''USINIPIGE MKWARA - TULIA'' - BOSI wa MADINI ATETEMEKA MBELE ya MAKONDA - AULIZWA MASWALI MAGUMU...
Вставка
- Опубліковано 3 лют 2024
- ''USINIPIGE MKWARA - TULIA'' -BOSI wa MADINI ATETEMEKA MBELE ya MAKONDA - AULIZWA MASWALI MAGUMU...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
BRAVO MAKONDA WANAKWITA JINI WIVU WA KUSIMAMIA UKWELI KWA WANANCHI KAMA MAKUFULI❤❤❤
Samia hoyeeeeeeee❤ makonda oyeeeeeeee❤❤ kula milioni kumi apo asanteeee apo apo naona umeludisha vilivyo potezwa asante sana mama mungu akutunze
Ndoo nn
Makonda oyeee Magufuli oyeeeee Mungu akulaze mahali pema
Mungu yumwema alhaji kaniliza sana,mungu mbariki Dr samia tunaemjua ana huruma sana,kwako mwenezi Mungu akutangulie katika maisha yako ya hapa duniani!
Baba jpm pumzika kwa amani vijana wako wapo huku kazi inaendelea👏👏👏
Mtoto wa mangufuli walk vizuri sana
Mtoto wa Magu ju! ju ! Zaidi. Mama Samia oyeee! Mtu kama huyu ndiyo msaidizi halisi wa mama.
Umeona eee.... wananchi bado wanadhurumiwa haki zao jamani na Mungu anawaona dhuruma wote
Magu is watching you 🙏.. congratulations Makonda 🔥🙏🇬🇧
Hongera Rais wangu Samia kwa kumchagua MAKONDA
Ise nagundua kitu pia ila Tanzania yangu hii watumishi walio wengi wanapenda kutumia sheria za mifukon dah inaumiza sana alafu akitokea mtu wakuilekebisha hata kwa mwanzo wake anakuwa katika wakati mgumu😢😢
Makonda. Maashaallah. Allah akulipe heri
Alihamdulilah asante mungu
Mungu akubariki Makonda 🙏🙏🤍❤️
Uko vizuri kakaangu
Mungu sawazisha kila njia anayo pita makonda ata palipo miba apite na isimchome ❤❤❤❤
Dah
inaniuma saaana makonda unanikumbusha mheshimiwa 𝐌𝐀𝐆𝐔𝐅𝐔𝐋𝐈 kbsaaa
Mwanazengo chapa kazi umefufua ccm
Namuona diamond wa ccm 😂😂😂washa vidogoli tuone respect sanaa makonda
Jaman Makonda Mungu akuntunze jmn jamn
Ccm Raha jman ❤❤❤
Me naogopa kudhulum maana kula jasho lisilo lako n atar ata kwa afya
Sio uwazir tu..wazir mkuu
Mama unajua kuchagua,hapa kwa mhe Paul Makonda umechagua.Juu juu chama chetu/Ccm
Nampongeza mama Samia kumpa nafasi hii mtoto wa maghufuli mana hili ni tingatinga no 2. Mama mwenyezi mungu akupe ulinzi lizamapo jua na lichomo zapo jua mama Samia mungu akubariki kwakutuletea makonda.
Samia naomba kama Mungu aishivyo umechagua chombo, ila mtafutie ulinzi kwa ajili ya usalama wake na msogeze kwenye kitengo cha kuwa na muda wa kutembelea wananchi zaidi kuliko kuwa na ofisi maana viongozi wengi wanaandika mambo ofisini bila kuwafikia wananchi wanaowahudumia hili ni ombi langu huyu anafaa ni mtetezi wa wanyonge hata awe makamu wako kama yeye alivyowahi sema kwako na Mungu ampandishe hadi kiwango hicho ameeen.
Rais wetu ana Hekima Juu ya Maamzi na Uteuzi ndio maana katuletea Nyota njema Paul Makonda ......God bless Rais SSH God bless Paul Makonda....❤❤❤🙏
Baba makomda mungu akulinde sana unapotembe usiku na mchana tusaidie wanaichi wanyonge ss
Umelitimba.kwa magufuli mdogo😂😂😂
😁😁😁😁🙌
Mkuu wa wilaya mhhhhhh naona haya mie
Mheshimiwa mwenezi mnguu akubaliki kazi nzur tunakutegemea sana sisi wanyonge
Safi sana kaka makonda chapa kazi
Ukiwanakiongozi kamahuyu hatausipokula njaahaitakuua mungumwema mlindeMakonda
Jamani Mungu tuondolee udanganyifu
Kaka Makonda njoo na Morogoro vijini utakayoyaona hutaamini barabara mbovu mnoooo
Vraiment Makonda ayébi mosala ya ccm😅💪
Ccm juu Samia juu makonda juuu na Kisha chapa kazi
Sana 🙌
Huyu Mkuu wa Wilaya aondoke mshenzi tu hawa ndiyo wanamuangusha Mama
Unanikumbusha enzi ya mangu mkuu piga kazi daaah narahaaa sana
Ccm oyeeeee Makonda oyeeeee ushindi kwa kishindo Mama Samia oyeeaaaaaaa unepatia kumuweka Makonda unashinda kwa kishindo kwa kuwasikiliza wanyonge hapo mama Samia umepatia
Makonda anatisha aiseeee
Sana wakomeshe hao wanataka ccm ishindwe pumbavu zake huyo anawaonea wanyonge
Makonda 🔥
Makonda Oyeeeeee mungu akutunze Mama Samia umejua kuchagua Jembe Makonda kuponya mioyo ya wanyonge🙏
Yesu wetu ni mkuu Makonda unakazi ngumu tena ngum tunataka viongozi wanao jitoa kama we
Muheshimiwa p makonda ukuje na mafinga tutoe kero zetu turizofanyiwa unyama turipotaka kujetetea wakasema mdawetu wamaerezo umeisha ukuje baba mtetezi wawanyonge
Makonda namini utatfkisha nchi ya ahadi mwenyez mungu Katie nguvu maana unapenda haki
Rais wetu ana hekima sana tena sana.
Hii Nchi imeoza kila mahali!
Nyie wadhurumaji tu
Mheshimiwa uyu ni magufuli tosha baba wa wanyonge
Makonda mungu akutuponye unayoyafanya nimakubwa unahitaji mungu mkubwa mwingi wa rehema funga na uwe unaamka kumuomba mungu usje kuuriwa tukakukosa .mungu wetu asante
Tunataka kiongozi kama huyu anaewasaidia wanyonge❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kumbe makonda ndio ana akili hivi😂😂😂sijawahi kujua
Hahahahaha makonda chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakuona makonda safari yk ya uwaziri haipo mbali
Uwaziri utambana hyo nafasi ndo streaker
Awe WAZIRI MKUU
Mhh. nchi hii umeixha sana Dah
Samia oyeee
Makonda Mungu akutunze
Makonda jembe letu wanyonge❤❤❤❤❤❤
Kumbe na Tanzania munashida nyingi jamani uwo jama mumuwekwe kwenye mikono ya Mungu sio gupiga vigelegele tuuuu
Honestly the only country in the world practising RAW DEMOCRACY is Tanzania. This is what real PEOPLE'S POWER means. Tanzanians surely should thank the late President Maghufuli, he set a precedence that every leader after him has to emulate and follow...
Kagera group ina wanachama wangapi?
ama kweli kumbe viongozi africa bado wapo, dahh maconda noma kweli kweli
Jamani mwenezi nitapataje ata namba yako nikupe tu neno labaraka???
Glory
Magufuli ❤ makonda god bless you
Nice
Hyu ni wazir mkuu
Magufuli mdogo oyeeeeeee🎉😅😅😅😅
NAKUBAR....SANA KIONGOZ JEMEDALI.
Jamaan kaka Leo umebambwa n watu wa madini, konyagi itashuk kwel leo
Mama samia naomba tumbua majipu wanyonge wananyanyaswa sana viogozi wanakula rushwa
Hakika Komredi Makonda wewe ni nuru inayotembea, kwa kifupi hapo kuna harufu ya Rushwa inayomhusu Afisa madini na Mkuu wa Wilaya. Malamka husika zinazohusika zifanye kazi dhidi ya hawa watumishi wababaishaji ili wananchi wapate haki yao.
Chapa kazi mh makonda tunazikubali kazi zakooooooo
Huwa mnakela kutomaliza habar
Yani wallahi Kenya yetu ngekua kama hivi aki Kenya tunge kua mbili lakin Kenya ufisadi huwizi madawa waporaji mashamba Yani Kenya kero
Makonda Uko vzr ila Chama unachokipambania nimeshaoza tutakuchukia kwaajili ya Chama Chako siutafuta tu chama kizuli Moindue Meza
Chapa kazi baba
Kwani kukubadilisha kaZi kafikilia nini raisi mbona unezi ulukufaa sana, kama ni rungu ulipewa
Makonda saf kwakuwajari wananchiwako
Jmn mbn nanogewa na mikutano ya hyu mh
Makonda nimelia Sana hasa unanikumbusha baba magufuli
MAKONDA ni lazima. UWE Raisi MWAKA 2025makonda hoyeeeeeee
10:50 10:53 10:56
Mama samia oyeee makonda oyeee!!?
Kiukweli huo ndio mzimu wa magufuri atari Sana
Naimani watu wengi tunakupenda na kukuombea mungu yu pamoja nawe akukinge na kila mtu anae kuangalia kwa jicho lapili wewe o
Makonda umekua diamond akiwa Zanzibar
Omar Sasa nchi imeoza wezi watuu
Makonda yupo imara. Samia hajakosea kumkubali.
2030 Mama mitano tena
🎉🎉🎉🎉🎉makonda hoyeeee
Another Magufuli in Ranzania iz Coming 🇹🇿
Siasa mbaya sana
Piga kazi baba keagan
Dhiliumati Hatuna rahana CCM balaa
Mpaka waseeeeeme
MAKONDA MUNGU AKUTUNZE
Mzima Wa magufuri umerudi utawatafuna Sana 😂😂
Hahika mbegu zinaota huu Ni ufufuo wa Magufuli mtetezi wa wanyonge
Mm ninge kuwa Mama makonda ndio ninge fanya waziri mkuu
Ahahahahaaaaaaaa
@@user-qz2sk3is9chutaki 😂😂
@@MsAggie5 nime sema mm sija sema ss tofauti ni hiyo nilichokiona uja ona
@@user-qz2sk3is9c mm si ss plz nieleweni
@@festokivuyo7121 hukunielewa
Nilikuwepo leo
Nilikuona
@@giftmusa6543 hahahaha kweli kaka