Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Itakuliza.! HOTUBA YA KUSISIMUA NA HISIA KALI YA HAYATI MAGUFULI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 вер 2021
  • Tazama Dk 10 za hotuma ya #HAYATI #MAGUFULI Aliyekuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa #TANZANIA awamu ya nne akihutubia kwa hisia kali na kusisimua.

КОМЕНТАРІ • 172

  • @user-zg6qi7uo8h
    @user-zg6qi7uo8h 9 місяців тому +4

    Huyu ndiye alikuwA laisi wetu anauchungu na wananchi wake mungu amuweke mahali pema peponi. Tuseme. Ameni

  • @user-wh8qb4ho7p
    @user-wh8qb4ho7p Рік тому +5

    Mungu akuna mkubwa zaidi yako tuonyeshee miujiza katika kaline hiii😢😢😢😢😢

  • @peresjohn9763
    @peresjohn9763 Рік тому +12

    Mwenyezi mungu akupumzishe kwa amani mzee wetu, ulikua na future Sana...R.I.P

  • @user-yx5lv4pn4v
    @user-yx5lv4pn4v 10 місяців тому +3

    Mwenyezi munguakuwekesehemuzuri

  • @dorisjohn1272
    @dorisjohn1272 Рік тому +5

    Baba .ni..kweli. Tunakumbuka..Sana..baba. Yetu

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 6 місяців тому +1

    Our hero baba wawanyonge. President John Magufuli. Tunakumiss hapa Rwanda. Ulikuwa rafiki wa raisi wangu Paul kagame. Mashuja wa Africa

  • @HashifuHashifu-tx2xv
    @HashifuHashifu-tx2xv Рік тому +3

    Wewe magufuli mungu akupunguzie
    Azabu ukouliko akim wayote
    Nimungu Dunia mapito hakuna
    Mwehishimiwa zidi yamungu

  • @TadeusJoseph
    @TadeusJoseph Місяць тому

    Upumzike Kwa Amani Baba Magufuli🙏, I don't forget about National Development

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Рік тому +3

    Sasa angaria wanatuuza huku tunaona mungu akukumbuke mzee

  • @josephryoba9999
    @josephryoba9999 Рік тому +4

    Naumia kupoteza 😭😭😭😭

  • @ZahrasaidiSaidi-ux4ru
    @ZahrasaidiSaidi-ux4ru Рік тому +5

    Tunakukumbuka baba

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy Рік тому +3

    Inauma Sana

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 11 місяців тому +1

    Who's watching in 2023 After our legend JPM is gone.

  • @yusuphmarcelmasinde7263
    @yusuphmarcelmasinde7263 6 місяців тому

    Mungu ilitupa na kisha ukachukua kipenzi chako ,Mtetezi wa Wanyonge.
    Mungu uona sasa Watanzania tunalia na kuumia sana kwa kukosa haki.

  • @kuzenmndele
    @kuzenmndele 11 місяців тому

    Uncle magu pumzika kwa aman kaka wa mama ata mungu akupokee uendako tutakumiss sana

  • @user-zg6qi7uo8h
    @user-zg6qi7uo8h 9 місяців тому

    Huyu ndiye alikuwA laisi wetu anauchungu na wananchi wake mungu amuweke mahali pema peponi. Tuseme. Ameni ❤ 9:20 9:20 9:20 9:20 9:20

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Рік тому +4

    Pumzika kwa Amani Baba yetu. Huku wanauza Bandari yetu Baba malaika wako waje kutusaidia😢

  • @ZahrasaidiSaidi-ux4ru
    @ZahrasaidiSaidi-ux4ru Рік тому +8

    RAISI WA MFANO

  • @aminasaidi5010
    @aminasaidi5010 9 місяців тому

    Hakika ulikua unaona baba mambo yaliokuwayakitendeka kwa siri sasa nani atatuhurumia wamachinga baba kilakitu kimeharibika baada ya wewe kufa tunakuombea ulale mahala pema pepon amminn❤❤❤❤❤

  • @KhadijaJuma-zb7or
    @KhadijaJuma-zb7or 3 місяці тому

    Ee mwenyezi mungu muweke baba magufuri mahari pema kwani arikuwa ni shujaa wa watanzania🎉

  • @user-bc5kt8hh6n
    @user-bc5kt8hh6n 7 місяців тому +1

    Rest internal peace,, watanzania tunakuombea upumzike kwa amani daima maneno yako tunayakumbuka

  • @user-hr7xv1lb6i
    @user-hr7xv1lb6i 10 місяців тому +1

    Uka pumzike kwa Amani baba yetu.tulikupenda lakini yeye Alie hai ndiye amekupenda zaidi.🙏😭😭

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 Рік тому +3

    Walikuwa wanakusubir ufe waendelee kusafirisha makinikia. Najiuliza yale mashimo yanayochimbwa sijui watayafukia na nn, ili hali mchanga wanaupeleka ughaibun😂😂😂allah akuangalie kwa jicho la huruma. AMINA.

  • @HalfaSaid-vl6ki
    @HalfaSaid-vl6ki Рік тому +2

    Alisema mtanikumbuka😢

  • @jalimpanga9315
    @jalimpanga9315 Рік тому +2

    Huku tunakutafta jitokeze huko uliko umejificha wapi?

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh Місяць тому

    Safiii

  • @user-jo5ym6ev7n
    @user-jo5ym6ev7n 8 місяців тому

    ❤❤❤nalia baba mwema

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Рік тому +2

    Pumzika kwa amani baba..

  • @user-xv7vd2fq9w
    @user-xv7vd2fq9w Рік тому

    Magufuli we ndie unafahamu visuri nakupenda mzee

  • @stevenkalenzo6457
    @stevenkalenzo6457 Рік тому

    Baba Magufuli Mungu akupokee kwake

  • @SingoBirnvenu
    @SingoBirnvenu 3 місяці тому

    Nakukumbuka sana baba

  • @Bulayampuya
    @Bulayampuya 6 місяців тому

    Baba yetu umekuwa dira ya watanzania fikra zako bado zinazunguka akilin mwa watanzania pumzika kwa amani kama unamakosa Mungu akuhurumie ulijito kafara kwa watanzania mola akupee neema huko ulipo rais wetu hayati

  • @NduluMaguta
    @NduluMaguta 10 місяців тому

    Mungu akupumzishe kwa amani milele

  • @user-lj4te6rh6x
    @user-lj4te6rh6x 11 місяців тому

    Pumzika kwa amani mtetes wa wanyonge dua za watanzania wengi zikufikie Mungu akusamehe dhambi zako

  • @user-kx5dt5ih2i
    @user-kx5dt5ih2i Рік тому +1

    Jemedar wetu watanganyika pumuzika Kwa amani uliokuwa ukiakataa Kwa sasa ndo yanafanyika mikataba ya hovyo,Kwa kujali maslahi yao na watoto wao😂

  • @tadeusmartin8266
    @tadeusmartin8266 Рік тому

    Mungu tuinulie mtumishi mwaminifu

  • @user-zw4dx4go8o
    @user-zw4dx4go8o 10 місяців тому +1

    Jemedali haswa

  • @user-gj9wk9vt5y
    @user-gj9wk9vt5y 9 місяців тому

    Mungu amulaze maali pazuri alikuwa mtetezi wetu

  • @SalmahIddy-oz6wt
    @SalmahIddy-oz6wt 9 місяців тому

    Mungu mwenyez akulaze mahal pema pepon

  • @richardbagonza2031
    @richardbagonza2031 6 місяців тому +1

    RIP daddy

  • @user-xn5rb1gc8g
    @user-xn5rb1gc8g Рік тому

    Kwa kweli Mungu ungetuachiaga amalize ndoto zake.

  • @Ayrngalasian
    @Ayrngalasian 10 місяців тому

    Safi sana baba 1:03

  • @user-ow6wc1qv2h
    @user-ow6wc1qv2h 5 місяців тому +1

    Da akiyamungu chema akidumu

  • @MarcellabernardWella-vk3zh
    @MarcellabernardWella-vk3zh 9 місяців тому

    Godbless him forever

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Рік тому

    Nimeipenda

  • @user-yd6wk2gj8j
    @user-yd6wk2gj8j 7 місяців тому

    Baba
    Pumzka
    Kwa
    Aman
    Wanyonge
    Tunanyanyaska
    Sana
    Nan
    Atatuokoa
    Tuonyeshemiujiza
    Baba
    Hakika
    Ww
    Ulikuwa
    Raid
    Kweli

  • @user-ud5lt4me8e
    @user-ud5lt4me8e 9 місяців тому +1

    Tutakukumbuka dahima

  • @yusuphmarcelmasinde7263
    @yusuphmarcelmasinde7263 10 місяців тому

    Kipenzi cha wengi pumzika kwa aman Magufulification.
    Tunakumbuka na tutamkumbuka daima milele.

  • @mhochibiliclintony8625
    @mhochibiliclintony8625 9 місяців тому

    Walaji wote walishakusaliti mzee kuanzia alokua makamo wako waziri mkuu na hata mkuu wa majeshi mana ulivofariki vyote na yote uliyoyafanya yalionekana hayafai

  • @martinkipenya4592
    @martinkipenya4592 Рік тому +1

    Ulisema hatukukuelewa inauma sana

  • @ludotheplanet7475
    @ludotheplanet7475 9 місяців тому

    Mungu angemchukua hata samia

  • @user-wj4hc6fn2s
    @user-wj4hc6fn2s 9 місяців тому

    Daaaah😢!!!

  • @linahmatayo2650
    @linahmatayo2650 Рік тому +4

    Tunakumiss baba tuomboe uko uliko

  • @marystambuli8045
    @marystambuli8045 Рік тому

    Huna baya baba ulitufungua macho ukatutoa matongotongo, uliyoyasema leo yanatokea live! Tunakukumbuka sana.

  • @TeddyKisesa-xx3yb
    @TeddyKisesa-xx3yb 10 місяців тому

    Kweli baba makufuri tutakumbuka daima

  • @sr.elizabethmbuligwe5540
    @sr.elizabethmbuligwe5540 Рік тому +1

    Viongozi mliopo madarakani mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio na asikie mjifunze hata Kwa vitendo kutoka Kwa mtangulizi wenu mjiulize Sasa sisi tunaotaka kusaini hiyo mikataba msiisaini bila kujiridhisha

  • @KabadiKiloma
    @KabadiKiloma 9 місяців тому

    Ina uma Sana jaman😢😢😢

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 8 місяців тому

    Dah!

  • @user-jm9yw5cg9b
    @user-jm9yw5cg9b 9 місяців тому

    Mmmmh tutajifunza kwako baba😂😂😂😂😂

  • @PiusThadeo-li9oe
    @PiusThadeo-li9oe Рік тому +4

    Rais wa wanyonge

  • @user-ct5ts1wq9e
    @user-ct5ts1wq9e 10 місяців тому

    Huyu jamaa alikua ni kiongozi bora kuliko maraisi walio kutangulia

  • @user-br6rb5gz5w
    @user-br6rb5gz5w 10 місяців тому

    KIONGOZI THABITI MWENYE MSIMAMO HARISI KIONGOZI WA KWELI
    SIKILIZA HOTUBA HII LINGANISHA UONE

  • @hashakishabani4896
    @hashakishabani4896 7 місяців тому

    Ewe mola wangu mlaze mja wako huyu mahali pema peponi.ulitupa zawad ukatunyang’anya mapema

  • @Bulayampuya
    @Bulayampuya 6 місяців тому

    Hon maguful rest in peace 2takumbuka daima

  • @RopianMolle-yy6jo
    @RopianMolle-yy6jo 9 місяців тому

    Hakika ulikua shujaa ila Pi uliko Mungu akutuxe

  • @user-nh6zq5ce9y
    @user-nh6zq5ce9y 9 місяців тому

    Kwakweli tunakukumbuka sijui walikuelewa au walikuwa wamewaeka nta masikioni?

  • @issaissa1361
    @issaissa1361 Рік тому

    Kweli ulicho kisema tumesha salitiwa WATANZANIA huku nikiamini sana maneno yako kweli u aweza ukawa kiongozi wa malaika huko waje watusaidie eeee mungu baba mrudishe hata masaa mawili tu ashudie

  • @shazppetersolomon1822
    @shazppetersolomon1822 2 роки тому +1

    Duh!! 😭😭😭Jembe letu

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Рік тому

      Yani baba umeondoka na ibilis akarudi tena lakini mungu huyu asiyethalimu iko siku ambayo aina jina utainuka tena ipo siku watoto wa yatima wanateseka wajane awana vyakula mfumuko wa being ya vyakula uko juu but mungu ajawahi kushindwa ipo siku

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Рік тому

      Baba ulitufungua macho lakini kwakua mswahili alikosa elimu bass tumerudi kule kule baba ila baba magufuli utarudi tena

    • @BeatriceSaid
      @BeatriceSaid 10 місяців тому

      baba tumesha uzwa masikini tunajifia mama hata hatuoni, watokee hata ndotoni baba

  • @elishalameck-hj1qo
    @elishalameck-hj1qo 11 місяців тому

    Baba tutakukumbuka sana baba yetu

  • @EugeniaKimbe-ik1pi
    @EugeniaKimbe-ik1pi 10 місяців тому

    Hakika wema hawana maisha malefu

  • @mabhoto-dt8zi
    @mabhoto-dt8zi 9 місяців тому

    😂 jamani awe

  • @MichaelKabume
    @MichaelKabume Місяць тому

    Rip mwamba

  • @YonaKajiba
    @YonaKajiba 9 місяців тому

    Mungu amkumbuke😢

  • @SiyaweziManchare
    @SiyaweziManchare Місяць тому

    Vzur havidum ila ipo sku

  • @IsakaMnzajila-lf8fy
    @IsakaMnzajila-lf8fy 9 місяців тому

    Baba tangulia na tunafuata Dunia Inamengi

  • @MarcellabernardWella-vk3zh
    @MarcellabernardWella-vk3zh 9 місяців тому

    Kilamtu anamapungufu yake natahukumiwa namungu ajuaye yote

  • @jalimpanga9315
    @jalimpanga9315 Рік тому +1

    Tutakupatia wapi? Baba

  • @user-uj6ym9xy6y
    @user-uj6ym9xy6y 9 місяців тому

    😂😂😂 jamani basi tuu

  • @user-ow6vh6mz8u
    @user-ow6vh6mz8u 6 місяців тому

    Sawa

  • @veronicabundala3273
    @veronicabundala3273 Рік тому

    Wahenga walisema kitu chema hakidumu kweli baba upumzike kwa aman

  • @DeogratiasAugustin-qf7wx
    @DeogratiasAugustin-qf7wx 9 місяців тому

    ANCLE MAGU

  • @exploremountainkilimanjaro929
    @exploremountainkilimanjaro929 10 місяців тому

    Daa!!!! Rest in peace daddy

  • @babudingi-gd7pz
    @babudingi-gd7pz Рік тому +1

    Ndicho kinacho enderea mzee uku pumnzika pazuri

  • @neemamichael253
    @neemamichael253 5 місяців тому

    tunakumbuka baba

  • @user-bx5jg1rl9i
    @user-bx5jg1rl9i 9 місяців тому

    Tutakukumbuka daima

  • @stevenmbaga7238
    @stevenmbaga7238 9 місяців тому

    duuu maneno mangum sana yenye maumivu makali

  • @VeronicaJoseph-r6x
    @VeronicaJoseph-r6x 18 годин тому

    Nyimbo zakuabudu

  • @user-ps1nr6tp9u
    @user-ps1nr6tp9u 7 місяців тому

    Mng amlz mahali pema

  • @JohnIkumbo
    @JohnIkumbo 10 місяців тому

    Maisha haya shida 😂😂😂😂

  • @AshaJuma-yh6nc
    @AshaJuma-yh6nc 10 місяців тому

    Hadija yusufu

  • @levinapreus5492
    @levinapreus5492 8 місяців тому

    tutakuku m buka mtetezi wetu L.I.P

  • @glorysungura3180
    @glorysungura3180 Рік тому

    Kama roho inaona, basi magufuli tazama uyaone yanayotendeka sasa.

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 Рік тому

    Tunakuombea kwa mungu

  • @kandecharlessanduku1539
    @kandecharlessanduku1539 Рік тому +1

    R I P

  • @RaphaelPeter-cf5zs
    @RaphaelPeter-cf5zs 10 місяців тому

    akika uliipenda nchi yako nasi tuta kukumbuka

  • @peltrinechebet-xe2wd
    @peltrinechebet-xe2wd Рік тому +1

    Aki mung àkuweke mahali pema

  • @fatmaidi-uw3cs
    @fatmaidi-uw3cs Рік тому +1

    Tutakukumbuka

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana Рік тому +1

    Kamwe tutamkumbuka Jembe letu

  • @bibibomba4515
    @bibibomba4515 8 місяців тому

    ❤❤❤❤

  • @user-yx5lv4pn4v
    @user-yx5lv4pn4v 10 місяців тому

    Urikuwasahihi