MCHAMBUZI THABIT ATOA SOMO MFUMO WA UTEUZI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 18

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 6 місяців тому +2

    Bro Gangana umetisha sana kukuona tena Mr Thibiti ofisini kwako

  • @dastanlufunda8846
    @dastanlufunda8846 6 місяців тому +3

    Tunapoteza mda kwa kutotumia vizuri elim hii , so my be iko hatujui , lakini kama haipo , soon itengenezeni kwa faida ya taifa na vizazi , ili tuwaze kwa reason sio holela , daa big up thabit kuna kitu apo , mtaala shiken huyo MTU kabla hajatoroshwaaaa,,,, .....

  • @tubonekasaba5615
    @tubonekasaba5615 6 місяців тому +2

    Tunashukuru sana Thabit kwa elimu unayoitoa.

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 7 місяців тому +1

    Perfect

  • @aloycemwambwiga2318
    @aloycemwambwiga2318 6 місяців тому +2

    Mijadala kama hii inahamasisha hata kufuatilia media, inafunza, inatafakarisha na inapanua wigo wa fikra....

  • @albertmallya4192
    @albertmallya4192 6 місяців тому +2

    Vipindi vyenu navifuatilia sana, na nikiri nimejifunza mambo mengi sana kwako gangana kupitia thabit.

  • @tupodigital
    @tupodigital 6 місяців тому +3

    JAVA SCRIPT, C++, CSS, HTML, JAVA NK HIZO PROGRAMMING UNANIKUMBUSHA MBALI SHEIKH THABITI

  • @Pedeshee01
    @Pedeshee01 7 місяців тому +2

    Vyote hivi ni vichwa ambavyo kwa nchi maskini kama tz havijui thamani yake,mwisho wa siku vikipata watu kama nchi zenye akili tunabaki kulia lia,Sisi Africa ni fungu la kukosa tu nchi inakua na viongozi na wananchi wana akili kuliko viongozi hii si hatari,nchi kama tanzania inapokea mchele kama msaada uliongezwa virutubisho, sasa kwa akili ya kawaida tanzania ni ya kupokea vitu hivi kweli haina vita wala nini mchele huo kwa ninl wasipewe huko ukrein.Hii dunia ombea uwe na akili tu, nchi za africa akili zilizokuwepo ni za darasani tu ambazo kuzitumia maisha ya kawaida hazifanyi kazi.

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 6 місяців тому +2

    Katika siku ambayo nimepata kitu muhimu ni hiki mlichokiongea. Salute kwenu👏👏👏. Kuna rafiki yangu nilikuwa naye chuoni, tukawa tunaongelea kiongozi ambaye anaweza kufaa kuongoza taifa hili, nikawa nimemwambia jina fulani(sitalitaja) alibisha sana akasema huyo hawezi ni mkali, na blaa blaa zingine.sikutaka kumlazimisha ila moyoni mwangu nilijisemea kuwa endapo fulani (jina sitaji) akiwa rais nchi itapata maendeleo kwa kasi sana. Si hivyo tu pia nyuma niliwahi kusema na marafiki zangu wengine kuhusu fulani akiwa rais tutapata maendeleo kwa kasi, lakini walitoa sababu zile zile kuwa huyo ni mkali hawezi na blaa blaa zingine. Lakini cha kushanganza na maajabu ya mungu huyo mtu alichaguliwa kuwa rais wa nchii hii na akawa. Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Ameen😢.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 6 місяців тому +2

      Hata mimi nilimtabiri huyo na kweli akaja kuwa rais.Ila baadae nilimchukia kwa kuvunja katiba na kuandaa uchaguzi wa kihuni.Taifa linahitaji Rais anayetawala kwa kufuata misingi ya katiba.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 6 місяців тому +1

      Kama ni maendeleo hata Rais Samia anatuletea maendeleo na angalau anafuata katiba na nchi ina amani na furaha.Hakuna mauaji ni amani tu chini ya samia ila kwa sasa jambo muhimu ni kumsaidia rais kupambana na mafisadi na sio kumwachia rais apambane mwenyewe.

    • @gidongailo7174
      @gidongailo7174 6 місяців тому +2

      Sasa umeficha nini. Si bora ungetaja jina😂

  • @EmanuelMayombo1982
    @EmanuelMayombo1982 6 місяців тому +1

    SI MCHEZO

  • @GEORGEOBED-pd9ye
    @GEORGEOBED-pd9ye 6 місяців тому +2

    State house inatakiwa iitumie akili ya thabiti kwa namna yeyote ile! Niaminini mimi

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 6 місяців тому +1

      Hawana muda huo , watamtumia tu endapo atakua chawa wao Hawana lengo na akili wanataka wapuuzi wakuwasifia sifia

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 6 місяців тому +1

    Mleteni atupe elimu mlangi

  • @shabantelack5716
    @shabantelack5716 6 місяців тому +1

    Mara 7 na siajelewa