DADA wa KAZI ADAIWA KUMKATA KOO MTOTO wa BOSI WAKE DAR -AKIMBIA - "ALISEMA DADA AMENIKATA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • DADA wa KAZI ADAIWA KUMKATA KOO MTOTO wa BOSI WAKE DAR -AKIMBIA - "ALISEMA DADA AMENIKATA"
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 647

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Місяць тому +15

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @NasmaMaulid-ev6md
      @NasmaMaulid-ev6md Місяць тому

      Nyie hii link nikwel au mbona nawasiwasi nayo ukiingia mbona hakuna hayo maswali TUSIJE kuhakiwa taarifa zetu tu 😢😢

    • @maxthadeus6787
      @maxthadeus6787 Місяць тому +2

      Mmmmh

    • @maxthadeus6787
      @maxthadeus6787 Місяць тому

      Mbona kama kenya

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn Місяць тому

      Duh, Wengine wanasikitika wengine wanatangaza biashara hapo hapo. Tena biashara wala haihusiki na taarifa yenyewe.
      Dah hii dunia balaa.

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn Місяць тому +1

      Dah hili tangazo nalo kali.
      Kwa hiyo tucheze bahati nasibu sasa baada ya habari mbaya……mhmmmm

  • @user-ns1dg4jd7q
    @user-ns1dg4jd7q Місяць тому +144

    Mwenyezi Mungu Tunakuomba umponye huyo mtoto wape amani wazazi wake ili wasikatee tamaa. Tunakuomba ulinzi kwa watoto wetu wengine wako mashuleni wengine wako vyuoni na walioko nyumbani. Ni wewe mwenyezi Mungu ulitupa Zawadi hii ya watoto ulinzi wao uko mikononi mwako Amina😭😭😭

  • @user-hm8yt9ol4c
    @user-hm8yt9ol4c Місяць тому +19

    Ee Mungu,wewe nizaidi ya viumbe tunakuomba umponyesha kwa uweza wako.AMIN,AMI AMIN

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 Місяць тому +17

    Mungu wa mbinguni naomba toba kwaajili ya hyo binti aliemkata mtoto na ninaomba unyooshe mkono wako wa uponyaji kwa mtoto hyo 👏👏👏

  • @Kidotii
    @Kidotii Місяць тому +24

    Damu ya Yesu imfunike mtoto alone harakaa!

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt Місяць тому +61

    Mungu wetu ni mwema kwa viumbe wake wasio na hatia atamponya amen👏👏

  • @user-qw6wv4hf5c
    @user-qw6wv4hf5c Місяць тому +16

    Mungu ajalie MTT apone jamani daaah niatali Sana hii

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Місяць тому +21

    Mungu amponye huyo mtoto tuzidi kumuombea daah inasikitisha sana

  • @devothaanthony8174
    @devothaanthony8174 Місяць тому +17

    Mwenyezi Mungu amponye mtoto akae sawa. Ee Mungu tusaidie kutulindia watoto wetu sisi tunaowaacha na wadada wa kazi kwa ajili ya majukumu watoto wapo hatarini kwakweli.

  • @nemaJuma-u5o
    @nemaJuma-u5o Місяць тому +17

    Mungu asaidie namuombea apone

  • @user-ty1tp8ly8q
    @user-ty1tp8ly8q Місяць тому +8

    Pole Sana mama na baba Malik m.mungu hamfanyie wepesi hapone hawataje hao watu km walokuwa wengi au mmoja .mungu Ni mwema🙏

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 Місяць тому +22

    Hata kama maboss wabaya Y umfanyie mtot kitendo kibaya jaman😢😢

  • @user-mx9go2qs9w
    @user-mx9go2qs9w Місяць тому +12

    Mungu amponye mtoto watu 😢😢🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 Місяць тому +8

    Mungu tunakuomba umponye mtoto katikanjina la Yesu uwaongoze madakari katika majukumu yao

  • @lucylight9341
    @lucylight9341 Місяць тому +1

    Our brothers and sisters from Tanzania ombeeni fanyeni dua ...mashetani kavuka toka kenya hadi Tanzania. Na pia sisi wakenya twaomba pia mtuombee akhi this has been happening in kenya in secret but mungu ameanika wakola wauwaji na tumai Itatulia akhi.poleni sana dada zetu Tz🙏🙏🙏❤️

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Місяць тому +17

    Dah Ukatili wa hali ya juu akipatikan apewe adhabu kali

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Місяць тому +10

    SubhanaAllah 😢💔

  • @RaylaRamadhan
    @RaylaRamadhan Місяць тому +7

    Daaah poleni sana tuzidisheni dua hizi ni nyakati za mwisho inauma sana 😭😭😭😭

  • @mwanakhamisimwinyimatano1185
    @mwanakhamisimwinyimatano1185 Місяць тому +6

    Subhana Allah

  • @MsAisha-w4o
    @MsAisha-w4o Місяць тому +2

    Atapatikana insha'allah..na Sheria ifate mkondo wake alikusudia kumuua ila siku za mtoto Bado Allah amponye yarab 🙏

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Місяць тому +10

    😢😢😢 alafu mtoto anaonekana mwenye nizamu Mbona au dada jini

    • @user-eb4nq5du2q
      @user-eb4nq5du2q Місяць тому +2

      Itakuwa 😢 maana wanaonekana wastaarabu tu awa maboss

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Місяць тому +4

      Wasichana wengine wachawi wametumwa damu za watu

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 Місяць тому

      Asilimia kubwa ya wadada wa kazi ni wachawi na wengine ni mapepo

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 Місяць тому +7

    POLENI SANA,WAZAZI,WANAFAMILIA NA MAJIRANI WOTE KWA TUKIO.HILO LA KUTISHA NA KUSIKITISHA.TUNAMUOMBA MWENYEZI MUNGU AJAALIE KWA UWEZO WAKE,MTOTO APONE,APATE NGUVU NA AFYA.MWENYEZI MUNGU AWAPE MIOYO YA SUBIRA WAZAZI NDUGU JAMAA NA MAJIRANI WOTE.POLENI SANA.

  • @maryndutakamau9301
    @maryndutakamau9301 Місяць тому

    Oh God heal Lovely kid completely

  • @trecygohy7847
    @trecygohy7847 Місяць тому +1

    Poleni sana family. Mwenyezi Mungu amponye haraka kwa Jina la Yesu Kristo. Amen.

  • @user-nm5ff3ri8k
    @user-nm5ff3ri8k Місяць тому +11

    Serikali ina mkono mrefu atakamatwa uyo.

  • @gladnessfinda7534
    @gladnessfinda7534 Місяць тому +7

    Sijui tutaishi vipi sijui tuwaweke wapi watoto wetu?Tumekuwa wakatili mno.
    Mungu utusamehe utusaidie utupe mioyo ya huruma.
    Kina mama tunapitia changamoto katika malezi kutokana na utafutaji.
    Tuwe makini na wadada wa kazi kwani hatujui asili zao.
    Tujiombee na tuwaombee watoto wetu sana sana.
    Mungu wetu hatatuacha.
    Tuzidi kuwaombea watoto kama hawa ambao wanapitia madhila kama haya.
    🙏

    • @user-ug3lu2km4c
      @user-ug3lu2km4c Місяць тому

      Unayosema nasema ivo ivooo yani mpk nimekua kama cko sawa sasaiv .
      Ukiwaza sana ni tabu
      Nikumkabidhi mungu tu bila yy hatuwezi tusisahau ibada

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Місяць тому

      Maisha sahv hyna baraka

  • @user-ex4hi7fj5c
    @user-ex4hi7fj5c Місяць тому +5

    Mungu tunaomba usikie maombi yetu umponye mtoto huyu ili mataifa yote wajue kuwa wewe Ni Mungu mponyaji.Hakika shetani anatafuta watu wakuwatumia kufanya vitendo viovu.... Jamani hofu ya Mungu ni nzuri mnoooinatuepusha kufanya maovu

  • @user-fo6lt4ow8p
    @user-fo6lt4ow8p Місяць тому +10

    Mmmmmmmm ukatili wa Hali ya juu, daah tuzidishe maombi juu ya watoto wetu

    • @gilliardgodfriend5745
      @gilliardgodfriend5745 Місяць тому

      Sio maombi wanawake warudi kuwa wanawake hali itakaa shwari😢

    • @user-ur8cq1ye3b
      @user-ur8cq1ye3b Місяць тому

      Sasa​@@gilliardgodfriend5745sasawaludi vp sema tuu tusiwaamini wadada wakazi

    • @dorcassebastian3038
      @dorcassebastian3038 Місяць тому

      @@gilliardgodfriend5745wanawake warudi kuwa wanawake kivipi

  • @SajdahIssa
    @SajdahIssa Місяць тому

    Mungu amfanyie wepesi Mtoto apone

  • @leilabuisha9976
    @leilabuisha9976 Місяць тому +23

    Hawa wasichana wa kazi wakija tu kuanza kazi fanyeni nao interview muwa record na pia mupige nao mapicha mueke kumbu kumbu, Hata akikimbia muwe na proof..pigeni picha kama family .

  • @NaziaMudi
    @NaziaMudi Місяць тому +5

    Kiswahili ni lugha nzuri saana ivi kati ya kumchinja na kumjerui ipi ilifaa ikae apo maana 😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @rhodajoseph2904
      @rhodajoseph2904 Місяць тому

      Maana ilituchanganya kumbe kajeruhiwa yuko hosptali😢

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 Місяць тому

      Kiswahili kigumu kweli me mwenyew nilijua kafariki

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Місяць тому +3

    Mm dada sitaki tena shukrani hawana hata ukae nae vip

  • @ObediMeyan-j8c
    @ObediMeyan-j8c Місяць тому

    Dah poleni Sana ndugu zangu ila mungu yupo atapona

  • @HadiaMohammed-ec2dn
    @HadiaMohammed-ec2dn Місяць тому +1

    Aliezaa anaelewa jins tumbo linavy uma la uzazi😢

  • @glorygratian6340
    @glorygratian6340 Місяць тому +2

    Jamani watu wamekua wakatiliii sana sikuiz💔😢Poleni tumuombee jaman🙏🏽
    na hiz tamthilia zinachangia watu wanaona mambo ya kuchinjana ni kawaida!

  • @RizikMahunya
    @RizikMahunya Місяць тому

    Globali mko vizuri kwa hari za hapa na pale

  • @salhaayub1338
    @salhaayub1338 Місяць тому +3

    Subuhanaallah 😪 😢

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 Місяць тому

    Dah mwenyezi Mungu wasaidie watoto wetu 👏

  • @user-ll9so3pk4j
    @user-ll9so3pk4j Місяць тому

    Mungu amponye mtoto Alone. Amfunike Kwa damu ya Yesu Amina

  • @LamaribamJumbe
    @LamaribamJumbe Місяць тому +1

    Mmmhhhh mungu wangu Jamani ukaidi wa Hali ya juuu daaa AISSEH Inauma sana

  • @fatumamshindo4435
    @fatumamshindo4435 Місяць тому +11

    Jamani wa dada wakazi awapendeki baadhi yao

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Місяць тому

      Unakijuwa alichofanywa yeye?

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Місяць тому

      ​@@hajihassan5433hakuna alichfanyiwa huenda mtoto kamjibu kitu au kuna watu wameungana na huyo dada wa kazi

    • @hidayakeizer924
      @hidayakeizer924 Місяць тому

      Wadada siku hzi hawana jema ndugu

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Місяць тому

      ​@@hajihassan5433Ila msichana ana roho ngumu

    • @Zuu673
      @Zuu673 Місяць тому +2

      ​@@hajihassan5433hata afanye nn ni ukatili mtt inamuhusu nn? Wewe ungefanya ivyo?

  • @neemakoka599
    @neemakoka599 Місяць тому +5

    wanaosema mama mwenye nyumba ana shida inategemea maana kwetu tuliwahi leta mdada then baada ya wiki akapandisha mashetani akasema nataka damu akawa anatafuta kisu bahati nzuri mdogo wetu alikuwepo.Akamzuia kwa kumfungia chumbani mpaka tuliporudi mpaka leo naogopa wadada wakuletewa wengine wachawi.
    Wengine hayajawakuta

  • @AminaAbdul-nr2lz
    @AminaAbdul-nr2lz Місяць тому +1

    Uyo mtoto aliyefanyiwa ukatili mungu amsaidie apone

  • @rosejeremiah-ib3qq
    @rosejeremiah-ib3qq Місяць тому +1

    Pole sana wazazi yaani akuna kitu nachukia kama mtu amfanyie mtoto kitu chochote cha ukatili naumia sana 😭😭😭😭😭😭eeeh mwenyezi mungu nakuomba mponye huyu mtoto mpambanie uhai wake nakuombea mwanangu utasimama tena inshallah 😭😭😭😭😭😭

    • @user-dp6ny5ef9h
      @user-dp6ny5ef9h Місяць тому

      Tujitahidi kuonyesha upendo kwa dada wa kazi, hao viumbe hawana nguvu lakini wakiamua wanaweza kuteketeza familia,tuache roho mbaya

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn Місяць тому +6

    Pole Mungu amtetee Mtoto.apone haraka na watu wafikirie kabla ya kutenda unapojerui au chochote kibaya hutakuwa na amani utaishiia jela faida gan unapata?

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h Місяць тому +3

    Poleni na hilo tatizo la Mtoto. Mwenyezi Mungu na awafanyie wepesi.

  • @Maliusi89Kagumisa
    @Maliusi89Kagumisa Місяць тому

    Naitwa kagumisa wa bukoba nawapa pole sana wazazi wa mtoto aliyekatwa shingo

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Місяць тому +2

    Poleni sana

  • @JumaHassan-w5m
    @JumaHassan-w5m 28 днів тому

    Mungu awatie nguvu wazzi haw

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b Місяць тому

    😢😢poleni Sana ndugu zetu,haya machungu kweli mungu awape nguvu ,ndio maana hawa warabu wana Sheria Kali sana Kwa watoto,ukiguza mtoto unafungwa

  • @user-ey5mv1yz3s
    @user-ey5mv1yz3s Місяць тому

    Mwenyezi MUNGU amponye huyo mtoto, poleni sana wazazi na familia nzima kwa ujumla

  • @user-bl6rd4pq4k
    @user-bl6rd4pq4k Місяць тому +2

    Jamani ,jamani, nyie haya mambo mbona hivyo hii Dunia tunaenda wapi sisi ee molla wangu

  • @nzungizemarcel2216
    @nzungizemarcel2216 Місяць тому +1

    Pole sana

  • @ZainabZainab-fr7gs
    @ZainabZainab-fr7gs Місяць тому +3

    Poleni jamani inauma sana poleni

  • @JehhusRaoul
    @JehhusRaoul Місяць тому

    Mungu ni mwema atamponya il

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa Місяць тому +1

    Get Well Soon Mtoto Mzuri

  • @AshfaynahAbdul-cz9io
    @AshfaynahAbdul-cz9io Місяць тому +1

    Subhanallah Kama unapata manyanyaso bora uondoke kwa Aman jan

  • @nordenconrad14yearsago45
    @nordenconrad14yearsago45 Місяць тому +1

    Allah please save this kid

  • @kokuelikana184
    @kokuelikana184 Місяць тому

    Mungu amponye

  • @habibtynunu9340
    @habibtynunu9340 Місяць тому

    Subhana Allah huyo dada nishetan so binadan inshallah mungu atamsaidia atapata shifaa kwa nguvuza mungu

  • @user-ko6lg9tw6w
    @user-ko6lg9tw6w Місяць тому +2

    Polen sn Kwa mthan mzito Mungu atamponya Kwa izini yeke ishallah Lakin mabos mumezid zarau na kejel Kwa wafanya Kaz wenu munawafanya km Wanyama kwasababu yaumasikin wao munasahau km nawao ni binadamu km nyny munawateteya maovu mengi san ndomana nawao hujibu mashbiliz Kwa watt wenu siamin km mdada WA Kaz unamsamin na kumpenda km mwana familia hafu afanye unyama km huo sio kweli hem kaeni nao kwawema na ihisan halafu muone km atafanya ubaya km huo

    • @NasraSalehe-bi8sh
      @NasraSalehe-bi8sh Місяць тому

      Sikubalian na hiki na kama amenyanyaswa na bossi si angeiba hata vitu vya ndani akasepa kumdhuru huyo mtt anapata faida gani, hyo mijitu ya kigoma mingi mikatili na ni kichawi na background za malezi Yao huwa ni mbayabaya wamenyanyaswa kwao wanakuja kuleta stress na depression zao kwa watu wengine akipatkana na yy achinjwe kidogo Ili aone utamu wake

    • @NasraSalehe-bi8sh
      @NasraSalehe-bi8sh Місяць тому

      Akatwe hata vidole

    • @joycemsegea7787
      @joycemsegea7787 Місяць тому

      Halijakupata wadada wasasa nishida sana kwanza niviburi sana omba Mungu lisikupate unaleta dada wewe bosi wake unakuwa mtumwa kwake huo niujinga mbona makazini watu wanaenda wanajituma wapate mshara wao kwanini na yeye asijue wajibu wake acha kuwatetea ,wadada wanaujinga sana

  • @DafrosaMassawe
    @DafrosaMassawe Місяць тому

    Pole sana kaka

  • @WinfridaJackson-ji8bq
    @WinfridaJackson-ji8bq Місяць тому

    Mungu amponye huyo mtoto

  • @JoyceKaganda
    @JoyceKaganda Місяць тому +1

    Pole sana mzazi

  • @JACOBNDASHUKA
    @JACOBNDASHUKA Місяць тому

    Daaaah polen sana mungu Yu pamoja nanyi ameeen

  • @queenmunny244
    @queenmunny244 Місяць тому +3

    Subhana Allah yarabby tulindie watoto wetu .watu wamekuwa Wakatili namna hii tutaficha wapi watoto wetu sio shule sio madada wakazi yani imekuwa hatar😢😢😢

  • @antiRidhia
    @antiRidhia Місяць тому

    Allah ampe shufaa kwa ufalme wake Ameen

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Місяць тому +2

    SubhanAllah

  • @JuliusMlengeswa
    @JuliusMlengeswa Місяць тому +2

    Mnatuchanganya. Tumieni neno sahihi. Mtoto anaendeleaje? Binadamu na hata mnyama akichinjwa haponi!

  • @graceleonardsanga3097
    @graceleonardsanga3097 Місяць тому

    poleni sana wazazi wa mtoto MUNGU amponye kijana wetu amen

  • @WinifridaGregory
    @WinifridaGregory Місяць тому +1

    Eeh Yehova Mungu naomba umponye mtoto

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc Місяць тому

    Mtihani wallah , Allah akufanyie wepes waja wake tuwe na imani

  • @user-qo8qy8zv1f
    @user-qo8qy8zv1f Місяць тому +1

    Nimejikuta nalia naumia moyo nina uchungu sana ,najiuliza kwa hali hii tunaenda wapi kama Upendo ndo umeisha kwa kiwango hiki!!! Binafsi nilishawaacha madada wa kazi . Make nimeona mwingine anamwekea mwenye nyumba seelwearl kwenye chakula ,ila alipona, mwingine alimwekea sumu ya panya nk. Kusema kweli imani ilishaisha . Wengine

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Місяць тому +1

    Lailahailah rabbi nsataraa mtt apone hili la watu w kigoma n kawaida kiuchawi n kawaida, ucpime

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 Місяць тому +1

    Mtema nakupenda

  • @DianaMacha-jf8gw
    @DianaMacha-jf8gw Місяць тому +1

    Mungu wetu wewe hujawah kushindwa kuanzia mwanzo mpaka ufunuo kupitia hili tunaomba uonekane mfalme wa aman

  • @rosengowi847
    @rosengowi847 Місяць тому

    Imeandikwa kesheni mkiomba,kizimu ipo speed Sana omba neema ya Mungu tu

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 Місяць тому +3

    Namwomba Mwenyezi Mungu amponye mtoto. Hakika nimeumia sana

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 Місяць тому

    Mungu amjalie afya apone

  • @SalamaAkilimali-ly3bu
    @SalamaAkilimali-ly3bu Місяць тому

    Polen Sana m M Mungu amfanyie wepesi inshalah wasichana wa kigoma wanafanya kazi Sana kuna wenye upendo wengi Wana roho mbaya 😭

  • @MwanahamisHussein-dp2if
    @MwanahamisHussein-dp2if Місяць тому

    Subhannallah mwishowaDunia

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d Місяць тому +1

    Murundi usipo mlipa ela yake uwa wanalipiza kisasi cha kuua familia nzima hata akiondoka atarudi aue familia nzima

  • @user-dq4ur9kk6h
    @user-dq4ur9kk6h Місяць тому +8

    Mbona hata mnavyoongea mnaonekana ni watu wema kabisa
    Ubaya wa mtu huwa unaonekana hata kwa kuongea tu
    Mungu Amponye Marick
    Popote alipo huyo dada Apatikane kwa Uwezo wa Mungu🙏

  • @HaithamShabani
    @HaithamShabani Місяць тому

    Mwenyezi Mungu naomba umponye mtoto huyu Amen

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v Місяць тому +1

    Daaah 😢so sad

  • @getrudaleonard8323
    @getrudaleonard8323 Місяць тому

    Poleni sana kwa kweli
    Baba Malick na Mama ake...

  • @fredpeter5442
    @fredpeter5442 Місяць тому +1

    Poleni sana inaumiza sana

  • @user-gj9xn2km1t
    @user-gj9xn2km1t Місяць тому +1

    mungu naomba umponye mtt huyu

  • @CarolineShirima-jv7sq
    @CarolineShirima-jv7sq Місяць тому +1

    Mungu wangu bwana yesu awatie nguvu

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Місяць тому

    Nyakat za mwisho😢😢😢😢pole maika Mungu akuponye🤲🤲

  • @SmilingGecko-bc7mt
    @SmilingGecko-bc7mt Місяць тому

    Mwenyezi Mungu amponye

  • @pantaleolaurentlaurentkavu2011
    @pantaleolaurentlaurentkavu2011 Місяць тому

    Pole Sana mungu amjalie apone huyo binti.siyo mtanzania asili hatujafika hapo kwa wenye umri huo wa binti.tuwe makini mikoa ya pembezoni wageni ni wengi.huenda nusu raia nusu wageni mihemko tusiwe wasio jua na mungu.yupo.

    • @HinohiatHidoCo
      @HinohiatHidoCo Місяць тому

      Hakika usemayo. Kigoma ni jirani sana na nchi kama tatu, lakini ni mbali sana kuja Dar Es Salaam. Hivyo siyo ajabu kuwa si raia wa nchi yetu.

  • @AziduKitenga
    @AziduKitenga Місяць тому

    Mungu amponye mtoto watu

  • @AlexSamwel-l7u
    @AlexSamwel-l7u Місяць тому +1

    Pole mdogo wang utapona kwauwezo wamung

  • @latifamubba100
    @latifamubba100 Місяць тому +3

    Watu wan roho za kikatili san

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Місяць тому

    MUngu mponye mark Poleni Sana family

  • @RoseMalley-dt9ub
    @RoseMalley-dt9ub Місяць тому

    Poleni sana Mungu amsaidie apone

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Місяць тому +1

    Sasa mtoto kama huyu jmn kamkosea nn jmn wallah ni laana hii

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 Місяць тому

    Mwenyezi Mungu atamsimamia atapona haraka

  • @sumaya-q7i
    @sumaya-q7i Місяць тому

    Jmn mwangalie wa dada wa kazi wanaujua majukumu anae jua uchungu sio vitoto daah 😭😭😭 Ina uma sana