URUSI ina BALAA! Mifumo yake MINGI na HATARI ya KUJILINDA Kushambuliwa na Mabomu ITAKUSHANGAZA!

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 186

  • @Gambasingu_Gilitu
    @Gambasingu_Gilitu 9 днів тому +48

    Namba 4 hapa, Like za Putin please.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 9 днів тому +54

    Team Russia, China, Iran, North Korea na Cuba moto uwake liwalo na liwe mpaka Marekani ateme ulimi. Big up kwa Simulizi na Sauti kwa wachambuzi bora wa Geo Politics kuanzia kwa Dj Smaa, Ally Masubi na Mwinuka.

    • @damianlyimo1011
      @damianlyimo1011 9 днів тому +6

      Hawaiwezi Marekani,huyu Putin angekuwa na uwezo angeisambaratisha Marekani Muda mrefu sana,Lakini huo uwezo hawana, Changamoto ya Marekani kwenye Serikali Yako watu unaowaamini sanaaa wakiwa watatu Mmoja kibaraka wa Marekani.

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 9 днів тому +9

      Ata marekani angesha isambalatisha URUSI kwaiy ao wote ni ma giant na usisahau mpk ss URUSI anapigana na NATO

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m 9 днів тому +5

      Ha ha ha kwahy yeye marekani kama anauwezo nae ilipaswa awe ameshaifuta urusi ktk ramani ya dunia,,, swali mbn hafanyi hvyo?

    • @davismuzahula907
      @davismuzahula907 9 днів тому +9

      ​@@damianlyimo1011 kama Marekani ana uwezo si asambaratishe Urusi kuliko kutoa milio😂😂 Acheni ushamba wa kuami katika movie na propaganda za Marekani front hawezi na hajawahi shinda hata vita na magenge ya wahuni😂😂 sembuse jeshi kubwa la Urusi

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 9 днів тому

      Unamegwa​@@damianlyimo1011

  • @Raboudiblaq
    @Raboudiblaq 9 днів тому +11

    Kiukwel mimi ni rai wa Burundi 🇧🇮 huwa nafatilia sana habari zenu kiukwl huwa mnanifungua akili na kujuwa badhi ya vitu sawa sawa na wasomi asante sana wajomba 😂❣️🙏

    • @ChachaRichad
      @ChachaRichad 9 днів тому

      Mm niko bongo napenda kuona dugu zetu mnatufatilia

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 9 днів тому +10

    Bwana alli masubu ni mchambuzi mzuri sna sns mnatupa habari ambazo hazina shida 👍👍👍

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 9 днів тому +8

    Uchambuzi mzuri sana... Hongera sana sky na SNS kwa kutuletea vitu vya tofauti,, hakika utofauti wenu ndio utakao waweka juu..

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 9 днів тому +9

    SNS siku zote naipenda ❤❤

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 9 днів тому +14

    ❤❤❤pongenzi kwa mwambA PUTIN/RUSSIA

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 9 днів тому +17

    Godbless russia 🇷🇺

  • @YusuphLutandula-qq8yf
    @YusuphLutandula-qq8yf 9 днів тому +9

    Hujazungumzia Pantsir Air Defence system ya Urusi

  • @luqmanrajab952
    @luqmanrajab952 9 днів тому +5

    Mnatisha sana Tz kwa uchambuzi bora nawenye kueleweka pongezi nying san Alliy Masubi Dj Smaa na sky

  • @reubensimon7015
    @reubensimon7015 9 днів тому +6

    Duuh wenzetu wametizid sana ki elim.. hebu angalia wanavosuka mifumo ya kuilinda nchi yao.. pamoja na kibiashara pia. Kombora linatoka USA kwenda Russia.. lakini tayari limeshabainika..😱 Huku kwetu African tutangoja sana aisee.

  • @user-hk6ls3yw9q
    @user-hk6ls3yw9q 9 днів тому +3

    Mungu wape ulinzi na ushindi warusi.

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 9 днів тому +2

    Asante sana mtaalamu wa habari, hivi kwenye tuzo za online TV hamjanyakua sifa kweli maana mko vizuri sana, hongereni

  • @starguyclassic8338
    @starguyclassic8338 9 днів тому +9

    Likes zangu jameni @starguy

  • @MwalamiMngombe
    @MwalamiMngombe 9 днів тому +3

    Asante kaka nakubari habari zako

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 9 днів тому +5

    Nooo Kuna tochika, pensa m,
    Uitaje wasikilizaji wajue

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 9 днів тому +6

    Uraaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

    • @ChachaRichad
      @ChachaRichad 9 днів тому

      Uraaaaaaaaaa uraaaaaaaaa uraaaaaaaa

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 9 днів тому +7

    Uchambuzi wa kitaalamu!

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 9 днів тому +12

    Sisi anga letu wachawi wanajimwaga tuu 😂😂

  • @FrancisDonald-go9cs
    @FrancisDonald-go9cs 9 днів тому +2

    Sns itakuja kuwa bora sana apo baadae

  • @luqmanrajab952
    @luqmanrajab952 9 днів тому +2

    Muwe mna tuletea mara kwa mara hiz chambuzi na tarifa za uhakika kwa mim hapa ndio sehemu yaku aminika big up sana

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m 9 днів тому +5

    Hapa kazi tu

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 9 днів тому +4

    Upo vzuri kaka unaelimu yakutosha putin hapa nakukubali kaka

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 9 днів тому +1

    Asante kwatalifa

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 9 днів тому +7

    Pongesi kwa mwamba putin

  • @khamisomar889
    @khamisomar889 9 днів тому +3

    Sauti yako leo imetulia sana ali masubi

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 9 днів тому +2

    Kama marekani ana uwezo kweli, aamue kuishambulia Urusi. Afanye hivo. Marekani ni mtoto tu wa hapa manyara. Wameshindwa kumtoa Urusi pale ukrein. Oky?

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 9 днів тому +2

    Good urus ❤❤❤

  • @user-mq9im1wd4x
    @user-mq9im1wd4x 9 днів тому +1

    Ubarkiwe sana kaka masubi

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 9 днів тому +2

    Asante sana mchambuzi kunywa soda Kwa mangi nakuja kulipa

  • @micheekasiwa3706
    @micheekasiwa3706 7 днів тому

    Tunakufuata 5/5 kutoka Bukavu /DRCongo. Ongera sana kwa habari nono.

  • @sebastienkatwali5603
    @sebastienkatwali5603 9 днів тому +2

    Tuko pamoja kutoka zambia from DRC

  • @aronindibalema4964
    @aronindibalema4964 9 днів тому +2

    Habari kama izi uwezi pata bbc

  • @PatrickJulius-uy3yb
    @PatrickJulius-uy3yb 9 днів тому +2

    Masubi ndan sns kwenye ubora wake fuse ime shiba good news

  • @godefroidniyonkuru7332
    @godefroidniyonkuru7332 9 днів тому +10

    Hey am number1 leo jamani naombeni likes zangu

  • @pascalmanyama2304
    @pascalmanyama2304 9 днів тому +2

    Safii.Vipi kuhusu GIBKA S,inafanyaje kazi.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 9 днів тому +1

      Ni mfumo wa kujilinda pia ila huu upo kwenye majaribio kwa hyo details zake halisi na ubora bado sio za uhakika boss.

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 9 днів тому +1

    Huyu mmarekani wakati wake umesha pita na maandiko ya anguko ladoll unaelekea kutimia awapishe na wengine watawale😂😂

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 9 днів тому +2

    Nooma sana

  • @kenochieng3098
    @kenochieng3098 8 днів тому

    Ongera sana

  • @husseinmgoo3074
    @husseinmgoo3074 8 днів тому

    Ok

  • @peteremanuel2367
    @peteremanuel2367 9 днів тому +1

    Hivi huyu Ruto anaakili za kivipi? Ni kibaraka wa magharibi Kwa nini? Huyu Ruto anataka kutuletea balaa África mashariki

  • @majimbeTV
    @majimbeTV 9 днів тому +3

    Wa tatu leo

  • @PeterMchomvu-gv1bq
    @PeterMchomvu-gv1bq 7 днів тому

    Kushambuliwa kwa Ukraine ni andiko la mungu maana wote ni ndugu

  • @MwimjumaBakari
    @MwimjumaBakari 9 днів тому

    Mungu yup
    O ipo siku ataamua

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 9 днів тому +1

    Pale ukitoa vifaa vya vita unategemea vita itaishia huko mara game inageuka inakuja kwako moja kwa moja

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 днів тому

    👍👊✌️.

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb 9 днів тому +1

    Mjomb mix ally na smaa mmoja peke yake inachosha maaana kila mmoja na utam wake apo na kila mmoja anasifa yake

  • @alexmwingira7267
    @alexmwingira7267 8 днів тому

    Volenez ndio mfumo upi maana Wana S300,S400 ndio yazamani na ilipigwa cremea na kombola la Atcmas kwa hiyo hii imefeli ndio maana wamepeleka S500 haraka ambao bado haijakamilika.

  • @bigchancesmallchance1958
    @bigchancesmallchance1958 7 днів тому +1

    R.I.P Millard Ayo 😂😂

  • @user-pj8cj7ps5b
    @user-pj8cj7ps5b 9 днів тому

    Nazidi kuipenda urusi

  • @toymadebho7048
    @toymadebho7048 9 днів тому

    😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @EmmanuelSima-qz1gd
    @EmmanuelSima-qz1gd 9 днів тому +1

    S waliamshe tu kila sku mitekenyo ya nn fumua tufe wote tuzaliwe upya

  • @daxenkiller6274
    @daxenkiller6274 9 днів тому +1

    Asa hivi sio Ukraine now wapo na nato intelligent ,weapon, na kila kitu Ukraine n uwanja tyu kama kwa mkapa

    • @edoedwine5913
      @edoedwine5913 8 днів тому

      watu hawaelewiii sijui vichwa vyao wanaviwekaga wapii😂😂..mtu anasema kma Russia anauwez amsambaratishe Ukraine yn mtu haoni hata ukraine anasaidiwa na 46 countries vs Russia

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 9 днів тому +2

    🇹🇿❣️🇷🇺👏

  • @jumaseif4263
    @jumaseif4263 8 днів тому

    Gu awe basi sisi tuluo tim russia ili hao manyabga'au wa magharibi washindwe wanaharam wamebeba dhahabu alimasi pembe za ndovu kutoka afrika wametajirika lakin eti sisi wanatupa vyandalua wanagalamia vita ukrain kwa mabilion ya dola lakin sisi wanatupabdikizia magonjwa

  • @YusuphMchomvu
    @YusuphMchomvu 3 дні тому

    Hiyo wanayoitoa watupe sisi tutambe nayo huku kwetu.

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 9 днів тому +3

    Kenya wanategemea anga ya TANZANIA 😂😂😂

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm 9 днів тому

    Tatizo letu elimu yetu ni ya kinadharia sana.Halafu uwekezaji wetu mkubwa wa pesa ni ktk siasa.Hatutoboi.Siku tukibadilika tukawekeza vizuri kwenye elimu,tutatoboa na kuwakaribia kama si kuwafikia.

  • @lionroot4073
    @lionroot4073 8 днів тому

    Niko sweden nakusomeni 100 chini ya 100 SNS habari nyengine

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 9 днів тому +1

    😢😂😂😂ety Africa kaipiga russia mfano impossible

  • @tekashisixtynin9threewithd727
    @tekashisixtynin9threewithd727 9 днів тому

    Yani mifumo yote ya teknologia imeanzia kwa hao marekani na washirika wake G7 asa rusia anakiwa kama copy asa marekani walishajua yote hayo wataiga mofumo lazima watengeneze mofumo ambayo haionekani ya makombora

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 9 днів тому +2

    Kumbe Russia 🇷🇺 wako vizur sana kijeshi

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 9 днів тому +1

      Upo dunia gani ndotaifa lenye nguvu dunia nzima 😂😂

  • @GoodchanceVioleth
    @GoodchanceVioleth 9 днів тому +1

    Asate kwa madini hadimu

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x 9 днів тому +3

    Yani subirini mjue marekani ujasikia akisifia na vita zote anazoshindaga staili yake ndio hii sasa subirini nyinyi marekani ni dunia yenyewe

    • @samkitwima7933
      @samkitwima7933 9 днів тому +1

      Ushakaririshwa wewe! Hiyo siyo Iraq wala Libya. Sifia huku viazi vya watu wasio na hatia wakiuliwa Africa, Lebanon, Gaza, na kushabikia ushoga kenge ww

    • @danstanirubazibwa2494
      @danstanirubazibwa2494 9 днів тому

      Usimtukane bali mfundishe jamani

    • @kafwimbimilambo8556
      @kafwimbimilambo8556 9 днів тому

      Ee bwana uache utani

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 9 днів тому

      ​@@samkitwima7933matusi ya nini ndugu,vumilia dawa ikuingie.Marekani baba lao.Hata hii mitandao ya intaneti na youtube unayotumia ni ya wamarekani na sio urusi na ndio ujue Marekani kwenye teknolojia wako juu kuliko Taifa lingine lolote hapa duniani.

    • @academicsite8524
      @academicsite8524 9 днів тому

      Waache wajidanganye na ma s400, yameishaanza kuunguzwa huko crimea

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 День тому

    Urus zaif

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 7 днів тому

    Cc tz cjui ata km tuna mfumo wa ulinzi wwte labda mfumo wa kupambana na wachawi

  • @pambamachibya3965
    @pambamachibya3965 9 днів тому

    Hu

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 9 днів тому +1

    Marekani kama anammudu urrusi si aende peke yake mbona anabeba mimtu kibaaaaaao

    • @HusseinSaguti-sj9nh
      @HusseinSaguti-sj9nh 8 днів тому

      Wao walishndwa toka zaman
      Ndio maana wakaamua waungane waunde nato.wt ni woga baada ya kujua hawaiwez urusi
      Umoja wakuujihami unakusudia mrusi

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 9 днів тому

    Waswahili tuendelee tuu,kuzilinda nyumba zenu kwa zindiko la nyumba tuu,maana hayo mengine tumuachie mrusi!Tanzania sijui tuna mifumo mingapi yakujilinda na kombora hata moja?

  • @colmanlesulie250
    @colmanlesulie250 9 днів тому

    Why urusi tu

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 9 днів тому

    kuna silaha za mionzi mbona ujataja nataka kujua hatari zake

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 9 днів тому

    Kwaiyo marekani yy anapenda amiliki dunia ? anakwenda kuanguka marekani mwisho wake unafika bilashaka

  • @jumamaswe4963
    @jumamaswe4963 9 днів тому +1

    Mfumo wenyeqe umegongwa nda drone siku chache zilizopita sasa una faida gani

  • @dominic4727
    @dominic4727 9 днів тому

    Amesahau s- 550

  • @amonezekiel4893
    @amonezekiel4893 9 днів тому

    Marekani hana inshu ndo maana, anatafuta wa kumsaidia

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 9 днів тому +2

    ATACMS imeshambulia na kuteketeza mifumo ya ulinzi ya S300 na S400 crimea na ndani ya urusi na hiyo mifumo imeshindwa kupangua hata kombora moja la atacms.Baada ya kuona mifumo yake ya S300 na S400 imeshindwa urusi imeamua kuja na mfumo wa S500 na nao ukipigwa habari ya urusi itakuwa imeishia hapo.chezea marekani ww.

    • @abdulrazack9577
      @abdulrazack9577 9 днів тому +1

      Wewe upo urusi au Ukraine mkoa gani

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 9 днів тому

      @@abdulrazack9577 belgorod

    • @academicsite8524
      @academicsite8524 9 днів тому

      Hawajui waambie wasijijaze upepo.

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 9 днів тому +1

      Sio kweli, Russia ni wajanja sana, walimtega adui, akamtengenezea kitu kinachofanana na hizo mifumo ya anga kumbe sio yenyewe, ni maputo yaliyojazwa hewa afu zikafanana na hizo mifumo ya anga. Akili mingi sana kwenye vita.

    • @latestfunnyvideo2187
      @latestfunnyvideo2187 9 днів тому

      Ni ngumu sana kuzielewa siasa za dunia hii kila ukweli watu wameshachoka na hii vita uchaguzi ujao bila janjajanja biden hatatoboa so itategea msimamo wa raisi atakayeingia madalakani

  • @emanuelidamiani2943
    @emanuelidamiani2943 7 днів тому

    Maengineer wa kisoviet wapewe maua yao, hawa jamaa sio poa aiseee

  • @tyivbra
    @tyivbra 9 днів тому

    Ally masubi ur Kikuyu bro😂
    In Kenya

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 9 днів тому

    Hawa jamaa waki mbali, na wanaijua vita . Inabidi wengine wajipange

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 День тому

    Kalipuliwa Crimea SAS

  • @HusseinSaguti-sj9nh
    @HusseinSaguti-sj9nh 8 днів тому

    Nato walishndwa toka zaman
    Mashoga hata wawe elf clolote

  • @FadhilliIddy
    @FadhilliIddy 9 днів тому

    Kam rassia atakuw anaxhambuliw, je yeye hatashambulia na kama ataxhambulia ukrein ye kajipangaje

  • @djmaxbeatztz
    @djmaxbeatztz 9 днів тому

    Marekani watatupia ugonjwa hatari urusi

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 9 днів тому

      kwan wew marekan unaiona Kama nn unadhan Urusi ni wajinga Kama wew?

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 9 днів тому +3

    Ingekuwa uingerezaa mngetangaza dk 3

  • @user-od8tg1yt3g
    @user-od8tg1yt3g 9 днів тому

    kwann urusi isipige nyuklia ukrain mambo yakaisha

    • @majutomusegu
      @majutomusegu 9 днів тому

      Vita ni hatari akipiga nyukilia Yani vita itakua ya dunia ndio maana anahofia

  • @LesingoBaraka
    @LesingoBaraka 9 днів тому

    Wewe usitupotishe wewe mshabiki wa urusi alafu huendani na utangazaji waachie wakina bundala

  • @chirezaasende4247
    @chirezaasende4247 9 днів тому

    Hihi sns ni channel ya Urusi kabisa duuuuuh walahi

    • @edoedwine5913
      @edoedwine5913 8 днів тому

      maana CNN,BBC na zingine ni channel za Marekani walahi

    • @emiliankomba5217
      @emiliankomba5217 7 днів тому

      Yaan wanajua taarifa za urus kulilo hata jesh la urus lenyewe😂😂

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 9 днів тому

    Kwani mifumo ya wengine ni miĺaini wanaume wenzako usiwatishe kwani wengine hawawezi kupiga wote wanayo nionavyo mimi wote wanaweza kufanya chochote vita usimtishe mtu wajerumano wafaransa waingereza urusi hawa wote lazima waogopwe hakuna mtu wa mkumtisha yeyote ma usa

    • @HusseinSaguti-sj9nh
      @HusseinSaguti-sj9nh 8 днів тому

      Ukiona mtu anakuambia tuungane dukapgane na flan na ukakubali jua ww na yy ni dhaifu kwa huyu mtu
      Nato iliundwa kukabiliana na urusi
      Nikua hawamuwez

  • @rajabmartojr3302
    @rajabmartojr3302 9 днів тому

    Haileee putin❤

  • @mchjohnmasegese8193
    @mchjohnmasegese8193 7 днів тому

    Nyinyi SNS kazi yenu kuwasifia urusi na kuwaponda USA.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 дні тому

      Sns huripoti kila kinachoendelea hamna sehemu katika hyo video imeiponda US.

  • @SamEducationFoundation
    @SamEducationFoundation 9 днів тому

    Leta na makomboro ya marekani pia sio tu urusi

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 9 днів тому

      Marekan makombora yake ya kipuuzi tu hana maajabu kwa sasa

  • @omeraJR
    @omeraJR 9 днів тому +1

    Propaganda tu hatari ya kifaa huoneshwa kwenye Vita sio kwenye MEDIA😂😂😂😂. Mbwembwe tu TEAM NATO TUNAWASOMA TU HAWA PRO MEDIA DICTATORS ILA SISI BADO TUPO SANA MTUGUSE TU MUONE MOTO WAKE KENGE NYIE😃😃

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 9 днів тому

      Tafuta ela ule na mama ako wew na NATO wapi na wapi Kama c ujinga tu kuhangaika na mambo yasiyokuhusu

  • @tekashisixtynin9threewithd727
    @tekashisixtynin9threewithd727 9 днів тому

    Rusia hana tofauti na 🦬 anayejipishia kwenye mto wa mamba alafu ajui mamba gan atamdaka 😂😂😂😂achana na wazungu yani marekani na washirika wake G7 wale watu balaaa sana

  • @DullaJonson-dw4vy
    @DullaJonson-dw4vy 9 днів тому

    putin uraaaa

  • @aidenlazaro3054
    @aidenlazaro3054 9 днів тому +1

    Urusi inashindwa kudungua makombora ya ATACMS ya marekani

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 9 днів тому

      Yameharibu mifumo yote ya ulinzi ikiwemo S300 na S400.Bado mfumo mmoja tu wa S 500 na Urusi akiuleta nao ukipigwa atakuwa mweupe manake hayo makombora ya Marekani ya ATACMS mifumo ya ulinzi ya urusi imeshindwa kupangua.

    • @user-wc3hn4kt1x
      @user-wc3hn4kt1x 9 днів тому

      Makuma nyie. Atacams nyingi zimepigwa na Mrusi. Ni moja tu ndio imefanikiwa kufika Urusi tena kwa bahati mbaya

    • @user-wc3hn4kt1x
      @user-wc3hn4kt1x 9 днів тому

      Nyie acheni ufala. Urusi amelipua hizo Atacams za kutosha. Ni hako kamoja tu ndio kalifika kwa bahati.

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 9 днів тому

      ​@@MathewNathan-yb2bzmarekani alipiga maputo yanayofanana na hiyo mfumo wa anga

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 9 днів тому

      @@user-cw8zn2dn6m putin asingeleta s500 kama america kapiga maputo.Acha kujidanganya ww.

  • @madjidfine4295
    @madjidfine4295 7 днів тому

    Sawa urusi media tunawapata 😂😂😂 inabidi mbadili Jina la media yenu kwamana sio kwa sifa izo kwa urusi

    • @emiliankomba5217
      @emiliankomba5217 7 днів тому +1

      Daaah jamaa umeona mbali saana,😂😂 nilikuwa natafuta sana hii coment,, yaan jamaa wanazingua maana wameingiza udini na uteam,, kilz siku ni mambo ya urus urus wao wamebase na team Urus,, hivi wanahis kitu chepes mrus apigane na nato nch wanachama 30+

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 6 днів тому

      Hamfatilii tu ndugu zangu sns inariport taarifa zote iwe za marekani iwe au urusi fuatilia.

  • @andrewsifuna5673
    @andrewsifuna5673 9 днів тому

    Nyinyi watu leteni habari za muhimu za kutujenga kama jamii za afrika mashariki

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 9 днів тому +1

    Yani nyie wachambuzi mnataka kudanga watu kwamba urusi ndio mwenye akili tuu duniani hao wengine awana silaha acheni kupotosha watuu. Vita inamazara pande zoteee akuna mbabee wanapata hasaraa na pili nyie waandishi mnajua kwenye magala ya majeshi yote dunia au nyie ongeeni mnayojua tuuu msituone ss kengee😂😂😂

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 9 днів тому

      Wanaipendelea urusi na wakati ukweli unajulikana kuwa Marekani ndio baba la teknolojia duniani.sasa kama juzi makombora yake ya ATACMS yaliharibu na kuteketeza kabisa mifumo ya ulinzi ya S300 na S400 ndani ya urusi na crimea kiasi kwamba mifumo hiyo ilishindwa kabisa kupangua kombora hata moja la ATACMS na kupelekea kuharibiwa urusi ina nini tena?

    • @Uwezohussein-me2gp
      @Uwezohussein-me2gp 9 днів тому

      Nikujuze tu hilo unaloota likitokea, Russia atanyanyua nyulia hapo hapo.

    • @frankmichael1307
      @frankmichael1307 9 днів тому

      ​@@MathewNathan-yb2bzhata wewe pia unajipotosha ivi unazan kabla ya marekan kuitawala dunia alie kuwa anaitawala dunia ni nan

    • @frankmichael1307
      @frankmichael1307 9 днів тому

      ​@@MathewNathan-yb2bzkalia hayo hayo ukwel huwa aujifich mdogo wangu kama unamacho unaona na kama unamasikio utasikia tuu

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 9 днів тому

      ​@@MathewNathan-yb2bzsio kweli. Ww hujui kitu.

  • @fadhilyassin5772
    @fadhilyassin5772 7 днів тому

    Slava Russia

  • @HappyBirds-fx6vi
    @HappyBirds-fx6vi 9 днів тому

    Sasa ukiletewa stori ya silaha za marekani utazimia. Watu wengi wanadhani ni urusi tu ndo ana silaha nzito