MCH.KATEKELA:SIFA 3 ZA NABII WA KWELI WA MUNGU NA JINSI YA KUMTOFAUTISHA NA WAUONGO
Вставка
- Опубліковано 30 чер 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Yaaaan ukielezea ivi Kila mwenye sikio lazima asikie na macho aone ....🤝
Uyu mchungaji amekuwa wa baraka Kwa watoto wa Mwenyezi Mungu,acha Mungu akulinde na familia yako
Mungu ni mwema katuletea wa kuambia kweli yake.
Hakika YESU ni Bwana
Sifa ya kwanza ya nabii wa kweli, asilimia 90 ya maisha yao wamewekeza kwa Mungu 🙌 Yesu akutunze mtumishi wa Mungu🙏
Heeeee. Mungu wangu. Tulinde na manabii wahuwongo
Ni kweli Mtumishi,Mungu akubariki sana,unatutoa kwenye upotevu
Kabisa Mtumishi wa MUNGU aliye hai
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa kutufundisha haya yote na kutufunulia tusiyoyajuaa 🙏🙏
Amina Mtumishi naomba uje na huku Kilimanjaro wengine wametoka makanisa ya kiroho kukimbilia manabii
Stay blessed man of God
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed ❤
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed
Barikiwa mtumishiiiiiiii
Pasta Katekela amekuwa baraka kwangu
Eh! MUNGU TUSAIDIE JAMANI Ee
Ameeeen
YAAAAANNIIIII UPO SAHIHI SANAAAA. NAFAHAMU KANISA AMBALO HUWA WANATABIRIWA ULIZALIWA MWAKA FULANI UNAITWA FULANI KUMBE NI SHETANI KATAWALA. YAANI WATU WAKIPIGA MAKOFI NAWAONEA HURUMA MNO. KUWENI MAKINI WATU WA MUNGU
Ameen
Amen
Ni kweli kabisa watu hata hawastuki nabii unakuta anaombea mtu anataja in the name of prophet (..hapa anataja jina lake si jina la YESU KRISTO....) kuwa huru na watu hawastuki😢
Mungu turehemu sisi niwenyezambi Nisame
Ameen and ameen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana kwa neno zuri la mungu nimebarikiwa and be blessed more
Haleluya amen
I got it🖐️
Mungu akubaliki muchungaji
Hakika, mungu alikuchagua ukiwa tumboni mwa mama yako ili uje tuokoe mkononi mwa shetani ubarikiwe
Yesu anikomboe toka kwao
Amen Hallelujah
Amen mtumishi, umekuwa wa baraka kwa wengi mungu akubariki
Apo sasa upo korect
Amen🙏🙏🙏🙏
Mungu akutunze
Nakuunga mkono
🙌🙌🙌🙌🙌😢🙏
HII NDO INJILI YA KWELI DUNIA INAYOITAFUTA, NA SIO WAUZA MAFUTA...HUYU NI BARAKA TOSHA TANGU NIKUJUE, NIMEKUWA KARIBU SANA NA MUNGU
Usicheke kwenye madhabahu huo Ni mzaha Mtumishi
Ety baba kunamtumishi anauliza kwanini unasema inalilah wa inalilahi lajuuni..
hcho ni kiarabu, maana yake sisi ni wa Mungu na kwa Mungu tutarudi.....ni lugha kma zngne
Uzuri mnajitambulisha wenyewe,Sasa ubinaadamu tayari, madhabau hayalingani na karama pia
Ila kuna nguvu ya Mungu ndani ya karama ya Mungu mafuta yapo kwa biblia mzeituni
Wanafunzi wa yesu walitumia mafuta mtumishi Marko 6:12
Agano la kale Isaya 10:21
Biblia ina mafunuo mengi sana
Sina upinzani na mahubiri haya
Ila kupulizia watu pumzi watu kudondoka sio nguvu ya vitu vya kuzimu wewe pia unaweza kutumiwa na Mungu kulingana na ufunuo Mungu aliokupa na maandiko yapo mengi kwa biblia wewe mwenyewe Mungu alipo kuumba alikupulizia pumzi ukawa nafasi hai ndoo pumzi unayo hubiria leo alafu naomba kama ulivyosema kuna sifa za manabii ni kumi12 hauta sisema sema hapa wapendao mafundisho tujifunze wote
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed ❤
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed
Amen
Ila baba ungetutajia majina yao kabisa ya hao waongo ili tuwajue me saiv naogopa kabisa habar za manabii maana kumjua mkwel na muongo co jambo dogo baba ang
Hata mkitajiwa mtawafwata tu
@@flm1530 sasa hapo utakuwa huna hatia juu ya mtu huyo maana cku ya mwisho atacmama.mwenyewe kujieleza..kuliko ukaacha kututajia tubak tu bila kuwajua plzzz baba tutajie tuwajue saiv mambo hazalan hakuna kuficha kitu wataje baba plzzzzz
Femida Yahaya, nikujulishe siri ya kuwa mkristo wa kweli ni.1 mwamini Yesu moyoni mwako kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yako 2 ufanyiwe maombi ya kufunguliwa vifungo vyako.3ubatizwe kwa maji mengi,4 ujazwe nguvu za Roho mtakatifu 5 ufundishwe kuukulia wokovu,6 uwe msomaji wa biblia, mwombaji na mtu wa mifungo na Ibadan nyingi. Ukiweza hatua hizi utakuwa na viwango vya juu kiroho hakuna kitakachokushinda duniani.