MFUNGWA Amshushia MAOMBI MAGUFULI Gerezani/HAIJAWAHI KUTOKEA!
Вставка
- Опубліковано 15 лип 2019
- MFUNGWA Amshushia MAOMBI MAGUFULI Gerezani/HAIJAWAHI KUTOKEA!
Katika ziara ya JPM mkoani mwanza, alifanya ziara ya kushtukiza katika gereza la Butimba, ambapo moja ya mfungwa alimshushia maombi ya nguvu rais Magufuli pamoja na viongozi mbalimbali wa nchi ..
#JPM #MFUNGWA
Https://ua-cam.com/users/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
EE MWENYEZI MUNGU SALA HII TUNAOMBA UIPOKEE, AMINA
Tanzania Imekombolewa Na Wafungwa watakombolewa Yes Kiozi Tunae Tunajivunia nchi yetu ss Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Kiongozi wetu Amina
Ebu tuache unafiki bana mh.RAISI Ana stahili pongezi👏
Kwelii
Nimependa maombi y mfungwa...mungu atakusaidieni siku mmoja mtakuwa uraiyani/mtakuwa huru..endeleeni kumwamini mw/ mungu haijalishi kosa lako ni kubwa kiasi gani mungu humsamehe kila mja
Wallah kanitoa chozi huyu kijana
amin
Kweli huyu mwombaji aliseya nini jamn?
@@hawaali8107 t
Kabisa haijalishi unapitia mangumu ngani lakini Mwamini Bwana wako
Hii htr! Mheshimiwa Mungu akuongezee nguvu zaidi na zaidi! Hii haijawahi tokea!
Dah this is gift from GOD rais anatembelea mpaka wafungwa J P M utatuachia nani kama wewe 2025 ukimaliza term yako baba
Sikuwahi kuona ktk awamu zote Raisi mchapakazi hivi, sioni atakayevaa viatu vyako bado, tuendelee kuomba Mungu Watanzania
Kweisi 😭😭💋💋💋💋
Nampenda Magu
Waafrica mashariki sanasana kenya twamtazama maghuli zaidi kuliko wa tz. Mna bahati kweli lakini akili yenyu msipoitumia na kumrudisha huyu baba, mtajililisha na mtulilishe nasi
Natamani kenya ingepata raisi kama huyu mungu tuongoze jamani
umenibariki Muombaji Mungu aonyeshe huruma yake Tanzania Bila wafungwa onawezekana
Maombi yamenikosha sana👏
Mungu mbariki rais wetu
Le President extraordinaire ça fait couler les larmes.Que Dieu bénisse le President tanzanien et son peuple.Vive la Tanzanie.
Mungu awasaidie katika jaribu La kukaa gerezani
Mtumishi alikutwa namtiani gani hadi afike gerezani jamani?
Hivi magufuli kweli ni mtu wa kawaida mbona a nawapenda zaidi watu wadogo ambao hawawezi kumplipa kitu? Machinga walikua wanapigwa 😭😭😭😭 Kasema waacheni walikua wanamwagiwa chakula mama ntilie😩😩😩😩 wanafunzi walikua wanafukuza Kasema waacheni wafungwa kaenda kuwapa moyo jamani tukimfananisha na kiongozi fulani wangine wa nakasilika mbona anatembea ka ma yesu magufuli lkn kwa mambo mengi?
😭😭😭 hayupo tena
Wallwah machozi furaha yamenitoka japo ni kidogo
PEOPLE PRESIDENT.
Hakika magufulli mungu akulipe kwa busara zako
Hakika maombi hayo yamefika kwa MUNGU ! Na MUNGU atayajibu .
Kabisaaaa.
Kabisa
Mungu akubariki sana Rais naona Mungu ndani yako.
Umeomba mpk nimelia machozi.
I love him he is a good leader bg up JPM.
Maombi mazr Sana,Magu nakuunga mkono kutembelea wafungwa na kuwasikiliza barikiwa Sanaa presdaa
Nashindwa kujizuia nakupenda Magufuri
Mungu wasaidie waja wako waixhi vizuri huko mpaka cku watakapoona uraiani
Tunamwomba mungu atupe uzima kilasiku ilikusudi tupate kufanikisha malengo na Mipango yetu
Ameni
Maombi hayo .tz hatujui kiatu chako nani atakivaa mungu tusaidie utawale milele
Amina
Jaman Mungu awe nanyi naona nyuso za kujuta mtatoka na muwe watiifu
Ubarikiwe kiongozi ulieteuliwa na mungu uliyaona na walioyasema utateta sawa na mapenzi ya Mungu mheshimiwa rais msaidie albino atoke
amina
Amina kamanda yesu akutunze
Jamanii jamanii ivi magufuli wewe ndo Tanzania ndo wewe Mungu ibariki 🇹🇿 Mungu mbariki Ally Happy
Mungu akubariki Rais wetu kupembelea magerezani.
Mwenyezi Mungu awasemehe kwa makosa yote na mhe rais na amini amewaangalia kwa Moyo wa uruma, mcjali mtatoka. Ameen, asante
amin kk mungu msaidie rais wetu jaman awe na moyo huohuo
Mungu awasaidie
Amina mungu awasaidie
Bless sana Mzee wangu magu
Waaaaaaaaaaooooooooooo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
voice wonder
Masiki adi nimeria😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏
Amen Amen
Jamani huyu mchungaji huo mwombaji anaemwombea Raisi nimtiani gani umemuleta hapa gerezani.
Atakua alikula sadaka pasipo kukusudia..mungu amsamehe sana
Pamoja sana mtumishi pia Mungu nawe alegeze minyororo iliyo mikononi mwenu....
Tunasalimiana tu!
"Miradi mingi hatukuiacha tunaiona kwenye TV"... Maneno yanaonesha jinsi unapofungwa unatengwa na jamii, unaimiss jamii na unakosa kuyaona mengi kwa uhalisi wake! Mungu badili mioyo ya wafungwa hawa ili waifurahie nchi yao nje ya magereza!
Mungu ampumzishe kwa amani kiongozi wetu
Amen %
Ayo makofi sasa..........
Oh Jaman speechless
Jahazi
Asante
Maombi ni muhimu,mahali popote
Hatuuzi Raisi wetu kpnz Magufuli oyee hapa kazi2
Amen ubarikiwe sana.
I respect makufuli sana ana ongozwa na Mungu
Yaani wewe mchungaji una maana kuliko gwajima mzee wa ngono
Barikiwa baba Magufuli
Umepewa hekima kama ya salomo.ubarikiwe daima
Haya ulaya na duniani kote haijawahi kutokea hakuna raisi hata mmoja duniani kawahi kutembelea wafungwa
Hakika
SALA YA MFUNGWA INAELEWEKA.
Kabisaa sala imepenya
Kwani mtumishi alifanya kosagani?
Tutakukumbuka sana hayat dkt jonh pombe uliye tuachia huku katugeuka
Mungu apewe sifa milele na milele
🙏🙏🙏
AMINA
Aaaaamina🙏
Ubarikiwe maguful kwa moyo wa upendo
Lbpv. C. . V.
Bfi
Lbpv. C. . V.
Bfi
Yana maguful ww nikiongoz nakukubal
Ameen
Ongera.Rais.magufuri.mtetezi.wawanyonge
Kitu kimoja ambacho kinaniguza sana na Rais Magufuli ni kutembelea wafungwa. Ni kitu kikubwa sana. Hapa Rais Magufuli anastahili pongezi
Nimeipna bab rais
Rais ni MTU wa watuu
Kenya huwesi hukaona kitu Kama,hii raisi was Kenya hawesi kupotesa wakati wake,ongera Raisi makufuli.tana sukua 🖐️ heko baba. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Move za kichawi
Magufuli baba lao
Heri kiongozi mwenye hofu ya Mungu maana ataitafuta haki ilipo
😭😭😭😭😭😭
Hii video maiangalia leo miaka kadhaa imepita but all in all rest in peace dear Maguful the only heroe ever existed in Tanzania🙄🙄🙄🙄🙄
Amen
Sasa hapa jpm unadeni yatakia ukamtoe huyu mfungwa na wengineo wenye makosa madogo alikuombea na umepata
Mungu sikuzote penye uovu huwa anaufunua
Ezekiel
Masikin
Pumzika kwaamani baba yetu magufurii watanzania tulikupenda Sana ila mungu kakupenda zaidy
Mungu mkumbuke Mfungwa huyu
Unafiki mkubwa, maombi ya kujifariji
.op
Hayo maombi yamfikie
Rais
Maombi yako yamenijenga sana huyu Mungu akutendeye kadiri utakavyo
Your
5:29
Tanzania mumejaliwa nahisi kama magufuli ogera baba ijapokuwa unamapungufu kama binadamu
Nimependa maombi hayo nami nasema ee mungu wa isaka,yakobo na ibrahimu mwinue raisi wetu popote dunian kwani anauchungu mkubwa na sisi watanzania nasi tunamwombea kila kila muda ili malengo yake na makusudi yake yatimie
Amina
Amina rais wetu
Hi I ndo ushirikishaji jamii wa ukweli, live evidence. Hongera JPM, nchii hii haki irapatikana tu. Mungu azidi kukupa nguvu na ujasiri.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏❤😘
Hohooohoho nasika bwana ananiita nilisikia sauti ya huyu kaka EE roho ananiambia kitu gani kina ni fanya nisiwe na huruma kama magufuli?
ninema raismagufuri kutembelea magereza hpngera kwa hilo
Pokemon 0
Kama.umeua.wewe.ufie.jela.wa.bakaji.vilevile.nduguzagu Tanzania
Mungu husamehe kwasababu kila mtu ni mkosaji.Tuwe na moyo wa kusamehe hakuna mwanadamu ajuae kesho yake.Mungu akutie Imani uwe na moyo wa kusamehe.
Amina
amina