Wasemaji wote mbele ya Rais Magufuli aliyetuondokea nimepatwa na Uchungu wa Machozi Rais wa Wanyonge pumzika kwa Amani Wananchi babo wanakukumbuka kwa wema wako
So now Magufuli had tojust leave us with tears. I hate to question my God, but God are we so cursed not to deserve such blessings of people like these ones? Kuna kipi tunaweza kifanya ee Mungu ili sasa adhabu yetu ifike tamat nasi pia tufurahie uongozi kama huu. Asante sana Tanzania kwa kutupa huyu ambaye Kenya na Afrika nzima tunamenzi sana.
Sasa mtu amekamatwa Kwa ishu ya mafuta, halafu anapewa kesi ya mauaji...hii imekaaje ndugu zangu watanzania!? Tutampata wapi mtu kama huyu, ambaye Mungu alikaa ndani yake?
DAAAH WE MUNGU KAMA ALIKOSEA MAHALI UNGEMPA HATA NAFASI YA MWISHO, KAMA ULIVYOMPA EZEKIEL, HATA HIVYO TUNAJUA WEWE NI MUNGU, NA KILA UNALOLIFANYA HALINA MAKOSE, TUNAKUSHUKURU HATA KWA MUDA ULIOMUWEKA KUWA RAIS WETU, HAKIKA MENGI TULIJIFUNZA
Hakika Magufuli umetuachia majonzi makubwa. We really miss you. Tutakukumbuka daima. Haya mazuri hayazungumzwi ila wanatoa kasoro tu wamesahau kwamba hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu tu. RIP Magu.
MHESHIWA MM NINA OMBI ..WAFUNGWA WAFANYE KAZI NA PIA WALIPWE MISHAHARA KAMA WANAOFANYA KAZI URAIANI, WASAIDIE FAMILIA ZAO NJE ..MAANA KUFUNGWA NI KUNYWIMA UHURU TU ,LKN TUKIENDELEA NA MATESO JERA TUNAPOTEZA NGUVU KAZI.
Wakuu kazi nzuri, hizi title za video ingependea kama zingekuwa zinaakisi tukio husika ile iwe rahisi kuzitatuta kwenye mtandao, kuliko kuziita "Ikulu Tanzania Mubashara"
Magu bwana eti mguu wa 3 unafanya kazi 😅😅😅 mlemavu nae kasema alitomba daah...ila kiujumla inasikitisha sana lakini magu alikua rais wa wanyonge kweli..rip
Yan huyu mzee hyu ni1kwa1 pepon kabisayan❤❤❤❤jonh
Mungu ailaze roho ya marehem magufuli mahalipema pepon
Mlio mkumbuk magufuri 😢😢😢 tujuane
Tumtoe wapi raisi kama huyu kwetu Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 😭😭😭
Ila huyu raisi alijitoa sana wala hakuogopa kua angeweza hata kudhuriwa na hawa watu,, Magufuli endelea kupumzika kwa aman😭😭😭ndo Nyerere wa pil
Amina ♥️♥️♥️
Leo nimemkumbuka Sana mheshimiwa mpaka machozi yamenilenga mungu amlazemahalipema peponi
Amina
Amina
Yuko wap uyu rafiki yangu what a lovely president 😭
Afande Kaufyata Mkia Hahahaaaa Chezea Magu Wewe
😅
😂😂
Nimejikuta naliatu kiukweli
Kukosa ajira ndoo kulifanya nione ww mbaya lakini ilikuwa ni maslahi ya kwangu na ya Kijinga ,,, hakika ulikuwa bora basiiii leo nmetoa machozi
🤔🤔
Raisi wangu umelala chato,kwa sasa tunaishi kama wakimbizi kwenye nchi yetu
Pole baba makonda anakuja Tena huyu mwingine tangu aingie madarakan nikuzurura tu makonda anakuja baba kuwa na aman
Hakika mungu hajawah kuwaacha walio wake mungu nimwaminifu anatenda Kwa wakat tusio udhan.
Umemuuliza swali la kiufundi huyu mfungwa wa Mwisho. Kama mguu wa tatu unafanya kazi.
Tunapenda kizazi Chalo kikurithi na kifanye Kama unachokifanya RIP my 😂🤣😭❤️❣️💘💛💚 President
Kweli tulimpoteza mutu muhimu katika taifa letu Mungu Amulaze mahali pema 🙏🙏🙏🙏
Wasemaji wote mbele ya Rais Magufuli aliyetuondokea nimepatwa na Uchungu wa Machozi Rais wa Wanyonge pumzika kwa Amani Wananchi babo wanakukumbuka kwa wema wako
Magufuli mungu amulinde kweli. Gereza za hapa Kenya zaidi ya asilimia 50% ya wafungwa ni kusingiziwa au kutopata lawyers wa kuwatetea vilivyo.
So sad alinyakuliwa malema mno
Muheshimiwa Raisi ameongea kwa hekima kubwa sana aiseeh. Mungu amuongoze vyema.
T
😊
Amina 🙏🙏🙏
Jaman namkumbuka babayetu wa taifa rais john pombe magufuli tunakukumbuka sana laiti ungekuepo leo
Mungu akueke mahali pema na naomba kizazi chako kiwe na muongozo kama wako
Rest in peace mkuu....Mungu Baba naomba utupe Raisi kama huyu wa Tanzania.....Aamiin
haitakuja kutokea tena
Mungu amlaze marehemu JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI mahali pema peponi amina
Amina kubwa 🙏🙏🙏❤❤❤
wema awana maisha cku zote
Kweli 😢😢😢
Huyu ndie Rais siyo sasa Raisi hajui hata watu wake wanaamka vip
MUNGU tusaidie tupate kiongoz kama huy anaye sikiliz kero za watu masikin
Hii inatufundisha mengi lakini kikubwa tuamini kuwa kiongozi sio kazi ndogo...Respect to you my President
Mungu akusamehe makosa yako kutoka ndani ya moyo wangu na akupe pepo unayo stahili kiongozi wa Africa
Amina
Km mmungu angetukubalia,amrehemu Rais wetu😢
Mungu aendelee kukutia nguvu baba wa baba la Taifa na uzao wako ukabarikiwe
Pumzika Kwa amani Mzee wetu
Moyo unaniuma mno, tupo huk tuna furahia maisha wezetu wanalia mno, Mungu wape wepesi wanao
We will never forget you
Natumaini kazi aliyoacha Rais Magufuli wakati wa Uhai wake inaendelea kufanyika kama aliyosema alipokuwa hai
Nothing to say ila tamkumbuka sana mzee magu mungu ampunguzie makosa🙏🙏💯💯
😭😭 ingekua inawezekana kurud we baba ningemuomba Mungu kwa bidii zote ili urudi tena Dunian
So now Magufuli had tojust leave us with tears. I hate to question my God, but God are we so cursed not to deserve such blessings of people like these ones? Kuna kipi tunaweza kifanya ee Mungu ili sasa adhabu yetu ifike tamat nasi pia tufurahie uongozi kama huu. Asante sana Tanzania kwa kutupa huyu ambaye Kenya na Afrika nzima tunamenzi sana.
MUNGU akubaliki
MAGUFUL ULIKUWA MWANAUME WA SHOKA
Sasa mtu amekamatwa Kwa ishu ya mafuta, halafu anapewa kesi ya mauaji...hii imekaaje ndugu zangu watanzania!? Tutampata wapi mtu kama huyu, ambaye Mungu alikaa ndani yake?
Mungu ailaze roho ya marehemu peponi amen
Achen tu kwakweli huyu baba Mungu ampe pumziko la milele
Umenigusa sana Rais JPM.
Umejibainisha kuwa wewe ni Rais wa wanyonge na mtetezi wao.
Barikiwe sana Rais wetu
No one like you baba😢😢
2022 November 😭 Rip my father John
DAAAH WE MUNGU KAMA ALIKOSEA MAHALI UNGEMPA HATA NAFASI YA MWISHO, KAMA ULIVYOMPA EZEKIEL, HATA HIVYO TUNAJUA WEWE NI MUNGU, NA KILA UNALOLIFANYA HALINA MAKOSE, TUNAKUSHUKURU HATA KWA MUDA ULIOMUWEKA KUWA RAIS WETU, HAKIKA MENGI TULIJIFUNZA
Mungu wetu mwema tupatie tena kiongozi mwenye hofu ya kukuogopa wewe Mungu
True leader,chosen by God him self...
Jamaa anamuangalia vibaya sana mfungwa..
Huyo jamaa alieomba ni hatari sijawaah sikia,nasema sijawahi sikia.❤
😭😭😭mungu ailase mahali pema Peponi mbado nakupenda sana ❤❤
Hatutapata Rais kama East Africa nzima tunakutambua uliko 🙏 RIP Kiongozi
Najisikia vibaya moyoni mwangu kwajili ya kifo Cha hiyu binadamu Bora zaidi kuwahi kuishi ktk taifa langu mungu wewe ndio unajuwa pumzika kwa amani
Huyu rais nilimpenda xan i wish angekuwa rais wa kenya was a man of God kabisa alichaguliwa na mungu
I have no question to ask you God you had a reason to take Magufuli ,am kenyan but this was the best African president continue resting in peace 🎉
Mweshimiwa rais makufuli mwenyezi mungu akulinde mahali pema peponi
Ulikuwa na uzalendo Baba Rip no one can replace you
Ilikuwa raha sana wakati upo rais wangu mpenwa❤❤❤❤❤
Fundisho sana na kwa viongozi wengine alikuwa na hofu ya mungu huyu kiongozi
Huyu ndiye Rais halisi
Rest in power comrade rais John Pombe Magufuli. You were a blessing to us.
Lllllllllllllllll
Laiti wangekuwa wanarudi ningeomba huyu arudi jaman, ila yote sawa mungu ampe maisha ya raha
Hakika Magufuli umetuachia majonzi makubwa. We really miss you. Tutakukumbuka daima. Haya mazuri hayazungumzwi ila wanatoa kasoro tu wamesahau kwamba hakuna mkamilifu isipokuwa Mungu tu. RIP Magu.
A long night!!! 😭😭😭 knowing that this can never be replaced!!! Its gone and its gone Glory to God!!!😭😭😭
mimi ni mkongomani ila tuta kukumbuka daima.
Ivikweri baba ameenda kuskojurikana rest in peace babanimekukumbuka duuuh 😭😭😭
Tunakukumbuka sana,chema hakidumu
Kuja kwangu hapa Ili wewe UINULIWE hahahahaha ila magufuli jaman😭😭
Rest in peace kiongozi wetyu
MHESHIWA MM NINA OMBI ..WAFUNGWA WAFANYE KAZI NA PIA WALIPWE MISHAHARA KAMA WANAOFANYA KAZI URAIANI, WASAIDIE FAMILIA ZAO NJE ..MAANA KUFUNGWA NI KUNYWIMA UHURU TU ,LKN TUKIENDELEA NA MATESO JERA TUNAPOTEZA NGUVU KAZI.
Tatizo wakilipwa mishahara wafungwa wataongezeka
Point
Magufuli Oyeeee
Asante Rais wetu
This was a gospel God nionyeshe Mungu
This was a man of God
Mungu wajalie wote
Kwani hawa wanaojiita watetezi wa wananchi wanapotoka magereza mbona haya huwa hawayasemi?
Jamani hakuna Rais ambaye atavunja record ya huyu mwamba.Mungu ampumzishe kwa amani.Amepigana vita mwendo kaumaliza.Apumzike kwa amani.Amen
HE WAS A GOOD 👍 PRESIDENT
''Hata sisi tuliopo hapa, ni wafungwa au mahabusu wa baadaye''. Ni ombi langu kila siku, siku moja ikiwezekana niwe Magufuli wa pili hapa duniani!!
Una mawazo kama yangu kaka angu
Wakuu kazi nzuri, hizi title za video ingependea kama zingekuwa zinaakisi tukio husika ile iwe rahisi kuzitatuta kwenye mtandao, kuliko kuziita "Ikulu Tanzania Mubashara"
Dah ila.Magu asee Mungu amsamehe makosa roho ailaze mahali pema
Mungu aturehem maana tulikua na lulu tushndwa kuielewa haraka but hakika huyu alikua rais halali hatatikea mwingine
RIP from kenya we loved uuuuu
😢😢😢😢 kwa kweli tutakukumbuka daima
Magu bwana eti mguu wa 3 unafanya kazi 😅😅😅 mlemavu nae kasema alitomba daah...ila kiujumla inasikitisha sana lakini magu alikua rais wa wanyonge kweli..rip
❤❤❤❤❤❤❤ lala kwa amani
God Bless Him ,Tanzania and Africa as a whole is mourning him
Mungu wetu tunashukl sana kwa rais john pia tunaomba utujalie rais mweny hofu ya mungu
Mwenyez mungu ilaze loho ya mpendwa wetu palipo pema
Nimepita kurudia rudia mambo yako mzee wewe hakika ulikuja kwa mipango ya MUNGU. Na kila kauli yako ulisisitiza tumtangulize MUNGU
😭😭 kama kweli Kuna mwanadamu anaehusika na kifo chako, kabla ya kufa kwake lazima alipie hilo😭😭
Vya ilikuwa kubwa sana kweke wote tutalejea huko
Mwenyezimungu amulaze pema peponi R.I.P Magufuli
Ase hyu alikua ni Rais wengne mtapita tu jaman haitawahi kutokea kumputa mtu kama Magufuri
Wengine kama Majin tu
Mungu akuzidishie pumziko la milele
Mbona maraisi wengine wasiige mienendo ya huyu kiongozi mpenda watu
Rest easy John pombe magufuli
Mungu saidiya afrika utupe viongozi kama Magufuli
shujaa wa African ,wewe na mandela, sitawasahau hata kamwe
Mimi katika maisha yangu sijawahi kumpenda rais kwa kiwango kkubwa kama Magufuli
Tutakukumbuka daima babaaaa😭😭😭
Pumzika kwa Ani mzee wetu,kiongozi wetu mpendwa.....tunakukumbuka Sana.
😭😭😭 ilikua mtu wangu aki mingu airehemu roho yako jamani
Rip ntakapo fika mbinguni nimkose makufuli ntajua nmekosea jia ya mbinguni love from Kenya
Mwenyezi mungu akupe pumziko la milele Amina 🙏🙏🙏