Yaan elimu unayotoa hata darasani huwezi kuipata#hii ni elimu ya intelligence ya hali ya juu unayoitoa lkn kwa wale wanaoelewa tu#naskiliza unyama huu kutoka nchini esrael❤❤❤respect sana Dj Smaaa
Nasikiliza kutoka tarime,rafk,katika maono yangu juu ya hii vita,ni kumuinua mpinga kirsto na kua na dini Moja,serekali Moja na pesa Moja,ili wamkabizi mpinga kristo utawala wa Dunia,
Mwenyez mungu amewaalaan wale ambao wanadhulumu uhai wa mtu mpaka siku ya kiama mimi siungi mkon kabisa wala sitak ushabiki kama umeshawahai ona vita huwez kuwa shabiki hakuna sehem watu ni immortals ni nafsi za vijana wadogo wanateketea kwa tamaa za upumbavu wa kukumbatia dunia ambayo wataiacha
Kusema kwamba Urusi hawezi kushindwa hii vita nikujidanganya cz alisema anaweza kuichukua Kiev siku tatu ikashindikana. Akaja na mkakati wa kunyakua majimbo ya kerysone, Zaporozhye na eneo la Donbas ( Doniesky na Lugansk) na ukiangalia ukiacha doniesk ndio analidhibiti lote haya yaliyobakia anadhibiti % fulani tu. Lakin ukiangalia kiuhalisia hata ichukue miaka mitano urusi hawezi kushinda hii vita kwa facts zifuatazo. Urusi uchumi wake una shrink kutokana na vikwazo. Warusi wengi hawaungi mkono vita bali ni matakwa ya mtu mmoja. Jeshi la urusi linaonekana ni dhaifu cz kama mamluki wa Wagner elfu 25 walikuwa wamrshachukua miji kama Rostov katika kipindi cha uasi (mutiny) wa yevgen prygozhiny na barabara za madaraja yaliyokuwa yanaelekea Moscow yalivunjwa kuwazuwia Wagner elfu 25 vipi NATO wakiingia na jeshi la watu laki 5 au 6. Nchi marafiki wa urusi wanaogopa kumsaidia kukwepa vikwazo. Tactical za kivita Russia hana weledi ndio maana anashambulia ovyo maeneo ya kiraia kujenga hofu. Urusi anategemea sana vipuri vya zana za kivita kutoka nje na ndio maana sasa ana modify dhana zake za enzi ya Soviet vilivyokuwa havitumiki kutokana na vikwazo. Yaani zipo sababu nyingi sana Russia kupoteza hii vita, kitu ambacho Urusi anaringia ni silaha za nuclear lakin sio yy peke yake anamiliki silaha hizo. Itoshe kusema hii vita ni ngumu kwa sisi ambao tunaifuatalia ila ni rahisi kwa hawa wanaomuunga mkono Dj Sima😂😂😂😂
Msiwe mnashukuru muwe mnampa ata ela ya maji mnapewa madini lakin mnabaki kushukuru 2 wabongo bhana mnaboa kama baba levo dogo dj sma toa namba 2kupe za maji maan unatoa madini
Me nipo upande wa urusi 💯 lakini hapa kwa NATO kuzichapa na urusi kwa sasa sizani kama mtu mzima Putin atatoboa hawa jamaa wapo vizuri sana now wamemnyon‘gonyesha mrusi mwaka mzima now wakati sahii wa kuingiza miguu cz washajua kuwa ukali alionao sasa hauna mazala tena kwa NATO
Ndio maana wamemuongeza mda tena Katibu mkuu wa NATO kuhudumu Kwa mwaka tena.. hapo Kuna mbinu ya Siri ipo... Ukreni hawezi kujiunga na NATO zipo Nchi zinapinga kabisa Ukreni kujiunga na NATO... Ukreni amesaidiwa sana kukomboa kituo hicho ameshindwa na kupingwa vibaya sana sana!!!!!
muongo huyu sijui kabila gani manake anakisabengo kama ..anatuletea uchambuzi wa fikira za watu wanavyofikiria wao kama wao halafu anataka kuwaaminisha watanzania kuwa ndio ukweli ndio huo duh 😅😅😅nimecheka sana
Kaka mi naona the only option waliyobaki nayo NATO ni kuingia mitini na kuamua kujubaliana na matakwa ya Urusi tu kwani NaTo hawawezi kuanzisha direct war with Russia kwani hiyo itakuwa vita 3 ambayo itawamaliza vibaya
Sma😂😂., unajua una fact Sana,. Lakin we kwauelewa wako una amini rusia ataweza kuipiga NATO nzima na marekani,? Mim kwa maoni yangu kiukweli naomba vita hii isitokee ,. Maana naamini Mambo yatakuwa mabaya Dunia nzima acha kushabikia vita we jamaa.
DJ SMA NO1 NAKUPENDASANA toka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 wanau rusi gongeni👊👊👊 nawapenda san kwasababu tupoupande wahaaki.namtetezi niputin❤❤❤❤❤❤
Upo vizuri kaka kwa uchambuzi.💪💪💪ushindi lazima kwa Urusi
Ww jama nakukubali mm nafatilia vita kila siku kwel unachambua vizur sana🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪💪💪💪🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Yaan elimu unayotoa hata darasani huwezi kuipata#hii ni elimu ya intelligence ya hali ya juu unayoitoa lkn kwa wale wanaoelewa tu#naskiliza unyama huu kutoka nchini esrael❤❤❤respect sana Dj Smaaa
Shukran sana ndugu
Upo vizuri
South African 🇿🇦🇿🇦
Hatarini
Nimechelewa Leo nipeni like zangu kutoka congo
Nakupata vizuri kitoka Lusaka Zambia
Ktk znz dj sma ss marecani anamaslahi gn mpk anafny jot ay
Brother, una uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo. Nakupata kutoka Sumbawanga. Hongera sana and don't stop always keep it up.
Kk Mungu akubariki 🎉, nafurahi sana uchambuzi wako
Nakukubali Sana dj sm
Asante kwa kutupa taarifa nzuri
💪
Uko vzr dj sma255
Wew dj kipofu zungumzia 🇮🇷 mbona aishamburii kk ha😂😂😂😂😂😂
Wewe 🔥🔥🔥🙏 Mungu akubariki
From Cairo Egypt. Uko vizuri
Thank you DJSmart 55 sisi tupo burundi 🇧🇮
Nakuelewa mbaba mwaisa hapa Lusaka Zambia
Dj sma Mr facts tunapena hizi vitu sana
Unyamaa sna dj endelea bila kuchoka kutujuza kinacho endelea kila hatua maana wengi wetu hatujui chchte nakupa maua yako mzeee umetisha 🎉🎉🎉🎉
Kaka ile link ya kuchangia mbona hamna!? Pia jitahidi mchango uwe kwa kipindi husika na sio Kwa channel
Bro nakuaminia sana juu mambo yako ni kweli kabisa big from Mombasa kenya
Since day 1 tuko pamoja dj smaa, nakubali Sana ii class
17:29 ❤akuna malefu yasio na n'cha
Safi sana
Bg up kwa Putin namkubali sana
Unatoa fact's ilo ndio la msingi. Hongera kwa research sio kazi ndogo
DJ Sma tupo pamoja nakukubari kutuelewesha Dunia inavyo enda
Much respect much blessed 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Nakuelewa dj kwa habari za uhakika nakupata nikiwa Boston
Much respect much blessed Dj Smaaa#❤SnS….
🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🫶🇹🇿🇹🇿
Ila brother unatisha upewe maua yako❤🎉
Huwa nafatilia sana na mimi kama mwana fuse napenda unacho kifanya bro
Vizur xn mchambuz
Naskiliza jutokea mwanza
Nimekua nikikufatilia kwa muda mrefu na unanipa elimu ya bure.kabisa asante sana 🙏
Much respect mr am from tz
Pamoja sana kutoka congo
Sns unajiharibia page yako kuweka wachambuzi wapuuzi
mwana marekani ujashauriwa usikilize
❤❤❤❤❤
nakubali sana mwangu dj sma tupe vitu tunakuamini sana
Dj sma🔥🔥👍
Wa kwanza Mimi leo
💪💪💪💪safi
👍👍
Nimekukubali mwamba mi ni Gaspar wa karagwe Kagera pamoja sana
Uliongelea part 3 Sio 4
Nasikiliza kutoka tarime,rafk,katika maono yangu juu ya hii vita,ni kumuinua mpinga kirsto na kua na dini Moja,serekali Moja na pesa Moja,ili wamkabizi mpinga kristo utawala wa Dunia,
Akili kubwa sana, natamani nikuulize kuhusu dude la Bandari za Bongo au basi
Una zungumza vitu visivyo eleweka. Yani ww ndo sifuri kabisa. Unajifanya unajuwa kimombo sana. Sema kiswahili bana 🇨🇩🇨🇩
Naskiliza toka mbeya
Ndo hali halisi
Nyie Marekan Saidien Wananchi Wenu Kwanza..
We jamaa unajua, heshima kwako
From 🇲🇿🇲🇿🇲🇿♥️♥️♥️
Safi sana unajua.. Unaongea ukweli ..Uishi miaka kichele....
nice yuo🇹🇿
Uchambuzi huu ni mzuri 🇰🇪
Uyu jamaa ni muongo hajui kitu kuusu hiyo vita
Au wanaogopa kumtopeza kiongozi wawo wakiroo au wanaogopa raisi wawo mpya kufariki 😂😂😂😂😂😂😂😂dar ww dj wanyumbani kwenu nazani
Daah hatari sana
Mwenyez mungu amewaalaan wale ambao wanadhulumu uhai wa mtu mpaka siku ya kiama mimi siungi mkon kabisa wala sitak ushabiki kama umeshawahai ona vita huwez kuwa shabiki hakuna sehem watu ni immortals ni nafsi za vijana wadogo wanateketea kwa tamaa za upumbavu wa kukumbatia dunia ambayo wataiacha
Huu niutabiri wa mda mrefu, kikubwa tusali sana
Salute nakuskiliza kutokea kwa zulu natal za
Huyu mchambuzi ana wabuluza mazwazwa kwasababu hamjui chochote kinachoendelea duniani ndio mnakubali ujinga wake
Usifanye watu ni mazombie kaka wacha Urusi ichapwe na Ukraine iwe funzo kwa Putin
Huyu jamaa si mchambuzi na hajui lolote yupo hapa na blaa blaa yake hana anachokijua ispokuwa ni mshabik tu ya Ukraine tu
Hawamuwezi urusi kamwe!!!
Bado hawajasema mpaka wasemeee
Ukweli ukiona marekani wanataka uzichapa wameshaona ushindi. Kwaiyo Russia ajipange asije kuwa kila. Siku yeye kibonde cha marekani
Mozambique
God job
Chawa wako pro max hapa nakupata nikiwa mtwara yani sijui nikupe cheo gan yan katka watu nawakubali ukimtoa putin ni ww dj smart
Cheo Cha Mume kinatosha
Viva putin
Pretoria moja
Kusema kwamba Urusi hawezi kushindwa hii vita nikujidanganya cz alisema anaweza kuichukua Kiev siku tatu ikashindikana. Akaja na mkakati wa kunyakua majimbo ya kerysone, Zaporozhye na eneo la Donbas ( Doniesky na Lugansk) na ukiangalia ukiacha doniesk ndio analidhibiti lote haya yaliyobakia anadhibiti % fulani tu. Lakin ukiangalia kiuhalisia hata ichukue miaka mitano urusi hawezi kushinda hii vita kwa facts zifuatazo.
Urusi uchumi wake una shrink kutokana na vikwazo.
Warusi wengi hawaungi mkono vita bali ni matakwa ya mtu mmoja.
Jeshi la urusi linaonekana ni dhaifu cz kama mamluki wa Wagner elfu 25 walikuwa wamrshachukua miji kama Rostov katika kipindi cha uasi (mutiny) wa yevgen prygozhiny na barabara za madaraja yaliyokuwa yanaelekea Moscow yalivunjwa kuwazuwia Wagner elfu 25 vipi NATO wakiingia na jeshi la watu laki 5 au 6.
Nchi marafiki wa urusi wanaogopa kumsaidia kukwepa vikwazo.
Tactical za kivita Russia hana weledi ndio maana anashambulia ovyo maeneo ya kiraia kujenga hofu.
Urusi anategemea sana vipuri vya zana za kivita kutoka nje na ndio maana sasa ana modify dhana zake za enzi ya Soviet vilivyokuwa havitumiki kutokana na vikwazo.
Yaani zipo sababu nyingi sana Russia kupoteza hii vita, kitu ambacho Urusi anaringia ni silaha za nuclear lakin sio yy peke yake anamiliki silaha hizo. Itoshe kusema hii vita ni ngumu kwa sisi ambao tunaifuatalia ila ni rahisi kwa hawa wanaomuunga mkono Dj Sima😂😂😂😂
e nakuelewa mwamba
Been a while
Msiwe mnashukuru muwe mnampa ata ela ya maji mnapewa madini lakin mnabaki kushukuru 2 wabongo bhana mnaboa kama baba levo dogo dj sma toa namba 2kupe za maji maan unatoa madini
🙏
Me nipo upande wa urusi 💯 lakini hapa kwa NATO kuzichapa na urusi kwa sasa sizani kama mtu mzima Putin atatoboa hawa jamaa wapo vizuri sana now wamemnyon‘gonyesha mrusi mwaka mzima now wakati sahii wa kuingiza miguu cz washajua kuwa ukali alionao sasa hauna mazala tena kwa NATO
Usipomwelewa huyu basi akil ni ngumu
Dj smaa tupo pamojaaa napenda kuuliza swali endapo marekani ataingilia vita matumiz ya nuclear si walizuia toka watumie japani
Ndio maana wamemuongeza mda tena Katibu mkuu wa NATO kuhudumu Kwa mwaka tena.. hapo Kuna mbinu ya Siri ipo... Ukreni hawezi kujiunga na NATO zipo Nchi zinapinga kabisa Ukreni kujiunga na NATO... Ukreni amesaidiwa sana kukomboa kituo hicho ameshindwa na kupingwa vibaya sana sana!!!!!
DJ sma naomba ile story ile ya 2015 Russia walivyopigana na IS Syria na uturuki waka tungua ndege ya mrusi
Yuhoma Tv
We mwandishi itakua ni shoga
Nakusikiliza kutoka gongo la mboto dar
Kweli we mjinga sana. Eti tusiamini tunao hambia na wengine ila unataka tuamini uchambuzi wako
muongo huyu sijui kabila gani manake anakisabengo kama ..anatuletea uchambuzi wa fikira za watu wanavyofikiria wao kama wao halafu anataka kuwaaminisha watanzania kuwa ndio ukweli ndio huo duh 😅😅😅nimecheka sana
Muongo sana anajifanya mjuaji na japo hajui chochote
Tupe taarifa unaejua kuhusu mashoga wenzio mana yye hajui km unavyo jua wewe
Urusi hawezi shida hii vita
Kaka mi naona the only option waliyobaki nayo NATO ni kuingia mitini na kuamua kujubaliana na matakwa ya Urusi tu kwani NaTo hawawezi kuanzisha direct war with Russia kwani hiyo itakuwa vita 3 ambayo itawamaliza vibaya
Aliyeanza Vita hii ni nani?
Bro hii haitakwepeka maana hiki ndo kiwanda na mitambi mikubwa sana pale barani Ulaya
Kwahiyo wakufa wanajeshi waupande mmoja tu urusi hawafi acheni mapenzi mbaka Sasa urusi wamepoteza wanajeshi 50000 hamsemi
Safi tunapenda uchambuzi wako uposawa na wachambuzi wakubwa duniani endereea .
Hata kama zappozia ikilipuka NATO hana uwezo wa kukabilia na URUSI
Mimi nakufatiliya kutok southa africa
Wacha nato na mmarekani waingie halaf north korea amsaidie mrusi
Hatahuyu mwanandishi niwamchongo NATO nikitukingine
Hahahaha waleteeee
Sma😂😂., unajua una fact Sana,. Lakin we kwauelewa wako una amini rusia ataweza kuipiga NATO nzima na marekani,? Mim kwa maoni yangu kiukweli naomba vita hii isitokee ,. Maana naamini Mambo yatakuwa mabaya Dunia nzima acha kushabikia vita we jamaa.
God Bless American & NATO
Masheitwan wa dunia amerika na nato😄
Vita ya 3 nimefukiya