CHEKECHE || Miaka miwili ya vita vya Ukraine, tunaelekea wapi?
Вставка
- Опубліковано 16 лют 2024
- Februari 24 mwaka 2022 Urusi aliivamia Ukraine na kufanya mashambulizi mfululizo ambayo kwa mwaka huu yanatimiza miaka miwili, huku kukiwa hakuna dalili ya kusitishwa.
Tunaelekea wapi?
Imehaririwa na John Mbalamwezi
#chekeche #ukraine #azamtvupdates #azamtv #mashambulizi
Urusi haijafanya uvamizi bali wanafanya oparesheni kuondoa wanazi wanaotumiwa na mabeberu Marekani, Nato na nchi za magharibi kutishia usalama wa Urusi.
EXACTLY
Uyu anachukua taarifa nyingi kutonga magharibi nyingi props ganda
Nimependa iyichekeche nimakala mazuli san nimependa naomba mtuongeze sehem 2part napenda from 🇧🇮🙏
Safi sana bro watanzania tunawapenda warundi
Rabi bana unatakiwa unatakiwa utuombe radhi sis waelewa Tim rasha wapenda haki, ilanaona umenawa USO ukatoa tongotongo Asante sana ulituboa sana happy awal
Mrusi ni tajiri sana sana
Mko vizuri sana uchambuzi wenu uko sahihi kabisaa nawapa asilimiaa & 💯 na uo ndo ukwerii
Rabi kabadilika kaukubari mziki wa Putin
Simon ndugu yangu tuombe Mungu Kwa Imani yetu atuepushe na vita sisi na hata nchi zinazogombana ,tusisifie upande wowote hata Israel na Palestine tuombe waache vita ,Mungu atuhurumie saana
Leo ndo nimeshangaa kuona Labi anakubali urusi kua atashinda vita
Hata mm
Ongezeni mdawakipindi hata sana 1
Asante sana kwa uchambuzi, ila kipindi mda uongezwe.
Ukraine inapoteza kila kitu watu,makazi n.k lakini kumbu kumbu nzuri Ukraine si nchi bali ni kipande kidogo kilichomegwa na waasisi wa nchi ya Urusi kwasababu mbalimbali mfano baadhi ya waasisi waliamua kugawa maeneo mfano Donetsky n.k kwasababu nyingi mno upande wa nchi za magharibi bado shida yao ni kuvunja ngome ya Urusi na Soviet jambo ambalo bado magharibi wataendelea kupoteza tangu enzi na enzi
Uchambuzi Safi ,
Nimefurahi kuskia Rahbi keshaanza kuwaelewa warus maana vita ilipo anza miaka ile alikua anaona Russia ingepoteza vita hiv na akawa upande WA Nato.lkn bado ndio mchumbuzi wangu pendwa hapa nchin
Nikweli alikua mbishi Sana huyu Labi leo amekubali matokeo ya vita sema uraaaaaaaaaaa
Huyu alikua chawa wa nato
Jaman Kwan Urusi anapigana na nani mbona yanatajwa na mataifa mengine ambayo yenyewe Yana amani nchini kwao?
Kipindi cha chekeche kiongezwe muda aisee angalau iwe saa moja.. kipindi kizuri sana
Magharibi inapaswa kuangamizwa moja kwa moja
Poa sana ndugu mchambuzi
Huyu jamaa nakumbuka wakati vita inaanza alisema Urusi itashindwa,kwa vikwazo na kila kitu ila nilitoa comment yeye yupo pro EU na leo naona kama bado haoni future ya USSR inabidi asome historia vizuri kabla ya kusikiliza hotuba au mahojiano ya viongozi.
Labi Vagner wako chini ya Urusi
Hapo nilishangaa mchambuzi kuitofautisha urusi na wagner hajui au kapitiwa tu
USHIKE ADABU YAKO MTANGAZAJI : URUSI HAJAVAMIYA ANAFANYA OPARATION MAALUM
Irusi amei vamiya ukrenie kama wewe aujuwe kama ukrenie aiva miye ina maanisha nini
Uchambuzi mzuri
Super uchambuzi.
😂😂😂😂😂😂😂 npo namrusi mpaka mwisho
pamoja kaka
Upo sawa mchambuzi ata kw kumbukumbu km Boris Johnson amekataa kwnn meya wa Ukrain aseme kwmba makbaliano ya Amani kati ya Russia na ukrein yamezuiliwa na Boris Johnson na kusema wapigane,, wamemuingiza mwezao mkenge
Karibu nusu ya watu ulimwenguni wapo China na India.. hivo Russia ikiwaulizia wao inatosha na wanaonunua hata walioweka vikwazo mwenyewe.....
Sawa sawa bin sawia kwa mazunguzo na mjadala.
Hhhhh nataka baiden hongeren sana mada ipo poa mjadala mzur
Mchambuzi ((respect for you!!!!
Sasa watalipwaje wakati hali ni mbaya
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍.
Mashoga wa NATO sio watu wa kuaminika kabisa kabisa.. Russia inapaswa kuipiga Ukreni mpaka ifutike kwenye Ramani ya Ulimwengu....
Warusi wana mafuta,gas,kupita mpaka,pamoja na dhahabu nk
Munachanmmbua vizuli tupo pamoja
Achambuzi wenu nisahihi
Putin baba lao❤❤❤❤❤
Huyu jamaa akizungumza muda unaenda mbio sana.... Muongeze muda
Next week tuletee thabit mlangi
Hahahahahahahahh Putin Putin Putin huraaaaa kweli ukiujua wa mbele mm naujua wa nyuma nzi kasema
Russia kasha chukua tenah mji mwingine
Wachambuzi Amandazi
Kachambue we mtaalamu
Mumeanza kusema ukweli hahahaa
Pumbavu mchambuzi hauna akili sawa sawa kichwani. Hauujuwi kitu unapelekwa TU na vyombo vya magharibi
Hiki kijamaa hawa kina jitahidi kuikosoa urusi ila imefika wakati maji na mafuta vimeanza kujipanga 😂
Huyu Putin ni mlaku wa wa kunywa damu za watu siku yake yapo I katibu sana
God bless russia,heaven of the world.
Leo ndo nimeshangaa kuona Labi anakubali urusi kua atashinda vita
Aiseee huyu mwamba Leo kakubali hata mm nimeshangaa
Wenzio wanaangalia uelekeo maana vita kila siku inapiganwa.Rahbi anaweza kuwa sahihi kwa wakati huu, ila siku mambo yakibadilika basi nae atabadilika pia.
Leo ndo nimeshangaa kuona Labi anakubali urusi kua atashinda vita
Amejizima data unamkumbuka interview zKe za nyumaa mkuu