ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 чер 2018
  • ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
    Wabunge Zitto Kabwe na Cecil Mwambe leo Alhamisi Juni 28, 2018 wamemuomba Spika Job Ndugai kuitaka Kamati ya Maadili, Kinga na Madaraka ya Bunge kumhoji na kumchukulia hatua Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk Adelardus Kilangi kwa madai kuwa amekipotosha chombo hicho cha Dola.
    Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) na Mwambe (Ndanda-Chadema) wametoa kauli hiyo leo bungeni mjini Dodoma wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2018.
    Mwambe alipingana na maelezo yaliyotolewa na AG siku mbili zilizopita kuwa fedha za ushuru wa mauzo ya korosho nje ni za umma na Serikali ndio yenye mamlaka ya kupanga matumizi yake, akisema kuwa fedha hizo ni za wakulima.
    Mara baada Zitto kueleza hayo, Mwambe alimuunga mkono akitaka mwanasheria mkuu huyo wa Serikali achukuliwe hatua.
    Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

КОМЕНТАРІ • 438

  • @josealute323
    @josealute323 5 років тому +21

    Wenzangu na Mimi mnaoangalia kwa ushabiki kama Mimi naombeni like zenu jamani!!!!
    Mimi mnanitengaga sana bhana

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 6 років тому +13

    Zitto kabwe ndio CHUMA CHA RELI SIO MCHUNGAJI FULANI.
    You are the pride of KIGOMA, the Pride of the NATION.

  • @husseinmucky829
    @husseinmucky829 5 років тому +4

    Dah mh.Zitto Mungu akujalie maisha zaida,very logic kwa kla unachokiongea kiac kwmb ata speaker mwenyew kawa mpole

  • @dr.rimack8484
    @dr.rimack8484 6 років тому +22

    Daaaaaaaaaah! Huyu jamaa namkubali Sana asee, Hongera yke. Mungu ampe maisha marefu na SIHA NJEMA

    • @mashalawamba2836
      @mashalawamba2836 6 років тому

      Bin Chipatu yaana zitto gudi

    • @bakariomary320
      @bakariomary320 5 років тому

      Usomi unaonekana kwa vitendo broda,,,gud sn kabwe,,hazna ya taifa

  • @halid494
    @halid494 6 років тому +12

    The charisma of Mwl.Nyerere,the courage of Amina Chifupa and the confidence of Zitto Kabwe.

  • @daudhenry8909
    @daudhenry8909 6 років тому +11

    Mungu akusimamie ktk yote mhe Zitto kabwe upo vizuri sana

    • @yasintamwalukisi4060
      @yasintamwalukisi4060 5 років тому +1

      Daud Henry Yaani Rais angempa Wizara Zitto..yupo vizuri saana huyu jamaa

  • @bettylemanya4041
    @bettylemanya4041 6 років тому +13

    Nampenda sana Zitto yuko vzr sana! Big up to you

  • @stevenpeter2260
    @stevenpeter2260 6 років тому +10

    Huyo mama yukoje lakini? Zitto wewe ni kichwa sana Kamanda.

  • @dr.rimack8484
    @dr.rimack8484 6 років тому +14

    Huyu Speaker wa Bunge, Yuko vizur I never seen before,

  • @wiza2309
    @wiza2309 6 років тому +5

    Nchi hii imebarikiwa, Mungu akutunze kijana wetu, ni hazina na tu u kuwa kwa Taifa hili.

  • @ezrantaluka1035
    @ezrantaluka1035 5 років тому +1

    Zitto kweli umesoma na unajua unachokizungumza. Tunahitaji wabunge 100 kama Zitto kabwe. Live long brother

  • @joshuasinda1996
    @joshuasinda1996 6 років тому +2

    Mh.Zitto! You are very much bright and talented in reasoning! Well said Honourable!!!

  • @buguzajemedar3631
    @buguzajemedar3631 5 років тому +2

    Zito kibokooooo wallah,hongera sana muheshimiwa

  • @sylvanusinjomango2169
    @sylvanusinjomango2169 6 років тому +9

    Uyo jamaa yuko sahihi sana jamani duuu

  • @beatricelucas1454
    @beatricelucas1454 6 років тому +6

    Zito nakukubari sana

  • @dominickmbuke
    @dominickmbuke 6 років тому +23

    akili ni Mali!!! Endelea mkuu haahhahaha!! mpka spika wa Bunge kamuuongezee muda!!! safi sana Zitto.

  • @oliverwabwire2836
    @oliverwabwire2836 5 років тому +3

    What a fine legislative mind!! Kenyan MPs, please 'look and learn' ...the craft of building up an argument in a livid debate!

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 6 років тому +21

    Zitto ni Genius👏👏👏 ila huu mjadala angekuwepo Lissu ungekuwa mtamu zaidi, hutoona baadhi ya wabunge wanaoongoza kwa kusema hovyo wakichangia kwenye hoja kama hizi za kutumia vifungu vingi vya sheria na akili nyingi

    • @simonbaro6886
      @simonbaro6886 6 років тому

      huo ndo ukweli hapo kibajaji,msukuma,kessy,na mlinga wamejificha hapo shule inafanya kaz yake

    • @emmanuelmkoma5920
      @emmanuelmkoma5920 6 років тому

      Fazeel Shomary 😂 hapa huwez kumuona MLINGA

    • @magorahassan3491
      @magorahassan3491 6 років тому

      Fazeel Shomary Lisu angekuwepo ingekuwa nzuri zaidi maana namjua Lisu kwa history na legal perspectives ni hatari

    • @stephenulomi8364
      @stephenulomi8364 5 років тому

      Fazeel Shomary hahahaaa

    • @araphatiddy141
      @araphatiddy141 5 років тому

      Uposawa

  • @vitalesmgenge6984
    @vitalesmgenge6984 5 років тому +1

    Yaan leo nimefarijka kwa kusikiliza maelezo ya huyu jaama zito! Kweli selekar iangalie tena juu ya mpango wakuuwa upinzani, maana kuna vichwa ambavyo vikipotea kuvipata, cjui! 👏👏👏👏👏 Ahsant zito zuber kabwe

  • @kingwawi8977
    @kingwawi8977 5 років тому +8

    Zito + Lisu = na umbozi wa watanzania

  • @gmark3754
    @gmark3754 6 років тому +1

    Sir Zitto Kabwe unawaonea wabunge wa ccm hata spika hawaelewi sheria wanazozitunga na hawana tabia ya kufanya rejea ya kisheria wavivu wa kusoma ata wanasheria wenyewe hawazijui... Hongera sana kaka unaona mbali sana

  • @jeremiahkiberenge834
    @jeremiahkiberenge834 6 років тому +24

    Zitto ww ni JEMBE, KICHWA, KIFAA.......naomba tuchukuwe wabunge wote kama zitto waunde bunge LA jamhuri ya Mungano wa tz, wabunge kama lusinde,mlinga na msukuma waunde bunge LA SHILAWADU tz. Vichwa vipo upinzani. Zitto Mungu akubaliki.

  • @molegend2672
    @molegend2672 6 років тому +65

    Kama hauja mkubali zito utapata tabu sana tena sana

  • @WorldView24hrs
    @WorldView24hrs 2 роки тому +1

    Mungu akuweke miaka mingi ishaAllah...wewe ni Hazina ya Taifa

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 6 років тому +15

    Wewe kijwa mheshimiwa Zitto Kabwe Kigoma oyeeeee

  • @vakwawesanga733
    @vakwawesanga733 6 років тому

    Zito ni mwanasiasa mzuri sana na tunakuunga mkono na ndo mwongozo wetu wa siasa kasoro mwaka 2015 ulikubali kuyumbiswa na siasa za bongo hicho kilikuharibia sana

  • @mzeewaburudani2888
    @mzeewaburudani2888 6 років тому +5

    kweli zito hakurupuki jaman

  • @MM-oe2eo
    @MM-oe2eo 6 років тому +24

    Zitto huwa yuko vizuri sana, kama nchi ni kama tuna mmissuse

  • @meshackkwigize9848
    @meshackkwigize9848 4 роки тому +2

    Naaaam,spika Ndugai unapomlinda asikilizwe hapo unajinyakulia heshima kubwa!

  • @WorldView24hrs
    @WorldView24hrs 2 роки тому

    Duuh..Zitto kabwe.. upo vizuri sana Broo

  • @jixxyjussy4721
    @jixxyjussy4721 3 роки тому

    Eti namuona Joshua nasarri nar anapoga makofi...daaaaaah pole mwanangu...turu usariver kula hela za yatima

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 6 років тому +5

    Sheria zinatungwa Kwa Lugha ya Kiingereza, zinajadiliwa Kwa Kiswahili. Kazi tunayo, Sheria zitungwe Kwa kiswahili na zijadiliwe Kwa kiswahili, sisi sio waingereza!!!!

  • @akidasalim9798
    @akidasalim9798 5 років тому +1

    Mwenyekitiiiiiiiii.Hiko ni kichwa cha Mungu kw ajili ya wa Tz

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Місяць тому

    Zitto upo vzr sana kijana mwezetu

  • @akidasalim9798
    @akidasalim9798 5 років тому +3

    Pole Zito kwa kupambana kwa sababu ya Watanzania.

  • @denisadrian9765
    @denisadrian9765 5 років тому +6

    Daah mwana yuko nondo yuko duki balaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 anatoa shule nzito yaan ni kama messi vile anavyo wapoteza mabeki 🙌

  • @daudikassimu4574
    @daudikassimu4574 6 років тому +1

    Big up mwami👍
    Kichwa kimoja sawa na wabunge hamsini wa fisiem!!!

  • @sajidikaskazi2273
    @sajidikaskazi2273 4 роки тому +1

    Huu ndio upinzani ninaoukubali like nyingi tafadhali

  • @ezranairo8195
    @ezranairo8195 6 років тому +1

    Asante kwa kuwapa dalasa.100000%

  • @emmanuelshayo9623
    @emmanuelshayo9623 6 років тому +7

    Be blessed

  • @shaabanikabwe5670
    @shaabanikabwe5670 6 років тому

    Lazima watu waelewe tu Akili kubwa sana hiyo Mh Zitto Kabwe thanks brother

  • @ramadhanmohamedy5931
    @ramadhanmohamedy5931 3 роки тому

    Zitto mkuu nakufuatilia san nakinacho nifanya nikufatilie kuwa uwez ongea kitu kma ukijui kwakina big up san mkuuu

  • @sultantz7635
    @sultantz7635 5 років тому +1

    Kweli shule ni muhimu jamani...duh zitto respect

  • @kabisadu8541
    @kabisadu8541 6 років тому +28

    President Magufuli mtu km huyu unakoseje kumuweka sehem mhimu serkalin? Tunamkubal sn sio kwa ushabiki ni kichwa na mtaalam duh Mh Zitto it' s dangerous

    • @andrewsadiki9914
      @andrewsadiki9914 6 років тому

      Kabi Sadu Ndugu yangu kwani hujui mpaka leo serikali ya ccm haikuchagui mpaka ufanye ubaya kwa wananchi ndio unapeiwa cheo kwa mfano Makonda,Ummy mwalimu, Nape, na wengine wengi tu

    • @amanzisandali317
      @amanzisandali317 6 років тому +1

      Ivi ndosaf mbunge aongelee Jambo kwa maslah ya nch pia na Jimbo lake ongera sana zito

    • @alinanmpamba8471
      @alinanmpamba8471 5 років тому

      Kabi Sadu hapana,,,abaki alipo ingewezkan Angelrejoin CHADEMA

  • @ilumbukibi4169
    @ilumbukibi4169 5 років тому +1

    This Guy is very SMART!

  • @danieliskander9680
    @danieliskander9680 6 років тому +1

    Jumbe mbili zinaweza kupatikana-moja ni kurejea makubaliano ya 65 35 kama alivyoeleza kwa umahiri kabisa Mh Zitto, ama Serikali inaweza kuona haja ya kuleta ushuru wa namna hiyo hiyo kwa yaho mazao mengine ya kuuza nje. Ila busara itumike- ni wazi kuwa utaratibu huu wa makusanyo ya kuboresha kilimo cha korosho- ingezeweza kusaidia kuendeleza mazaomengine ya kibiashara.
    Zitto- shukrani kwa ufafanuzi

  • @florianmuganyizimuganyizi5709
    @florianmuganyizimuganyizi5709 6 років тому

    Ur smart brother very smart, they understand you, spika knows ur position what a smart guy bless saana

  • @luganobwenda8590
    @luganobwenda8590 6 років тому

    Zitto is one hell of an intelligent character... afunguo chuo atufunze namna ya kujenga hoja na kupambanua vitu

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 3 роки тому

    Zitto alimuelimisha vzr sana zuzu letu hili li ndugai, yaani ni bogazi la htr swali lake lilijua hataweza kulijibu bwege kweli kweli yani livyobebwe na ccm linajua wote ni vilaza kama wao

  • @sadaramustafa8401
    @sadaramustafa8401 6 років тому +4

    Zitto tu anatosha kusimama na wabunge wrote wa ccm

  • @misalabacharles2728
    @misalabacharles2728 6 років тому +1

    Zitto ni kichwa kilichobarikiwa Aiseee

  • @donaldsinkamba4867
    @donaldsinkamba4867 6 років тому +5

    Nimependa mpk raha

  • @inobuzika5720
    @inobuzika5720 6 років тому

    mungu akuzidishie mshimiwa ZITO ambaye shule haijamsaidia hawezi kukuelewa.

  • @davidolemollel4962
    @davidolemollel4962 6 років тому

    Mh.kwa kuweka tofauti za vyama vyetu pembeni...Umejitahidi Sana kwa uwezo wako wote kujenga HOJA.HAKIKA WEWE NI MZALENDO.

  • @abdulkareemally8371
    @abdulkareemally8371 5 років тому +1

    Zito you're so wise

  • @mukhsinraibi1738
    @mukhsinraibi1738 4 роки тому

    Amewasaidia Sana jamaa Huyu Zitto yupo vizuri sana

  • @juliaslaizer341
    @juliaslaizer341 5 років тому +1

    Daaa kweli be blessed kamanda

  • @kasyupamwakibibi1615
    @kasyupamwakibibi1615 5 років тому +1

    zito kichwa sana lazima wa2 wajipangeee sana

  • @abdullyamiry6901
    @abdullyamiry6901 5 років тому +2

    zitto kweli Wewe ni mzito Kweli

  • @janetmtei5892
    @janetmtei5892 6 років тому

    Zito uko vizuri sana yani unachambua mpaka nasikia raha

  • @chamgegeseba6367
    @chamgegeseba6367 6 років тому

    saf zto kabwe nakubal umemalxa kla ktu ahsante na mungu akulinde

  • @andrew29468
    @andrew29468 6 років тому

    Brother ur so bright,hongera kwa kuwapigania watu watz bila kujali ukanda Wala ukabila

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 6 років тому

    Mh. Zitto,pamoja na hoja zako nzuri na kugusa mawazo ya

  • @donatuskabuje3401
    @donatuskabuje3401 6 років тому +1

    zitto namtabiria makubwa sana 💪

  • @muhidinally3753
    @muhidinally3753 6 років тому

    Zitto you are 1000 people person. Excellent excellent excellent excellent

  • @adrianhilary1241
    @adrianhilary1241 6 років тому

    Mungu akubariki sana swahiba..sometimes najuta kwanini nilipoteza kura yangu 2015, majinga mengi ndani ya ccm

  • @WorldView24hrs
    @WorldView24hrs 2 роки тому

    Zitto Zidane Zubeir Zizou Kabwe Fundiii..a.k.a THE TEACHER.

  • @andrewmgoyo8008
    @andrewmgoyo8008 5 років тому +2

    Huyu jamaa anajua bwana dah Mh ndugai anaona km muvi ya kihindi hadi raha

  • @twalhatwalha7758
    @twalhatwalha7758 2 роки тому

    Zitto kabwe Ruyagwa 2022 still nipo na wewe🔥

  • @johnsobu4062
    @johnsobu4062 6 років тому +9

    Namkubali sana jmaa huyu

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 5 років тому +7

    Sitakuja kumshauri mwanangu kuwa hata na kadi ya ccm hata kama marehemu wangekuwa wanaongea!..

  • @mankomwita8692
    @mankomwita8692 6 років тому +5

    kigoma mnambunge haswaaa zito njoo igunga

    • @BurhaniLiyau
      @BurhaniLiyau 6 років тому

      Pambaneni na Dk. Kafumu wenu next time mpigeni chini!!

    • @avocadotz2946
      @avocadotz2946 5 років тому

      I appreciate you

  • @ahmadimaarufu6367
    @ahmadimaarufu6367 6 років тому

    Jamani zito Mwaka 2020 njoo ugombee mtwara (v)

  • @makalanimau4649
    @makalanimau4649 6 років тому +1

    sasa ni vizuri wabunge wote wawe na elimu ukipata wabunge kama hawa 100 abuluzwi mtu tena

  • @bernardbenedicto1373
    @bernardbenedicto1373 4 роки тому

    Ndugai hapa watanzania ulitutendea haki na munguu atakubariki.

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga9915 5 років тому +1

    Nionacho Mimi kuna watu vihiyo sana ktk serikali na wanaoangusha uchumi wa mtu mmojammoja na hata vyama vya ushirika,

  • @mohamedishabani7662
    @mohamedishabani7662 6 років тому

    mh. zito kabwa mungu akubariki sana naakulinde ili elimu yako iendee kutuelimisha hususani ss wanyonge.

  • @shabanikibana4279
    @shabanikibana4279 6 років тому +19

    Duuh!! Huyu zitto msomi kwelikweli anavyo dadavua mambo mpaka sisi wenye elimu ndogo tunamuelewa vizuri kabisa namshangaa huyo mbunge mbumbu anashindwa kuelewa jambo lepesi kama hilo!! Alafu eti ana digrii? Atakuwa bashite huyu maana anatia hasira kweli

    • @melejishangai6054
      @melejishangai6054 5 років тому

      Mi niliipenda sana mbunge huyu Kwa hoja safi na maelezo safiiiiiiiiiiiiiiiiii

    • @ibrahimmaganga3429
      @ibrahimmaganga3429 5 років тому

      Kwa kweli ztto ni mtu makini sana

  • @saidjagger.5543
    @saidjagger.5543 4 роки тому

    Dah chadema always is back, napenda chadema in love

  • @deogratiaselias3294
    @deogratiaselias3294 4 роки тому

    Very smart kichwani zitto aiseee

  • @tysondeo501
    @tysondeo501 6 років тому +21

    mimi kusema za kweli hua simuelewi uyo mama anaetoaga taarifa katikati ya mada muhimu

    • @chesconkwera2005
      @chesconkwera2005 6 років тому +1

      Tyson Deo hajawahi kuwa sawa msamehe bule

    • @khadijaaziza7586
      @khadijaaziza7586 6 років тому

      Tyson Deo yani hata mm namuona sana huyu mama atulii yani utakuta mada za maana utasikiya taarifa yeyety

    • @meckymwandambo3977
      @meckymwandambo3977 6 років тому

      Tyson Deo mapovu sasa ya nini shauri tu serikali itakuelewa

    • @beatrckombe2617
      @beatrckombe2617 6 років тому

      Tyson Deo ccm sunawajua?

    • @salmaazard9793
      @salmaazard9793 6 років тому

      xana

  • @yusufumpepo5836
    @yusufumpepo5836 5 років тому +1

    huwa nakukubali sana. ila hapa Tz watu werevu hawanaga nafasi na huwa wanaonekana wahuni.

  • @humudisalum2753
    @humudisalum2753 4 роки тому

    Namkubali jamaa sana

  • @abuusofian1224
    @abuusofian1224 5 років тому

    Upo vizuri muheshi miwa

  • @hassanmbonde4391
    @hassanmbonde4391 6 років тому

    zito mungu akupe maishamalefu

  • @jastinefaustin9982
    @jastinefaustin9982 6 років тому

    Big up Sana Zitto kabwe

  • @eliyamaganda8180
    @eliyamaganda8180 5 років тому +1

    Your so bright honourable zitto kabwe"""_

  • @anuaromary4753
    @anuaromary4753 5 років тому

    Kichwa hicho cha tz nice sana zito

  • @stephenulomi8364
    @stephenulomi8364 5 років тому +2

    hawa ndio wabunge wanaotakiwa bungeni

  • @teclanemes5166
    @teclanemes5166 5 років тому

    Uko vizuri Kka!

  • @brianbasela1160
    @brianbasela1160 6 років тому

    Smart sana bw. Ruyagwa.unatoa mawe sana.

  • @consolathahugo2238
    @consolathahugo2238 5 років тому

    Nakukubali sana Zito,

  • @albertosanga7744
    @albertosanga7744 6 років тому

    Information is power

  • @mussaamiry9823
    @mussaamiry9823 6 років тому

    we ndo hero apa tanzania kwanza napenda unavyo ongea yani ii ni sign kuwa we ni msomi mzuri sana

  • @mohamedsaidy2641
    @mohamedsaidy2641 6 років тому

    safi sana zito kabweeeee

  • @BRIGHTERMANGO
    @BRIGHTERMANGO 5 років тому

    Well said

  • @adamaabdallah7767
    @adamaabdallah7767 6 років тому

    Respect this man

  • @johnphilipoaugustino6100
    @johnphilipoaugustino6100 4 роки тому

    Mbunge mwenye akili hii nchi ni wa upinzani tu kwa kweli

  • @lucymwaipasi2792
    @lucymwaipasi2792 5 років тому

    Nakukubali jembe mtetezi wa wanyonge

  • @messithedon3114
    @messithedon3114 5 років тому

    Zito Ww Kichwa Sanaaa Aisee