RAIS SAMIA AMTOLEA MFANO MAKONDA IKULU - ''MPAKA APITE WANANCHI WALIE? FANYENI KAZI''...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • RAIS SAMIA AMTOLEA MFANO MAKONDA IKULU - ''MPAKA APITE WANANCHI WALIE? FANYENI KAZI''...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 170

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  6 місяців тому +6

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @HaulSidney
      @HaulSidney 6 місяців тому

      Wakuu wa mikoa hawakusaidii rais Samia,, wakurungenzi watumbuliwe wote,

  • @edithafrancis847
    @edithafrancis847 6 місяців тому +11

    Safi sana mama, hujawa mnafiki hapo kwa makonda umelamba dume ktk Serikali yako yaani tungepata wakuu wa mikoa 20 km Makonda hii nchi ingekuwa Tamu sana,
    Makondo kula tano toka kwa Mwanchi mzalendo,🌹🌹🌹🌹👊👊

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 6 місяців тому +6

    Tatizo ndo hili, kulea na kulea na kulea, oky tutafika kwa kuleana, Ahsante mama kwa malezi, ndi maana maendeleo yanasonga, hongera sana mama

  • @JUSTINPiniel
    @JUSTINPiniel 6 місяців тому +16

    Mama hao wakuu wa mikoa waambie watetee wananchi waache kupokea bahasha za watu

  • @JoyceJulius-r6g
    @JoyceJulius-r6g 6 місяців тому +5

    Nikwer kabisa mama umesema. Mambo mazur sana hawaji kutusikiliza huku chini mpka litokee jambo gumu kweli jaman Asante kuwapa taarifa waje huku mitaani

  • @pilotmadata5791
    @pilotmadata5791 6 місяців тому +9

    Nimejifunza kitu kuhusiana na masawala mazima ya uongozi, short and clear, alie chini ndie msaidizi wake alie juu

  • @asiasued3655
    @asiasued3655 6 місяців тому +6

    Makonda ni mtu na nusu mungu akuepushe na husda saida wanyonge sisi

  • @joelmwalukasa
    @joelmwalukasa 6 місяців тому +7

    Tupo pamoja mama yetu mungu akulinde

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf 6 місяців тому +4

    Hii nchi tungempa tu makonda ndo anaiweza hawa wengine ngojera nyingi kuleana kwengi kulinda kwasana wananchi tunateseka sana nahawa viongozi wabovu

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha 6 місяців тому

      Makonda hata hafai zaidi ya kuhemka na kutumiwa kwa vile anaweza kufanya lolote ilimradi apate tonge.

    • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
      @JeremiahMwalukosya-eh5nf 6 місяців тому

      @@nkwazigatsha wewe ndo unaemwona hivyo lkn makonda ndo mwanasiasa marufu Tanzania kuliko yeyote na ndo mtu sahihi wa kuiongaza nchi anasifa zote nimchapa kazi sana nimtu jasiri asieogopa mtu asiejua kujipendekeza Kwa mtu hata rais wake haoni ndani Kwa makonda kwasaizi ndo anaekubarika sana Tanzania sema watu Kama ninyi hamuwezi kumpenda makonda

    • @JoyceSarufu
      @JoyceSarufu 6 місяців тому

      Elewa weweeeee​@@nkwazigatsha

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 6 місяців тому +2

    Mama yetu oyeee .Makonda Oyeee Jembe letu Magu Oyeee

  • @dubigutv2957
    @dubigutv2957 5 місяців тому

    Usimamizi wa serikali hatuuoni ndio maana kila siku wanabadilisha viongozi❤❤

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 6 місяців тому +6

    Ubunifu pia ni mdogo sana kwa viongozi wetu

  • @GiftSisso
    @GiftSisso 6 місяців тому +2

    Hongera saana mama, yaani unaweza saana. Unahitaji watu wachapa kazi na wazalendo kwa nchi yaani mbona utatimiza ahadi zote kwa asilimia zote. Mungu akulinde mendwa wetu wasaidizi wote.

  • @Donatilakweka
    @Donatilakweka 6 місяців тому +5

    Mnacheza sana na akili za watanzania nyie

  • @Asiaismaily-g8t
    @Asiaismaily-g8t 6 місяців тому +1

    Siku zote atendae aki mungu yupo pamoja nae ongela mama kwakazi nzuri

  • @stellalagwelagwe5539
    @stellalagwelagwe5539 6 місяців тому +1

    Mama nakuomba mrudishe Ali Hapi naye akasikilize kero kama Makonda nazani wananchi watapata Mtetezi na maovu ya viongozi utayajua vizuri sana

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 6 місяців тому +11

    Mama akimaliza anapaswa amkabidhi nchi hii makonda

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 6 місяців тому

      Unadhani anafaa humjui vizuri yule ana roho ya dhulma na utapeli 2ulize sisi

    • @SurprisedBoomBox-yq2pt
      @SurprisedBoomBox-yq2pt 6 місяців тому +1

      Nchi inahitaji roho hiyo Kwa Sasa...

    • @CHIIZATV-hl4zu
      @CHIIZATV-hl4zu 6 місяців тому

      ​@@SurprisedBoomBox-yq2pt😂😂😂

  • @yussufhaji3335
    @yussufhaji3335 6 місяців тому +1

    Mama yupo vizuri lkn watendaji wako wanakuangusha ila mungu atakupa mwisho mwema mama yetu amiiin

  • @saimonjohn7420
    @saimonjohn7420 6 місяців тому +5

    Mama ❤ napenda sana makonda awe mbunge afu awe waziri mkuu wewe mama ubaki kua mkuu wa inchi afu mambo yataenda vzuri sana mbona tutanyoka

  • @flavianfrank6256
    @flavianfrank6256 6 місяців тому +1

    Mungu akusimamie rais wetu

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 6 місяців тому +9

    Mama hao wakuu wa mikoa hawana kazi makonda anatosha nchi nzima atakusaidia muongezee ulinzi

  • @hamiskambi6578
    @hamiskambi6578 6 місяців тому

    Mungu akubariki Sana mama naomba huyu Mama ulie mpa mkoa singida Afike Hadi Kipera.

  • @fatmaaliomar9733
    @fatmaaliomar9733 6 місяців тому

    Wakuu wa mikoa nawatakia kazi njema na mujitahidi kufata maelekezo aliyokupeni Muheshimiwa Rais na mujitahidi kuwasaidia wananchi na mujitahidi kutatuwa changa moto zao ahsante.Kazi iendelee.

  • @wilhardvawunge-ns2ks
    @wilhardvawunge-ns2ks 6 місяців тому +1

    JamaniRais wetu ajui maeneo take aaaashh

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 6 місяців тому

    Mama MUNGU yupo nawe hujakosea kumteua Makonda. Makonda ubarikiwe sana umetenda haki huna upendeleo kwaajili ya vyeo.❤

  • @MaryamShabani-n2u
    @MaryamShabani-n2u 6 місяців тому

    Mama uwishi maisha malefu

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 6 місяців тому

    Rahis hapa unapotsha. Huenda sijui. Rais hauchaguliwa japo wewe hukuchaguliwa. Hivyo, ni afisa mkuu wa tafai. Wakuu wa mikoa wala wilaya si. rais wa yeyyote bali mapandikizi yasiyo na umuhimu nchini. Laiti mngekuwa hamlali, nchi isingekuwa ya hovyo kama ilivyo kwa sasa dada yangu.

  • @robertmwandu1854
    @robertmwandu1854 6 місяців тому +1

    Asante Sana Mheshiwa Rais Kwa Hotuba nzuri. Tupo pamoja. Mungu akutangulie Kwa Kila jambo.

  • @SaadEbrahim
    @SaadEbrahim 6 місяців тому

    Ni kweli Mheshimiwa Rais Mama samia Wananchi hawasikilizwe na hao UliowachaguwaWakuu Wa Mikoa. Kazi yao kubwa Wakuu waMikoa kutembea na Magari ya Serikali ya kifahari mijini wakuu wamikoa hawaendi Vijijini kuwatembelea Wananchi na kujuwa shida zao.

  • @FestoAndrea-t9l
    @FestoAndrea-t9l 6 місяців тому

    Wilaya ya Kigamboni hatujawahi kupata mkuu wa wila mzur wala mkurugenzi

  • @saidimdoe5246
    @saidimdoe5246 6 місяців тому +5

    hapo wanasikiliza ukimaliza wanaacha hapohapo

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 6 місяців тому +8

    Ndio mutajua Kua CCM na Makonda Lao moja 😂😂😂😂😂😂😂

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 6 місяців тому +8

    Makonda aandaliwe awe raisi

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os 6 місяців тому

      Wewe acha utani WEWE. Awe raisi wa nani. Mpeleke kwako akakutawale.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 6 місяців тому

      @@Mundi-oz7os
      Sie tunamtaka

    • @muhammadshaka8414
      @muhammadshaka8414 6 місяців тому

      peke yako ​@@sonnyr1899

    • @denisVenant
      @denisVenant 6 місяців тому

      Namtaka makonda🎉

  • @janethtimotheobisekwa8328
    @janethtimotheobisekwa8328 6 місяців тому

    Umeongea point Mama yetu mzuri, MUNGU akutunzee

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 6 місяців тому +1

    Mama nakupenda sana mama kiroho safi mama huna mbamba kwenye haki unasimama, tukiyanyaswa wa mama upo nasi mama anae kusema vibaya analake huyo, Mungu akutunze uwe na umri mrefu na wenye afya na furaha.

  • @PauloJeremia-r6x
    @PauloJeremia-r6x 6 місяців тому

    Hapo uko sahihi sana mheshimiwaRais point muhimu sana

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 6 місяців тому

    Kweri mama umekumbuka fadhira mungu akujalie mama

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 6 місяців тому +16

    Makonda ni mtu wa maana kabisa

  • @Namtumbo
    @Namtumbo 6 місяців тому +1

    Karibu Ruvuma tutakupenda

    • @patrickakitanda7709
      @patrickakitanda7709 6 місяців тому

      Kasema hakuna shida kabisaaa labda kwa mbaaali Tunduru 🙏🙏🙏💪💪

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 6 місяців тому +1

    Sema mh Rais waambie hao wanajisahau hayo uwaambiayo wakumbushe tena hawajielewi

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 6 місяців тому

    GOD BLESS MAMA NAPENDAGA UNAVYO KUWA NA MAAMUZ YA UTULIV NA BUSARA S MTU WA KUKURUPUKIA MAMBO

  • @EvarimAdrian-xl5jq
    @EvarimAdrian-xl5jq 6 місяців тому +1

    Rais wa nchi hajui mipaka ya nchi yake inaonesha nchi haijui kabisa daah

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 6 місяців тому

    Makonda hongera kwa Mungu 2 kwa wazazi wako maana mama ko angetoa mimba kama wa mama wengine, mh angepoteza kipenzi cha watanzania kiukweli 3 hongera mama Samia kwakumuona Makonda hongera sana mama wanch hatua unafki tukioenda tunapenda kweli hasa tukipata kiongozi mtenda haki.

  • @musasaanane9275
    @musasaanane9275 6 місяців тому

    Mama nakutakia kila laheri uwendapo uwapo Allah akubariki tena sana

  • @KulwaKisansa
    @KulwaKisansa 6 місяців тому +1

    Mkienda ofisini muanze na kule nida na uhamiaji mana uhamiaji wanaona Kama hii nchi ni yao hasa pale kigoma

  • @JosephJon-wk6il
    @JosephJon-wk6il 6 місяців тому +2

    Mama kwaushauli wangu mluhusu makanda atumbue wamezidi zalau

  • @piusmaduka
    @piusmaduka 6 місяців тому

    asante mama hujawa mnafiki Kwa makonda kama yeye asivyo mnafiki kwako mama

  • @ElishadaiSam-rq3hl
    @ElishadaiSam-rq3hl 6 місяців тому

    Mama umenisahau , nasubiria jina langu.

  • @DavidMakvok
    @DavidMakvok 6 місяців тому

    Hapo Rais kaeleza vizuri , tena kwa umakini, wateule wake na watumishi wengine wote kazi yao ni kuhakikisha mambo yana kwenda vizuri kwa wananchi , kama wewe una mwakirisha Rais inakuwaje wanainchi wanapata taabu hawashughlikiwi malalamiko yao? Unasubili nini na huku umepewa machinery zote at your disposal? Mtendeeni Rais haki na litendeeni taifa lenu haki na watendeeni watu haki.

  • @emmanuelonyangoochola9228
    @emmanuelonyangoochola9228 6 місяців тому

    Safi sana

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 6 місяців тому

    Kweli mama tuna shida, washuke wasikilize na zikiwa ndani ya uezo wazitatue

  • @paulludwig7132
    @paulludwig7132 6 місяців тому

    Bado Sabaya Mama nakuaminia

  • @Joseph-l9r2l
    @Joseph-l9r2l 6 місяців тому

    Mama leo umegusa moyo wangu kwa maneno yako ya hekima Mungu akubaruki

  • @fedhamipango2758
    @fedhamipango2758 5 місяців тому

    Aya mama na iamani kuwa hao ni watu sahihi kwa taifa letu

  • @hajijuma1761
    @hajijuma1761 6 місяців тому

    Well done Mama Allah akuhifadhi sana sana

  • @danielwankyo4979
    @danielwankyo4979 6 місяців тому +1

    2:40 kazi zetu zile....za kuiba kura

  • @EdmondMushi-f1z
    @EdmondMushi-f1z 6 місяців тому

    Big up Makonda keep up what you do 💯

  • @msomaliwilliam
    @msomaliwilliam 6 місяців тому

    Mama samia tunaomba utusaidie tulipwe fidia yetu tuhame kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa dar es salaam. Hatujalipwa waziri mwiguru nchemba kila mara anasema pesa zipo tunalipwa lakini bado mpaka Leo miaka 24 ameaidi mara Kwa mara mbuge tunatese mama wananchi wa ukonga kipunguni dar es salaam mwenyekiti wa mtaa amekatazwa kufanya mkutano wowote na wananchi. Tunaomba mama utusaidie

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 6 місяців тому

    Body guard warais amefanana sana na Rais Samia

  • @MohamedSalim-q9n
    @MohamedSalim-q9n 6 місяців тому +1

    MAGUFULI TUNAKUKUMBUKA, HAKUNA CHA KULEA MAFISADI NA WAZEMBE.

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 6 місяців тому +8

    Msaidieni mama,watu wana shida huko chini.

  • @franklinjr996
    @franklinjr996 6 місяців тому +2

    God Continue to guide our President 🙏🏻

  • @ElipokeaLema
    @ElipokeaLema 6 місяців тому

    Namkubalii sanaaa

  • @YusuphMuna-nm4lc
    @YusuphMuna-nm4lc 6 місяців тому

    Hawo wanaishi mahofisi tu mama

  • @josemalley1691
    @josemalley1691 6 місяців тому

    Mamaa nakukubali saaana natamani wangetufanyia km unavyowaelekeza

  • @myself4128
    @myself4128 6 місяців тому

    nchi imejaa viongozi wanawake tuu na hawana uwezo wa kuongoza zaidi mama anajitengezea mazingira ya Kuingia Ikulu tuu na kuwa salama sababu iyo Misukule anayoichagua haiwezi kumkosoa hata akivurunda

  • @kamotechnicshamzahamsini6853
    @kamotechnicshamzahamsini6853 6 місяців тому +2

    Innalilah wa inna ilayh raajiun , kweli tulifiwa 😢

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 6 місяців тому +2

    Ziara ya makonda imeanza kujibu

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 6 місяців тому

    Mama km kweli unachokisema watafuata wakuu wetu wa mkoa kiukweli watakusaidia sana! Wa Tabora ninaomba akija tu nikamsalie

  • @abdillahhozza
    @abdillahhozza 6 місяців тому

    Mama Kuna mijitu hapo unaongea inatamani umalize tu hawana uchungu ulionao,,,,siku amua uweke watu ambao hawajawategemea kabisa rudi Kwa walimu,madaftari,mabwana shamba,askari polisi teua watu huko waliopitia shida uone kaz ikipigwa hao royal families hawajali.

  • @DaudiMwakilima
    @DaudiMwakilima 6 місяців тому

    Kweli mh.Rais viongoz hawashuki kusikiluza KERO za wananchi.mfano hai uko ktk familia yeti mbeya mjin eneo la Soweto Kuna bwana mmoja anajiita molex ametupora kiwanja chetu Zaid ya miaka kumi sasa.amehonga wanasheria na kuchukua ardhi yetu.duuuuuuu inahuzunisha

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 6 місяців тому +4

    Mamaaaaa🎉makonda kakubalika🎉

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 6 місяців тому +1

    Singida angepelekwa mkali zaidi maana ni shidaaa

  • @fredrickjohnson2692
    @fredrickjohnson2692 6 місяців тому

    Mama umefeli,unewasikiliza hao matapeli na Wala haki za watu kumtoa makonda.

  • @Namtumbo
    @Namtumbo 6 місяців тому +2

    Haujawahi feli mama

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 6 місяців тому +1

    Rais nchi yako mwisho wa mpaka jina Ulijui talatibu present wetu 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @chivatasabihi
    @chivatasabihi 6 місяців тому +1

    Ningekuwa na Mamlaka ya uteuzi ningemteua Makonda Makonda kuwa Mbunge then angekuwa Naibu PM na Biteko abaki kuwa waziri wa Nishati na Comrade Nape angerudi kuwa Katibu Mwenezi CCM akakutane na Baba/ Mjomba Comrade Kinana.....

  • @NoelChambo
    @NoelChambo 6 місяців тому

    Huu ni mkakati kwaajili ya uchaguzi mkuu.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 6 місяців тому

    Makonda anajua sana. Mama muongezee ulinzi.

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 6 місяців тому

    Tufunze watu wetu kusimamia faida kwenye mashirika yetu na tuwe na viwanda na makampuni ya ujenzi ya umma faida yake ndio itakayotajirisha nchi badala ya kutegemea Kodi pekee pia nikipimo Cha maendeleo pale wasomi wetu serikali inakuwa na mifumo na nguvu ya kuwasimamia watakavyotumika kazalisha faida ya nchi badala ya kwenda kutumika kuzalisha faida kwa wawekezaji na pravite sector. Tutengenaze state capitalist country tupunguze tatizo la ajira tuepukane na wanyonyaji wakutumia mitaji

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 6 місяців тому

    Mama Nchi Hii Ina Mambo Yakushangaza Sana Namba Zote Za Viongozi Na Bado Uku Chin Sisi Tunaumia

  • @atanasiokalikumbi6783
    @atanasiokalikumbi6783 6 місяців тому

    Mama, mama, mama nalia na kibaha mkoa wa pwani kwa ujumla hatuna viongozi, maji na Barabara ni kero wananchi wako tunaumia

  • @DanstanMushobozi
    @DanstanMushobozi 6 місяців тому

    Na mnatupuuza sana. Kiasi kwamba mnatuona maboya.

  • @sophiamoses431
    @sophiamoses431 6 місяців тому

    Tena wilaya ya Masasi kumesahaulika sanaaaa watu wana vilio vya ardhi

  • @myself4128
    @myself4128 6 місяців тому

    wanabadilishana Ofisi tuu wala hakuna anaefukuzwa kazi ni Serikali poa shamba la Bibi,,viongozi wale wale Mafisadi yani inasikitisha!

  • @andrewmalamsha3042
    @andrewmalamsha3042 6 місяців тому

    Kwann mama hatupi kaz sisi ukuu wa wilaya tu nimpigie kazi wilaya iyanyooka why!?

  • @BakaryChombo-vu1wn
    @BakaryChombo-vu1wn 6 місяців тому

    Tunaimani na mama CCM Ooooooyee

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 6 місяців тому

    Apite makonda watu walie🤣🤣,,CCM bhanaaa.;🤣🤣🤗 Ukiona mtu anaenda kufanya kazi ya mwingne kabla haijakaa na mwenye nafasi yake...kiherehere huyo.

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 6 місяців тому

    Mama wakamulie ndimu hao 💯

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 6 місяців тому

    Mhe. Rais unawapotosha Ma RC, mteule yoyote wa Rais anakuwakilisha kwa mamlaka moja tu. RC ni muwakilishi wa Rais upande wa Serikali. Ukiwambia Ma RC ni marais ni UPOTOSHAJI MKUBWA!

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 6 місяців тому

    Hao wakuu wa mikoa wamekaa 2 ofcn nakufikiria upigaji

  • @FestoAndrea-t9l
    @FestoAndrea-t9l 6 місяців тому

    Anaye fanya kz ni makonda

  • @gasperseky6916
    @gasperseky6916 6 місяців тому

    Kiukweli mama samia wewe ni mama unayajuwa mengi kama mama ananyomjuwa mtoto wake

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 6 місяців тому

    Alie leta wazo la kura ni mhaini wa taifa na Wananchi wake,wajibu wa watawala sio kuwatumikia Wananchi,Hadi kumbe huruma ya kuwapa Kura,Sina neno mama umemalizaa..

  • @IddiAbdi
    @IddiAbdi 6 місяців тому

    Jamani mlola kizelee kiongwe uchawi mwingi jimbo rushoto

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 6 місяців тому

    Shida viongozi hao uliowataja wengine hawajui kuwa wako kwa ajili ya kuwatumikia wananchi....

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 6 місяців тому

    SEMA mama makonda anafanyakazi sana

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 6 місяців тому

    Mama umeme sukari wanauza tofauti na bei elekezi tamka neno labda watasikia

  • @SurprisedBoomBox-yq2pt
    @SurprisedBoomBox-yq2pt 6 місяців тому

    Usikubali wakuendeshe ila usibishane nao

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 6 місяців тому

    Mama samia.tuletee batllda burhani arusha tunampenda sana huku ni kichwa huyo mama yetu samia