😭😭Wallah tuna wenzetu wanaish maisha ya dhiki tusijisahau.
Pole kipenz,,Allah yu pamoja nawe ,,Allah hampi mtihani mja wake ila humpima imani tu.
Yaa allah tunakuomba mpe shifaa mja wako aminn .....
Pole sana mam etu kuwa na subra
SubhanaAllah 😢😢Allah tujaalie uzima na wagonjwa wape shifaaa yaaa rabby hadi huruma😢😢naumia😭😭😭
Pole sana mama kwel unapitiq magumu mungu akufungulie wepesi inshallah ❤❤
Yarabi yaa llah yaa Aziz Tunakuomba yarabi umjalie huyo mama namtotowake umpeshufaa mtotowake tukumba utufanyie wepesi duniani na Akhera Amen
Pole sana mama kwa uwezo wa Allah atakusadiya na kukufanyiya wepesi kubwa usisahau na kumcha Allah kwawingi
Ustadh Rashid Salim mimi ndugu yako naitwa Abdallah T.Handhal, nna vitu nataka nikushauri lakini wewe na sio hapa hadharani hivyo nakuomba unisaidie namna ya kuweza kuwasiliana na wewe.
Jazakallahu khaira wabaarakallahu fiik.
Tumia namba hapo kwa screen yaonyesha utampata namba ya tv
Subhna llah ana uvimbe mbaya huyu mtt ALLAH MKUBWA NA HAKUNA ASILO WEZA ATAPONA KWA UWEZO WA ALLAH ILA KINA MAMA TUWAPELEKE SPITAL TUSIKAE NAE NYUMBANI MTT MPAKA ANAFIKIA HIVI MWEZI HAJAPATA CHOO SUBHANA LLAH .ALLAH ATAMJALIA SHIFAA BIDHII LLAH
Waisilam tusionauwe wapesa towapeduat
Allah akufanyie wepesi mama yetu na akuzidishie subra na ampe shifaa mtoto
Ameen Yarab
Ameen yaraby
Allah ni mkalimu na mpole hakika sisi kwake si kitu yapo ya kujifunza kupitia mtihani wa uyo mama ni mzito Allah amfanyie wepesi pia tunamuombea shifaaa
Subhanallah wallah Kam haujafa haujaumbika Allah atujaalie kheri na afya njema na tuwe ni wenye kusaidiana.
subhanallah nimeangalia hii vidio wakati nakula daku wallah imenishindaa
Subhanallah Allah akupe subra mama yangu
Allahu akbar allahu akbar.
Subhana allah.mola akupe subra zaidi. Kuzingatiya kuwa kula mwenye mtihani ajuwe kuna mwenzake zaidi yake.
ALLAH akujaze subra mama..kwa uwezo wa ALLAH utapata msaada
Allah (SW) akuvue na huu mtihani mzito ndugu yangu.Pia akujaalie subra ,Aamiin
Hili si la maneno ni la vitendo na niletu sote Mola atuwezeshe amin
Allah ampe Subra, Mafanyie wepesi.......
*Hayaa munaojijta mafalafii Nafasi hiyo ya kushindana ktk mema*
Nasio kutukana na kuwaraddi wenzanu kwa kuwakashif.....
Mambo kama haya mulitakiwa kutuonesha mfano masalafiii.....
Naongea maneno haya kwakua Yananiuma kuaona Waislamu kuna mambo mengi ya kusaidiana bali imefika wakati tunatengana na kuongizana motoni bila sababu.
Allah anisamehe mimi, na waislmu wote kwa jumla. AMIN
😢😢😢😢 Mungu atakusaidi pole Sana nimelia nilivyo angalia na kumsikiliza uyu mam usikate tamaaa mungu Yuko pamoja na ww😢😢😢😢😢
Ya rabby mjalie mam na mtot wak wapete msad na ile ndio njia ya kwend peponi ishallah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲❤❤❤💚💚
Mm sina uwezo lakin dua zangu zitamsaidia mwenyez mungu atampa mwepesi mungu ndie mwenye hukumu subuhanawahu
اللهم اشفِ أبنائي من المرض واكتب لهم دوام الصحة والعافية.
اللهم إنّي أسألك أن تُعافي ولدي من المرض وترزقه الصحة والنشاط والعافية، وأن لا تريني به بأسًا يُبكيني يا الله.
اللهم إنّ أبنائي هم قطعة من روحي، فأسألك يا إلهي أن تشفيهم من الأمراض، وتصرف عنهم الأسقام، وتعافيهم من الآلام والأوجاع.
اللهم عافي أبنائي من جميع الأمراض وارزقهم أجسادًا قويةً نشيطة، واستعملهم في طاعتك وخدمة عبادك، وأسعدني برؤيتهم موفوري الصحة والعافية.
Allahuakbar Allah akustiri FIDDUNIA WAL-AKHERA
Subhanallah.allah ampe shifaa mgonjwa apone.allah akujaalie subira kubwa mam😭a uushinde mtihani.
Subuhanallah tunamuomba allah mtukufu akujalie subra mama na Allah atakulipa kheri zako yaraab 😢😢
Faswbir swabranjamiila, mama Allah atakufanyia lenye kheri nawe ishaa Allah
subhanallah.yaa allah tupe ktk mitihan unayotupa. pia hongeren alfatah hakika ni wema msaada mkubwa mloufanya.
pole mama angu mungu akupe nguvu na subla mtoto atapona kwani yote nimitihani yamwezi mungu inshallaa
Pole mma mungu akufanyie wipes Bada ziko faraja
Yah Allah pitisha wepesi kwa mama.huyu mpe nguvu mpe subra endlevu amiiiiiiiiiin
Allah ampe shifaa ameen yharab Allah akupe subra dada dua namuombea ❤❤❤
Ya Allah nakuomba mjaalie huyo mtoto apone kwa uwezo wako na kwa rehma zako, muondoshee hasad mjaalie afya njema mpe umri na maisha mjaalie awe mtoto mwema mchamungu wajaalie riski ya halali,Aamiin
Pole mama Mola ndie aletaye mtihani na yeye ndo yuaiondosha inshaAllah kwa uwezo wake ataiondosha Ameen
Allah atakufanyia wepesi. Atampa shifaa mwanao na Atakupa subra ya kumuuguza. Amin.
Yaaanllaah nakuomba ummponye huyu mtoto kwa uweza wako hapana muabudiwa wa haki ispkua wewe😢😢😢😢😢
Allah akujalie kila la kheri Allah akufanyie wepesi
Akutimizie haja zako
SUBHANALLAH ALLAH AMBARIK NA AMSAIDIE YAA ALLAH
Alhamdulilah allah ataampa shifaa
SubuhanAllh mngu ampone akuzdishie nguvu ya kuzdi kuvumiali
SubhanaAllah allah atampa kheri ya raab
Allaha akufanyie wepesi kwenye mtihani huo .
Allah atashusha rehma zake inshaallah
Mama inshaallah tuombe allah sote tuwehai inshaallah mtihani huo atakaa SAWA ...
Kwake Mwenyez Mungu hakuna kubwa
Inshallah mwenyez mungu ampe afya njema zaid na amuondolee mitihani mizito
Daaah! inauma wallah😂😂😂, pole sana mama yetu allah akufanyie wepesi,
Pole dada Mungu atakufanyia weps inshallah 🙏😭 kakkah Allah atasky kilio chko inshallah utakua n furah kwa uwezo wake🤲🏼
Pole mama angu😭😭😭😭allah atamuaf inshallah naona kama n mdogo wngu wa damu allah yafute machoz yake yawe n furaha amiin🤲
Allah amfanyie huyu bb wepesi na ampe subra ya Hali ya juu in shaa Allah😢😢😢
Pole mama duuh tunaumia sana na tumegushwa sana na sisi pia hku tunalia sana mama pole kaz yake mola kwa mungu hakuna kubwa huu ni mtihan mkubwa ila mungu yko pamoja na sas
Mungu akupe nguvu mamangu..Allah ndio kilakitu
Sibhanallah allah akupesubra mama kwenyekipindi hicokigim
SubhanallAh ❤ya Allah mfanyie wepesi apa ni dua nakuekeza chochote 😢❤
Masikini moyo wangu !
Ee Yarabi, ee yarabi, pitisha neema zako, na uwezo wako usio na mipaka, wala mwisho, uinusuru,familia hii.
Allah ampe shifaa na mama iwe sababu ya kuingia peponi. Allah ndie mueza
Mungu atanyosha mkono wake mtot atapona tu pole sana mzazi mwebzet
Yaa allah ukijiona ww unamitihan wezako wanayo zaidi yako subhanna llah, allah atakujalia kher inshaallah 😭😭😭😭😭😭
Subhanallah 😭😭😭😭😭Tahfif Yaa Rabby
Allah Aqbar Subhanallah Allah ampe shifaa mtoto huyu kwa rehma za Allah mama Allah akujaalie subra InshaaAllah,,,tunaomba kujua yupo pemba sehemu gani?
😭😭😭pole sana dada angu mungu akitie wepesi na amponye mtoto wetu
Ishallha Mungu atakufanyia wepesi mwanamke mwezangu
Pole sana dada hakika Mungu yupamoja nawe
Subhannallah Subhannallah 😢😢pole sanaaa ndg yangu Allah atakupa wepes
Kiukweli nimeumia moyo sana natamani Lau kidog changu nlichonacho hata ningekosa mama uyu akapata ila bas tu ....mungu humpa amtae na humnyima amtakae pia inshallah mama mshukur mwenyz mung Kwa kila kitu mungu akuongoze
Pole sana mama Mwenyezi Mungu Ata mponya inshallah
Naomba no za uyu mama na location
Allah akupe subra kwa hili inshallah
Subuhana llah mola amfanyie wepesi mtt huyo,pole sana mm Allah atakuondolea mtt hayo ameen
Aaww,Allah ni mwema,atapona inshaallah,namshauri mama yetu mama Samia,hela za magoli ambayo aliahidi kwa Yanga na Simba,apeleke Zanziba kwa huduma ya mgonjwa huyu,na sisi tujitahidi tutoe msaada.Allah tuongoze kwa hili.
Pole mama mungu atakusaidia ntoto atapona zidisha subla mama namuomba mungu
Daaaaah inaumaa Sana Viongoz wetu na matajir watuu hawa ndy watuu muafaka wa kusaidiwa
Hakika kwa kweli inauma sn
Majirani wako wapi wafadhili mko wapi😢😢😢mmeshindwa kusaidia huyu mama jamani majirani awaoni mbona wasaidizi wengi tu. Lakini mseme jamani inauma sana alhamdulillah
yaallah fanyamiujiza yako kwahuyu mtoto apone
Pole sana dada yangu Allah akufanyie wepesi kwenye mtihani unapitia Ameen
Mwenyezi Mungu akupe nguvu na kutokata tamaa na Mungu akuangalie kwa macho ya huruma😭😭😭😭😭
Subhaanallah,,,Allah Amjaalie namna ya ponyo ya haraka yaa Rabb😢,,,Ewe Allah Mfanyie wepesi huyu Mama na mwanae😢😢😢😢
Mungu atakupa wepesi inshallah nimeumia Sana wazazi tunapitia magumu mno emungu nyoosha mkono wako kwa huyu mama
Pole sana mama.m.mungu anakuona kuwa na subra 😭😭
Allah kareem atakufanyia miujiza yake aupe wepesi kila penye zito Allah raheem ..
Allahu Akbar Allah amfanyie wepesi wallah
Pole magumu unayo pitia Mungu anajisikia hata kuacha mazito yanazidiana
Jaman Nimelia😭😭😭😭😭😭😭pole Mama angu Allah akuzidishie subra😭🤲🤲🤲Akupe nguvu ya kumualisa mtoto Jaman Aangaliwe kwa jicho la huruma huyu mama😭😭😭Serekal Jaman muwe mnajipanga kwa masuala kama haya Yaan Mtu akishindwa kifedha ndo hahudumiwi jaman akaye nyumban afe😢Subhanallah bas muwe mnajitahid kama hali kama izo mnawatibia bure jaman Subhanallah 😭😭😭Mama ang pole sana Allah akufanyie wepes 😢🤲🤲🤲
Pole mama mungu yukonawe ishallah🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu Yuko pamoja nawe mama mungu atakufanyia wepesi
Mwenyezi mungu amjalie shifaa
Mungu amponyeshe huyu mtoto allahyuko nawewemama
😢😢😢 subhanallah pole Sana mama na mtoto mungu atamuwafu inshaallah
Mama mungu atakufuta machozi yako, mungu amekupa huu mtiahani ila ipo njia mungu atakufungulia daa nimeumia sana sana.
Allah mjaaloe wepesi mja wako huyu umuomdolee mtihani huu ya Rabby.
Inauma sana kwa kweli yarabii mpe subra mama yetu mjalie shifaa mdogo wetu
Allah akupe subra yaa rabbi
Pole sanaa Mungu akupe wepesi
Aliyemfanyia huyu mtoto uchawi Mungu atamuadhibu mara elfu mpelekeni kwa kiboko ya wachawi atolewe kizingiti pole mtoto utapona kwa nguvu ya Mungu
Subhanallah maskn pole sana
Pole sana mama mungu ampe wepesi
😭😭😭😭😭 YA ALLAH tunakuomba waja wako mpe shifaa mja wako 🤲🤲🤲🤲
Amiin ya Allah
Amin yarab