GPS: PUTIN atoa ONYO kali kwa MAREKANI na ULAYA, hofu ya VITA vya NYUKLIA yaongezeka!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 301

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 2 місяці тому +13

    Kama unaamini kwamba sns media nzuri like hapa 😢😊😊❤

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 місяці тому +13

    Ila nyinyi mnadeserve kuwa wanajeshi kabisa kwamana mnaufaham mzuri Sana mashalah mmejaliwa Sana ufaham wa mambo yakimiritary

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 2 місяці тому +20

    Zote nimetizama spitwi na sns🎉 frome Oman 🇴🇲

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t 2 місяці тому +15

    Huu ndio mfumo mzuri wa uchambuzi wa habar kama hizi..,naomba muendelee hivihivi Kila siku.👍

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 2 місяці тому +91

    Hiii urusi ndio nchi ya ahadi sema watu hatujui team Putin tuko hapa like zngu zakutosha

  • @nevers7561
    @nevers7561 2 місяці тому +58

    Kama unaikubali SNS gonga like ❤

  • @Nuru-zr2yv
    @Nuru-zr2yv 2 місяці тому +10

    Dj smaa kwenye mambo ya kijeshi huna mpinzani unavyotaja majina duuh salut 🎉

  • @user-nd5uf6lw4g
    @user-nd5uf6lw4g 2 місяці тому +15

    Tuna wakubali sanaa huku mkoani Mbeya Team ya SNS

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 2 місяці тому +10

    SNS mpo vizuri sana..mnatupa madini mazuri sana..nakukubali sana sky na dj smaa

  • @kombohamad9299
    @kombohamad9299 2 місяці тому +13

    ❤SNS no 1 Africa

  • @user-df8uo2lg9t
    @user-df8uo2lg9t 2 місяці тому +25

    Putin anaweka mambo sawa ulimwenguni maana wamezidi🇸🇮🇸🇮

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 2 місяці тому +17

    Gps ni zaidi ya chuo🙏🙏🙏🇹🇿🇿🇲

  • @Fabricedavid2
    @Fabricedavid2 6 годин тому

    SNS Big respect kwa uwezo wa kufikiri na kufafanua hali halisi ya Siasa. Niwapongeze kwa pakubwa mnawafungua akili ambao hawajui haya mambo. We’re watching this is a serious matter. Nyie ni magwiji Tanzania kwenye sekta ya Watangazaji kwa siasa. #Respect #Sns to the world 🌎

  • @alisalimkenya3972
    @alisalimkenya3972 2 місяці тому +7

    Sijawai kosa GPS hata moja, muko vizuri
    Dj sma nakuaminia sana
    Full love from mombasa

  • @user-zj7tt5gv8y
    @user-zj7tt5gv8y 2 місяці тому +4

    Sns is the best listeenong from 🇲🇸🇲🇸

  • @vuaimakame300
    @vuaimakame300 2 місяці тому +2

    Hongereni sana wachambuzi na sns kwa ujumla

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o 2 місяці тому +2

    Safi sana wakuu ❤ I love you so much SNS

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 2 місяці тому +9

    Uraaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau 2 місяці тому +4

    Ally dah mwanangu Leo nimemuerewa sana🙏🙏

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 2 місяці тому +3

    Duh nyie jamaa ni noumaaa sanaaa🙌🙌🙌 yaaan hichi kipindi ni ballaaa, much love from Helsinki Finland 🇫🇮

  • @chachajulius4481
    @chachajulius4481 2 місяці тому +8

    Marengo ya Kremlin yatafiwa haijalishi kwamba Kuna NATO au marekani.

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 2 місяці тому +7

    Russia katuma Submarine na meli bila kuguswa Ulaya imeufyata!!!!!

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 місяці тому +7

    Shabiki sugu wa sns , nimesitazama zote. Kutoka 254

    • @amriseleman9395
      @amriseleman9395 2 місяці тому

      Hahahahaha....😂
      Shabiki sugu Hahahahaha

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy5107 2 місяці тому +32

    Wakwanza leo naombeni like zenu🎉

  • @noelmsofe2589
    @noelmsofe2589 2 місяці тому +6

    Ally ni nouma Yani anakuchambulia ata ukiwa mbumbumbuu unaelewa

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 2 місяці тому +2

    You're the best guys thanks

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 2 місяці тому +2

    ❤urraa ❤ Putin ❤ team urus pa1sana hatuna mpizani team urusi kiboko ya mashoga 1

  • @user-jq7dy4iy7y
    @user-jq7dy4iy7y 2 місяці тому +5

    ❤Russian V/ African❤

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 2 місяці тому +2

    Nawapenda sana 🎉🎉

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d 2 місяці тому +2

    Hongera kwako masund kwakutupa elimu

  • @hemedmbondejr
    @hemedmbondejr 2 місяці тому +7

    Huyu jamaa nae yupo vzuri kwenye kudadavua vitu

  • @user-ge8gy1ld8u
    @user-ge8gy1ld8u 2 місяці тому +9

    Akuna atapigwa uyo

    • @geomangi6123
      @geomangi6123 2 місяці тому +1

      huyo aguse marekani ndio ataskiza mziki hajawahi ona

    • @Njiwamichael-km1dm8et9x
      @Njiwamichael-km1dm8et9x 2 місяці тому

      Ajichokonoe aguse USA kudadeki

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 місяці тому +1

      ​@@Njiwamichael-km1dm8et9xVita vya nyuklia havijawahi kuwa na mahindi mkuu.Marekani na Umoja wa Ulaya wataweza kumshinda Russia kijeshi Hilo hatukatai ila madhara yao kiuchumi yatakuwa makubwa hakuna mfano na Hadi hapo kutatokea anguko kubwa sana la kiufupi na China atakuwa New superpower katika ulimwengu.Hilo jambo NATO, EU na USA wanalijua fika na hawawezi kamwe kwenda vitani.

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 місяці тому +1

      ​@@geomangi6123USA ipi hiyo hatari ya kwenye Hollywood..?😂 Ile USA iliyokimbia Vietnam 😂😂😂..? Ile USA iliyokimbia Afghanistan😂😂😂..?

    • @SamweliJacob-bm2ij
      @SamweliJacob-bm2ij 29 днів тому

      Kaenderee kunyonya uku waachie wanaume we shoga kaa pembeni

  • @nixsonmkamba2895
    @nixsonmkamba2895 2 місяці тому +2

    Dj sma🔥

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 2 місяці тому +1

    Mpo vizuri

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 2 місяці тому +2

    Keep it up sns, nafatalia GPS nikiwa Belgium

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 2 місяці тому +3

    Nani amegundua kwenye SnS GPS kuna tuvimtu tuwili tutatu tu ndo tunapinga hawa wachambuzi, Tunachekesha sana kuiponda Russia wakati wana uhakika mrusi mkali mno.Napenda sana kuona comments kibao za wana Sns wanao jielewa na hawaamini mainstream media.

  • @kyangwesignermohamed7867
    @kyangwesignermohamed7867 2 місяці тому +2

    Mimi nimezitazama zote kutoka Zürich Switzerland🇨🇭

  • @HalimagalgaloMwinyi
    @HalimagalgaloMwinyi 2 місяці тому

    Napenda ucbambuzi wenu good information 🎉

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 2 місяці тому

    Safi sn Ali salute

  • @ShabanKarim-tv3vn
    @ShabanKarim-tv3vn 2 місяці тому +5

    Mnaongea kwelikweli kabisa

  • @deocresmodest6148
    @deocresmodest6148 2 місяці тому +2

    Nawakubali sana kwa kutupa elimu wanaotuma meseji za ushabiki ata mabom ya mbagara na gongolamboto awajawai kuyaona wanamkubali mmarekani kutokana muvi zake wasamee tu

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 2 місяці тому +1

    Ahsanteni sana

  • @abrahamhabarugira2483
    @abrahamhabarugira2483 2 місяці тому +5

    Ally massoud una akili sana

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 2 місяці тому +3

    SNS❤

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 2 місяці тому

    Hawa ndo wakuwapa nafas kwenye masuala ya ulinz na usalama big up Sana sns wazee

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu 2 місяці тому +1

    Cool

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 2 місяці тому

    Mwenyezi Mungu Atulinde, Norway ni Jirani ya Russia.. 🙏🏼🙏🏼

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 місяці тому +2

    Allah yaaram..mwenye ujuzi Zaid ni yeye muumba wetu jinsi dunia inavyokwenda sasaiv

  • @user-rp2br1um5y
    @user-rp2br1um5y 2 місяці тому +1

    Napenda sana mukitoa maelezo na uchambuzi muweke na video munakua munatufanya tujiskie vizur sana

  • @kitosio
    @kitosio 2 місяці тому

    Tunawakubali sana sana Taarifa zenu ni Facts.

  • @kingpunzy194
    @kingpunzy194 2 місяці тому +1

    Kuna watu wanasema Dj sma anauelekeo wa Urusi. Hata mimi ningekuwa sns ningekuwa nipo katika mlango wa Urusi. Nawakumbusha tu Uchambuzi nao pia ni uharakati lazima uelekee kwenyee upande uliosahihi (haki) Uchambuzi wa siasa sio mpira. Mpira hata uchambue vipi hauna natija katika maisha ya binadamu. Amerika ni waovu watangu na tangu, uovu wao ulijificha kwa kigezo cha Demokrasia way back ago, now umedhihirika wazi. Rusia nao ni waovu ila sio wenye misimamo mikali sana. Ukisoma fikra zao za kimaisha (Nidhamu za kiuchumi) Utagundua kuwa Uchumi wa kirasilimali ni mkali sana kwa raia tofauti na uchumi wa kijamaa. So kuna uhafadhali kidogo wa kutawaliwa na MRUSI kuliko MMAREKANI. Hapa ndipo wachambuzi wenye akili kama DJ SMA hawezi kaa kwenye UMAGHARIBI.

  • @sultanbakary4292
    @sultanbakary4292 2 місяці тому +3

    Hii GPS ni balaaa lingine nchini Kwa sasa

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 2 місяці тому +1

    Sasa yukrein hanahizozote na ndio urusi wameshindwa kuchukuwa yukrein.

  • @joeboa3139
    @joeboa3139 2 місяці тому +4

    Leo mi wa pili

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 2 місяці тому +4

    Putin atapigwa tu wanamuacha tu adhoofike kiuchumi watamalizia akiwa dhoofu Sasa Wana zisoma silaha zake zote anazozitumia ssasa hivi

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 місяці тому

      Unalolisema Lina ukweli mkuu.Ila china Hawezi muacha Russia aanguke kiuchumi maana anamtegemea kwa teknolojia ya kijeshi na usalama pia mkuu, maana china pia anachukuliwa kama adui na Marekani na Umoja wa ulaya.Biashara ya china na Russia sasa hivi ni $ bill 240 mkuu ila wanatarajia ifikie $ bill 487 kufikia mwaka 2030 mkuu.Kumbuka kabla ya vita Russia exports yake kwa ujumla ilikua ni $ bill 586 mkuu, Hadi hapo Ulishaona namna Gani uchina anavyomuokoa Russia kiuchumi.Pia tambua gesi asilia kwa uwingi IPO sana Russia mkuu mwezi wa nane mwaka jana wamegundua reserves ya miaka 97 kutumia pia ukubwa wa nchi kaka sio mchezo eneo la kilometre mill 17.2 sio mchezo.Japo Russia anaumia kiuchumi kwa kiasi kikubwa ila kuanguka sio kwa leo mkuu ila china ikianguka basi hapo tambua Russia pia ndo mwisho wake.

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 2 місяці тому +1

      Kupata vichekesho hv piga 0000😂😂😂

    • @ernestkunja3472
      @ernestkunja3472 2 місяці тому +1

      We ni shoga

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 місяці тому +1

      upo ulimwengu wa giza 😂😂😂😂😂

    • @user-yw3qh6qj8g
      @user-yw3qh6qj8g 2 місяці тому

      Wewe unafahamu,

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 місяці тому +5

    Kwanza kabisa masuala ya idadi ya nyukilia hiyo ni Siri ya NCHI husika kuwa Wana idadi ipi sahihi ,lakini yote Kwa yote Putin sio mjinga atapigwa mtu mpaka ashangae yaani kama mbwa mwizi 😂😂😂😂😂

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 місяці тому

      Urusi ina silaha nyingi sana za nyuklia kwasababu uranium wanachimba wenyewe wana uranium yakutosha, marekani uranium ananunua 😂

  • @bubashabalebanga4183
    @bubashabalebanga4183 2 місяці тому

    Asante kwa tarifaa

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 2 місяці тому +2

    Tupo ma1 na ninyi vizuri zaidi msionekane kuwa washabiki wa vita mtapendwa na wengi

  • @user-cf6qo9rs4f
    @user-cf6qo9rs4f 2 місяці тому

    Nakubali dj smaa sana tuu❤❤❤

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 2 місяці тому +1

    tnawafatilia sna dj smaaa uliwai kusema ktk zile option 3 Kuwa urusi haiwezi kutokea kuishindwa vita na ukrei, ispokua kuwe na option 3 moja kuripuka kinu cha zapoziha, pili nato waingie moja kw moja, tatu wakbali matakwa ya urusi. Mpaka sasa urusi wameshindwa vita sasa ulaya imebaki option ya vita tu

  • @habibumnibo4000
    @habibumnibo4000 2 місяці тому +1

    GPS🔥🔥🔥🔥

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 2 місяці тому

    Usipendelee Rashiya saana

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 2 місяці тому +2

    Usisahau kuwa Ulaya ni Nchi ndogo ndogo Sana sana... Russia anaeneo kubwa kama karibu na bara la Afrika....Maeneo yaliyotekwa Na Russia ndani ya Ukreni Yana ukubwa sawa na Nchi ya Ugiriki na ureno......

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому +2

      Kumbe ana eneo kubwa na aridhike na eneo lake kubwa.sasa kwa nini yy anataka kupora ardhi ya nchi nyingine ndogo ili hali yy ana eneo kubwa?

    • @Siasia209
      @Siasia209 2 місяці тому

      Wewe nae ebu kafwatilie usome uko unatia aibu hp kuuliza swali halina kichwa wala miguu​@@MathewNathan-yb2bz

    • @ernestkunja3472
      @ernestkunja3472 2 місяці тому

      Fact Russia anajilinda

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 2 місяці тому +1

      @@MathewNathan-yb2bz Russia anajilinda na kuwalinda Warusi ndani ya Ukreni...Hata majimbo aliyoteka yanawakazi asili ya urusi....

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 місяці тому

      ​@@MathewNathan-yb2bztatizo umekosa elimu 😂

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 2 місяці тому +1

    Wamalekani wanajua Wana Cho kifanya Hakuna taifa litakalo shindana kivita na taifa Hilo wasomaji wa Bibilia wanajua Hilo,

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 2 місяці тому +2

    Ila mnajua tunao comment humu ifikapo 2099 tutakua tumekufa tujitahidi kafanya ibada 🙏

  • @SaidyMwajeka
    @SaidyMwajeka 2 місяці тому

    Very well 👏

  • @josephm4233
    @josephm4233 2 місяці тому +1

    Thank you very much guys, I am impressed by your holistic analysis, which is by far broad and deep, permission to use your conversation to provoke discussion in my lecture sessions🙏

  • @user-jq7dy4iy7y
    @user-jq7dy4iy7y 2 місяці тому +4

    🌍🌍🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🌍🌍

  • @AyoubHajj
    @AyoubHajj 2 місяці тому +1

    Me naomb kuuliza
    ivii total number of Ukrainian soldiers
    And how many are remain adii saa

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 місяці тому +2

    Vita vme mahinda anajipendza ulaya markan

  • @Timothymchomi
    @Timothymchomi 2 місяці тому +1

    by the way , one day you will need to know who America 🇺🇸 is

  • @sydioslibanais6840
    @sydioslibanais6840 2 місяці тому +1

    Nawakubali mnoo Wana SNS family, but naona mna puuzia mnoo nguvu ya marekani japo nikweli akuna muafrika mzalendo wa bara lake au nchi yak ambae anaweza kupenda US, ila UKWELI usemwe kwamva kwenye utabiri wamaandiko ya kiimani utawala wakidunia US imo sofano

  • @hamisikingakachu1259
    @hamisikingakachu1259 2 місяці тому +1

    Ivyo mnajua marekani anavinu vyanyukili vingapi mnajua anandege zakivita 15000 miaka nane iliyopita inafatia nauchina 4000 urusi yatatu jeshi bora duniani nimarekani linavifaa vyakisasa kuliko jeshi lingine lingingine lolote lile duniani

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 місяці тому

      😂😂 unadanganywa na Hollywood movie

  • @user-ls1ot6fs4v
    @user-ls1ot6fs4v 2 місяці тому

    Huyu hatufai anapenda sana rugha za watu sio mzalendo kama dj sma

  • @husseinmanyanga1587
    @husseinmanyanga1587 2 місяці тому +1

    Daar nilikua skufatilii ilakuanzia leo nitakua nakufatilien muko vizur sana

  • @user-ku3om4bu8j
    @user-ku3om4bu8j 2 місяці тому

    Putin ni raisi bora sana

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 2 місяці тому +2

    Nataka kujua nani anae pima kujua nchi fulani ina nyuklia nying

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 2 місяці тому

    Bro mm sijawah pitwa na GPS au kipindi chochote kile ambacho kuna saut yko hapa SNS #sky

  • @vanny387
    @vanny387 2 місяці тому

    Asanteni sana kwa iki kipindi.... Mi natokea Burundi ila kwa sasa naishi Afrika Kusini...

  • @JoshuaMwandwanga
    @JoshuaMwandwanga 2 місяці тому +2

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 2 місяці тому +1

    Nyie wachambuzi mnatakiwa mseme kipi kitatokea ikiwa ukraine itashindwa,,,maana ukraine ingepigana ndani ya URUSI mngeweza kusema ivyo sasa ukraine kujitetea mnasema anatumika uo ni ujinga

  • @JacksonMkunja
    @JacksonMkunja 2 місяці тому

    Gps ni chuo muhimu sana.ni darasa tosha.

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 2 місяці тому

    Nikweli Binadamu nimbaya mara kumi kuliko Shetani

  • @iddykivu1336
    @iddykivu1336 2 місяці тому

    Mrusi Amewashika Pabaya Sana Hawa Mashetani wa West na Mpuuzi Mwenzao Marekani

  • @shoshifataki5825
    @shoshifataki5825 2 місяці тому

    Tupo pamoja South Africa 🔉🔉🔈📣🔊

  • @dereckdavid9609
    @dereckdavid9609 2 місяці тому

    Contents za GPS zinaenda sana as per views 🔥🔥

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 місяці тому

    ✌️👊👍.

  • @besteva499
    @besteva499 2 місяці тому

    Mungu ayirinde Africa namajanga yahawa mafisadi

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty 2 місяці тому +1

    Mm nmedhaliwa najikuta nmshabk wa urusi cjui kwnn

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 2 місяці тому

    Vita haina macho watakufa wote

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w 2 місяці тому

    Wallahi mwana fuse na kikosi chake ni wadadavusi wa kuchakatua maswala ki kwa tecnology ya kisasa hongera sana kwa uchambuzi unao eleweka kwa ufasaha.

  • @mutambukamubaraka
    @mutambukamubaraka 2 місяці тому +2

    👍👍🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🙏🙏❤❤❤✌💋

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 26 днів тому

    Hakika ni kweli km ni hivyo hawatamuweza mrus

  • @fredoadams7169
    @fredoadams7169 2 місяці тому +1

    Sky next time katika Wachambuzi wako awepo 1 au 2 ambao ni pro West/USA ili knowledge iwe pana zaidi

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 2 місяці тому +2

    Ok Marekani aliipiga Nagasaki na heroshima ndipo Taifa la Marekani likaheshimiwa na kuogopwa kuwa ndiyo Superpower na kuwa ndiyo polisi wa Dunia, Sasa kwanini Russia nayo aisitandike Marekani kwa Bumu la Nyukliya ili nayo iwe Superpower na iwe polis wa Dunia?

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 місяці тому

      Urusi anamdunda huyo mmarekani na nato yake pale Ukraine 😂😂😂! Ukraine haina jeshi lilishamalizwa muda mrefu sana! Marekani alizichanga karata zake bila kufikiria kwa umakini ndiomana hii vita imemshinda😂😂

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m 2 місяці тому +1

    Saffffiiii

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 2 місяці тому

    Aisee kweli mungu fundi yaani kwenye hiyo safu mliyo nayohapo. Kila mtu ana madini yake. Tukianza naskay dj smaa masubi nahuyo mmwingine kiukweli mmefaa sana.

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 2 місяці тому

    Sixty years on, Algerian desert region still struggles with effects of French nuclear tests

  • @tyivbra
    @tyivbra 2 місяці тому

    Huyu broo mwanasheria anajua mpk anakera an
    Navituko vyake ety kiini macho
    Never get tired listening

  • @felisteronesmo3091
    @felisteronesmo3091 2 місяці тому

    Mbeya chapa like ..