Kamaliza Bundles kwa kufuatilia hotuba zako Nipo tayari nilale na njaa lakini Nijue kwa kila siku unaongea nini. Tulichelewa kupata Rais kama wewe. Najua wewe ni zawadi kutoka kwa mungu Mungu akulinde.
Siku zote hizo ulikua wapi mzee pole sana kwa kazi nzito unayoifanya wanaokupinga niwale ambao wamekosa myanya ya upigaji lkn wala usishtuke coz bado ni wachache ktk nchi yetu na hawana nafasi
Mimi m south Africa jah hundred thousand rand cash I have it lit now where can send please tomorrow we love you makufuli ninakuja uko morongoro kungombea cheo chochote kile kenye kuwatengenezea wana inchi maisha mazuri kwa watanzania wezetu kwasababu raisi wetu mapema kabisa kampeni tunapita bira jasho mabari amkeni mnayoyataka mnayapata kanali umesiki mjomba sasa tufanyaje kuusu mabaria wote to support makufuli wanaoishi south Africa wote Johannesburg pritoria Portethabert witbank Cape town Durban east London free state wote Richard bay tunaona fanya kazi baba wakimbie kama Sisi walivyo tukimbiza kukumbilia inchi za watu kwa siasa zao kwa manufa yao na watoto zao makufuri awee oyee 👍👏👏
Kama ulikuwa unamkubali DK magufuli gonga like hapa
Kamaliza Bundles kwa kufuatilia hotuba zako Nipo tayari nilale na njaa lakini Nijue kwa kila siku unaongea nini. Tulichelewa kupata Rais kama wewe. Najua wewe ni zawadi kutoka kwa mungu Mungu akulinde.
Comment yako nimesoma zaidi ya mara tatu alikua zawadi kutoka kwa mungu 😢
una akili saaana mpwa JPM alale pema
Daah pole sana
Tanzanian failed to protect this kind man
Mimi mkenya lakini namlilia hayati raisi John pombe Magufuli. JEMBE kweli. Pumzika Kwa amani.
missing you BABA haya mambo yalitupa UNDANI na UWAZI wa mambo ya WAJIBU na HAKI 😢😢😢😌😌😌🇹🇿
magufulification big up father the best one in the world🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Rais huyu Mungu ambariki sana.
I'm addicted to watching this man from kenya. Wa! Ndume huyu mh. Rais
Hakika watanzania hatutapata kiongoz kama JPM tuzidi kumuombea alale salama😭😭😭😭
Tutampata tuu
Tuombe Mungu .kwenye stoo yake naamini anao wazuri atatupa
@@luciasospeter6897Amen
Nimelia mnooooo😭😭😭😭😭😭we miss you daddy😢
Laisi mwenye hakili ndomaana uchumi ulipanda alikua na hakilii❤
Mungu akuhifadhi Rais wetu
Bado tunakupenda mungu ailaze rohoyako mahal pema pepon
Najivunia kuwa na rais mwenye maono
Allah ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi
Siku zote hizo ulikua wapi mzee pole sana kwa kazi nzito unayoifanya wanaokupinga niwale ambao wamekosa myanya ya upigaji lkn wala usishtuke coz bado ni wachache ktk nchi yetu na hawana nafasi
Vizuri havidumu 😢😢😢😢😢❤ baba pumzika kwa amani 2024 /7/9
Baba tunakukumbuka tunalia kwa uzslendo wako Mungu akuangszie nuru ya USO wake
Lala salama mzee ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dah sikumpa Kura lakini naijutia Kura yangu Bora ningempa tu
🤣🤣👍🙏magufuli his are very good Präsident..anajua hizo watu zinapata lushwa kwaleo zakomeshwa pesa yote yatoka 💝
hapa kazi tuu
Maguful huwez kumfananisha kimaendeleo na mtu yeyote . wengn wapuuz tuu
Hata Mimi ningechangia laki 5 maaana ni kwa maendeleo ya Taifa letu uzalendo kwanza, RIP John
Next Magufulificationilists notes tunazo tuendelee kula pindi....😎✍🏽
Ndio rais pekee wa kujivunia.ana upeo wa maendeleo.pumzika baba
Uzidi kuendelea kupumzka kwa Amani mpendwa wetu wa muda wote
Ruto anaambia moses kuria aty milioni moja na kuria amesema 10k 😅😅😅😅
Uras mzuri sanaa
Yona Kantu Kwanin Yona 🤩🤩
Nakupenda❤🎉 yaani
Dahhhh
Hakuna kama Magu😢😢😢😢😢😢😢
Miami ni mukindi nikukumbush baba wawanyonge nalia Mungu nakuomba umulaze kwaamani Raisi ayati magufuli tunakukumbuka😭😭😭😭😭
Tumekukumbuka Baba Magufuri Pumuzika Kwa Mani😢
Hii pressure haiko kenya 🇰🇪 mmekaliwa Tanzania
Aiseee umetuweza baba🙌
Hakuna Kama uncle magu
Très bien
Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi
😢😢😢 Tanzania nchi yangu
Hakika mungu Akutunze uko uliko baba twakulilia bado daddy 😭😭
Tutakukumbuka kwer. Baba yetu hakuna mwingine ira tumuombee makonda kwabadae aje aombe kura awe rahis
Dady I miss you
Wananchi tunamuelewa...wapigaji mtaelewa tu
R I P uncle Mumagu
Bado unaishi moyoni mwangu😢😢😢😢😢😢😢😢 JPM
Rais kama huyu atoke wapi rest in dear brother
Hakuna wakufananishwa na Magufuli
Cha upole mama kipenzi chetu. Maumivu. Ni makubwa roho inauma sana
😮jamani
😭😭😭😭😭😭
Mzee aacheni akumbukwe tu kwa mengi aliyoyafanya
I miss you JPM
Pumzika kwa amani ❤❤❤❤
Yan tumepoteza mtu muhim sana mungu kwann lakini?
😰😰😰mungu akurehemu huko ulipo baba
Eti nazitoa hapa hapa!😥😥
Hadi mke duh
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............
BABA 😢😢
Ndo inavyotakiwa baba ulifanya kazi mpaka nikupenda lkn ulivyoondoa baba mambo........
Kipenzi chetu rais nimekukumbuka sana machozi Yamejaa
piga kazi haswaaa kama selikali yako ulivyoahidi ila Kilosa mifugo yatusumbua sanna wanalisha mashamba Yetu maksudi mkoa WA morogoro tunaumizwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Raaaha sana wachangishe hao
Magufuli gelezai kwimba mwanza
Mcheshi mno prezzo
Tumemiss sana haya mambo ila ndo basi tena
Continue rest in peace
KWELI HUYU ALIKUA MWAMBA, MWAMBA KWELI KWELI.
Duh ukiwa na Rais ujipange tu maana hapa kazi tuu
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23 🎉
Mie huwa inaniuma sana nilitamani uwepo
Mmh Sina hata chakusema
Kipenzi cha watanzania
Matokeo kidato cha nne 3:19
😢😢
😢
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23
Alekumsalam😅😅😅😅 nmecheka kwel
Endelea kupumzika kwa amani baba
Makin
Rip
Msifikiri sijaoa.
Lala xalama baba 🙌 😂😂
Inauma natokea kumpenda huyu magufuli baada ya kufa jamani😢
😅
😂😂sasa kwann umechelewa kumpenda
Pumzika. Kwa. Amani
Baba
No no
Mh Rip
Kiswahili sanf
Hakuna kama wewe hata tokea
Ni wachache
😂😂😂😂
Mimi m south Africa jah hundred thousand rand cash I have it lit now where can send please tomorrow we love you makufuli ninakuja uko morongoro kungombea cheo chochote kile kenye kuwatengenezea wana inchi maisha mazuri kwa watanzania wezetu kwasababu raisi wetu mapema kabisa kampeni tunapita bira jasho mabari amkeni mnayoyataka mnayapata kanali umesiki mjomba sasa tufanyaje kuusu mabaria wote to support makufuli wanaoishi south Africa wote Johannesburg pritoria Portethabert witbank Cape town Durban east London free state wote Richard bay tunaona fanya kazi baba wakimbie kama Sisi walivyo tukimbiza kukumbilia inchi za watu kwa siasa zao kwa manufa yao na watoto zao makufuri awee oyee 👍👏👏
Waooooo
P
Hahahahhahaaaaaaa
Ni kick hzo
Bora Kiki zinazofanya kazi
Kuliko Kiki za mabango nchi nzima
Zisizofanya kazi
Pppppppppppppp
Ndo inavyotakiwa baba ulifanya kazi mpaka nikupenda lkn ulivyoondoa baba mambo........
Ndo inavyotakiwa baba sema tu cku hiz toka umeondoka duuuuu. Ila pumzika kwa amani maana siku hizi toka ulivotutoka imekuwa............ 5:23