''USINIPIGE MKWARA - TULIA'' - BOSI wa MADINI ATETEMEKA MBELE ya MAKONDA - AULIZWA MASWALI MAGUMU...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2024
  • ''USINIPIGE MKWARA - TULIA'' -BOSI wa MADINI ATETEMEKA MBELE ya MAKONDA - AULIZWA MASWALI MAGUMU...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 172

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 місяців тому +6

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 5 місяців тому +6

    BRAVO MAKONDA WANAKWITA JINI WIVU WA KUSIMAMIA UKWELI KWA WANANCHI KAMA MAKUFULI❤❤❤

  • @user-br7sf6ey9t
    @user-br7sf6ey9t 4 місяці тому +7

    Samia hoyeeeeeeee❤ makonda oyeeeeeeee❤❤ kula milioni kumi apo asanteeee apo apo naona umeludisha vilivyo potezwa asante sana mama mungu akutunze

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 місяців тому +9

    Makonda oyeee Magufuli oyeeeee Mungu akulaze mahali pema

  • @HamisiDale-rl1vg
    @HamisiDale-rl1vg 5 місяців тому +7

    Mungu yumwema alhaji kaniliza sana,mungu mbariki Dr samia tunaemjua ana huruma sana,kwako mwenezi Mungu akutangulie katika maisha yako ya hapa duniani!

    • @user-gg4kw6le3b
      @user-gg4kw6le3b 4 місяці тому +1

      Baba jpm pumzika kwa amani vijana wako wapo huku kazi inaendelea👏👏👏

  • @jacktonmakau3397
    @jacktonmakau3397 5 місяців тому +10

    Mtoto wa mangufuli walk vizuri sana

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 5 місяців тому +18

    Mtoto wa Magu ju! ju ! Zaidi. Mama Samia oyeee! Mtu kama huyu ndiyo msaidizi halisi wa mama.

    • @user-qz2sk3is9c
      @user-qz2sk3is9c 5 місяців тому +1

      Umeona eee.... wananchi bado wanadhurumiwa haki zao jamani na Mungu anawaona dhuruma wote

  • @silverman6930
    @silverman6930 5 місяців тому +4

    Magu is watching you 🙏.. congratulations Makonda 🔥🙏🇬🇧

  • @user-le7lh1ou2d
    @user-le7lh1ou2d 4 місяці тому +1

    Hongera Rais wangu Samia kwa kumchagua MAKONDA

  • @Izaangonyan
    @Izaangonyan 4 місяці тому +4

    Ise nagundua kitu pia ila Tanzania yangu hii watumishi walio wengi wanapenda kutumia sheria za mifukon dah inaumiza sana alafu akitokea mtu wakuilekebisha hata kwa mwanzo wake anakuwa katika wakati mgumu😢😢

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 4 місяці тому +2

    Makonda. Maashaallah. Allah akulipe heri

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 4 місяці тому +3

    Alihamdulilah asante mungu

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 5 місяців тому +4

    Mungu akubariki Makonda 🙏🙏🤍❤️

  • @GloryMasoi
    @GloryMasoi 5 місяців тому +5

    Uko vizuri kakaangu

  • @JackKazembe-fe9uh
    @JackKazembe-fe9uh 29 днів тому

    Mungu sawazisha kila njia anayo pita makonda ata palipo miba apite na isimchome ❤❤❤❤

  • @meshakimtenga4550
    @meshakimtenga4550 4 місяці тому +3

    Dah
    inaniuma saaana makonda unanikumbusha mheshimiwa 𝐌𝐀𝐆𝐔𝐅𝐔𝐋𝐈 kbsaaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 місяців тому +4

    Mwanazengo chapa kazi umefufua ccm

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 5 місяців тому +2

    Namuona diamond wa ccm 😂😂😂washa vidogoli tuone respect sanaa makonda

  • @user-km6bg1jw2d
    @user-km6bg1jw2d 5 місяців тому +10

    Jaman Makonda Mungu akuntunze jmn jamn

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 5 місяців тому +6

    Ccm Raha jman ❤❤❤

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario8895 5 місяців тому +7

    Me naogopa kudhulum maana kula jasho lisilo lako n atar ata kwa afya

  • @chire4574
    @chire4574 5 місяців тому +8

    Sio uwazir tu..wazir mkuu

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 5 місяців тому +11

    Mama unajua kuchagua,hapa kwa mhe Paul Makonda umechagua.Juu juu chama chetu/Ccm

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h 4 місяці тому +2

    Nampongeza mama Samia kumpa nafasi hii mtoto wa maghufuli mana hili ni tingatinga no 2. Mama mwenyezi mungu akupe ulinzi lizamapo jua na lichomo zapo jua mama Samia mungu akubariki kwakutuletea makonda.

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege3747 4 місяці тому

    Samia naomba kama Mungu aishivyo umechagua chombo, ila mtafutie ulinzi kwa ajili ya usalama wake na msogeze kwenye kitengo cha kuwa na muda wa kutembelea wananchi zaidi kuliko kuwa na ofisi maana viongozi wengi wanaandika mambo ofisini bila kuwafikia wananchi wanaowahudumia hili ni ombi langu huyu anafaa ni mtetezi wa wanyonge hata awe makamu wako kama yeye alivyowahi sema kwako na Mungu ampandishe hadi kiwango hicho ameeen.

  • @hassanyohna6121
    @hassanyohna6121 4 місяці тому

    Rais wetu ana Hekima Juu ya Maamzi na Uteuzi ndio maana katuletea Nyota njema Paul Makonda ......God bless Rais SSH God bless Paul Makonda....❤❤❤🙏

  • @albinakayanza-rz5cv
    @albinakayanza-rz5cv 5 місяців тому +3

    Baba makomda mungu akulinde sana unapotembe usiku na mchana tusaidie wanaichi wanyonge ss

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 місяців тому +9

    Umelitimba.kwa magufuli mdogo😂😂😂

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 5 місяців тому +5

    Mkuu wa wilaya mhhhhhh naona haya mie

  • @AntonyMashama
    @AntonyMashama Місяць тому

    Mheshimiwa mwenezi mnguu akubaliki kazi nzur tunakutegemea sana sisi wanyonge

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 5 місяців тому +2

    Safi sana kaka makonda chapa kazi

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 4 місяці тому +3

    Ukiwanakiongozi kamahuyu hatausipokula njaahaitakuua mungumwema mlindeMakonda

  • @ClaraCecil-rq4xf
    @ClaraCecil-rq4xf 4 місяці тому +2

    Jamani Mungu tuondolee udanganyifu

  • @jabirikilagilile9799
    @jabirikilagilile9799 5 місяців тому +3

    Kaka Makonda njoo na Morogoro vijini utakayoyaona hutaamini barabara mbovu mnoooo

  • @vieemzee
    @vieemzee 5 місяців тому +3

    Vraiment Makonda ayébi mosala ya ccm😅💪

  • @KabadiMabula
    @KabadiMabula 5 місяців тому +2

    Ccm juu Samia juu makonda juuu na Kisha chapa kazi

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 4 місяці тому +2

    Huyu Mkuu wa Wilaya aondoke mshenzi tu hawa ndiyo wanamuangusha Mama

  • @ReginaldAplonary
    @ReginaldAplonary 5 місяців тому +2

    Unanikumbusha enzi ya mangu mkuu piga kazi daaah narahaaa sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 місяців тому +2

    Ccm oyeeeee Makonda oyeeeee ushindi kwa kishindo Mama Samia oyeeaaaaaaa unepatia kumuweka Makonda unashinda kwa kishindo kwa kuwasikiliza wanyonge hapo mama Samia umepatia

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 5 місяців тому +4

    Makonda anatisha aiseeee

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 місяців тому +3

    Sana wakomeshe hao wanataka ccm ishindwe pumbavu zake huyo anawaonea wanyonge

  • @Naju645
    @Naju645 4 місяці тому +2

    Makonda 🔥

  • @MwanneHussen
    @MwanneHussen 4 місяці тому

    Makonda Oyeeeeee mungu akutunze Mama Samia umejua kuchagua Jembe Makonda kuponya mioyo ya wanyonge🙏

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 4 місяці тому +2

    Yesu wetu ni mkuu Makonda unakazi ngumu tena ngum tunataka viongozi wanao jitoa kama we

  • @user-sx4jr7zz1p
    @user-sx4jr7zz1p 4 місяці тому +2

    Muheshimiwa p makonda ukuje na mafinga tutoe kero zetu turizofanyiwa unyama turipotaka kujetetea wakasema mdawetu wamaerezo umeisha ukuje baba mtetezi wawanyonge

  • @mlaydaud9237
    @mlaydaud9237 5 місяців тому +3

    Makonda namini utatfkisha nchi ya ahadi mwenyez mungu Katie nguvu maana unapenda haki

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz 4 місяці тому +4

    Rais wetu ana hekima sana tena sana.

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 5 місяців тому +4

    Hii Nchi imeoza kila mahali!

  • @user-ko4tj6cn7z
    @user-ko4tj6cn7z 5 місяців тому +4

    Nyie wadhurumaji tu

  • @NiselaNyakato-wl3kq
    @NiselaNyakato-wl3kq 5 місяців тому +5

    Mheshimiwa uyu ni magufuli tosha baba wa wanyonge

  • @user-gx7qv9lk1l
    @user-gx7qv9lk1l 4 місяці тому

    Makonda mungu akutuponye unayoyafanya nimakubwa unahitaji mungu mkubwa mwingi wa rehema funga na uwe unaamka kumuomba mungu usje kuuriwa tukakukosa .mungu wetu asante

  • @user-wr7sz7ny9j
    @user-wr7sz7ny9j 4 місяці тому

    Tunataka kiongozi kama huyu anaewasaidia wanyonge❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 5 місяців тому +5

    Kumbe makonda ndio ana akili hivi😂😂😂sijawahi kujua

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 місяців тому +4

    Hahahahaha makonda chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 місяців тому +9

    Nakuona makonda safari yk ya uwaziri haipo mbali

  • @user-pf2zt3zs1h
    @user-pf2zt3zs1h 22 дні тому

    Mhh. nchi hii umeixha sana Dah

  • @BizimanaDesire-cq9tr
    @BizimanaDesire-cq9tr 4 місяці тому +1

    Samia oyeee

  • @user-rk8uk1ey7c
    @user-rk8uk1ey7c 4 місяці тому

    Makonda Mungu akutunze

  • @user-dp5wv5xy2e
    @user-dp5wv5xy2e 4 місяці тому

    Makonda jembe letu wanyonge❤❤❤❤❤❤

  • @user-wc8rm2yo9m
    @user-wc8rm2yo9m 4 місяці тому +1

    Kumbe na Tanzania munashida nyingi jamani uwo jama mumuwekwe kwenye mikono ya Mungu sio gupiga vigelegele tuuuu

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s 3 місяці тому

    Honestly the only country in the world practising RAW DEMOCRACY is Tanzania. This is what real PEOPLE'S POWER means. Tanzanians surely should thank the late President Maghufuli, he set a precedence that every leader after him has to emulate and follow...

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 4 місяці тому

    Kagera group ina wanachama wangapi?

  • @papaabdoul5830
    @papaabdoul5830 Місяць тому

    ama kweli kumbe viongozi africa bado wapo, dahh maconda noma kweli kweli

  • @GloryMasoi
    @GloryMasoi 5 місяців тому +6

    Jamani mwenezi nitapataje ata namba yako nikupe tu neno labaraka???

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 4 місяці тому

    Magufuli ❤ makonda god bless you

  • @bekabeka6255
    @bekabeka6255 2 місяці тому

    Nice

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 5 місяців тому +3

    Hyu ni wazir mkuu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 5 місяців тому +5

    Magufuli mdogo oyeeeeeee🎉😅😅😅😅

  • @maugomachele3823
    @maugomachele3823 3 дні тому

    NAKUBAR....SANA KIONGOZ JEMEDALI.

  • @najmamgallah8154
    @najmamgallah8154 5 місяців тому +1

    Jamaan kaka Leo umebambwa n watu wa madini, konyagi itashuk kwel leo

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 4 місяці тому

    Mama samia naomba tumbua majipu wanyonge wananyanyaswa sana viogozi wanakula rushwa

  • @JuliusTanzania
    @JuliusTanzania 5 місяців тому +3

    Hakika Komredi Makonda wewe ni nuru inayotembea, kwa kifupi hapo kuna harufu ya Rushwa inayomhusu Afisa madini na Mkuu wa Wilaya. Malamka husika zinazohusika zifanye kazi dhidi ya hawa watumishi wababaishaji ili wananchi wapate haki yao.

  • @edisonemmanuel-po6ds
    @edisonemmanuel-po6ds 4 місяці тому

    Chapa kazi mh makonda tunazikubali kazi zakooooooo

  • @iddyngaiwa
    @iddyngaiwa 5 місяців тому +1

    Huwa mnakela kutomaliza habar

  • @keamohamedkhamis
    @keamohamedkhamis 16 днів тому

    Yani wallahi Kenya yetu ngekua kama hivi aki Kenya tunge kua mbili lakin Kenya ufisadi huwizi madawa waporaji mashamba Yani Kenya kero

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 5 місяців тому +1

    Makonda Uko vzr ila Chama unachokipambania nimeshaoza tutakuchukia kwaajili ya Chama Chako siutafuta tu chama kizuli Moindue Meza

  • @PetroNyamanche
    @PetroNyamanche Місяць тому

    Chapa kazi baba

  • @mulebamnaku4130
    @mulebamnaku4130 2 місяці тому

    Kwani kukubadilisha kaZi kafikilia nini raisi mbona unezi ulukufaa sana, kama ni rungu ulipewa

  • @PetertamsonMwavipa-qn3tw
    @PetertamsonMwavipa-qn3tw 3 місяці тому +1

    Makonda saf kwakuwajari wananchiwako

  • @MichaelMlowe-ne3ri
    @MichaelMlowe-ne3ri 4 місяці тому

    Jmn mbn nanogewa na mikutano ya hyu mh

  • @SurprisedBoomBox-yq2pt
    @SurprisedBoomBox-yq2pt 4 місяці тому

    Makonda nimelia Sana hasa unanikumbusha baba magufuli

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 2 місяці тому

    MAKONDA ni lazima. UWE Raisi MWAKA 2025makonda hoyeeeeeee

  • @user-gz4ou1iu3i
    @user-gz4ou1iu3i 4 місяці тому

    10:50 10:53 10:56

  • @user-ko2he4ij9i
    @user-ko2he4ij9i 4 місяці тому

    Mama samia oyeee makonda oyeee!!?

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 5 місяців тому +1

    Kiukweli huo ndio mzimu wa magufuri atari Sana

  • @JackKazembe-fe9uh
    @JackKazembe-fe9uh 29 днів тому

    Naimani watu wengi tunakupenda na kukuombea mungu yu pamoja nawe akukinge na kila mtu anae kuangalia kwa jicho lapili wewe o

  • @RichardSadiki
    @RichardSadiki 3 місяці тому

    Makonda umekua diamond akiwa Zanzibar

  • @annamwanakatwe233
    @annamwanakatwe233 4 місяці тому

    Omar Sasa nchi imeoza wezi watuu

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz 4 місяці тому +1

    Makonda yupo imara. Samia hajakosea kumkubali.

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 5 місяців тому +1

    2030 Mama mitano tena

  • @user-he7bb3le6e
    @user-he7bb3le6e 5 місяців тому +2

    🎉🎉🎉🎉🎉makonda hoyeeee

  • @edisonemmanuel-po6ds
    @edisonemmanuel-po6ds 4 місяці тому +1

    Another Magufuli in Ranzania iz Coming 🇹🇿

  • @salimamani6672
    @salimamani6672 5 місяців тому

    Siasa mbaya sana

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f 4 місяці тому

    Piga kazi baba keagan

  • @annamwanakatwe233
    @annamwanakatwe233 4 місяці тому

    Dhiliumati Hatuna rahana CCM balaa

  • @user-dj7mw5rx5h
    @user-dj7mw5rx5h 4 місяці тому

    Mpaka waseeeeeme

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 5 місяців тому +2

    MAKONDA MUNGU AKUTUNZE

  • @salomepastory-kn1kh
    @salomepastory-kn1kh 4 місяці тому +1

    Mzima Wa magufuri umerudi utawatafuna Sana 😂😂

    • @onelovetz7935
      @onelovetz7935 4 місяці тому

      Hahika mbegu zinaota huu Ni ufufuo wa Magufuli mtetezi wa wanyonge

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 5 місяців тому +3

    Mm ninge kuwa Mama makonda ndio ninge fanya waziri mkuu

    • @user-qz2sk3is9c
      @user-qz2sk3is9c 5 місяців тому

      Ahahahahaaaaaaaa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 5 місяців тому

      @@user-qz2sk3is9chutaki 😂😂

    • @festokivuyo7121
      @festokivuyo7121 4 місяці тому

      @@MsAggie5 nime sema mm sija sema ss tofauti ni hiyo nilichokiona uja ona

    • @festokivuyo7121
      @festokivuyo7121 4 місяці тому

      @@user-qz2sk3is9c mm si ss plz nieleweni

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 4 місяці тому

      @@festokivuyo7121 hukunielewa

  • @AdamFundikira-jb9vq
    @AdamFundikira-jb9vq 5 місяців тому +2

    Nilikuwepo leo