RAIS SAMIA AMCHANA MAKONDA - ''TUMEKUPELEKA ARUSHA - NINA IMANI KUBWA na WEWE - UMEKIAMSHA CHAMA"...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • RAIS SAMIA AMCHANA MAKONDA - ''TUMEKUPELEKA ARUSHA - NINA IMANI KUBWA na WEWE - UMEKIAMSHA CHAMA''...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 208

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 місяці тому +8

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 4 місяці тому +23

    Asant Mh Makonda Mungu akulinde akupiganie uchape kazi ww ni Taifa letu

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 4 місяці тому +11

    MUNGU AKUBARIKI SANA KWA UHUSIA KWA MAKONDA. UMEMTIA MOYO NA IMANI KWA WATANZANIA. UNA NIA NJEMA KABISA AMEN.

  • @mzamilyginga7321
    @mzamilyginga7321 4 місяці тому +13

    Tunakupenda rais samia uishi miaka buku...❤❤

  • @AsajileABugali
    @AsajileABugali 4 місяці тому +22

    Nakwelewa sana makonda mungu akubaluki ndo changamoto za kimadalaka kazi iendeleeeeee chapa kazi

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 4 місяці тому +3

    Mh makonda wewe ni kiongozi wa mfano, chapa kazi 💪tuko nyuma yako tunakuunga mkono kwa kishindo hakika unaweza songa mbee🙏🙏🙏

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 4 місяці тому +8

    MAKONDA JEMBE NA MTI WENYE MATUNDA MUNGU AKAWE MBELE KATIKA KAZI ZAKO ❤

  • @jacksonmagola1824
    @jacksonmagola1824 4 місяці тому +11

    Welcome Arusha bro paul makondaa

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g 4 місяці тому +5

    Upo vizuri katika kauli zako,hongera sana, timu umeipangilia vizuri!

  • @user-nt1ww6ju2l
    @user-nt1ww6ju2l 4 місяці тому +3

    Karibu makonda uje arusha ututengenezee mambo mazuri mungu akuepushe na watu wabaya wenye wivu asante sana mama kwa uchaguzi sahii

  • @faharikhamisi3091
    @faharikhamisi3091 4 місяці тому +8

    Mama angu samahani kama nakosea, makonda ni jembe nzuri sana ungemuacha uenezi kulekule aamshe chama hawa wangine hawana meno ya kupambana kama makonda

  • @YassinYassin-vw2zb
    @YassinYassin-vw2zb 4 місяці тому +22

    Karibu arusha kaka mapambano ya endelee kikubwa afya njema

  • @user-jy1ck2de3l
    @user-jy1ck2de3l 4 місяці тому +3

    Namkumbuka pia Mh Said kalembo, Tanga inahitaji amsha amsha, Viongozi wapole mhmh tuleteeni Mh makonda,

  • @Timothymlamba-pq3oi
    @Timothymlamba-pq3oi 4 місяці тому +4

    Makonda yuko vizuri nchi inahitaji majasiri

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 4 місяці тому +2

    Asante mama kumbe una nia nzuri Asante makonda karibu kwetu arusha

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 місяці тому +7

    Mkuu wa mkoa ni raisi wa mkoa...hongera sana

  • @mashyh20hamis86
    @mashyh20hamis86 4 місяці тому +1

    Hongera mh Rais kwa kazi nzuri unayoendelea kuifanya, Mungu aendelee kukupa afya njema ili uendelee kututumikia

  • @MubinaRoshan
    @MubinaRoshan 4 місяці тому +7

    Hebu acheni maneno amemchana au amemuaminia jembe lake

  • @JlmwinukaOnlineTv
    @JlmwinukaOnlineTv 4 місяці тому +1

    Nice

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d 4 місяці тому +4

    Kila blog kila media head line makonda ... mungu azid kukubariki

  • @annertz9969
    @annertz9969 4 місяці тому +2

    Hongera sana mbunge wangu deo Mwenyezi Mungu akutunze🙏🙏

  • @peterkerenge9207
    @peterkerenge9207 4 місяці тому +3

    Mh rais upo vizuri,leo nimependa unavyo wachambua watumishi wako,unaeleza kwanini umewachagua,congrats sana

  • @ipyanamwaipaja3720
    @ipyanamwaipaja3720 4 місяці тому +5

    kwa kumuondoa makonda ky uenezi raisi amefeli

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 місяці тому +3

    MAKONDA IS HERO BINAFSI NAMPENDA

  • @ShirungaMashiku
    @ShirungaMashiku 4 місяці тому

    Ongera mama yangu rais wang mungu akulinde ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 4 місяці тому +6

    Nimekuja hapa kumsikia makonda tuuuu

    • @user-eb6jg3vt2j
      @user-eb6jg3vt2j 4 місяці тому +1

      Yaan hata mm naona anatuchelewesha tu

  • @FethMedy
    @FethMedy 4 місяці тому

    Mungu akulinda mama Samia tuko pamoja mpendwa wetu tunashukuru kwa kutuletea jembe karibu mh makonda.

  • @user-bz2yc2td3c
    @user-bz2yc2td3c 4 місяці тому +5

    Makonda hoyee utateuliwa zaidi mbele unatisha baba

  • @Chr196
    @Chr196 4 місяці тому +3

    Pongezi Mama Samia kwa kumteua ndugu Makonda kuwa mkuu wa mkoa

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 4 місяці тому +3

    MAKONDA Ni mid field wa Bi Mkubwa.anawezaaa..ni.kifaaaa

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis5904 4 місяці тому +3

    Kila laheri Mwenyezi Mungu akujalieni Utume mwema nyote viongozi Wetu

  • @bakarihossein4121
    @bakarihossein4121 4 місяці тому +2

    Ila hyu makonda hata uraisi unamfaa...anapiga kazi

  • @frenziangella6676
    @frenziangella6676 4 місяці тому

    Mama shikamoo nakupenda Sana mamaangu kiongozi na Rais was jamhuri ya muungano wa Tanzania mama mwenye hofu ya Mungu unae juwa kusamehe na kusahau naomba umsamehe makonda naomba ni kilema msamehe mama anakiamsha chama ona Kama no mtoyo umemzaa Ana mapungufu huwezi mtupa ebu mpe nafasi ya mwisho muhulumie pls mama analeta Raha kwenye chama

  • @DeusSimon-ok1ch
    @DeusSimon-ok1ch 4 місяці тому +1

    Hongera makamu mazingra yanatisha

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary7083 4 місяці тому +7

    Mama hongera sana nakupenda sana Rais mnyenyekevu unawaelekeza wateule vizuri sana hongera Rais wetu mimi natamani wakuelewe kwani sisi wananchi tunakuelewa sana na MUNGU akubariki sana

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 4 місяці тому +2

    Namuona MH rais ajae MH pour makonda yungu hatakuacha hata sekunde ni siku ya 3 tunakukanidhi mikononi mwa mwenye mamlaka mungu amekujengea ukuta na nguzo ya shaba hakuna siraha itakayoinuka juu yako pokea kwa jina la yesu

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 4 місяці тому +1

      Mungu akufanyie wepesi kwa kila jambo

  • @elfacekabuta
    @elfacekabuta 4 місяці тому +1

    Hongera Makonda msema kweli

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 4 місяці тому +2

    Tunakupenda Makonda wetu Tena ww Ni mtiifu Wala hujala unakwenda kokote unako tumwa ❤🎉

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 4 місяці тому +1

    Asante kwa kumsaidia Makonda alikuwa amejitwisha mzigo hasingeweza kuubeba

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 3 місяці тому

    Mama ana jembe lake kweli kweli mimi pia naliamini Mh. Paul Makonda Mungu akutunze kaka yangu

  • @user-eb6jg3vt2j
    @user-eb6jg3vt2j 4 місяці тому +2

    Nlikuwa nasubiri taarifa ya Makonda Mungu amtetee

  • @user-iz9wg9ub9y
    @user-iz9wg9ub9y 4 місяці тому

    Hongera sana kwa meter umeweza sana.

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 4 місяці тому +2

    Mama hakika umefafanua vzr Sana uteuzi wako Kwa kina makonda kweli mama Ni mama tu apewe sofa zake hongera mama yetu Mungu akujalie Baraka nyingi na mzuri Kwa Taifa letu na pia akujalie afya njema

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 4 місяці тому +3

    Makonda mbeleni apewe ubunge hata wakuteuliwa kisha apewe zile wizara sugu kama ya Ardhi kisha tuone kama uzembe na dhulma vitatohoka kwa kiwango gani

  • @sengendotwaha9333
    @sengendotwaha9333 4 місяці тому +1

    Makonda mungu akurinde

  • @mustaphambwana7944
    @mustaphambwana7944 4 місяці тому +3

    Hongela sana mama kwa kupambania hii nchi tuko nawe bega Kwa bega sasa ni meanza kukuelewa

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 місяці тому +4

    Ubarikiwe saana Mhe SSH, Ila kwenye Camera za barabarani ni habari njema saana, mana fine za barabarani kwa miaka Serikali ilikuwa inazikosa na zinaenda mifukoni kwa watu , sasa ikiboreshwa vizuri fine mtu akutane nazo kwenye sanduku la posta , ziwe online mtu awe na access ya ku print na kuona deni analodaiwa na kila mtu akichelewa kulipa fine iongezeke, na malipo yaende moja kwa moja account ya Serikali, pole pole ndio mwendo wa haraka unaotarajia ufike mapema

  • @AdelaMgaya-st1vb
    @AdelaMgaya-st1vb 4 місяці тому

    ubarikiwe makonda Mungu yupo pamoja nawe

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar9733 4 місяці тому +1

    Hongera Muheshimiwa Rais kwa uteuzi wa viongozi wenye utendaji mzuri wa kazi zao.Lakini pia nakupongeza kwa mifumo mipya ya ubadilishaji wa askari traffic kuweza kutekeleza majukumu yao ofisini sio barabarani kwa kuboresha zaidi vitendea kazi vya kisasa kuweza kutoa habari na matukio kwa njia za camera umejitahidi sana mama kwa kubuni mioango bora ya kuleta maendeleo zaidi katika nchi yetu ya Tanzania.Ahsante mama.Kazi iendelee.

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 4 місяці тому +2

    Makonda kazi anaijua,Wasikutishe akina Lema najua busara unayo utajua jinsi ya kwenda nao mpaka wajielewe

  • @user-nz9eb4ud6y
    @user-nz9eb4ud6y 4 місяці тому +5

    Kikokotoo kitakuangusha mama

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 4 місяці тому

    Mambo mazuri sana sana sana,Mh Rais wetu anatufanyia. Maisha marefu sana tunamwombea. AMEEN

  • @matokeombugano500
    @matokeombugano500 4 місяці тому +1

    watanzania tuache unafiki...huyu mama 17 March 2021 tulimtwisha mzigo wa urais ...mbele kuliwa giza...leo mwanga umeonekana vimeanza vimaneno...mwacheni afanye kazi mama

  • @sylvestermshana2006
    @sylvestermshana2006 4 місяці тому

    Hongera sana mkuu

  • @deusmichael2290
    @deusmichael2290 4 місяці тому +1

    Mama una mambo mazuri sana na nia yako ni njema sana kwa nchi hii......lakini baadhi ya watendaji wako wanakuangusha...natamani sana wangekuwa na nia njema kama yako.......nakutakia kazi njema rais wetu.

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 4 місяці тому

    Mama Yetu Mpendwa Raisi Dr Samia Raisi Wetu wa JAMHURI wa Muungano wa Tanzania Hongera sana kwa Hekima zako zenye Busara na Heshima. Kazi zako tunaziona Nchi hii ya TZ kwa Uongozi wako Nchi ina Amani WanaNchi wamechangamka kwa Uongozi wako. Mungu aendelee kukupa Afya Njema na Maisha mazuri yenye Mafanikio Amen Pamoja na Familia yako Amen

  • @user-vv4wo5fu9t
    @user-vv4wo5fu9t 4 місяці тому +1

    Huyu mama atufai kabisa ktk nchi mwezi tuu anatuibia pesa yetu anakwenda kufisha oman na emiret ma kutuwacha hoi watanzania

  • @tumpengusa86
    @tumpengusa86 4 місяці тому +1

    Hongereni kwa kupata ajira, mkawatumikie Watanzania kwenye hizo nafasi.

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 4 місяці тому +1

    Mh samia ndio Rais anaeibiwa pesakuriko Rais yeyote africa na tanzania nzima ni Rais zaifu kabisa tz

  • @joycemwandiga1538
    @joycemwandiga1538 4 місяці тому

    Nampenda sana huyu Mama na muombeaga Sana.

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf 4 місяці тому +1

    Mama samia nakupenda sana mama yangu sijawahi ona rais mstaarabu na mwenye hekima kama wewe mama u mnyenyekevu kwetu Mungu akubaliki taifa letu ulifikishe tunapotamani kimaendeleo mama tumeona treni mwendo kasi na yote mazuri unayotupambania tuwe nayo mama yetu

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 4 місяці тому

      Ni kweli Wenye akili timamu na wazalendo wa Kweli wa hili taifa tunamuelewa Sana Mama Samia 🙌

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta 4 місяці тому +1

    Acha hizo, 😮😮😮Mbona hamna mahali amemchana makonda.

  • @damianichayo895
    @damianichayo895 4 місяці тому +1

    Hivi baadhi ya waandishi huwa mnatumwa au mnaonyesha interest zenu? Habari na vichwa vya habari tifauti. Makonda kasifiwa vizuri juu ya kuamsha chama na kuaminiwa kupelekwa Arusha mahsusi mbona mnapotosha?

  • @dafrosasunguya7833
    @dafrosasunguya7833 4 місяці тому

    Hongera mama unawachagua watendaji vijana na wenye NGUVU,hongera Kwa KUWAINUWA vijana zaidiiiiiii

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744 4 місяці тому

    Nice President proud to have lovely President like Samia

  • @robertmaila2513
    @robertmaila2513 3 місяці тому

    Chapa kazi Mama, nitakupa kura yangu bila kupindisha hasa zikija hizo mita za maji na ukatusaidia wastaafu kupata stahiki zetu zote mama uwe na afya njema.

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 4 місяці тому

    Kwa wloenda shule,hio n juu kw juu,mzee baba bora, Naibu, waziri kamili,,

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 4 місяці тому +1

    Mama anaenda vizuri

  • @florahsungura564
    @florahsungura564 4 місяці тому +1

    Kwakweli tuwekewe hizo meters wanatuua hawa wapuuzi...tunawalipia bills za majumbani mwao uwii

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene 4 місяці тому +1

    Mama karibisha wawekezaji chanya vijana wapate ajira viwanda vijegwe vijana waache kwenda nje nchi

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 4 місяці тому

    Asante saana saana Rais kuhusu bili ya maji tunateseka bili hazieleweki

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 4 місяці тому

    Ubarikiwe sana rais

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h 4 місяці тому

    Kazi iendelee MUNGU awalinde viongozi wetu

  • @mabrukinalhumaimi331
    @mabrukinalhumaimi331 4 місяці тому +2

    Shukran

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 4 місяці тому

    Tunakupenda Mh. Makonda... usimwangushe mama

  • @user-jh6jf2vr4o
    @user-jh6jf2vr4o 4 місяці тому

    Brother makonda pambana sana

  • @user-ms2kf3mf3q
    @user-ms2kf3mf3q 4 місяці тому

    Na Mara nyingi kwenye uwongozi wanao kusifia wanakuwa wanafiki tra wanasumbiwa masikini wa mungu

  • @kelvinmboya5846
    @kelvinmboya5846 4 місяці тому

    Madam President, very cool very smart big up🎉

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 4 місяці тому

    Hongera sana mama Samia uongozi unaujua

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 4 місяці тому

    Love your mamy

  • @masanamwita1487
    @masanamwita1487 4 місяці тому +3

    Jamani mtusaidie kwenye swala la umeme. Yaani kwasasa Matumizi ya taa nne na Tv moja lkn umeme wa Tsh Elfu 10 mwezi haushi duuuu

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol 4 місяці тому

    Hongera Mama Nakuombea Kwa Mungu.

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r 4 місяці тому

    Hilo la trafiki nimelipenda

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b 4 місяці тому +2

    Panga pangua kama unagawa ardhi ya watanzania Raslimali nyingine za wananchi hutafanikiwa hata siku moja .Mungu alikuwa na maana yake kuweka watanganyika katika ardhi hii

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 4 місяці тому +2

    Arusha hamtuwezi, hata ukimtuma Manenepa. Toeni mabeberu kwenye ardhi yetu, tuacheni tukae petu. Tupeni katiba yetu mliyoifungia, acheni UFISADI. Baas!

  • @MwagamboSanga
    @MwagamboSanga 4 місяці тому +1

    Waandishi wa habari fake mama amemusifia makonda alifanya kazi nzuri na anamuamini sana alafu nyingi apa eti mwaandika kamponda makonda hamna maana nyinyi waandishi

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary7083 4 місяці тому

    Mama hongera sana

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 4 місяці тому +1

    Huyu alieambiwa kafanye kazi vzr bila neno lolote inabidi ajitafakari vzr

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h 4 місяці тому

    Mh raisi kula yangu ipo wazi 2025

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 місяці тому +2

    Mheshimiwa Rais wa sasa wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kupitia ccm,sisi wananchi tunasikitika sana kuona vijana waliomaliza vyuo kila mwaka, tangu 2015 mpaka leo hawana ajira wala mitaji,tunao majumbani tunawatunza kimasikini kabisa,tumestaafu mafao ni kikokotoo,hawaoi/hawaolewi, miaka inakwenda,Serikali ipo, inatoza kodi,inavuna rasilimali,inakopa,inapokea misaada,lakini tunasikia maendekeo ya vitu tu! Afya, Elimu,Maji,Umeme,viwanda, kilimo,uvuvi,ufugaji,nk. Vimekufa! Ukubwa wa serikali, kugawa mikoa,mna mishahara minono,posho za wabunge tishio,uchaguzi huru hakuna,utekaji,kubambika kesi,vitisho,tozo ndio maisha yetu! Mpaka lini?!!! Waache washauri pembeni Tupe hata hiyo katiba pendekezwa tupone tukuombee heri!

  • @omarymbaraj8072
    @omarymbaraj8072 4 місяці тому +1

    Mpango Maneno machache ila siku zote unaeleweka

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 4 місяці тому +1

      na ndio anaongea ukweli kulko anajiita rais nnchi ipo kubaya sana samia anasema ipo pazuri yaani

  • @LawrenceLukumay-ly8tf
    @LawrenceLukumay-ly8tf 4 місяці тому +4

    Hotuba mzuri ya mh Rais anakupa kitu usichokijua na unapewa maelekezo huo ndio uongozi bora hongeta mama yetu

  • @Alfredmusa24
    @Alfredmusa24 4 місяці тому +2

    Pigeni kazi sina cha kusema

  • @Heismasai
    @Heismasai 4 місяці тому

    Mama kafanya nitamani kuwa Mbunge!! Dah😢 yaani anaelekeza vijana wake vizuri sana, Mwenyenzi Mungu mtunze Mama Samia Wetu

  • @aminamussa5122
    @aminamussa5122 4 місяці тому +1

    Kichwa cha habari sasa 😂

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 4 місяці тому

    Kiukweli wamenawiliiii maisha BORA.

  • @shijakuligi2674
    @shijakuligi2674 4 місяці тому

    mama na kukubali mnoo tutafika salama hata kama wako wanafiki wachache

  • @carolinenjiro41
    @carolinenjiro41 4 місяці тому

    Kuhusu maji ni kilio kikubwa mkuu, asante sana

  • @nassorkhamis6233
    @nassorkhamis6233 4 місяці тому +1

    Ngorongoro wamasai warudishwe

  • @jacksonorest5606
    @jacksonorest5606 4 місяці тому

    Binafsi nimependa matrafik kuondolewa barabarani ziwekwe kamera