MAKONDA AFOKA KWA UKALI HADI CHALAMILA AKATIKISA KICHWA, AONGEA MANENO MAZITO....
Вставка
- Опубліковано 25 жов 2023
- MAKONDA AFOKA KWA UKALI HADI CHALAMILA AKATIKISA KICHWA, AONGEA MANENO MAZITO....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Hongera makonda umesitisha maongezi kwa ajili ya AZANA mungu akubariki
Nakubali sana pamoja na mapungufu yake, anamchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu.
😂😂😂😂😂
Yapi...taja alichokifanya kimoja kikawa na positive result
Baba hizo salamu zifike na kwa wakuu wa wilaya hasa ARUSHA
Mungu ni mwema akisema ndio hakuna wa kusema hapana, na ktk hii dunia huwezi pendwa na watu wote, chapa kazi timiza majukumu yako
Kama kweli kuna haki masidie mama Warda apate mwanae tafadhali
Nimeliwaza hilo 😢
Umeongea kweli inaumiza 👏🏻
Mama Warda ni nani
Kwahyo huyo Rc alivotikisa kichwa ndo ukaona upost😢
Chapa kazi kaka
Hongera kiongozi makonda piga kazi ,kazi iendelee tunampenda sana mama na mitano tena tutampa hakika,kama kazi mama amefanya
Tunaomb mutusaidie tumpqte mtoto Warda sasa mwez wa 7 mwalimu wema kahonga pesa sijui vip jamani tulia tunaomba😢😢😢😢
Nasikia amepatikana,leo ingia kwenye kipindi cha jumapili tupate mengi alikuwa wapi,ilikuwaje.leo hii
Sawa mkuu tunakukubali ila kunamtoto WARDA aliepotea tunaomba msaada mkuu
Mnaongea sana maisha yanazidi kuwa magumu kilakitu ghali mafuta umeme vinywaji yaani ninyi mnafurahi sisi tunahuzuni
Hapo sio serikali bali iliandikwa kukaribia mwisho wa dunia kutakua ni nyakati ngumu Tena za hatari tuombeane tu Mungu atupe mwisho mwwema
😄😄😄😄MTU habadilishwiii kwa kusemwaa piga kazi Makondaa
Acheni wizi haki itawale ndio tutawapenda.
hongera sana
sijaelewa haya maneno kiongozi wa chama cha ccm kusema tz haina vyama vya upinzani. bali ina watowa taarifa
Pamoja baba
Asante mkuu, Tumevuka,
Nakupenda dogo Makonda wewe ni mwba
Makonda you are good! Keep it brother
Here huyu naye
Senge kama makonda
Makonda mwamba kabisaa
Baba wewe nikiongoz ulieteuliwa na mungu
Kasema nani? ondoa iyo ..
Mbn hilo jukumu la warda hamlibebi wala hawaambii hio siri kali ahh 😢😢😢
Simpendi huyu baba,sijui kwann hafi
Anza kufa ww na kizazi chako mbwa ww
❤❤❤❤❤
Coming back strong all the best 👍 👌
Tumepata shida sana madereva bajaji
Kazi hiendeleee 🙏🙏🙏🙏
Upo vizr piga kaz
Ole wenu mumuue hamna jema tunakesha na kumlilia mungu atakufa yy
Hongera Sana makonda
Chongolo huyu huyu...nchi ngumu sana
njoo arushaaa
Apewe ukatibu mkuu uyoo,kipenzi cha wananchi
Huyu mwamba mama Samia akimpa ulinzi. Aisee huwa amuanyi mtu Wala amuogopi mtu. Usingekuta NI sheria yupo tayari ata kuzupiga ngumi kwa wazinguaji.😁😁🤣🤣
Chalamila yupi anatikisa kichwa Chalamila mpya au wa zamani acheni unafiki
Kiburi hutangulia anguko
Kwenye mungu oyeee kimyaaaaaaa dar oyeeeee oyeeweww
Waooo Makonda wetu🙉🙉
Mungu akisema ndio haiwez kusema hapanaaaaaa
Congratulations
Jamaa anajua siasa
Mtajua hamjuwiii...mmetimba tena😂😂
usiempenda kaja❤
NAPE ALIFITI SANA KWENYE HII NAFASI
Sana sana aliweza mno na Bado akipewa nafas anaweza unaushawishi mzur
Ninampenda Makonda..Tumtunze ❤
😂😂😂
mungu akupe maishamarefu❤❤❤
Usituangushe tu binafsi nakupenda sana ila si dhani kama utanishawishi
Jembe
Combread upo vizuri tunakupongeza combread
Moto wako ni mkali utaweza kweli kweli
Mbn husemi kitu kuhusu mtt warda 😢😢
Kwaiyo ata ukikosea kiongea una kua umeagizwaa
Chama cha mapinduzi ni wanyanyasaji kwa vijana kazi yao kuchumia matumbo yao tu ikifika kipindi cha kampen kutudanganya na kofia tu
Bora umetambua hilo
Makonda tunaomba tu umsaidie mama warda alokuwa akikaa kwa mwalimu wema tunakuomba sana wewe kiongozi shujaa warda kapotea na kapotelea kwa mwalimu wema lakini mwalimu wema kakaa kimya kama hajapotelewa na mtoto
Makonda siyo polis, nendeni polisi mkaeleze mtasaidiwa,huko mnakotaka Ni kwenye siasa
Unafaa hata kuwa Raisi ndg, una hotuba zenye upako, Mungu wa Mbinguni akutunze na kukuinua, ikimpendeza akakufikishe hata kwenye ngazi ya Uraisi, wewe ni maghufuli namba mbili.
Mwamba huyu hapa.
NILIMUONYA TUNDU LISSU, KUMUTUSI HAYATI MAGUFULI, NI KUWAUDHI WATANZANIA WALIO WENGI. WATU WANAVYO MUSHANGILIA MAKONDA, NI HOPE YA KUONA KAZI YA MAGUFULI KWA SASA INASHUGHULIKIWA NA HAIPUUZWI NA KUONA SAUTI YA MAGUFULI IMERUDI. HII IMEWAPA HOPE WATANZANIA.
Anae jua uwezo wako ni mkeo.
Nilikumiss
Mtoto warda aliyepotea wakuu mfuatilieni
Makonda tunakuomba uje huku kwetu Arusha sombetini hatuna umeme na ukija una haribu vitu maji miezi 2 hakuna maji lakini bili zinakuja kumbukeni uchaguzi unakuja
Safisana makonda tunakuamini upo vzr
WANACHAMA WAMEKUA MACHAWA SIO SAUTI YA WANANCHI WANACHAMA KAZI YETU NI KUSIGIA TU
Miaka zaidi ya 60. mnaimba ngonjera zile zile. Kwanini msijiulize ni kwanini hawajakombolewa kama kweli mnajua mnachofanya zaidi ya usanii? Leo umeramba matapishi yako pale ulipomtisha. Natamani akuripishie
MUNGU akulinde tupo nyuma yako tunakuombeaa
Mwenezi msaidie mama watumishi kilio chetu hatutaki hiki kikokotoo tunakufa kwa stress tunataka turudi kikokotoo kile cha awali
Makonda kaka yetu kunamtoto wetu warda kapotea kwa mwalimu wema tusaidie apatikane
Si muende polisi , ,mkalipoti
Wakurudishe tu uwe mkuu wa mkoa wa dar madawa ya kulevya ni mengi sanaaaa
Chalamila mwenzako atakusaidia sana apo Dar es salaam kazi imempata mfanyakazi 😂😂😂
Kumbe bado upo😂
Katiba mpya tunapata au?
Ila bro dah hay
❤2025 Rais wangu P.Makonda
Koma we dada
@@frankchilumba5953 koma weye husiye jitambuwa
Unatumia madawa ya kulevya e
Tena chizi kabisa huyu
@@judyngowi391 chizi mmko mzazi
Mama wardaa
Mungu oyee tenaa😂😂 Yaan huyu Aktoboa 2025 sjui
Taratibu taratibu mzee siasa hainaga sifa kaka, unakula nao unacheka nao na...
ila jamaa kazid et mungu oyeee dur
Waliaza hivyo.kwakua wanakujua Umefanya ukatili sana kwa baadhi Raia...kipindi cha magufuli umeumiza wengi...ulitumiwa vibaya...mlilitaja sana jina la Mungu lakini huku mkifanya ukatili...mlikua watu wa kupenda kusifiwa sana...watu wamekunugunikia sana....jitahidi kutumia polite language
Baba baba karibuuuuuuuuuuuuu❤❤❤❤❤❤
Abee
Unafany ukaseme jela Kwa uov ulio ufanya
Upi
Mm nilimeshamtumia kink😊
Basi tunaomba kunafamilyi inamtafuta mtoto wao warda tunaomba msaada maanahawa viongozi wengine wameshindwa
Mama amechemka
NAKUAMINIA MAKONDA WAKONDESHE MAPEMA MAJIPU YAMEIVA MENGI KWA VIONGOZI TUMBUA NYAYO ZA BABA HAYATI 👏 😂
Yani Chalamila hatoskika tena 😃
Akiwemo huyuapa😅😅
sikioni kinachofurahiwa hapa maana umeme shida maji shida mafuta bei juu nyie mmefurahi tu
Amechaguliwa tena mtenda maovu wa magufuli.
Pole
,💪💪💪💪💪💚💛💚💚💚💚💚
Majambaz wamerudi mzigoni
Mama kachoka sasa kaona ngoja awaletee chuma
3:50 jembe
Bro Ushauri wangu jitahid kubakisha maneno katika uongozi wako binadamu hawana kumbukumbu
Binaadamu kuwambiwa ukweli huwa hawapendi siku zoote kwa kuwa ni majizi
Allah akupe hidaya uweze kuijua haki na kuifata,chapakaz makonda
Mwizi wa kura anaongea😂😂😂😂😂😂😂😂
Bashite huyo kaja na Speed
Huyu jamaa mama akimpa ulinzi kweli aogopagi mtu. Yupo tayari azipige ata ngumi😁😁😂😂
Hana jipya huyo
iki chuma kisipate uraisi kaz ipo😅
Wewe ni mchapakazi nakubali ndio..!✓lakini kwa mazingira ya sasa...nahitaji kuona utashi wako,pambana tupate umeme na pia ofisi za umma ziwahudumie watanzania kama ilivyokuwa katika awamu ya tano