ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
Вставка
- Опубліковано 27 чер 2018
- ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
Wabunge Zitto Kabwe na Cecil Mwambe leo Alhamisi Juni 28, 2018 wamemuomba Spika Job Ndugai kuitaka Kamati ya Maadili, Kinga na Madaraka ya Bunge kumhoji na kumchukulia hatua Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk Adelardus Kilangi kwa madai kuwa amekipotosha chombo hicho cha Dola.
Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) na Mwambe (Ndanda-Chadema) wametoa kauli hiyo leo bungeni mjini Dodoma wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2018.
Mwambe alipingana na maelezo yaliyotolewa na AG siku mbili zilizopita kuwa fedha za ushuru wa mauzo ya korosho nje ni za umma na Serikali ndio yenye mamlaka ya kupanga matumizi yake, akisema kuwa fedha hizo ni za wakulima.
Mara baada Zitto kueleza hayo, Mwambe alimuunga mkono akitaka mwanasheria mkuu huyo wa Serikali achukuliwe hatua.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Wenzangu na Mimi mnaoangalia kwa ushabiki kama Mimi naombeni like zenu jamani!!!!
Mimi mnanitengaga sana bhana
Zitto kabwe ndio CHUMA CHA RELI SIO MCHUNGAJI FULANI.
You are the pride of KIGOMA, the Pride of the NATION.
Dah mh.Zitto Mungu akujalie maisha zaida,very logic kwa kla unachokiongea kiac kwmb ata speaker mwenyew kawa mpole
Daaaaaaaaaah! Huyu jamaa namkubali Sana asee, Hongera yke. Mungu ampe maisha marefu na SIHA NJEMA
Bin Chipatu yaana zitto gudi
Usomi unaonekana kwa vitendo broda,,,gud sn kabwe,,hazna ya taifa
The charisma of Mwl.Nyerere,the courage of Amina Chifupa and the confidence of Zitto Kabwe.
Mungu akusimamie ktk yote mhe Zitto kabwe upo vizuri sana
Daud Henry Yaani Rais angempa Wizara Zitto..yupo vizuri saana huyu jamaa
Nampenda sana Zitto yuko vzr sana! Big up to you
√
Huyo mama yukoje lakini? Zitto wewe ni kichwa sana Kamanda.
Huyu Speaker wa Bunge, Yuko vizur I never seen before,
Nchi hii imebarikiwa, Mungu akutunze kijana wetu, ni hazina na tu u kuwa kwa Taifa hili.
Kwelliiii
Zitto kweli umesoma na unajua unachokizungumza. Tunahitaji wabunge 100 kama Zitto kabwe. Live long brother
Mh.Zitto! You are very much bright and talented in reasoning! Well said Honourable!!!
Zito kibokooooo wallah,hongera sana muheshimiwa
Uyo jamaa yuko sahihi sana jamani duuu
Zito nakukubari sana
akili ni Mali!!! Endelea mkuu haahhahaha!! mpka spika wa Bunge kamuuongezee muda!!! safi sana Zitto.
What a fine legislative mind!! Kenyan MPs, please 'look and learn' ...the craft of building up an argument in a livid debate!
Zitto ni Genius👏👏👏 ila huu mjadala angekuwepo Lissu ungekuwa mtamu zaidi, hutoona baadhi ya wabunge wanaoongoza kwa kusema hovyo wakichangia kwenye hoja kama hizi za kutumia vifungu vingi vya sheria na akili nyingi
huo ndo ukweli hapo kibajaji,msukuma,kessy,na mlinga wamejificha hapo shule inafanya kaz yake
Fazeel Shomary 😂 hapa huwez kumuona MLINGA
Fazeel Shomary Lisu angekuwepo ingekuwa nzuri zaidi maana namjua Lisu kwa history na legal perspectives ni hatari
Fazeel Shomary hahahaaa
Uposawa
Yaan leo nimefarijka kwa kusikiliza maelezo ya huyu jaama zito! Kweli selekar iangalie tena juu ya mpango wakuuwa upinzani, maana kuna vichwa ambavyo vikipotea kuvipata, cjui! 👏👏👏👏👏 Ahsant zito zuber kabwe
Zito + Lisu = na umbozi wa watanzania
Sir Zitto Kabwe unawaonea wabunge wa ccm hata spika hawaelewi sheria wanazozitunga na hawana tabia ya kufanya rejea ya kisheria wavivu wa kusoma ata wanasheria wenyewe hawazijui... Hongera sana kaka unaona mbali sana
Zitto ww ni JEMBE, KICHWA, KIFAA.......naomba tuchukuwe wabunge wote kama zitto waunde bunge LA jamhuri ya Mungano wa tz, wabunge kama lusinde,mlinga na msukuma waunde bunge LA SHILAWADU tz. Vichwa vipo upinzani. Zitto Mungu akubaliki.
jeremiah kiberenge kweli aisee
Kichwa mashaallah
Kama hauja mkubali zito utapata tabu sana tena sana
Ww ovyoooo hauoni ukwell au hujasomaaa
Oya nimemkubaaliii zito kiboko.
Mungu akuweke miaka mingi ishaAllah...wewe ni Hazina ya Taifa
Wewe kijwa mheshimiwa Zitto Kabwe Kigoma oyeeeee
Zito ni mwanasiasa mzuri sana na tunakuunga mkono na ndo mwongozo wetu wa siasa kasoro mwaka 2015 ulikubali kuyumbiswa na siasa za bongo hicho kilikuharibia sana
kweli zito hakurupuki jaman
Zitto huwa yuko vizuri sana, kama nchi ni kama tuna mmissuse
Naaaam,spika Ndugai unapomlinda asikilizwe hapo unajinyakulia heshima kubwa!
Duuh..Zitto kabwe.. upo vizuri sana Broo
Eti namuona Joshua nasarri nar anapoga makofi...daaaaaah pole mwanangu...turu usariver kula hela za yatima
Sheria zinatungwa Kwa Lugha ya Kiingereza, zinajadiliwa Kwa Kiswahili. Kazi tunayo, Sheria zitungwe Kwa kiswahili na zijadiliwe Kwa kiswahili, sisi sio waingereza!!!!
yanga Vs biashara
Mwenyekitiiiiiiiii.Hiko ni kichwa cha Mungu kw ajili ya wa Tz
Zitto upo vzr sana kijana mwezetu
Pole Zito kwa kupambana kwa sababu ya Watanzania.
Tunakuombea urudi bungeni tena,
Daah mwana yuko nondo yuko duki balaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 anatoa shule nzito yaan ni kama messi vile anavyo wapoteza mabeki 🙌
Big up mwami👍
Kichwa kimoja sawa na wabunge hamsini wa fisiem!!!
Huu ndio upinzani ninaoukubali like nyingi tafadhali
Asante kwa kuwapa dalasa.100000%
Ezra Nairo zito kichwa
Be blessed
Lazima watu waelewe tu Akili kubwa sana hiyo Mh Zitto Kabwe thanks brother
Zitto mkuu nakufuatilia san nakinacho nifanya nikufatilie kuwa uwez ongea kitu kma ukijui kwakina big up san mkuuu
Kweli shule ni muhimu jamani...duh zitto respect
President Magufuli mtu km huyu unakoseje kumuweka sehem mhimu serkalin? Tunamkubal sn sio kwa ushabiki ni kichwa na mtaalam duh Mh Zitto it' s dangerous
Kabi Sadu Ndugu yangu kwani hujui mpaka leo serikali ya ccm haikuchagui mpaka ufanye ubaya kwa wananchi ndio unapeiwa cheo kwa mfano Makonda,Ummy mwalimu, Nape, na wengine wengi tu
Ivi ndosaf mbunge aongelee Jambo kwa maslah ya nch pia na Jimbo lake ongera sana zito
Kabi Sadu hapana,,,abaki alipo ingewezkan Angelrejoin CHADEMA
This Guy is very SMART!
Jumbe mbili zinaweza kupatikana-moja ni kurejea makubaliano ya 65 35 kama alivyoeleza kwa umahiri kabisa Mh Zitto, ama Serikali inaweza kuona haja ya kuleta ushuru wa namna hiyo hiyo kwa yaho mazao mengine ya kuuza nje. Ila busara itumike- ni wazi kuwa utaratibu huu wa makusanyo ya kuboresha kilimo cha korosho- ingezeweza kusaidia kuendeleza mazaomengine ya kibiashara.
Zitto- shukrani kwa ufafanuzi
Ur smart brother very smart, they understand you, spika knows ur position what a smart guy bless saana
Zitto is one hell of an intelligent character... afunguo chuo atufunze namna ya kujenga hoja na kupambanua vitu
Zitto alimuelimisha vzr sana zuzu letu hili li ndugai, yaani ni bogazi la htr swali lake lilijua hataweza kulijibu bwege kweli kweli yani livyobebwe na ccm linajua wote ni vilaza kama wao
Zitto tu anatosha kusimama na wabunge wrote wa ccm
Zitto ni kichwa kilichobarikiwa Aiseee
Nimependa mpk raha
mungu akuzidishie mshimiwa ZITO ambaye shule haijamsaidia hawezi kukuelewa.
Mh.kwa kuweka tofauti za vyama vyetu pembeni...Umejitahidi Sana kwa uwezo wako wote kujenga HOJA.HAKIKA WEWE NI MZALENDO.
Zito you're so wise
Amewasaidia Sana jamaa Huyu Zitto yupo vizuri sana
Daaa kweli be blessed kamanda
zito kichwa sana lazima wa2 wajipangeee sana
zitto kweli Wewe ni mzito Kweli
Zito uko vizuri sana yani unachambua mpaka nasikia raha
saf zto kabwe nakubal umemalxa kla ktu ahsante na mungu akulinde
Brother ur so bright,hongera kwa kuwapigania watu watz bila kujali ukanda Wala ukabila
Mh. Zitto,pamoja na hoja zako nzuri na kugusa mawazo ya
zitto namtabiria makubwa sana 💪
Zitto you are 1000 people person. Excellent excellent excellent excellent
Mungu akubariki sana swahiba..sometimes najuta kwanini nilipoteza kura yangu 2015, majinga mengi ndani ya ccm
Zitto Zidane Zubeir Zizou Kabwe Fundiii..a.k.a THE TEACHER.
Huyu jamaa anajua bwana dah Mh ndugai anaona km muvi ya kihindi hadi raha
Zitto kabwe Ruyagwa 2022 still nipo na wewe🔥
Namkubali sana jmaa huyu
Sitakuja kumshauri mwanangu kuwa hata na kadi ya ccm hata kama marehemu wangekuwa wanaongea!..
Mimi na we ni mapacha
Ndaro Gamba Hata mm aise atakuwa huru
kigoma mnambunge haswaaa zito njoo igunga
Pambaneni na Dk. Kafumu wenu next time mpigeni chini!!
I appreciate you
Jamani zito Mwaka 2020 njoo ugombee mtwara (v)
sasa ni vizuri wabunge wote wawe na elimu ukipata wabunge kama hawa 100 abuluzwi mtu tena
Ndugai hapa watanzania ulitutendea haki na munguu atakubariki.
Nionacho Mimi kuna watu vihiyo sana ktk serikali na wanaoangusha uchumi wa mtu mmojammoja na hata vyama vya ushirika,
mh. zito kabwa mungu akubariki sana naakulinde ili elimu yako iendee kutuelimisha hususani ss wanyonge.
Duuh!! Huyu zitto msomi kwelikweli anavyo dadavua mambo mpaka sisi wenye elimu ndogo tunamuelewa vizuri kabisa namshangaa huyo mbunge mbumbu anashindwa kuelewa jambo lepesi kama hilo!! Alafu eti ana digrii? Atakuwa bashite huyu maana anatia hasira kweli
Mi niliipenda sana mbunge huyu Kwa hoja safi na maelezo safiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kwa kweli ztto ni mtu makini sana
Dah chadema always is back, napenda chadema in love
Very smart kichwani zitto aiseee
mimi kusema za kweli hua simuelewi uyo mama anaetoaga taarifa katikati ya mada muhimu
Tyson Deo hajawahi kuwa sawa msamehe bule
Tyson Deo yani hata mm namuona sana huyu mama atulii yani utakuta mada za maana utasikiya taarifa yeyety
Tyson Deo mapovu sasa ya nini shauri tu serikali itakuelewa
Tyson Deo ccm sunawajua?
xana
huwa nakukubali sana. ila hapa Tz watu werevu hawanaga nafasi na huwa wanaonekana wahuni.
Namkubali jamaa sana
Upo vizuri muheshi miwa
zito mungu akupe maishamalefu
Big up Sana Zitto kabwe
Your so bright honourable zitto kabwe"""_
Kichwa hicho cha tz nice sana zito
hawa ndio wabunge wanaotakiwa bungeni
Uko vizuri Kka!
Smart sana bw. Ruyagwa.unatoa mawe sana.
Nakukubali sana Zito,
Information is power
we ndo hero apa tanzania kwanza napenda unavyo ongea yani ii ni sign kuwa we ni msomi mzuri sana
safi sana zito kabweeeee
Well said
Respect this man
Mbunge mwenye akili hii nchi ni wa upinzani tu kwa kweli
Nakukubali jembe mtetezi wa wanyonge
Zito Ww Kichwa Sanaaa Aisee