Urusi yatangaza kusimamisha mkataba kati yake na Marekani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • Urusi imetangaza kusimamisha ushiriki wake katika utekelezaji wa mkataba wa upunguzaji wa silaha kali kati yake na Marekani.
    Akihutubia taifa kwa njia ya televisheni leo, Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema Urusi haijajiondoa kutoka kwenye mkataba huo bali itasimama kushiriki kwenye kutekeleza makubaliano baina ya mataifa hayo mawili.
    #AzamTVUpdates

КОМЕНТАРІ • 159

  • @jumaismaili3656
    @jumaismaili3656 Рік тому +46

    nyie wote ambao mmekomenti apo eti urusi kashindwa vita nyinyi nimashoga amuwezi kumpenda poutin maana anacho wafanyia amuwezi kusaau angekuwa kashindwa vita majeshi yake aingekuwa inashikilia mikowa minne iyo utuba imewagusa nyinyi mashoga mbele ya poutin kiboko🇷🇺❤️💪❤️🇹🇿uraaaaaaaa

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Рік тому

      We hujui mathara ya nyuklia ndy unaropoka! Ungejua kwanini amesitisha huo mkataba na Marekani kuwa anajiandaa kutumia silaha za nyuklia.

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Рік тому +12

      @@barakakusa7606 natamani nickie ameyalipua haya mashenzi,yashughulikiwe kama walivyo waua kina Sadam na muamar gaddaf. Yapigwe hayo ma nato.

    • @charleszakaria643
      @charleszakaria643 Рік тому +1

      Hana jpya, tulishamuzoe kwavitisho alisema atakayeingilia vita atakiona chamtema Kuni kumbe mhun2

    • @ramamtanga3482
      @ramamtanga3482 Рік тому +2

      @@charleszakaria643 sasa mbona awaingilii

    • @gh7naa
      @gh7naa Рік тому +1

      @@barakakusa7606ww ukipmbana na mtu utamuachia akupige kwa hiyo nyukilia alilipua sawa kuliko marecani siku zote aone nchi nyingine bora alipuliwe hata ikipiga dunia marecani kila siku kuonea africa kuwaibia kongo na africa yote na warabu wacha amuonyeshe Huyo zeleksy kwa nnasiache madaraka na na waelewane yakaisha hawataki wanataka wao waonekane wababe siku zote ndio hayo ya nyukilia itakua tu vyakula na maisha yasha kua magum kwa ajili ya vita vyao visivyo isha marecani anapenda vita

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Рік тому +20

    Mrusi mjanja sana na yupo tayali kwa nyuklia

    • @yusuphjafarijr7583
      @yusuphjafarijr7583 Рік тому +4

      Putin kichwa ameona hawa jamaa wamemshindwa watatumia nyuklia

    • @Ambagaye
      @Ambagaye Рік тому +1

      Nyuklia haziko urusi tu, wao walikopi kutoka Marekani. Huwezi kumtishia mwenzakao kwa nyuklia wakati ni yeye alieanza kuzitengeza na kuzitumia na badaye akazilaani. Huyu jamaa (pumbavu sana) anatumia neno nyuklia kama vile ni urusi ndiye ana silaha hizo tu.

    • @saimonijonas1471
      @saimonijonas1471 Рік тому +1

      @@Ambagaye Unaweza kuwa wakwanza ukabaki na ukwanza ukakosa usasa kwa kuboresha.Utashangaa ulikuwa wa kwanza kununuua gari kwawakati ule uliona Lina speed. kanunua mwezako leo japo kachelewa kanunua gari lenye speed kukuzidi.Nani atakuwa bora kwa wakati huo?

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 Рік тому +1

      @@Ambagaye umewapa somo la uelewa Isipokuwa wakitoa comment za maana dhidi yako nijuze, maana wengi wa wachangiaji
      ni waathilika wa itikada za AlQaida na Boko Haramu.

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 Рік тому

      @@saimonijonas1471 vita hii mshindi atakuwa ni yule Mwenye Technology
      bora ya Siraha za kivita na Wala siyo kelele za ushabiki Kama ule wa timu za Simba na Yanga.

  • @saidymwajeka8612
    @saidymwajeka8612 Рік тому +18

    Huyu kichwa Safi huyu anaoujuz mno

    • @islachristabinastaravista8104
      @islachristabinastaravista8104 Рік тому

      Viongoz wengi ambao huwa wamepitia kwenye Vita ving vya nchi yake na nyingne amepgana Vita vng km Intelligencer

  • @maryjohn5004
    @maryjohn5004 Рік тому +12

    Urus mwamba imara

  • @mkongwekarim3036
    @mkongwekarim3036 Рік тому +7

    Thabit namkubali Sana 👏👏

  • @moudys
    @moudys Рік тому +10

    Safi sana

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Рік тому +19

    Mchambuzi anaakili sana

  • @mayombomajenga9778
    @mayombomajenga9778 Рік тому +9

    Alidi uko sawa sio wale manyang'au wa chekeche hawajui kitu chochote kinachoendelea Duniani Kwa maswala ya urusi na marekani pamoja na washilika wake.asante

  • @EdwardSMsiro
    @EdwardSMsiro Рік тому

    Thabit uko vizuri sanaa, nakukubali sanaa ktk masuala ya uchambuzi, be blessed

  • @ommyregga5829
    @ommyregga5829 Рік тому +12

    Putin saf sana marekani mashoga

  • @bravenkombe2201
    @bravenkombe2201 Рік тому +6

    Marekani mchonganishi

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 Рік тому +10

    Tupo nyuma yako

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Рік тому +13

    viva Russia

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Рік тому +9

    Putin tunakuelewa vzr sana

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Рік тому +3

    Niko pamoja na urusi

  • @elialugongo8663
    @elialugongo8663 Рік тому +2

    🇷🇺💪Ushindi kwako

  • @jeanmusamba3253
    @jeanmusamba3253 Рік тому +10

    usa ndiyo shida duniani taifa hilo ni la kishenzi sana na migogoro yote duniani ikiwemo kutengeneza makundi ya magaidi ni marekani,wakati umefikia usa inaibika kwa kuishi ikiwafanya watu wote wajinga

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Рік тому +6

    Yap muwe mnaleta wachambuzi Kama hawa sio wale wa kwenye chekeche hawajitambui kabisa wanatumia elimu yao kupotosha wajinga

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 Рік тому +7

    Russia is good country ever

  • @kafwimbimilambo8556
    @kafwimbimilambo8556 Рік тому +6

    Nyie wachambuzi namipa ongera sana kwa uchambuzi wenu uko wazi

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Рік тому +2

    Safi sana Russia 🇷🇺 yani uko mbele ya Muda mkuu

  • @philemonbigwanyi8059
    @philemonbigwanyi8059 Рік тому +5

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 Рік тому

    Thabit anachambua haya mambo kwa kina sana..👏🏿👏🏿👏🏿

  • @sadickbisale6637
    @sadickbisale6637 Рік тому +1

    PUTIN

  • @senikomanya7223
    @senikomanya7223 Рік тому +2

    Uraaa🇷🇺

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 Рік тому +4

    Nyuklia sio poa....tuache ushabiki....ni kifo Kwa uhai!!

  • @chachamakome-wp1nx
    @chachamakome-wp1nx Рік тому +2

    Kumbukeni msisahau Hawa NATO walichotufanyia enzi hizo àchen Putin awaweke sawa M,zee ongeza kichapo,mbona wao ghadaf,...,,,

  • @nyaburumabwire2534
    @nyaburumabwire2534 Рік тому +1

    Salute kwa putin

  • @khatibkhatib2249
    @khatibkhatib2249 Рік тому +3

    Uuuuuuuuuuraaaaaaaaa'paasibyaaaaaaa sputanyaaaaaaa uuuuuuuuuuraaaaaaaaa akhmuuuut long lives putin,more blessing baba wanyoooosheee wapuuzi hao

  • @matigoroally8282
    @matigoroally8282 Рік тому +9

    Huyu Mchambuzi Namkubali Sana Kuliko Wale Waliopita Na Mtayarishiwao Kipindi! Walikua Ovyooo Kabisa Walikua Wanazungumza Wasivyovijua! Kiufupi USA Na NATO Na Umoja Wa Ulaya Maji Ya Shingo Hawamuwezi Mrusi Ameshajiandaa Muda Mrefu Sana Kabla Vita Kuanza lmekula Kwao Na Mnafiki Wao Mgombanishi Wa Dunia Ovyoo Kabisa Marekani!

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Рік тому

    Uraaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Рік тому

    Dotto Mabula nishoga anawashwa mkunduni. Wata chonga sana Russia 🇷🇺 babalao

  • @STEPHANOCIKURU
    @STEPHANOCIKURU 5 днів тому

    MUNGU awaepushe waliyo wake nahivita yakila leo

  • @abdalahngozi5455
    @abdalahngozi5455 Рік тому +2

    Huyo ndo mchambuzi sasa sio wale wa kweny chekeche

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Рік тому +3

    Russia ni mkuu sana!! Marekani huwa anateseka sana!! Afu hajawahi kushinda vita!!

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Рік тому

      Urusi ilishinda vita ipi?

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 Рік тому

      @@rumdeesonsoa1811 vita ya korea, vietnam, ile vita ya pili ya dunia!! Aliyemwangusha hitler ni Russia. Hujui cyo soma kaka

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Рік тому

      ​@@micamathew2595 mueleweshe hajui kitu huyo ushabiki tu unamsumbua

    • @issalyanalijr-8610
      @issalyanalijr-8610 Рік тому

      Adolf Hitler Yuko wapi?

    • @nectarsangiwa-dy6dm
      @nectarsangiwa-dy6dm Рік тому

      @@micamathew2595 Urusi alishashindwa vita Uingereza na Ufaransa ndio waliomsaidia Urusi kumuungusha Hitler...

  • @mussakatoro8079
    @mussakatoro8079 Рік тому

    Hatusimami na Mashoga, tunasimama na Urusi. VIVA URUSI VIVA PUTIN

  • @barick
    @barick Рік тому +4

    ♥️

  • @pauldotto7928
    @pauldotto7928 Рік тому +2

    UKWELI AZAMU NILIKUWA SIJAWASIKILIZA NINYI, NAOMBA MCHIMBE KABISA TAARIFA, UKWELI PUTINI YUKO SAHIHI MAGHARIBI NI TATIZO, SERIKALI YETU , HAIPASWI KUWAHUSUDU HAWA MAGARIBI

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +1

    Choko choko za Marekani ndo zimesababisha yote hayo sasa kipi cha kuficha

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Рік тому +3

    Mchambuzi nimemuelewa

  • @annurmohamedi9824
    @annurmohamedi9824 Рік тому +1

    Huyo ndo mchambuzi anachambua uhalisia anaouona , sio mnaleta wachambuzi wanaangalia Borrell kasema nn , au Ursula kasema nn kwenye MSM zao unakuja kutupa uchambuzi

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +1

    Hicho ndicho walitamani yatokee sasa yanakwenda kutokea na mwisho wake mbaya mno sijui ni nani aliidanganya Marekani kumpa uraisi Biden😭😭😭

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Рік тому

      Mmmmh! Hata angekuwa nani angepigana tu ni vita iliyopangwa karibu karne sio rahisi kutopigana mtihani kwa kweli

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Рік тому

      Hiyo imepangwa na nchi nzima sio na Biden. Nia yao ni kuiminya Urusi isiwe na uwezo wa kiushawishi

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Рік тому +3

    Urusi Ana tecnogy ambayo ni Siri haijawahi toa Siri yake your ya. Kisilaa kwa sababu ya kulinda taifa lake ambayo matifa mengine hayana hiyo tecnogy

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Рік тому

      Teknolojia ipi hiyo mkuu?

    • @abdalahgunda1319
      @abdalahgunda1319 Рік тому

      @@rumdeesonsoa1811 tunaposema tecnogy kunaupana mrefu technology ktk kutengeneza vitu technology kugundua vitu technology kucopy vitu tecnogy utafiti ipo ktk sehemu mbili mbali

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Рік тому +1

    Pputin kapgwa ana mpya

  • @thegreenkhidhir3705
    @thegreenkhidhir3705 Рік тому

    Mchambuzi mzuri sana, ni independent thinker inaonyesha ni maoni yake halisi sio ya kucopy na kupaste!

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Рік тому +2

    Rusia pigaa hao manyahau

  • @salimmugusi5829
    @salimmugusi5829 3 місяці тому

    Tena wamechelewa

  • @josephwaigama-sb8hz
    @josephwaigama-sb8hz Рік тому

    Ongeza vitu baba ushindi ni wako

  • @adamumikidadi2396
    @adamumikidadi2396 Рік тому +1

    Nipekupata sabiti ngangana na omba namba ya sabiti mulangi

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Рік тому

    Ukisikiliza kwa umakini wachambuzi wengi wa mgogoro kati ya Urusi na Ukraine, wanakataa kujiingiza kwa Marekani mojakwamoja katika kuchochea vita hii. Matokeo ni lazima Urusi atumie silaha zake zote!

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 Рік тому

    Wacha ushoga wewe urusi wanapigana na ndugu yake anaua ndugu zake yeye ndio fala wewe shoga marekani kibokoo kama mti anaweza kuku chonganisha mjinga nani wewe fala

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Рік тому

    Putin na wengine Acheni.vita wanateseka ni wengi.vita sio.vizuri

  • @ericksonmuhulo1570
    @ericksonmuhulo1570 Рік тому

    God bless Russia God bless our present putin

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Рік тому

    Putin muhoga anaogopa wenzake watamzidi silaha

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Рік тому +1

    Joe Baden to traveling to ucrain will not change anything underground on ucrain because they so many different engineering of wipon technology on this four heavy whaity between lran chaina Russian noth Corie this are vary andnvince technology they are am is to make sure end of Western power dimand

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 Рік тому

    huyu jamaa anaingamiza nchiyake nakaa pale

  • @yussuphmwiwindi9445
    @yussuphmwiwindi9445 Рік тому

    Hi

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 Рік тому

    Hawa wote ni wapumbavu sana midude yote hiyo ni kwaajili ya kuuwa binadamu

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Рік тому +4

    Kwahiyo huyu Jamaa akili zake zote anaiwaza vita na anako elekea yupo tayari kutumia silaha za nyuklia.

    • @emmanuelkanyela275
      @emmanuelkanyela275 Рік тому +1

      URAAAAAAAA

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 Рік тому

      Usicheze na hii mutu!!

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Рік тому +4

      Si wanamchokonoa wenyewe, acha wakione tu akuna jinsi.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Рік тому

      Akitumia nuclear ndio itakuwa mwisho wake maana sasa ashakuwa tishio la dunia

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Рік тому

      ​@@rumdeesonsoa1811 tishio ni Marekani na washirika wake wanataka waitawale kila nchi kama Dunia ni yao

  • @augustinemwalongo9824
    @augustinemwalongo9824 Рік тому

    Nataman putin angekua mtanzania na watanzania tuwe na misimamo na mapenzi ya nchi yetu kama walivyo warusi

  • @komumbughuni8301
    @komumbughuni8301 Рік тому +1

    West ni wapumbavu, mbona wao wanafanya ujinga mwingi wazi tu

    • @barnabazawadi9433
      @barnabazawadi9433 Рік тому

      Maji ya kikufika shingoni hutawaita wapumbavu. Kama raisi wa Siria, ameanza kulaumu nchi za magharibi, kwamba huu sio wakati wa kuweka mbele siyasa bali uhai. Aliyasema hayo baada ya kuona hakuna msaada unaotaka nchi za magharibi. Mambo yakiwa sawa ni rahasa kuongea lolote unalojisikia kuongea. Lakini mambo yakikubana, wale uliyowasema vibaya, utaenda kuwaomba msaada. Hata ukiwaita wapumbavu, kumbuka sisi bado tu watumwa wao. Maana kila siku tunaenda kwao kuchukua mikopo. Kwa hiyo hawa watu majina yoyote tunatakayowaita, bado wana nguvu kutuzidi.

    • @mayombomajenga9778
      @mayombomajenga9778 Рік тому +1

      Barnabas kumbuka hata huyo siria kukosa msaada ni sababu ya vikwazo vya hao magharibi.mbona kama unajitoa data mzee.robo tatu ya watu Duniani wanaishi chini ya vikwazo vya marekani EU sababu hawataki nchi zingine ziwe na amani ili waendelee kuzinyonya na kupora rasilimali.hebu fikiria tz Mali tulizo ibiwa na ujerumani na bado zingine wamefukia humu humu tz na huwezi zichukua haya waingereza je?pia masurubu waliyo yapata Babu zako nani atakulipia.wao walishagamwaga ugari kitambo acha putini amwage mboga wakose wote.hizo nyukilia kama putini anazo na amedhamilia kuwanyoosha basi mm naungana na putini amalize mchezo tuone upande wa pili itakuaje.japani iligongwa na marekani si unaona walinyooka ......naimani hata hili litaenda powa kabisa

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr Рік тому

    MUDA HUU TUNASHUHUDIA HAYA AFRICA ILIKUA MUAMAR GADAFI NA MAGUFULI WAZEE WENYE MAAMUZI MAGUMU NA SISI TUINGIE BRICS.. PIGA CHINI MASHOGA WA WEST NA MAREKANI

  • @bilioneaibrahim4680
    @bilioneaibrahim4680 Рік тому

    Alukaida, islamiki state ni mmarekani

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 Рік тому

    🇷🇺

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Рік тому +3

    Alivamia alizani ataachwa

  • @sadikkazimoto7466
    @sadikkazimoto7466 Рік тому +2

    Putin kavamia alizani watu watamuacha kakutana na mziki wa haibu

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 Рік тому +1

      Shogaaaaaaa nenda kafirwe na wamerikani na Europe pumbavuu

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Рік тому

      ​@@nasseralhatmi1762 ww ndio shoga hapo unajifanya hujijui

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 Рік тому +1

      @@rumdeesonsoa1811 Nenda kafirwe na wamerikani na Europe nyamafu unanuka kumamayako tena sitaki usome comments zangu kabisaaa koma sina shida na nyauuu masikini mkubwa falaaa

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Рік тому +1

      Sadiki Kazimoto aibu gani kakutananayo Putin? Hao Marekani ndio wamekutana na aibu maana walidhani watamshinda ki rahisi lkn wameshindwa kwaiyo aibu iko kwa nani?

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Рік тому +2

    Putin ameshindwa vita plain and simple

    • @emmanuelkanyela275
      @emmanuelkanyela275 Рік тому +2

      Putin hajashindwa anapigana na nchi ngapi wasiingie kule wangeona mrusi mjanja anawaumiza kiuchumi

    • @saidymwajeka8612
      @saidymwajeka8612 Рік тому

      Brain washed mr

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 Рік тому +1

      Kivip??

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 Рік тому

      @@emmanuelkanyela275 Haijalishi anapigana na wangapi alicho takiwa ni kushinda tu coz alisema ataiangusha Ukraine Kwa siku kadhaa lakini imeshindikana na amesha kula hasara kibao mpaka sasa je unadhani hajashindwa? Na unadhani wakati anaanza harakati zake za kuipiga ukrane hakujuwa kunawatu watamsaidia zerensk na ukumbuke alitoa vitisho kuwa yoyote atakae ingilia kuisaidia ukrane atakiona Cha mtema Kuni Leo Kuna mataifa kibao yanaisadia Ukrane kwanini asiyapige hayo mataifa kama alivyosema? Ukweli ameshindwa tu.

    • @immaomarwa5122
      @immaomarwa5122 Рік тому +1

      Vunga basi acha kuwa marekani

  • @sadikkazimoto7466
    @sadikkazimoto7466 Рік тому +2

    Putini awezi mziki wa yukrein kashachemka mwaka umeisha ana jipyaa

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Рік тому +6

    Right now I can say RUSSIA is the past tense we stand solidarity with Ukraine

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Рік тому +2

    Putin tumbo joto kaishiwa mbinu Kila aina ya silaha katumia kapata zero

    • @sogoramwinshekhe1464
      @sogoramwinshekhe1464 Рік тому +2

      Vichaa msiojitambuwa mpo wengi sana humu

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 Рік тому +1

      Hajafikia malengo..ila kachukua maeneo makubwa makubwa ya Ukren..anayeshindwa ni yule anayepewa nguvu na Nchi 40 na bado anapingwa..

    • @IbrahimAli-yd1ng
      @IbrahimAli-yd1ng Рік тому

      Hujui kinacho endelea ndugu, Putin hajapigana na aseme apigane basi ukrene inakuwa jivu.

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 Рік тому

      @@IbrahimAli-yd1ng kweli kabisa..Maana Russia inajeshi kubwa sana sana lakini walipelekwa ni laki na 80 tu kati ya 2700,000..meli zaidi mia 100 za kivita Submarine pia zipo.. Ukren itafutika. Mabomu mazito yapo.. angalia wanaakili kiaina Kwa kusema Russia inataka kuifuta Ukren wanakili kupingwa!!!!

    • @swalehemzimba3316
      @swalehemzimba3316 Рік тому

      Wew huna unacho fahamu kumuhusu Putin kojoa ulale