MSIGWA: "Simpongezi MAGUFULI, Serikali Haina Adabu, Pesa Hakuna"
Вставка
- Опубліковано 3 жов 2024
- MSIGWA: "Simpongezi MAGUFULI, Serikali Haina Adabu, Pesa Hakuna"
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Trustness is highly needed...
Msigwa, You deserves.... Rise the voice for Tanzanians
Weledi wako uko juu sana kwa alie tafsiri vizur maongezi yako atajua unataka tanzania isonge mbele
Safiiiiii sana jamani msigwa mbunge wangu wa Iringa mjini
Mbunge uko vizuri Msigwa ...
Tujuanee tuliokuja March 2021
Mungu akutie nguvu ni kweli kabisa.sisi tunawaona wabunge wa sisi em kila kitu ndioo hata kama siyo.Mungu atawahukumu kwa sababu hawakusimama katika nafasi yao ya kushauri serikali amina
Great....msigwa. Yupo vzr sana msigwa. Congrats
Duh
I love this biiig one love Africa hasa East Africa community 😘😘🙏🙏🙏
Mh!" Mweshimiwa Umetisha hii konk
Warning to all Tanzanian I'm not from Tanzania lakini nawaambiyeni iliyo kweli muacheni magufuli atengeneze future za wajukuu na zawajukuruza wenu mlizoweya kula 6 times a day wajukuruza wena mtawaachia Nini, I agree with magufuli kwaku walisha mlo mmoja kwa siku ili wajukuruza wenu wapate kula mlo 10 times a day build future magufuli💪.
Ww una akili lakini??? Una waza wajukuu ufe wewe...kila mtu apambane na haliyake
Nampenda sana Msigwa ni smart mind! Taifa linahitaji watu Kama hawa
Yn awa wati kutokuwpo bungeni yaniii
@@rashdiyange7758 tunakosa mengi
Mungu akurinde mueshimiwa
Huyu Msigwa mmoja ni wabunge 100 Wa ccm kudadeki,keep it up Mr MP
Mtawasema wapinzani sana lakini kesho mtawashangilia kwa wanayoyaibua nchini na ndio maana hasira za Serekali ya CCM na Magufuli wake zinaishia kuwateka, kuwapiga, kuwafunga, kuwanyanganya majimbo kwa nguvu, kuwafilisi na kuwapiga risasi. Kama sio speed ya Magufuli kuwafanyia Watanzania wenzake vitimbwi na kuwaaminisha Watanzania walio na elimu duni kuwa anaijenga Tanzania upya wangemtia aibu sana. Anavyofanya ni vizuri kwani anatumia kodi za Watanzania waliopo CCM, ACT, CHADEMA, CUF, TLP, NCCR, CHAUMA na vyama vingine vya Siasa, lakini je Watanzania wanajua ni kodi ngapi zinaibiwa. Kama Hazina ameweka ndugu zake mtajua saa ngapi ni fedha kiasi gani zinapotea. Ameweka ndugu zake takribani kwenye maeneo yote zinakoingia fedha katika nchi hii. TRA, Bandarini, Mipakani, Air Tanzania, Tanapa, Ngorongoro, na kila mahali penye uzalishaji fedha. Siri za huyu Magufuli wanazo wapinzani lakini wamefungwa midomo wasiseme subirini kipindi cha Kampeni za mwaka 2020 ndio mtajua mengi. Huyu Kabudi ndiye anatayarishwa na Magufuli kuwa Rais mwaka 2025 lakini Watanzania kuyajua haya kwa akili zetu finyu itachukua muda. Hata wana CCM hawalijui hili na ni makubaliano yaliyofanyikia Ikulu ili amlinde na mali zake. Huyu ndie atakuwa Dikiteta kuliko huyu Dikiteta Uchwara tulie naye.
Nakubali msigwa
Keep it up.
Kweli mchungaji umenikuna sana kazi hiyo tutaixoma kweli hapa
Daaaah asee mm kwa upande Wang jamaa uyu kanikunaaa huù uchumi ndo ninaojua mimi
Sana
Nakubariiiiiiiiiiiiii msigwa
Ur right bro really appreciate u
Hongera sana Dady yafichue
Kwenye hili Mzee uliongea point kubwa sana💪💪👏👏👏
Poa kaka msigwa nakupenda upovizuri
Allways the truth will set freely
safi sana msingwa
Safi sana msigwa
Kayungi Kevin
Nakupa bigap san
Yes huo ndo ukweli maana sio kijijin wala mjini hali ni ngumu kila sehemu watu wanaona bora jakaya kuliko utawala huuu mtu anazdi kukandamiza nchi tu kama unamkubali jakaya pita like hapa
Namkubali can kikwete
nchi imependeza sasa ni Mali halali tu:::mliozoea wizi mnalia kweli..
Spika amefeli spika unfit suspension.
baromond Peter yyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
Ndo il
nakubari baba we sema tuu mzee
KWELI TUSIWE WANAFIKI MAISHA NI.MAGUMU SANA TOKA UTAWALA WA MAGUFULI UANZE
Huyu jamaa yuko sawa lakn kwapahala ambapo nchi yetu ilikua imefika kwakweli kwa njia hii ya separation of power nadhani alihitajika mtu kama huyu... Kwa kipindi kama hiki... Kosa kubwa ambalo serikali inafnya ama chama cha CCM kinafnya hasa kwa kupitia vibaraka wake wanakandamiza mfumo wa vyama vingi na kuua kabisa uhuru wa kuchagua... ... Lakn nadhan kila kitu kina hasara na faida... ....
ur good msigwa economic iz sick
Apo yupo sawa kabisa kinachoongelewa kinawaumiza watanzania wasio faamu mambo haya
Nikwer
Iyo kweli kbs, waaelimishe maana ni wengi awajuwi
Hasante sana mheshimiwa
kwaiyo unataka rais. agawe hela utakoma
Msigwa nihatali sana ukitulia na kumsikiliza utamuelewa tu.
Huenda washauri wake wanaogopa kumshauri Mheshimiwa hivyo wanaona bora wakubali tuu japo wachumi wanaelewa taifa linaporomokea korongoni.
Sisi maendeleo tunayaona hatutaki maneno unataka watu wapewe hela barabarani
Wangap wameelewa kwamba serikari ya ccm mizigo aka wajumbe ndio,ila serikar ya chadema ndio inafanya serikar iliyo madarakani kuwa sawa na maendeleo ya wananch? Namkubari saana Msigwa
Hahahahahaha nakubali mkuu mtt akisikia nja usimwambie jana nimekupa chakula
Uongozi n kaz kukupa urais Kwa kwelii msigwaaa wanichinjee kwendraaaaaaa
Hawa ndio walikuwa wabunge waliopita kihalali tutamiss Sana,,🙏🙏🇹🇿
sasa hv tuna babu tale
@@erickngatunga2359 🤣🤣🤣
@@erickngatunga2359 😂😂😂hahahah
Asiyefanya kazi na asile, Kula jasho lako, Kula halali yako, njia za panya, hazipo Tena,
Well presented speech.
Big up bro.
Bidii ya kuongea tu hakuna points, huwezi ukapongeza nyumbani kwako ukitoka huko unalalama. Mnakwama wapinzani mnaonesha hakuna msimamo
Hongera msigwa sema wala usiogope maisha yako wapi mazuri ya awamu 5?
Minafikiri wachungaji wanaakili sana , na pia kuna watu wako huko halafu hawaelewi ,
Tatizo kilamtu anataka kilaakifanyacho yeye ndiosawa nitatizo
Mwambeule
Uyu mpuuzi msigwa,,, tunaangalia vitu gani magu anafanya vya uchumi,,, viwanda miundo mbinu bora uchumi utapanda tuu,,, tunaangalia vitu vya maendeleo,,magu miaka mitano kaacha billion something ila uyo kikwete kaacha million 200 na hapo mnasema alifanya uchumi wake upo vzuri
Wawekezaji gani wanaopewa miladi hawatekelezi kwa wakati miladi miaka kumi sasa Acha watumbuliwe waludi makwao
Unajua kwnn awatekelezi kwa wakati?? Pia awalipwi kwa wakati usiropoke tu
@@agnesspetro6695 kabisa yaani
Time will tell
Msigwa yuko vizuri sana
Nice baba uchumia akuna mnapongezana nyoko
Kwakweli hali nimbaya Kwa wananchi sio utani, biashara haziendi watu wanafunga biashara kila leo, kwakukosa kodi, ukikaa Kidogo halimashauri hapo wanata kodi, Kidogo tra hao wanataka makadrio, Kidogo hao zimamoto wa nahitaji chao, Kidogo hao mwenye jengo kodi yake,bado kina makro2 kibao, jamani hebu wajaribu kumshauri angalau, tunaumia watu wa hali ya chini
Nani kamwelewa msigwa kama Mimi?wabunge wanaombwa na serikali ila wabunge WA CCM wana kalia ndiooo binge in baba selikali ni mtoto wanaacha hak yao msigwa waelimishe hats hivo mmojawao alisema wako mjengoni ajili yakupongeza wabunge WA CCM wajifunze kwa waupinzani nch iende mbele jaman wanakera msigwa unajitambua sana
Fransic Samson
Habali ya asubuhi
Anko magu oyeeeee vyama vya mpinzani hamna adab ila pia niwanafk kwa sababu mnajifanya mnamsigia Mzee jk na mlikua mnamuona mjinga had mkamwita mama Salma kikwetwe shemeji enu mm Kama mtz ngoja Anko atutie displin na muache kk
uwekezaji gani huo..watu walikuwa wanasomba madini wewe vipi..bora tuwe na mwekezaji hai mmoja kuliko 400 feki.
Fransic Samsonzori
uko vizuri wallah
Msigwa asichojua wapo wabunge wakuandaliwa sawa na kuteuliwa kiupendeleo wengne kichwani akunakitu msiwalaumu
Hahahaha kabra sija kusikiliza umeajia vitu vitatu hatari sana Mungu atasaidia Mh Msigwa
Kiu Kali saana!
Hakuna maji Ya kunywa..
naww ebu tuambie kati ya kikwet na magu ww uko wap mbon unatudanganya ww mbona wakati kikwete akiwa madarakan ulikua unampond na sasa amestafu unamuona anafaa nyinyi ndo mnasubili mtu afe ndo mtoe ponhez
Sema baba semaaa njaa baba tunaisoma namba si mchezo !
msigwa yako vizuri ila kuna watu wanaoshabikia na siyo utaratibu sikiza kinachoongelewa nd uchangie
Very fantastic speech
hongera msigwa
Hiyo ndio siasa bhana ya Tanganyika ukikuwepo utachukiwa ukiondoka utapendwa na kufagiliwa sana tu hahahahaha endeleeni kupiga hela bhana
Cjakuelewa bd unapayuka2
I like the ideas
Kusema sana siyo kuongoza, hapa kaz tu
unawatemea watu mate unaongea sana msigwa.magufuli waoooooo
Mwanaume na nunu! Who can bring this guy in the parliament of Kenya?
Hahahahahhaa
He is ridiculous...
Mwanaume na nusu....Tz kuna upinzani wa kweli....Kenya hakuna anayetaka kuwa upinzani...but Murkomen anajaribu🙏🙏🙏
Unacho kizungumuza ni sahihi kwasababu %100 sisi watanzania tuna myonyo za ubnafisi
Wewe mwehu kweli mshenzi wewe mchungaji gani huyu
Usimtaje Kikwete kwani mnatuchanganya ninyi wapinzani, maana mlikuwa mnambeza Kikwete vibaya sana sana na kumwita kila majina kama mtoto mdogo. Semeni ya sasa tu. Mtu aliyekufa siku zote anapewa sifa njema.
Wote ni nnzi wa kijani baba mmoja mama mmoja ...
asante ubarikiwe sana
Nitaendelea kuamini upinzani wa Wasomi, hawatuangushi katika kukosoa Serikali.
Nimewamisi awa miamba yani Risu msigwa mboe myika Eche sugu
sema baba ata wakikataa wananchi tumekuelewa,hata nssf tulioacha kazi kwenye makampuni tupo tunalia atulipwi
Asante baba nipasulie maana nchi sasa inako elekea siko watu masikini wanatoa michango kama wengine watu wananyang'anywa vitu vya ndani kisa mchango hakika bora utusaidie wananchi tunaangamia ☹️☹️☹️🤔
Kiukweli watu tuacche ushabiki cc tulioko mtaan ndo tunajua hali ilivo hata biashara haziendi nice msigwa
Waheshimiwa wabunge,tunaomba sana shikeni nafasi zenu na muwe na elimu ya siasa siyo kufuata maslahi ya vyama vyenu.Mpo bungeni kuwakilisha wananchi na wananchi ndo mnaowasemea.Hatukuwatuma kusifia serikali au vyama vyenu bali kutuwakilisha na kutusemea sisi tulio wengi huku.Mnapofika mahali ninyi mnasifia hata kwenye mambo yasiyo ya maana inakuwa hamwelewi maana ya uwakilishi wenu namnakosa elimu ya majukumu yenu kama bunge au itakuwa mnaogopa kutekeleza wajibu zenu.Jifunzeni kwa wenzenu mabunge ya commonwealth.
Safi sana msigwa inapendeza sana uwazi na ukweli saizi tusifiche mambo walio muelewa msigwa mikono juu
Mimi apa nimemuelewa sana msigwa yupo sahii kabisa
Wewe kama yeye hamjui lolote
Mambtt. CCC Gar ly thy
lyo idea ya msigwa ukijumlisha na akili ya JPM Tanzania inakua marekani kabisaaaaaaaa,,,,,,,,,,,,,,,,,mungu isaidie tanzania
Safi sana
Msigwa ww tunakujua nimnafiki ukiambiwa ulimsifua magufuli we kubali Kwani situlikusikia ukimsifu. Halafu hapo bungeni unakana. Unamkumbuka kinana ulivyo mtungia uongo huaminiki msigwa
Peter msigwa
Wewe Msigwa, hata usipompongeza Rais wetu Magufuli, hakuna kilichopungua!
Kwa mpiga dili hawezi kumpongeza Rais Magufuli.
Big up mh. Hali mbaya sana tunakula mlo mmoja tu
Hahaaa
Imeandikwa mwanaume kula kwa jasho koo ulitaka uletewe hela mpaka nyumbani kwako?ushauri wangu Fanya kazi acha majungu unattaka selikari ikufanyie nn ili uiamini?
Tafuta mwanaumw akununulie chakula
😀😀😁
Yeye msigwa mbona analipwa hela basi wapunguziwe wapewe mshahara mdogo watanzania tutumie akili hiyo ni siasa hata yy asingeweza
Asilimia Ya Wabunge Wengi Wa CCM Ni Wenye Degree4 Lakini Hawajui Kuzitumia Lakini Mbuge Mmoja Wa CHADEMA 1 Ni Wabunge 100 Wa CCM Hivi Nyie CCM Mnashindwa Kujiongeza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Acha hisia tumia akili
Salim tweyale,,unaendeshwa na hisia eeh😂😂😂
Maneno hayo ya msigwa yana ukweli kabisaa!
Msingwa umetisha baba
Hauna ukweli wowote wala point nikutaka kupotosha na kuvuruga mawazo ya watu
Nikweli kabisa bunge ndokilakitu
Watanzania msishangilie kila kitu Fedha anazotumia Magufuli hazijaidhinishwa na Bunge na ndio maana unaona anazimwaga tu hovyo na kila Mtanzania sasa hivi ajue uchumi wa Tanzania unasink sio mda mrefu. Wanaotoa taarifa hawajasoma. Kwa taarifa yenu tu hawa ndio wabunge wa CCM wanaolipwa mishahara mikubwa tofauti na Wabunge wenzao.
MAGUFULI AFILIE MBALI ANABAGUA WATU.
Ukija kuacha ubunge msigwa nitasikitika sana nan anakufikia uko juu sana aise
Siyo kila anae kupigia makofi anakupongeza hata mbu huwa tunampigia makofi 😀😀
kaongea point bhana labda we ni kiziwi
abdalah Yasin najua hujanielewa what I mean but nimemuunga mkono kwa hoja ya kumpongeza mh.akiwa irnga
Chaz usiulize serikali inatumia pesa bila kibali, serikali hiyi haipangiwi, ilichukua form yenyewe.
amesema kama vyuma vime kaza mufanyeje
😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Wapinzani ndio wanauwezo was kuiendesha nchi kielem sio wabunge vilazA,,,chadem oyeeeerreeee
Mh. Msigwa nime kuelewa sana 💯
Big up baba msingwa
Ninapo angalia clip kama Hizi za wapinzani huwa napata wakati mgumu Sana wa haya matokeo ya chaguzi ndogo kwamba ccm inashinda kwa asilimia 100 ? ,Mungu ibariki tanzania.
Nakukubali kamanda mungu akusimamie watu kama wwe ndo munaitajika katika nchi hii.
Yaani, mheshimiwa hawa watu wasipokuelewa hawaelewi tena.
👏👏👏msigwa upo sahihi
Sasa ivi akuna malupu lipu shidah amna kuiba Sasa ivi😂🤣🤣🤣🤣mmebwanwa kiukweli hampati ata kumi.
Hongera sana baba msigwa ningependa sana uje ugombe jimbo la kiteto ww ni jembe sana.
Maneno Yana ukweli kabisa
Ndio Baba mchane ukweli na wewe ndio mwanaume hapo ni sehemu ya kusema ukweli atapongezwa akiwa inje akaiwa ndani ni ukweli tu
Safi mno mh Msigwa
Uko vizuri,tatizo mararais wetu hawakuweza kukusanya kodi
Vizuri Sana msigwa umesema ukweli
Maisha bila unafki hayaendi mbona siku Ile ulivyokutana nae ana Kwa ana ulimpongeza? halafu ukija bungeni Una rap
Much brain
Maneno yako ni sahihi
Uchumi haupandiiii unashuka Msigwa kamwaga mboga ila maisha huku mtaani ni magumuuu !
Leo jakaya mliye mponda na kuwapata wafuasi wengi kwa udhaifu wake mmegeuka na kumsifia ebu muombe radhi jakaya
QaReeeeet
akika mungu yup jaman utake usitake ali ya t🇹🇿ni mbaya san jaman kam up p1 na mm ebu gonga like apo👇
Asante mtumishi wa bwana, barkiwa sana umeeleweka.
hata kwa JK hayo yalikuwapo....... VIVA JPM...... mbwa huwa kazi yao ni kubweka ila siyo kupambana na adui binadam....