MCH.KATEKELA:SIFA 3 ZA NABII WA KWELI WA MUNGU NA JINSI YA KUMTOFAUTISHA NA WAUONGO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 чер 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

КОМЕНТАРІ • 48

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba Місяць тому +12

    Yaaaan ukielezea ivi Kila mwenye sikio lazima asikie na macho aone ....🤝

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w Місяць тому +12

    Uyu mchungaji amekuwa wa baraka Kwa watoto wa Mwenyezi Mungu,acha Mungu akulinde na familia yako

  • @patricialiveti3520
    @patricialiveti3520 Місяць тому +5

    Mungu ni mwema katuletea wa kuambia kweli yake.

  • @aminathatwahir8462
    @aminathatwahir8462 Місяць тому +7

    Hakika YESU ni Bwana

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 20 днів тому +1

    Sifa ya kwanza ya nabii wa kweli, asilimia 90 ya maisha yao wamewekeza kwa Mungu 🙌 Yesu akutunze mtumishi wa Mungu🙏

  • @user-tf9pl1wh7b
    @user-tf9pl1wh7b Місяць тому +5

    Heeeee. Mungu wangu. Tulinde na manabii wahuwongo

  • @user-rj1ef6je8k
    @user-rj1ef6je8k 21 день тому +2

    Ni kweli Mtumishi,Mungu akubariki sana,unatutoa kwenye upotevu

  • @MariaMwasyila-mq6yc
    @MariaMwasyila-mq6yc Місяць тому +6

    Kabisa Mtumishi wa MUNGU aliye hai

  • @user-md1ih8eo2l
    @user-md1ih8eo2l Місяць тому +4

    Ubarikiwe sana Mtumishi kwa kutufundisha haya yote na kutufunulia tusiyoyajuaa 🙏🙏

  • @FortunateAkaro
    @FortunateAkaro 12 днів тому

    Amina Mtumishi naomba uje na huku Kilimanjaro wengine wametoka makanisa ya kiroho kukimbilia manabii

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Місяць тому +5

    Stay blessed man of God

  • @edinahKwamboka-j2q
    @edinahKwamboka-j2q Місяць тому +2

    Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed ❤

  • @edinahKwamboka-j2q
    @edinahKwamboka-j2q Місяць тому +2

    Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed

  • @user-od6cg6uh4h
    @user-od6cg6uh4h Місяць тому +2

    Barikiwa mtumishiiiiiiii

  • @user-28Gerardineakimana
    @user-28Gerardineakimana Місяць тому +3

    Pasta Katekela amekuwa baraka kwangu

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c Місяць тому +5

    Eh! MUNGU TUSAIDIE JAMANI Ee

  • @laita8218
    @laita8218 Місяць тому +3

    Ameeeen

  • @HappyMwaigwisya
    @HappyMwaigwisya Місяць тому +2

    YAAAAANNIIIII UPO SAHIHI SANAAAA. NAFAHAMU KANISA AMBALO HUWA WANATABIRIWA ULIZALIWA MWAKA FULANI UNAITWA FULANI KUMBE NI SHETANI KATAWALA. YAANI WATU WAKIPIGA MAKOFI NAWAONEA HURUMA MNO. KUWENI MAKINI WATU WA MUNGU

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio5666 9 днів тому

    Ameen

  • @livinhillary9804
    @livinhillary9804 Місяць тому +3

    Amen

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm Місяць тому +2

    Ni kweli kabisa watu hata hawastuki nabii unakuta anaombea mtu anataja in the name of prophet (..hapa anataja jina lake si jina la YESU KRISTO....) kuwa huru na watu hawastuki😢

  • @user-28Gerardineakimana
    @user-28Gerardineakimana Місяць тому +2

    Mungu turehemu sisi niwenyezambi Nisame

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f Місяць тому +2

    Ameen and ameen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana kwa neno zuri la mungu nimebarikiwa and be blessed more

  • @marthaumazi2197
    @marthaumazi2197 Місяць тому +2

    Haleluya amen

  • @IbrahimMgimba
    @IbrahimMgimba Місяць тому +3

    I got it🖐️

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf Місяць тому +2

    Mungu akubaliki muchungaji

  • @upendomhagama3236
    @upendomhagama3236 Місяць тому +1

    Hakika, mungu alikuchagua ukiwa tumboni mwa mama yako ili uje tuokoe mkononi mwa shetani ubarikiwe

  • @eunicendunge-nb1qq
    @eunicendunge-nb1qq 24 дні тому +1

    Yesu anikomboe toka kwao

  • @rosemarymwanitega7926
    @rosemarymwanitega7926 Місяць тому +2

    Amen Hallelujah

  • @user-ft6vx2ee9n
    @user-ft6vx2ee9n Місяць тому +1

    Amen mtumishi, umekuwa wa baraka kwa wengi mungu akubariki

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba Місяць тому +2

    Apo sasa upo korect

  • @DograsMussa
    @DograsMussa Місяць тому +1

    Amen🙏🙏🙏🙏

  • @ElizabethRobart
    @ElizabethRobart Місяць тому

    Mungu akutunze

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 24 дні тому +1

    Nakuunga mkono

  • @JosephinaLeonard
    @JosephinaLeonard 20 днів тому

    🙌🙌🙌🙌🙌😢🙏

  • @lilyg2134
    @lilyg2134 16 днів тому

    HII NDO INJILI YA KWELI DUNIA INAYOITAFUTA, NA SIO WAUZA MAFUTA...HUYU NI BARAKA TOSHA TANGU NIKUJUE, NIMEKUWA KARIBU SANA NA MUNGU

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv Місяць тому

    Usicheke kwenye madhabahu huo Ni mzaha Mtumishi

  • @JulianaTryphony
    @JulianaTryphony Місяць тому +2

    Ety baba kunamtumishi anauliza kwanini unasema inalilah wa inalilahi lajuuni..

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 16 днів тому +1

      hcho ni kiarabu, maana yake sisi ni wa Mungu na kwa Mungu tutarudi.....ni lugha kma zngne

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 Місяць тому

    Uzuri mnajitambulisha wenyewe,Sasa ubinaadamu tayari, madhabau hayalingani na karama pia

  • @bahatiamandi5193
    @bahatiamandi5193 28 днів тому

    Ila kuna nguvu ya Mungu ndani ya karama ya Mungu mafuta yapo kwa biblia mzeituni
    Wanafunzi wa yesu walitumia mafuta mtumishi Marko 6:12
    Agano la kale Isaya 10:21
    Biblia ina mafunuo mengi sana
    Sina upinzani na mahubiri haya
    Ila kupulizia watu pumzi watu kudondoka sio nguvu ya vitu vya kuzimu wewe pia unaweza kutumiwa na Mungu kulingana na ufunuo Mungu aliokupa na maandiko yapo mengi kwa biblia wewe mwenyewe Mungu alipo kuumba alikupulizia pumzi ukawa nafasi hai ndoo pumzi unayo hubiria leo alafu naomba kama ulivyosema kuna sifa za manabii ni kumi12 hauta sisema sema hapa wapendao mafundisho tujifunze wote

  • @edinahKwamboka-j2q
    @edinahKwamboka-j2q Місяць тому +2

    Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed ❤

  • @edinahKwamboka-j2q
    @edinahKwamboka-j2q Місяць тому

    Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Місяць тому +1

    Amen

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 Місяць тому

    Ila baba ungetutajia majina yao kabisa ya hao waongo ili tuwajue me saiv naogopa kabisa habar za manabii maana kumjua mkwel na muongo co jambo dogo baba ang

    • @flm1530
      @flm1530 Місяць тому +2

      Hata mkitajiwa mtawafwata tu

    • @femidayahaya9293
      @femidayahaya9293 Місяць тому

      @@flm1530 sasa hapo utakuwa huna hatia juu ya mtu huyo maana cku ya mwisho atacmama.mwenyewe kujieleza..kuliko ukaacha kututajia tubak tu bila kuwajua plzzz baba tutajie tuwajue saiv mambo hazalan hakuna kuficha kitu wataje baba plzzzzz

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Місяць тому

      Femida Yahaya, nikujulishe siri ya kuwa mkristo wa kweli ni.1 mwamini Yesu moyoni mwako kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yako 2 ufanyiwe maombi ya kufunguliwa vifungo vyako.3ubatizwe kwa maji mengi,4 ujazwe nguvu za Roho mtakatifu 5 ufundishwe kuukulia wokovu,6 uwe msomaji wa biblia, mwombaji na mtu wa mifungo na Ibadan nyingi. Ukiweza hatua hizi utakuwa na viwango vya juu kiroho hakuna kitakachokushinda duniani.