MASWALI NA MAJIBU MAZITO KWA MASOUD KIPANYA KWENYE KASRI | ATAJA UTAJIRI WAKE
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Kipanya is an inspiration for may of us! I have looked up to him and it has been nothing but a benefit. Looking up to him, I will also achieve my dreams! Barikiwa sana Masoud Kipanya
Nimegundu uyu mtangazaji wa crown 👑 wa kiume ukiacha kikeke anamkubali sana KP
Hongera sana kaka....ww ni mtu wa mfano na njia sahihi ya kutafuta mafanikio
Sichoki kukuskiliza brother kp very smart na tuamsha sana kama vijana.
Tumejaliwa kupata Mtazania bora kabisa. Kipanya, hongera sana. Wewe ni dream achievers.
Asanteni kwa kutuweka macho, kuchangia na kutupa habari na miundombinu ya Masoud, tumefarijika. Sisi sio wajinga ispokuwa tukubali kutokukubaliana, kuvumiliana na kukubali kukosolewa bila ya kujenga chuki au kisasi 🤝
Kumbe diamond platinum ni kweli atakuja kuwa tajiri namba moja duniani🙏
Nimejifunza kitu,kikeke is genius hao wengne waendelee kujifunza.kunatokea gap la interview akija mtu like kipanya,anawadominate had watazmaji tunakosa content.
Big up Kipanya, kaza Buti hakuna linaloshindikana chini ya Jua👍🏿
Big time san KP namin utafika mbal sana kaka 👍👏👏
Masudi mungu akujali akuendeleze zaidi kwaajili yamafanikiyo yawatanzania wahali yakawaida
Allah akupe umri na afya ili manfaa yapatikane zaidi!
Sasa huyu ndio wa kusema ana ndoto ta kuwa bilionea wa africa
Mr kipanya he's inspirational
Na sio kwamba kikundi hicho cha wazungu wachache wamefanya vumbuzi hizo zote zingine wamefanya watu wausi lakini wameficha taarifa hizo
Kwa vijan kam. Mm na wengine wenye ambition kubwa unatufungua akili sana na kuzidi kutuinspire brother more respect ☝🇹🇿
Masoud is definitely talent and genius
Asante sana KP kwa kutupa shule. Ile kampuni ya kutengeza na kuuza Bodaboda na Tuktuk za umeme (eMo Mobility) inabidi wakutafute au ukawatembelee ili uwape ushauri na kubadilishana mawazo. Asante sana!
Allah akufanyie wepec wewe na cc sote inshaallah
Icon ya nchiii kipanya 🙌🏾
Kipanya is more than intelligence 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mm nanunua gari kwako kipanya inshaallah
Mkuuu uko vzr hongera sana vt mbele,
Masoud saf sana
Haya ndio mahojiano sio kelele za mwijaku na babalevo
Masudi wewe ni mtu na nusu naomba uwaambie watu katika Dunia kila kitu mtu anacho kifikiria kufanya kinawezekana kama awataki ni waoga Mimi naweza kutengeneza bastora na boti
If you mean it wewe, utatufaa sana. Kudos
Mimi naweza kutengeneza na kuandaa chakula Kwa wagonjwa haswa WA kisukari na obesity Kwa kutumia ujuzi wangu na wakapona
Masoud Ali wewe ni mtu mjuzi sana kweny Tz.vijana wengi wanatakiwa kujifunza mengi kupitia wewe
Mashaallah@@kissamwamunyange1018
Si wote wanaokusikiliza kuwa wanaifahamu akili yako, uko vizuri na wapo wa aina yako lakini nani wa kuwa unganisha wakati wewe unaongea badala ya kukuwezesha wao wanawaza watapataje kodi za kuropoa kutoka kwako
Nakushauri kuweka mfumo madhubuti wa kuchaji betri pindi inapotembea ili kuifanya betri yake iwe inabakia na chaji muda wote inapotembea. Mfano, betri ya pikipiki inakuwa na chaji mda wote kwa uwepo wa coil ya chini na rectifier.
Note; pikipiki inatumia mafuta kuirechrge betri yake. Hili Gari ni umeme tupu. Hope kupitia huo umeme ataweka mfumo wa kujichaji/kuzalisha umeme hapo hapo
@@topfreelancer5151Umecoraptii mambo wew
Mbona bei ya gari hamjamuuliza?
Nilichogundua hapa,masoud ni bonge moja la mwanasiasa anauwezo wa kushawishi akili ikubali wazo lake,anamudu mahojiano,na anajua vitu vingi
3❤❤❤❤
Kipanya i hope emblem ya gari hili litakuwa ni Panya. Naomba mpate kubuni haraka SAFARI CAR na muiite Panya Buku maana itakuwa kubwa 4×4 ili Tanzania tuache kuwaneemesha wajapani na toyota zao. Naomba muwalinde wabunifu wenu na wewe mwenyewe. Unaowanyima business watakuuwa.
Je umejiandaa vipi kuhusu energy kutokana na maji? Hii technology ndiyo IN.
Leo ndo nimegundua masoud ni mtu muhimu kwenye Taifa kuliko kichwa mviringo
unamuongelea awijaku 😀
❤❤crown 🎉🎉
Kipanya you are a 100 yrs ahead from 90+% of wasomi wa nchi hii..
Kweli kabisa maana msomi hasa ni yule anatumia akili iliyobaki kufanya mambo mbali na ile ya kufaulu mitihani
Uko vizuri brother Kipanya. Wachoraji tuko vizuri saana.
Hongeraa sana Bwana Kipanya Masoud
Swali langu kwako
Gari zako unaziandaa Je spare parts zake unazitengeneza mwenyewe ??? Na maana gari ni spare parts zake pia.
Asante na Hongeraa kwa kazi nzuri.
Mwenyezi Mungu akutangulie. Una inspire vijana wa kesho.
Gazeri la nipasheeweh ndimu na chumviiih rabeeekhaaa
#wasafifm #goodmorning #habarizahasubuhi
Bonge la Interview
Maisha plus naikumbuka sana
Love u gays
Kiingereza jamani. "GAYS"🌈 kweli. Tahajia
Big up Mkuu Kipanya and stay blessed.
Kp ni hazina ya Taifa hili .Ahsante sana KP
Jamaa ni smart sana
Nimependa sana kuwa Africa tuko n'a watu ambao wana wivu kama kipany ambao wana taka kuheshimisha bara letu takatifu.
Very smart guy Mr. Kipanya
Safi sana Masoud Kipanya unafanya makubwa! Serikali inabidi kuwa karibu na wavumbuzi wa aina Yako !
I Inapenda machawa na wanaoisifia tu. Akina masoud ni juhud binafsi tu
KP 🔥🔥🔥
"unanielewa?....., umenielewa?....., nadhani umenielewaaa"
Best interview❤❤
Akili kubwaaaaaa
🔥🔥
Big up KP
Huyu mwamba ni fasaha saan kwenye kuongea
Umeongea kweli kabisa kaka
Tanzanian Elon musk
🙏🙏🙏🙏🙏
Kipanya mjanja mjanja kama sungura😅😅
😂😂😂😂😂 hakika
Kweli kabisa mwamba sio kwamba watu Awana akili ila ni kwamba awataki kutumia akilizao
Masuud kazi nzuri sana ila unak🎉osea kidogo tu jaribu kutengenezea gari zako rectfire ili wakati gari inatembea bettery zichaji ili isiishiwe umeme
masoud weye ni mtu na nusu brother big up
Nilikutana na Mzee mmoja Mwaya - Ulanga, aliwahi tengeneza ndege na akaruka kama umbali wa 300m ikaanguka. Wakati anaifanyia maboresho AKAKAMATWA na kuzuiliwa kuendelea badala ya kumwendeleza. Yupo ni masikini kabaki anazeeka na utaalamu wake.
Unarushaje ndege bila ruhusa? Ukiiangusha sokoni au msikitini ? Ni lazima wataalam waikague na wakupe vibari kwa usalama wako na watu wengine
mawasiliano yam zee yap?
@@tonyelshabbazhata akifa kabisa akiwa anafanya majaribio yake ni sawa. Hakuna serikali yoyote duniani itaamua kukusaidia ktk uvumbuzi wako. SAHAU. Mzee alikuwa sawa sema hichi anachokisema masud Cha kuaminishwa kwamba hatuwezi ndio serikali ilichomfanyia. Na sio huyo TU ni wengi walishajaribu kuunda vitu wakazuiliwa na kufungiwa
@@topfreelancer5151 hata huko ulaya lazima utaratibu unafuatwa! Kipanya amezindua gari yake kakamatwa? Taratibu zimewekwa kwa faida yetu umerusha ndege imeanguka uwanja wa Taifa pale watu 60,000 wamekufa wa kulaumiwa ni nani?
Kazi nzuri kaka kipanya Allah akufikishe mbali zaid kiteknolojia
I love U broo.... Nyota Yako ni hatar sn
Big up
Unaakili sana tungepata vichwa 100 kama wewe aseee big up KP
Au 500 tutengeneze s&p500tz 😊
Serikali imtazame,ni nyota hyo.
Nakubali kuhusu msanii wa uchoraji
Maelezo na namna ya kujiamin najins anavoongea anaonekana nimtu sahihii na mchunguzii saana lazma aweze kwa sababu anauwezo
Jamaa ana akili kubwa san ,wachoraji tuheshimiwe
ntakuja kununua gari inayotengenezwa n mwafrika ..😅😅😅
Me ni mchoraji nimekurlewa sn kaka 🎉
GNS KIPANYA HAZINA YA TAIFA
MUNGU AKUWEKE TUNAJIFUNZA MENGI KUPITIA WEWE.. AMEN 🙏
Unajua wachoraji ni creative sana so anaweza kuunda gari masoud
Kikeke tuulizie kwa kp, hivi nyumbani kwake wakiingia panya anawawekea sumu?😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Dah kibongobongo raha sana
Tanzania tuna watu smart sana ikiwemo Kipanya.
Huyu mwamba ni Mtu na nusu aise
Salim Kikeke we ni bonge la mtangazaji. Kwa kweli mungu humpa amtakaye bila hesab katika Kila eneo
M nauliza bei naitaka ila cio kwa mkopo
Masudi ndugu yàngu wewe ni AKILI kubwa nakupenda lkn napenda siku moja kukutembelea na kuongea nawe km hutojali. U inspired Tanzanians
Kwa nn uliacha Maisha Plus??
👏👏BRO unamipango mizur, ni wapumbavu pekee watazarau, ila S Safi sana, naomba unipe nafasi ya kukusaidia kazi zako.
Kuamua
✌
Interview za kuongezea ujuz walimwengu
Yn Huw namuelew sana kaka masudi
KP...🐁
👊✌👍.
Naona kama kausanii flan😅
Kwa sababu ndio maisha unayoyaishi😂😂
😅😅😅😅😅
Masoud ndie mtu pekee anaweza kubuni vazi la taifa ..
Masoud ni hazina kwa kweli!
Toolbox!!
Hata mimi nitataka moja boss
Ahsante kwa elimu broo kipanya
Mtangazaj na mtangazaj maisha yanaenda mbio sana leo nawaona watu ninaowakubali katika tasnia hii
Pingu za ubongo👊
Jaman tunaomba kujuzwa bei ya gari
Kunamtoto mmoja kashanitia saana asara inatakiwa aishi na masudi atanishukulu baadae akinitafta
ELEZEA kakutia hasara kivip tuwe impressed, story yako ndio itafanya utafutwe. Kusema TU hasara Bado hujatuvutia "kivip"?
Nime waelewa sana
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Akili kubwa masoud
Kipanya msamehe mwijaku nimlopokaji
Acha apigwe hela
Hizo fikra za kizamani,look here matajiri wa kihindi hawana nyumba,engine wake upanga na masaki wamerent,Acha fikra potofu
Usimtolea povu mwenzako ,kila mja ana uhuru wa kufikiri.