Huyu jamaa Hana maana sijui anaongea nini ni kati ya urusi na Europe na america ndio walio tutawala Kwa muda WA miaka mia tatu lakina rusia hawaja fila Africa hiyo Moja pili walitisaidia kugombania uhuru mpaka Sasa nyie wote mnaijoi lakini nasikitika uelevu ni mdogo WA kisiasa Kwa hiyo msitudanganye WATANZANIA na tupo huku Europa miaka na Miaka kwanza hamjui historiya kabla mosco kuwa kapitali ya rusia ilikuwa kievu taifa la kirusu limetoka Scandinavia na kukimbia kuunda rusia sasa ni upumbavu Kwa hiyo debeti yenu
Urusi sio wachokozi wachokozi ni nnchi zamagharibi zikiongozwa na marekani ustarabu wakimagharibi unawafaaa wao sio lazima waexport nnchi zingine magharibi ni mashoga
China yupo sahihi ni afadhali kubaki kimia kuliko kuongeaya mambo habayo hayana bundi,ila tukija kwetu wa african marekani na wa farasa sio wazuri yani nchi nyingi za african zina filisika sana hakuna chochote kinacho kuwa eti kina leta mahendeo yani hawo wa jama wawili ni wabaya sana.
kaka mwenye miwani na shati la drafti umeonge point sana 👏🏽halafu mwishoni hapo unaposema Putin sio wa kumuamini ni kweli kabisa na ndio haya yanayo tokea jana na leo mpaka Ex-president wa Ukraine kayasema pia leo hii kwasababu anayo full experience ya Putin na mission zake that is true👏🏽mwenyewe nilikuwa nashangaa how come nchi nyingine zipo jirani sana na Russia na wamejiunga nato toka kitambo how come Ukraine ndio tatizo?something is wrong 🤔halafu wafrica msijisahau Russia also wanted to put Africa in the same financial slavery as American too ana lake pia MRussia Tuzidi kuomba Mungu awapiganie wenye haki 🙏🏻 manake hizi vita za mataifa kwa mataifa zipo mpaka kwenye vitabu vya dini.
Nimewasilikiza vizuri lakini kuna dalili za kununuliwa na vyombo vya magharibi. Kwanini hamuoni kuwa Amerika anataka kuisogelea Urusi ili aidhoofishe kiuchumi. Halafu Maliasili iliyoko Ukraine ichukuliwe free kama wanavyofanya Afrika.
Ni muda Sasa wa kuondokana na ukolonimambolea utawala wa kibepari tunamtaka URUSI aondoe utawala wa kibepari unaoletwa na marekani na washirika wake ,, URUSI ni WAJAMAA socialist huyu URUSI ndo tunamtaka
Sasa kwanini na sisi waafrika tusiwe na soviet yetu umoja wa wa afrika kuachana kuwa vibaraka uchwara wa mabebelu wachumia tumbo tunasalitiana wakati ni huu wa kujiunga tuwe na soviet yetu kama uko ubebeluni
Nafikiri jambo ambalo limekosekana kuelezewa hapa ni motives za NATO na siasa za magharibi dhidi ya Urusi tukianzia hapo tutaelewa vyema zaidi juu ya huu mzozo!!
Uyujama hajui Russia 🇷🇺 Mbona marikani ilishindwa Somalia 🇸🇴 na Somalia 🇸🇴 ilikua na saidiliwa na Russia 🇷🇺. Usi zany Russia 🇷🇺 niwajinga wanao wekamambo yao yote inze
Leo Libya watu wana hangaika chanzo ni mumarekani na mu farasa leo Congo DRC hakuna amani ni hawo hawo wa marekani,mimi si suport vita ila mbona sisi wa african tungali na lala mpaka lini tutahamuka.
Upo sahihi dada ila zelenzk anapozwa anasababishwa kuua wananch wake siwez kukupa eneo langu Mimi ujekuingiza wachaw na wagaga kufanyia ramli kwa nitakuja nichukue eneo langu stajalii watoto wako Wala mkeo
Dear wachambuzi muelewe kuwa democracy ni mfumo wa serikali km mifumo mengine, ss wengine mbn hawafuati democracy lkn wanaishi maisha mazur kulik nchi zeny democracy, mifan ipo mingi t, siwaelew wachambuz hawa wana biases san
Nyie wachambuzi ni wa mchongo tuu hamna jipya. Nimewasikiliza mwanzo mwisho lakini nimegundua kuwa nyie ni vibaraka wa Marekani na washirika wake..... Na Ukraine.
Huyu Rais mchekeshaji wa ukran ndiye wa kulaumiwa . Alitakiwa asifungamane na upande wowote kama TZ ilivyo elekea wakati wa vita baridi. Ukiwa upande fulani unakuwa adui wa upande wa pili . Ndo madhara yake
Huyo jamaa katulia mrusi hajataka ukrine wao ni kitu kimoja na nchi ilikua na maendeleo mrusi hataki aungane na mijibwa wa ukoloni mrusi uliwahi kumuona koloni yy alitetea isipigwr irag hawajamsikiliza
Huyu rais kajitakia aende kwa mashoga wemzake mrusi alipinga ushoga mrusi hana kiloni wao walifata africa wakakomba mrusi katetea irag Libya hawajamsiliza haitoshi wakavamia sirya kuwa mamilioni ya watu alimtetea sirya mrusi mrusi kawa nae phalistin esrael I livyo wapiga mrusi hataki ukrine ila hawataki hao majibwa wamsogelee huyo rais wa ukrine mjinga tu
Urusi nikafiri ila ni mtetezi jhata enzi za mtume muhamadi saw wako makafiri ila waliipigania dini ya kiislam basi hakuna ajabu kwa urusi kupigania dunia zidi ya mashetani
Mimi ninachokiona hapo mr.putin anajilinda dhidi ya nchi za kidemokrasia kuwa nchi za magharibi zikiipokea Ukraine kuwa mwanachama wait na hiyo itakuwa ni mbinu ya kubomoa/kumuondoa putini kwenye kiti cha uraisi wa muda mrefu,anaona Ukraine itakuwa chambo kwa siku za usoni kutumika kuimsambaratisha Putin kukiacha kiti!! Na kuingiza Urusi kwenye Udemokrasia!!
Adui namba moja wa dunia kwa karine hii na iliyopita ni Marekani ingawa Mungu mwenye zi atulinde na atujaalie Vita visiendelee
100 % Correct
Huyu jamaa Hana maana sijui anaongea nini ni kati ya urusi na Europe na america ndio walio tutawala Kwa muda WA miaka mia tatu lakina rusia hawaja fila Africa hiyo Moja pili walitisaidia kugombania uhuru mpaka Sasa nyie wote mnaijoi lakini nasikitika uelevu ni mdogo WA kisiasa Kwa hiyo msitudanganye WATANZANIA na tupo huku Europa miaka na Miaka kwanza hamjui historiya kabla mosco kuwa kapitali ya rusia ilikuwa kievu taifa la kirusu limetoka Scandinavia na kukimbia kuunda rusia sasa ni upumbavu Kwa hiyo debeti yenu
kivipi mzee?
Wachambuzi jaribun kuwa wakweli, anachokililia mrusi ni sawa n kile alichokililia Mmarekan wakat USSR alipofaný installation ya nuclear pale Cuba
Wachambuzi mko very smart! Mko poa
Mahalia vita Kuna vita Mungu uacha watu kujitengemea.Kwakua Mungu aliacha upendo umtawale mwanandamu.
Excellent analysis of what is going on in Ukraine and Russia
Tunaomba Amani 🙏🏽Mapenzi ya Mungu yatimizwe 🙏🏽
Safi sana Nawapata vizur Azam tv tupo pamoja live mwanzo mwisho
Safi
Urusi sio wachokozi wachokozi ni nnchi zamagharibi zikiongozwa na marekani ustarabu wakimagharibi unawafaaa wao sio lazima waexport nnchi zingine magharibi ni mashoga
Kabisaa Upo Sahihi
Huyu mfalme mjinga, ataichukia siku aliyo saliwa,tayari maiti za waliye tumwa sinaozea ukraine 🇺🇦
Hacha uongo Urusi iko vizuri saana
China yupo sahihi ni afadhali kubaki kimia kuliko kuongeaya mambo habayo hayana bundi,ila tukija kwetu wa african marekani na wa farasa sio wazuri yani nchi nyingi za african zina filisika sana hakuna chochote kinacho kuwa eti kina leta mahendeo yani hawo wa jama wawili ni wabaya sana.
kaka mwenye miwani na shati la drafti umeonge point sana 👏🏽halafu mwishoni hapo unaposema Putin sio wa kumuamini ni kweli kabisa na ndio haya yanayo tokea jana na leo mpaka Ex-president wa Ukraine kayasema pia leo hii kwasababu anayo full experience ya Putin na mission zake that is true👏🏽mwenyewe nilikuwa nashangaa how come nchi nyingine zipo jirani sana na Russia na wamejiunga nato toka kitambo how come Ukraine ndio tatizo?something is wrong 🤔halafu wafrica msijisahau
Russia also wanted to put Africa in the same financial slavery as American too ana lake pia MRussia
Tuzidi kuomba Mungu awapiganie wenye haki 🙏🏻 manake hizi vita za mataifa kwa mataifa zipo mpaka kwenye vitabu vya dini.
Huyo.mchambuzi maandazi. Eti nato haihusikina. Vtayaukrani
Vizuri.marekani.nikutoka.nyumayake.mana.anasababisha.tuuwawe.anataka.kujifanya.mungu.anacoceya.vita!
Mtangazaji kihere here utadhani ni mukrain
Nyie waongo urusi aishindwe ukraine ivi urusi mnaijua vizuri au
Wachambuzi awajielewi urusi super power munachambua utumbo
Mr bin awe rahisi lazima taifa life
Duhh
Hii kuzidiwa kifikra na kuanza kuvamia inanikumbusha Tanganyika na Zanzibar
Nyinyi wachambuzi hajui kiti hapo nendeni mkanywe chai na chapati mambo mengi hamjui
Nimewasilikiza vizuri lakini kuna dalili za kununuliwa na vyombo vya magharibi. Kwanini hamuoni kuwa Amerika anataka kuisogelea Urusi ili aidhoofishe kiuchumi. Halafu Maliasili iliyoko Ukraine ichukuliwe free kama wanavyofanya Afrika.
Msitudanganye bwana Urusi watachukua Ukraine.
😀😀😀 Kabisa
@@shabbymakapaneshabby5000 22-09-2022 vipi kashaichukua? au umedanganywa na media?
Yaani Putin ni mshenzi sanaa hana hata huruma
Urusi nawakubar
Acheni kuingea msio yajuwa
Inafanana na mashaka ya Tanganyika na Zanzibar.
Mfano uliokufa
🙏🙏🙏tuwaombee
ivi ni Mzozo au ni Vita???? TANZANIA bwana mpaka lini mnafichaficha
Vita pia ni mzozo
Ni vita🤣
Wanaficha wengine wantekete
Siovizuri.urusi.hajui.kama.wawo
Ndug
Miminaona kweli kwamba hizinisiku za mwisho wa dunia hii
Ni muda Sasa wa kuondokana na ukolonimambolea utawala wa kibepari tunamtaka URUSI aondoe utawala wa kibepari unaoletwa na marekani na washirika wake ,, URUSI ni WAJAMAA socialist huyu URUSI ndo tunamtaka
Alova shati jeupe ni form one ajui lolote kwanza haoni mtoeni miwani
Sasa kwanini na sisi waafrika tusiwe na soviet yetu umoja wa wa afrika kuachana kuwa vibaraka uchwara wa mabebelu wachumia tumbo tunasalitiana wakati ni huu wa kujiunga tuwe na soviet yetu kama uko ubebeluni
Nafikiri jambo ambalo limekosekana kuelezewa hapa ni motives za NATO na siasa za magharibi dhidi ya Urusi tukianzia hapo tutaelewa vyema zaidi juu ya huu mzozo!!
Marekani.nijambazi.sugu.waduniya.wanawokufa.wote.niju.ya.inchi.zamagaribi.namarekani.inabidi.wawonae.huruma.wana.wa.ukrene
Mungu wasaidie weka maelewano na mapatano Kati yao
Mungu atuepushe na haya matatizo
Uyujama hajui Russia 🇷🇺
Mbona marikani ilishindwa Somalia 🇸🇴 na Somalia 🇸🇴 ilikua na saidiliwa na Russia 🇷🇺. Usi zany Russia 🇷🇺 niwajinga wanao wekamambo yao yote inze
Unapokua mchambuz jitahidi kuondoa itikadi au mapenzi
100% umesema Kweli
Ok
Hamna kitu hapa
Leo Libya watu wana hangaika chanzo ni mumarekani na mu farasa leo Congo DRC hakuna amani ni hawo hawo wa marekani,mimi si suport vita ila mbona sisi wa african tungali na lala mpaka lini tutahamuka.
Kweli kabisa
ao wanao ojiwa wanavyo zungumza utafikiria wanajua Russia ikoje Russia la kufanya now ampe kichapo cha maana ucrain
Hapa tanzania tuna polis jamii washapu sana kukamata bodaboda ingefaa tuwapeleke huko wakapambane na vidume wezao
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Umezaliwa lini ww libya , iraq, alfghanistan mboni ujajitokeza kuliongelea umetumwa?
Wanao umia hapo ni watoto na wanawake😭😭😭😭
Wanaume hawaumii??
Upo sahihi dada ila zelenzk anapozwa anasababishwa kuua wananch wake siwez kukupa eneo langu Mimi ujekuingiza wachaw na wagaga kufanyia ramli kwa nitakuja nichukue eneo langu stajalii watoto wako Wala mkeo
Nikweri.angetaka.kumunkoa.madrakani.angemutoa.rengo.nikupunguza.nguvuza.aduyiwafrika.tunamusapoti
Huyo mchambuzi wa nguo ya njano hana point
NATO niwachochezi tena sana,wao ndio wameshababisha hayo yote.
Naomba mujadili na Palestine
Kwann kama angekuepo trample kwamba vta into endelea ukren wakariti historia Inaonesha mgogoro ulikuepo tangu 2014 inakuaje
Huwezi ukajikilim ukawa unahakili timamu
Mbona hawa wachambuzi wanaegemea upande mmoja
Kabisa
mna bwsbeaja tu sadam alipigwana majeshi ya nato kwa sku ngapy toeni umbea wenu
Tena walimchangia Nchi kibao
Nimeelewa sana yan na uchambuzi
Putin anafanya ambacho kimewahi kufanywa na Marekani huko Iraki na libya
Malipo atalipwa ipo siku wamemuua Shujaa wa africa gadafi walijua africa itakua na nguvu sasa wameingia motoni kwa mrusi putin black see
100 % 😀😀😀
Watafurahi Na SHOW Hebu tuone kama BABA Mwenye NYUMBA Ataingilia 😂😂😂😂😂😂
Acha mchezoooo mta kufaaa wote rashia wabayaa
Hiyo black see unambia kuna vifaa hatari vimechimbiwa
Sababu zilizo tajwa na wachambuzi hapo zinatosha kabisa kwa Moscow kuingia vitan , zaidi yakuzuia hatar inayokaribia, hakunanjia nyingine.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
usikoskutazama majabu yakutisha andika lorry vois kusimlia uwe wakwnza
Biashara ipi anayofanya mchina huko uraya
Ila kuna umuhimu wa nyinyi wachambuzi kusoma historia ndio mje mtusimulie coz mnaelezea mnavyohisi tu kutoka kwa mitazamo yenu
Tafteni habari za ukweli
tatzo mchambuz anaulizwa tofaut na yeye anajibu tofauti
No wewe ndio huelewi
pelekeni uongo wenu huko urusi nchi kubwa acheni ujuwa
Yani mpaka sasa nikiwaangilia majamaa hawa hadi na waza kwa kauli zao Africa tunaelekea wapi mbona wa afrika hivi hatuone jamani !
Ukraine ni kibaraka ..anayehatarisha amani ya dunia
Mchambuz Mwenyewe anajichubua,anachochambua ni Pumba tu
🤣 usiwe ivo
Padala yakuchambua Ana tetea🤣
Dear wachambuzi muelewe kuwa democracy ni mfumo wa serikali km mifumo mengine, ss wengine mbn hawafuati democracy lkn wanaishi maisha mazur kulik nchi zeny democracy, mifan ipo mingi t, siwaelew wachambuz hawa wana biases san
Nyie wachambuzi ni wa mchongo tuu hamna jipya. Nimewasikiliza mwanzo mwisho lakini nimegundua kuwa nyie ni vibaraka wa Marekani na washirika wake..... Na Ukraine.
NATO NI WACHOCHEZI WEWE KAMA HUTAKI BASI
Marekani hausiki hapo, wao wenyewe wameamua wenyewe kujiunga na nato
Tatizo muna waona wamarekani wako sawa. Wakati wana nyanyasa Afrika mzima
kweli
Toka hapa nilikuwa nawasikiliza hoja na maoni yenu mbalimbali, 95 % ni kweli.
Usiseme hajielewi usiejielewaniwewe na us
Huyu Rais mchekeshaji wa ukran ndiye wa kulaumiwa . Alitakiwa asifungamane na upande wowote kama TZ ilivyo elekea wakati wa vita baridi. Ukiwa upande fulani unakuwa adui wa upande wa pili . Ndo madhara yake
Huyo jamaa katulia mrusi hajataka ukrine wao ni kitu kimoja na nchi ilikua na maendeleo mrusi hataki aungane na mijibwa wa ukoloni mrusi uliwahi kumuona koloni yy alitetea isipigwr irag hawajamsikiliza
Huyu rais kajitakia aende kwa mashoga wemzake mrusi alipinga ushoga mrusi hana kiloni wao walifata africa wakakomba mrusi katetea irag Libya hawajamsiliza haitoshi wakavamia sirya kuwa mamilioni ya watu alimtetea sirya mrusi mrusi kawa nae phalistin esrael I livyo wapiga mrusi hataki ukrine ila hawataki hao majibwa wamsogelee huyo rais wa ukrine mjinga tu
Besisira kutoka nkome geita Mungu Ubaruku dunia hivi vita ikome
Hamjui ninyi urusi yukoje
mnatuangusha kuweni wakweli mnaongea msichokijua
Hapa hamna kitu pia nanyi mnaunga mkono wachochezi uraaaaaa Russia 🇷🇺 💖
Urusi nikafiri ila ni mtetezi jhata enzi za mtume muhamadi saw wako makafiri ila waliipigania dini ya kiislam basi hakuna ajabu kwa urusi kupigania dunia zidi ya mashetani
Dunia kwa sasa inamwitaji mlusi kuliko mlusi anavyoiitaji dunia awa awa wachambuzi akuna wanachokijua
Anacho kulilia putin nisahih kwahiro inchi za magharibi sinzul kwadunia yote.
Hawa sio wachambuzi nimashabiki wa UKRAINE au labda wanatafta viza ya ulaya🤔mnaelewa uwezo wa Urusi🤷♂️❓😳
😀😀😀😁😁😁 100 % Upo Sahihi
Unatatizo kwenye uwlewa wako
So 😢
Hamna kitu
Mbona nyinyi hamuyadili ya Palestine Congo Libya na irak mbona hamumjadili mmarekani na mabaya yake
Ndiyo.raisi.waukereni.nikibraka
Huyo mchambuzi hamnakitu
Hivi ninyi watangazaji amuoni uyo ukrin anapata nguvu kwa marekani nato na washirika wake kupewa siraha nzito kibaraka wao urussi apigani na ukrein tu
Jamaa huyu naona saa hii anaona aibu kwa haya maneno alokua anatoa hapa. Putin Over calculated this bro, next time chill usikurupuke.
Mimi ninachokiona hapo mr.putin anajilinda dhidi ya nchi za kidemokrasia kuwa nchi za magharibi zikiipokea Ukraine kuwa mwanachama wait na hiyo itakuwa ni mbinu ya kubomoa/kumuondoa putini kwenye kiti cha uraisi wa muda mrefu,anaona Ukraine itakuwa chambo kwa siku za usoni kutumika kuimsambaratisha Putin kukiacha kiti!! Na kuingiza Urusi kwenye Udemokrasia!!
Iyo democracy imetuu tia umaskini kabisa
Umeonaa
@@ruu6592 kivipi?
Poutine acha muzozo autafika fasi aki ya mungu iko autafika fasi acha mapema utapata asara kubwa
Hiv ww ushajuwa fulani adui kisha jirani yako anamkaribisha karibu muhim usalama wa nchi
mnaogopa kuongea ukweli urusi yupo sawa watangazaji muwe wakweli
Weunaongea utumbo kibaraka nato mchochezi wa dunia
Wachambuzi nyie ni waongo
Zeresiki.natabarisi.yemere.ivyasabwa.naprezi.wuburusia.