MASWALI NA MAJIBU MAZITO KWA MASOUD KIPANYA KWENYE KASRI | ATAJA UTAJIRI WAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

КОМЕНТАРІ • 182

  • @benny4345
    @benny4345 11 днів тому +2

    Kipanya is an inspiration for may of us! I have looked up to him and it has been nothing but a benefit. Looking up to him, I will also achieve my dreams! Barikiwa sana Masoud Kipanya

  • @eliampagike6262
    @eliampagike6262 День тому +1

    Nimegundu uyu mtangazaji wa crown 👑 wa kiume ukiacha kikeke anamkubali sana KP

  • @salimngalambela8967
    @salimngalambela8967 День тому +2

    Hongera sana kaka....ww ni mtu wa mfano na njia sahihi ya kutafuta mafanikio

  • @anorldmarandu4725
    @anorldmarandu4725 5 днів тому +2

    Sichoki kukuskiliza brother kp very smart na tuamsha sana kama vijana.

  • @mechardrwiziletiba8538
    @mechardrwiziletiba8538 11 днів тому +2

    Tumejaliwa kupata Mtazania bora kabisa. Kipanya, hongera sana. Wewe ni dream achievers.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 10 днів тому +2

    Asanteni kwa kutuweka macho, kuchangia na kutupa habari na miundombinu ya Masoud, tumefarijika. Sisi sio wajinga ispokuwa tukubali kutokukubaliana, kuvumiliana na kukubali kukosolewa bila ya kujenga chuki au kisasi 🤝

  • @mellahcoffee
    @mellahcoffee 9 днів тому +3

    Kumbe diamond platinum ni kweli atakuja kuwa tajiri namba moja duniani🙏

  • @bensonmwakalindile8545
    @bensonmwakalindile8545 8 днів тому +3

    Nimejifunza kitu,kikeke is genius hao wengne waendelee kujifunza.kunatokea gap la interview akija mtu like kipanya,anawadominate had watazmaji tunakosa content.

  • @RamadhanMbwana-o1j
    @RamadhanMbwana-o1j 10 днів тому +2

    Big up Kipanya, kaza Buti hakuna linaloshindikana chini ya Jua👍🏿

  • @benmramba1023
    @benmramba1023 11 днів тому +2

    Big time san KP namin utafika mbal sana kaka 👍👏👏

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 10 днів тому +3

    Masudi mungu akujali akuendeleze zaidi kwaajili yamafanikiyo yawatanzania wahali yakawaida

  • @saidsalim851
    @saidsalim851 11 днів тому +3

    Allah akupe umri na afya ili manfaa yapatikane zaidi!

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 11 годин тому +3

    Sasa huyu ndio wa kusema ana ndoto ta kuwa bilionea wa africa

  • @IddiIddi-xe6ko
    @IddiIddi-xe6ko 5 днів тому +2

    Mr kipanya he's inspirational

  • @tomchuma-p1s
    @tomchuma-p1s 5 днів тому +3

    Na sio kwamba kikundi hicho cha wazungu wachache wamefanya vumbuzi hizo zote zingine wamefanya watu wausi lakini wameficha taarifa hizo

  • @FrankFidelis-t8f
    @FrankFidelis-t8f 6 днів тому +1

    Kwa vijan kam. Mm na wengine wenye ambition kubwa unatufungua akili sana na kuzidi kutuinspire brother more respect ☝🇹🇿

  • @godswillbosco7383
    @godswillbosco7383 5 днів тому +1

    Masoud is definitely talent and genius

  • @erickmorro8852
    @erickmorro8852 10 днів тому

    Asante sana KP kwa kutupa shule. Ile kampuni ya kutengeza na kuuza Bodaboda na Tuktuk za umeme (eMo Mobility) inabidi wakutafute au ukawatembelee ili uwape ushauri na kubadilishana mawazo. Asante sana!

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 4 дні тому +1

    Allah akufanyie wepec wewe na cc sote inshaallah

  • @araphatywanyamale6475
    @araphatywanyamale6475 11 днів тому +1

    Icon ya nchiii kipanya 🙌🏾

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 11 днів тому +1

    Kipanya is more than intelligence 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 4 дні тому +2

    Mm nanunua gari kwako kipanya inshaallah

  • @isayakanemile3710
    @isayakanemile3710 7 днів тому +1

    Mkuuu uko vzr hongera sana vt mbele,

  • @jobharry9009
    @jobharry9009 11 днів тому +3

    Masoud saf sana

  • @OmaryMwigula
    @OmaryMwigula 5 днів тому +2

    Haya ndio mahojiano sio kelele za mwijaku na babalevo

  • @RamadhaniMirajAbushiro
    @RamadhaniMirajAbushiro 11 днів тому +23

    Masudi wewe ni mtu na nusu naomba uwaambie watu katika Dunia kila kitu mtu anacho kifikiria kufanya kinawezekana kama awataki ni waoga Mimi naweza kutengeneza bastora na boti

    • @janeththomas5981
      @janeththomas5981 10 днів тому +1

      If you mean it wewe, utatufaa sana. Kudos

    • @kissamwamunyange1018
      @kissamwamunyange1018 9 днів тому +5

      Mimi naweza kutengeneza na kuandaa chakula Kwa wagonjwa haswa WA kisukari na obesity Kwa kutumia ujuzi wangu na wakapona

    • @mkombozimella8436
      @mkombozimella8436 8 днів тому +1

      Masoud Ali wewe ni mtu mjuzi sana kweny Tz.vijana wengi wanatakiwa kujifunza mengi kupitia wewe

    • @RashidiKarabagega
      @RashidiKarabagega 8 днів тому +1

      Mashaallah​@@kissamwamunyange1018

    • @mohamedsheikh6618
      @mohamedsheikh6618 День тому

      Si wote wanaokusikiliza kuwa wanaifahamu akili yako, uko vizuri na wapo wa aina yako lakini nani wa kuwa unganisha wakati wewe unaongea badala ya kukuwezesha wao wanawaza watapataje kodi za kuropoa kutoka kwako

  • @mwalimukhamisi1680
    @mwalimukhamisi1680 8 днів тому +3

    Nakushauri kuweka mfumo madhubuti wa kuchaji betri pindi inapotembea ili kuifanya betri yake iwe inabakia na chaji muda wote inapotembea. Mfano, betri ya pikipiki inakuwa na chaji mda wote kwa uwepo wa coil ya chini na rectifier.

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 8 днів тому +1

      Note; pikipiki inatumia mafuta kuirechrge betri yake. Hili Gari ni umeme tupu. Hope kupitia huo umeme ataweka mfumo wa kujichaji/kuzalisha umeme hapo hapo

    • @njoroboihastla
      @njoroboihastla 7 днів тому

      ​@@topfreelancer5151Umecoraptii mambo wew

  • @ramadhanimwendapole8265
    @ramadhanimwendapole8265 11 днів тому +3

    Mbona bei ya gari hamjamuuliza?

  • @johannesjoseph7496
    @johannesjoseph7496 4 дні тому +3

    Nilichogundua hapa,masoud ni bonge moja la mwanasiasa anauwezo wa kushawishi akili ikubali wazo lake,anamudu mahojiano,na anajua vitu vingi

  • @user-jh4hg2ev9s
    @user-jh4hg2ev9s 8 днів тому +3

    Kipanya i hope emblem ya gari hili litakuwa ni Panya. Naomba mpate kubuni haraka SAFARI CAR na muiite Panya Buku maana itakuwa kubwa 4×4 ili Tanzania tuache kuwaneemesha wajapani na toyota zao. Naomba muwalinde wabunifu wenu na wewe mwenyewe. Unaowanyima business watakuuwa.

  • @kiatu
    @kiatu 8 днів тому +2

    Je umejiandaa vipi kuhusu energy kutokana na maji? Hii technology ndiyo IN.

  • @adamnasibu5931
    @adamnasibu5931 10 днів тому +4

    Leo ndo nimegundua masoud ni mtu muhimu kwenye Taifa kuliko kichwa mviringo

  • @user-lt9yx2mh9k
    @user-lt9yx2mh9k 11 днів тому +1

    ❤❤crown 🎉🎉

  • @mussawaziri4702
    @mussawaziri4702 11 днів тому +6

    Kipanya you are a 100 yrs ahead from 90+% of wasomi wa nchi hii..

    • @user-jh4hg2ev9s
      @user-jh4hg2ev9s 8 днів тому

      Kweli kabisa maana msomi hasa ni yule anatumia akili iliyobaki kufanya mambo mbali na ile ya kufaulu mitihani

  • @petermachumi
    @petermachumi 11 днів тому

    Uko vizuri brother Kipanya. Wachoraji tuko vizuri saana.

  • @shaabanikabwe3437
    @shaabanikabwe3437 3 дні тому +3

    Hongeraa sana Bwana Kipanya Masoud
    Swali langu kwako
    Gari zako unaziandaa Je spare parts zake unazitengeneza mwenyewe ??? Na maana gari ni spare parts zake pia.
    Asante na Hongeraa kwa kazi nzuri.
    Mwenyezi Mungu akutangulie. Una inspire vijana wa kesho.

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 7 днів тому +1

    Gazeri la nipasheeweh ndimu na chumviiih rabeeekhaaa
    #wasafifm #goodmorning #habarizahasubuhi

  • @yonamsemo6634
    @yonamsemo6634 3 дні тому +3

    Bonge la Interview

  • @danielkope4663
    @danielkope4663 5 днів тому +2

    Maisha plus naikumbuka sana

  • @IsaacSylvester-l1x
    @IsaacSylvester-l1x 11 днів тому +2

    Love u gays

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q 11 днів тому

    Big up Mkuu Kipanya and stay blessed.

  • @mbwanamtops4936
    @mbwanamtops4936 11 днів тому +1

    Kp ni hazina ya Taifa hili .Ahsante sana KP

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 10 днів тому +1

    Jamaa ni smart sana

  • @nsabimanaabedi541
    @nsabimanaabedi541 11 днів тому +1

    Nimependa sana kuwa Africa tuko n'a watu ambao wana wivu kama kipany ambao wana taka kuheshimisha bara letu takatifu.

  • @vincej9275
    @vincej9275 11 днів тому

    Very smart guy Mr. Kipanya

  • @BenardLucumay
    @BenardLucumay 10 днів тому

    Safi sana Masoud Kipanya unafanya makubwa! Serikali inabidi kuwa karibu na wavumbuzi wa aina Yako !

    • @jonakajigili6991
      @jonakajigili6991 8 днів тому

      I Inapenda machawa na wanaoisifia tu. Akina masoud ni juhud binafsi tu

  • @alhajikangalawe6178
    @alhajikangalawe6178 День тому

    KP 🔥🔥🔥

  • @jumakessy7560
    @jumakessy7560 10 днів тому +1

    "unanielewa?....., umenielewa?....., nadhani umenielewaaa"

  • @ngowestanley2535
    @ngowestanley2535 9 днів тому

    Best interview❤❤

  • @cleartzboy
    @cleartzboy 10 днів тому +1

    Akili kubwaaaaaa

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 11 днів тому +1

    🔥🔥

  • @glensamson3671
    @glensamson3671 11 днів тому

    Big up KP

  • @hakambashe8421
    @hakambashe8421 11 днів тому +3

    Huyu mwamba ni fasaha saan kwenye kuongea

  • @AbdulKitalula
    @AbdulKitalula День тому

    Umeongea kweli kabisa kaka

  • @faustinedeogratias4337
    @faustinedeogratias4337 11 днів тому +3

    Tanzanian Elon musk

  • @user-bg6fb6lp6n
    @user-bg6fb6lp6n 5 днів тому +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 5 днів тому +2

    Kipanya mjanja mjanja kama sungura😅😅

  • @RamadhaniMirajAbushiro
    @RamadhaniMirajAbushiro 11 днів тому +1

    Kweli kabisa mwamba sio kwamba watu Awana akili ila ni kwamba awataki kutumia akilizao

  • @meyasadavid9801
    @meyasadavid9801 9 днів тому

    Masuud kazi nzuri sana ila unak🎉osea kidogo tu jaribu kutengenezea gari zako rectfire ili wakati gari inatembea bettery zichaji ili isiishiwe umeme

  • @ommaromary4828
    @ommaromary4828 11 днів тому

    masoud weye ni mtu na nusu brother big up

  • @deusvincent1489
    @deusvincent1489 10 днів тому +1

    Nilikutana na Mzee mmoja Mwaya - Ulanga, aliwahi tengeneza ndege na akaruka kama umbali wa 300m ikaanguka. Wakati anaifanyia maboresho AKAKAMATWA na kuzuiliwa kuendelea badala ya kumwendeleza. Yupo ni masikini kabaki anazeeka na utaalamu wake.

    • @tonyelshabbaz
      @tonyelshabbaz 10 днів тому

      Unarushaje ndege bila ruhusa? Ukiiangusha sokoni au msikitini ? Ni lazima wataalam waikague na wakupe vibari kwa usalama wako na watu wengine

    • @abdullysalim5020
      @abdullysalim5020 9 днів тому

      mawasiliano yam zee yap?

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 8 днів тому

      ​@@tonyelshabbazhata akifa kabisa akiwa anafanya majaribio yake ni sawa. Hakuna serikali yoyote duniani itaamua kukusaidia ktk uvumbuzi wako. SAHAU. Mzee alikuwa sawa sema hichi anachokisema masud Cha kuaminishwa kwamba hatuwezi ndio serikali ilichomfanyia. Na sio huyo TU ni wengi walishajaribu kuunda vitu wakazuiliwa na kufungiwa

    • @tonyelshabbaz
      @tonyelshabbaz 8 днів тому

      @@topfreelancer5151 hata huko ulaya lazima utaratibu unafuatwa! Kipanya amezindua gari yake kakamatwa? Taratibu zimewekwa kwa faida yetu umerusha ndege imeanguka uwanja wa Taifa pale watu 60,000 wamekufa wa kulaumiwa ni nani?

  • @hawa6052
    @hawa6052 8 днів тому +1

    Kazi nzuri kaka kipanya Allah akufikishe mbali zaid kiteknolojia

  • @sadikisungare26
    @sadikisungare26 9 днів тому

    I love U broo.... Nyota Yako ni hatar sn

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 10 днів тому

    Big up

  • @upflavianathomas5204
    @upflavianathomas5204 7 днів тому

    Unaakili sana tungepata vichwa 100 kama wewe aseee big up KP

  • @bensonmwakalindile8545
    @bensonmwakalindile8545 8 днів тому +3

    Serikali imtazame,ni nyota hyo.

  • @venancefredrick549
    @venancefredrick549 8 днів тому

    Nakubali kuhusu msanii wa uchoraji

  • @athumansaid796
    @athumansaid796 8 днів тому +1

    Maelezo na namna ya kujiamin najins anavoongea anaonekana nimtu sahihii na mchunguzii saana lazma aweze kwa sababu anauwezo

  • @stephenmmbago4975
    @stephenmmbago4975 7 днів тому +1

    Jamaa ana akili kubwa san ,wachoraji tuheshimiwe

  • @abdulsaid4579
    @abdulsaid4579 2 дні тому

    ntakuja kununua gari inayotengenezwa n mwafrika ..😅😅😅

  • @godluckgmanartist-ju7jp
    @godluckgmanartist-ju7jp 11 днів тому

    Me ni mchoraji nimekurlewa sn kaka 🎉

  • @raimajimoto1122
    @raimajimoto1122 11 днів тому

    GNS KIPANYA HAZINA YA TAIFA
    MUNGU AKUWEKE TUNAJIFUNZA MENGI KUPITIA WEWE.. AMEN 🙏

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 11 днів тому

    Unajua wachoraji ni creative sana so anaweza kuunda gari masoud

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro 8 днів тому +3

    Kikeke tuulizie kwa kp, hivi nyumbani kwake wakiingia panya anawawekea sumu?😂

  • @suysoni
    @suysoni 11 днів тому +3

    Tanzania tuna watu smart sana ikiwemo Kipanya.

  • @mandelajohn7569
    @mandelajohn7569 11 днів тому +1

    Huyu mwamba ni Mtu na nusu aise

  • @hassanihassani2742
    @hassanihassani2742 11 днів тому

    Salim Kikeke we ni bonge la mtangazaji. Kwa kweli mungu humpa amtakaye bila hesab katika Kila eneo

  • @chrizostomchristian1884
    @chrizostomchristian1884 11 днів тому +1

    M nauliza bei naitaka ila cio kwa mkopo

  • @MariamDilla
    @MariamDilla 8 днів тому

    Masudi ndugu yàngu wewe ni AKILI kubwa nakupenda lkn napenda siku moja kukutembelea na kuongea nawe km hutojali. U inspired Tanzanians

  • @abelmushi1630
    @abelmushi1630 8 днів тому +1

    👏👏BRO unamipango mizur, ni wapumbavu pekee watazarau, ila S Safi sana, naomba unipe nafasi ya kukusaidia kazi zako.

  • @tesiustheonest1592
    @tesiustheonest1592 5 днів тому

    Kuamua

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 5 днів тому +1

    Interview za kuongezea ujuz walimwengu

  • @ZaitunJuma-l5p
    @ZaitunJuma-l5p 7 днів тому

    Yn Huw namuelew sana kaka masudi

  • @emanueljohn9601
    @emanueljohn9601 11 днів тому +1

    KP...🐁

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 11 днів тому

    👊✌👍.

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 7 днів тому +2

    Naona kama kausanii flan😅

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 11 днів тому +1

    Masoud ndie mtu pekee anaweza kubuni vazi la taifa ..

  • @JustusTimothy-m5h
    @JustusTimothy-m5h 5 днів тому +3

    Masoud ni hazina kwa kweli!

  • @deusntobi6682
    @deusntobi6682 10 днів тому

    Toolbox!!

  • @prosperkiria6383
    @prosperkiria6383 11 днів тому

    Hata mimi nitataka moja boss

  • @shabansalum1848
    @shabansalum1848 11 днів тому +1

    Ahsante kwa elimu broo kipanya

  • @AdamCheze
    @AdamCheze 11 днів тому +1

    Mtangazaj na mtangazaj maisha yanaenda mbio sana leo nawaona watu ninaowakubali katika tasnia hii

  • @tesiustheonest1592
    @tesiustheonest1592 5 днів тому

    Pingu za ubongo👊

  • @machajuma6565
    @machajuma6565 11 днів тому

    Jaman tunaomba kujuzwa bei ya gari

  • @athumansaid796
    @athumansaid796 8 днів тому +1

    Kunamtoto mmoja kashanitia saana asara inatakiwa aishi na masudi atanishukulu baadae akinitafta

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 8 днів тому +2

      ELEZEA kakutia hasara kivip tuwe impressed, story yako ndio itafanya utafutwe. Kusema TU hasara Bado hujatuvutia "kivip"?

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 9 днів тому

    Nime waelewa sana

  • @noraogendo1289
    @noraogendo1289 6 днів тому

    🙏🏿🙏🏿🙏🏿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 11 днів тому

    Akili kubwa masoud

  • @NEEMAMSIGWA-d1z
    @NEEMAMSIGWA-d1z 11 днів тому +1

    Kipanya msamehe mwijaku nimlopokaji

  • @claudchristopher8416
    @claudchristopher8416 8 днів тому

    Hizo fikra za kizamani,look here matajiri wa kihindi hawana nyumba,engine wake upanga na masaki wamerent,Acha fikra potofu

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 7 днів тому

      Usimtolea povu mwenzako ,kila mja ana uhuru wa kufikiri.