“Nitawaburuza BASATA Mahakamani, nampongeza Rais Magufuli” -SUGU
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu SUGU amelieleza Bunge kuwa tayari ameunda jopo la mawakili wake sita kwa ajili ya kuiburuza Mahakamani Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) baada ya kudaiwa kuufungia wimbo wake mpya kwa madai kwamba hauna maadili.
Kama unamkubali sugu gonga like tusambaze upendo 🏃♂️🏃♂️🏃♂️😁😁
Kutoka r Chuga. Sugu respect hiphop legend
hahaha nakupnd sugu hujaenda kuzungusha mguu bungen lv u so much
Sugu anaishi uhalisia ambao amekua akiuongea kwa mda mrefu kwenye nyimbo zake,,,I really like this guy
Like kwa raisi wa Mbeya 😎
bigup kwako raisi wa Mbeya Sugu
daaaaaah sugu ww Nomaaaaa.......mbeya yako milele
You should be President of this country in the coming years.... Keep going Jongwe!
usichanganyikiwe kiasi hicho
Safiii 2 proud
ai, yooooooo am saluted you Mr sugu
Ahsante. Usimpige shonza.
😂😂😂😂 *Hahaaa aisee kama unamkubali Sugu gonga like hapa*
Aaah sugu 👍🏾
Nko pamoja n wew jongwee
Big up Sugu,komaeni kwani mko na mburura tupu kutoka chama cha majambazi na nakuunga mkono kuwaburuza BASATA mahakamani ili kutofoa nafasi ya kuwanyanyasa wasanii hapa nchini!.
😂😂😂😂😂
good work,ayo tv
Hakika hakuna wabunge ninao wakubali kama #Halima mdee na #Sugu na #Tindulisu💪💪💪 wapewape haoo ccm wanafiki sana 😆😀😀😀 hawampendi Rais wa Tanzanian 😩😩 majabu 😔safi sana sungu👌💪💪💪💪
Like em so much
Suguuuuuuuuu umenivunja mbavuuuuuuuuuuuu
Yani katika siku zote leo ndo nimekusikilaza sugu umenifurahisha sana
Tema madini mwanangu
Shikamoo sugu 😀😀😀😀😀😀wacha tumsubili mjomba hahaha
hahahahahahah eti mimi sio diamond wala roma duh huyu kweli sugu
Hatariiiii mambo nimotooooo,basata mnaleta mchezo na kazi zawatu
salute
Mbunge wangu
Mh, Sugu big up, kwa Sera zako umenikonga! Natamani nihamie Mbeya niwe Mwanchi wako , yote unayaongea katika vikao vyote Saluti kamanda! Mungu akujalie maisha marefu
maisha ya wabongo wengi tunaungaunga jamani tusikomoane.madaraka leo kesho raia.sometimes mshauri msanii sio kufanya maamuzi yaw kufungia tuu.kwa nini basi basata msianzishe kitengo cha kutunga mashairi muwauzie wasanii? tujue tunaimba.nyimbo za basata.toeni mashairi yenu waimbe.
Baraka Waya
My President suguuuuuuuuuuuu
nakukubar sana sugu
Wakwanza ku comment ✌✌✌💪
🔥
safi xana mh Sugu hy serikali inaendeshwa kibabe xana ila kila kitu kina mwanzo na misho
Unakua mpambe mpaka tajiri ananuna😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Lucy Tarimo 🤣🤣🤣🤣words
Lucy Tarimo ngja mi ntoke nduki🤣😂
yakizaz bandy
mbeya stand up
millard ..diamond katajwa ata ukimbanaia ..tutamskiaa..go to u túbe trendings.7 of top 10 list concerns to diamond..vgum sn kumshusha
219 nakukubareeee
toka lini mnawakopesha wapinzani 😂😂😂
Buluzaaa xan haooo mabwege basata😅😅😅😅
jongwe brother
..Tumsubiri Mjomba😁😁😁😁
waburuzeeeee
😂😂😂😂😂😂😂😂presha bakini nazo wenyewe😂😂😂😂
bunge
Safi saaana
onlymeruky mmh
kwa maslayi ya watanzania wote ladhima tujue nchi yetu ina kwenda wapi iliko toka wapi tunafanya nini kwa mslayi ya wa Tanzania wote
Duuu
🙏🙏✌✌
waburuze tu, walikurupuka kwa diamond akakurupuka nao wakanyooka, nawe buruza tu mahakaman
Apo kwenye plesha
Tutamiss haya mambo bungeni😀
Wabunge WA ccm msaidieni Raid amani,
Msigwa kacheka
awamu hii lazima mnyookeeee
Basata ni mbwa hawajielewi
Bunge limekuwa kama kilabu cha pombe za kienyeji aiseee!!!!
We kafanye mziki.. tuuu.. huna jipya.... hão wapumbavu tuuu hawana jipya
Mubunge wa Jimbo nyamagana hotuba zake bungeni dodoma
😁😁😁😁😁 tutafute rula ya kupimia dagaa..
Tatizo hii nchi sahv, serikal imekuwa inafanya vitu kwa mihemko, chuki, wivu na visasi mno, na kumkomoa mwananchi kwa makusudi kabisa,,,
Mick Skills TV
😂😂😂😂😂
Umechemka nyimbo inachonganisha hiyo
2020 atanyooka mtu
JIANDAYE KWENDA KUTUNGA HIP HOP 2020!!!!!
nimekuelewa kamanda
huyo demu mbona kapaniki
sugu unatishaa
undo uwalisia au
Babu kubwa jembeeeee
nyie c mtambui rais xaxa hyo rais gani
Sjawai kujua kua hii nchi inawanawake mataira km shonza mweny akil atanielew
Sinto kuandikia yoote ila watu Kama mbilinyi watafute kazi zakufanya majimbo yanarudi kwawalio tayari kutumikia wanachi
we uko mbwinde unatupangia sisi tuliomchagua kwa kura zetu huyu ndio mbunge wetu utaki baki hivo hivo
kwel ww ndo mbunge
Wambieni labda mwisho masikio yao yatasikia dawa
Sugu ni Mwehu asiyejitambua pumbavvvvvv
weche makambo ahahaaaaa ila wewe ni mwendawazimu unaejielewa
hawampendi kweli.rais fanya kazi.
weche makambo Wewe ni Ndezi
Wew ndie mpumbavu usiejitambua
Duu full poovu
😂😂😂😂😂
dawa ya xhonza ni Cmba...@
hahaha upambe adi tajir ananuna hahaha
wabungegan hawachangi hoja tunawanyima kula tutawapa upinzan wakatutete
Sugu hauko juu ya sheria Kama wimbo haukufata sheria? Utafungiwa tu hadi ufuate utaratibu wa kutoa wimbo. Mawakili hawana kazi? Mawakili 6 kwA HIKi kikesi? Ok yetu macho
Fala ww
This niga bwana hahahhaa
mwenye hii clip naomba anitumie Wasap 0714565324
Kumbe kuna sheria ya kijinga mpaka basata mpitie mashairi yote kabla msanii atoe? Duhhh!!!!
😂😂😂😂 mbona hajazungumza hoja za Kiuchumi ktk bajeti.
Tumewamiss chadema
hahaahaaa duh
Kweli upinzani umeisha tumebaki nawapinga maendeleo
Micky Kaserendei maendeleo yapi unayoyaona
hahaha haha
kwani ukilekebisha kiwanda kilicho lala na kikafanya kazi nikosa mpaka ujenge jengo jipya ndo kiwanda kionekane jengo jipya?
ww nijembe kwel
KAMA MLIPOWASALITI WANANCHI KWA KUMWITA LOWASSA FISADI, AMBAVYO NI KWELI, NA KULIPOKEA KULIPA UGOMBEA WA RAISI. NA MPAKA SASA HAMJASEMA KWA NINI MLIBADILI GEAR ANGANI KWA WANANCHI.
godfrey mbwambo hongera sugu
dadeq
Jembe hiro narikubari
hahahahahahah eti mimi sio diamond wala roma duh huyu kweli sugu